Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

    Report Post
    Page 10 of 17 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast
    Results 181 to 200 of 333
    1. #1
      Moderator's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 29th November 2006
      Location : Moderated
      Posts : 376
      Rep Power : 713
      Likes Received
      136
      Likes Given
      663

      Default 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

      Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

      Tunaweza kuwataja bila uonevu?

      Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

      1. Rostam Azziz
      2. Edward Lowassa
      3. Abdulrahman Kinana
      4. Andrew Chenge
      5. Idris Rashid,
      6. Nazir Karamagi,
      7. Gray Mgonja,
      8. Basil Mramba,
      9. Daniel Yona,
      10. Peter Noni,
      11. Nimrod Mkono,
      12. Subash Patel
      13. Yusuf Manji
      14. Anna Mkapa
      15. Johson Lukaza
      16. Vincent Mrisho
      17. Frederick Sumaye
      18. Omari Mahita
      19. Jeetu Patel
      20. Sir Andy Chande
      21. Amatus Liyumba
      22. Emmanuel Nchimbi
      23. Shailesh Vithlani
      24. Tanil Somaiya
      25. Eric Shigongo
      26. Patrick Rutabanzibwa
      27. Felix Mrema (Arusha)
      28. Laurence Masha
      29. David Mattaka
      30. Kingunge Ngombare Mwiru
      31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
      32. Malegesi Advocates
      33. Ringo Advocates
      34. Cleopa David Msuya
      35. Prof. Mkandara (UDSM)
      36. Maria Kejo
      37. Apson Mwang'onda
      38. Dr Edward Hosea - PCCB
      39. Ferdinand Ruhinda
      40. George Lauwo (TRA Customs)
      41. Cpt. John Chiligati
      42. Costa Mahalu
      43. James Sinclair
      44. Pius Msekwa
      45. Alex Massawe
      46. Zakhia Meghji
      47. Joseph Mungai
      48. Abdallah Kigoda
      49. Yusufu Makamba
      50. Sheikh Yahya Hussein

      Tuendeleze list

      NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
      Last edited by Moderator; 19th July 2009 at 21:38.
      Invisible and kaygeezo like this.
      Unataka kuitumia JF kiu-fasaha?|Bofya HAPA!
      Una maswali yoyote ya Ziada juu ya JF? (FAQs)|Bofya HAPA!

    2. Miaka 50

    3. #181
      Kilasara's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 21st December 2008
      Posts : 538
      Rep Power : 638
      Likes Received
      89
      Likes Given
      137

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Mbona kiongozi wao anaowafadhili au ambaye hawachukulii hatua kwa niaba yetu sisi wanyonge hukumtaja? Au ndio nambari wani kuwafanya hawa 49 kutimia hamsini?

    4. #182
      Solomon David's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2009
      Posts : 1,146
      Rep Power : 755
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Mtumishi
      Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

      Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

      Tunaweza kuwataja bila uonevu?

      Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

      1. Rostam Azziz
      2. Edward Lowassa
      3. Andrew Chenge
      4. Idris Rashid,
      5. Nazir Karamagi,
      6. Gray Mgonja,
      7. Basil Mramba,
      8. Daniel Yona,
      9. Peter Noni,
      10. Nimrod Mkono,
      11. Subash Patel
      12. Benjamin William Mkapa
      13. Yusuf Manji
      14. Anna Mkapa
      15. Johson Lukaza
      16. Vincent Mrisho
      17. Frederick Sumaye
      18. Omari Mahita
      19. Jeetu Patel
      20. Sir Andy Chande
      21. Amatus Liyumba
      22. Emmanuel Nchimbi
      23. Shailesh Vithlani
      24. Tanil Somaiya
      25. Eric Shigongo
      26. Patrick Rutabanzibwa
      27. Felix Mrema (Arusha)
      28. Laurence Masha
      29. David Mattaka
      30. Kingunge Ngombare Mwiru
      31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
      32. Malegesi Advocates
      33. Ringo Advocates
      34. Cleopa David Msuya
      35. Prof. Mkandara (UDSM)
      36. Maria Kejo
      37. Apson Mwang'onda
      38. Dr Edward Hosea - PCCB
      39. Ferdinand Ruhinda
      40. George Lauwo (TRA Customs)
      41. Cpt. John Chiligati
      42. Costa Mahalu
      43. James Sinclair
      44. Pius Msekwa
      45. Alex Massawe
      46. Zakhia Meghji
      47. Joseph Mungai
      48. Abdallah Kigoda
      49. Yusufu Makamba
      50. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya

      Tuendeleze list
      Mbona umemwacha Jakaya Kikwete na Mwinyi ila umemweka Mkapa? Ajabu kweli?

    5. #183
      Solomon David's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2009
      Posts : 1,146
      Rep Power : 755
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Kilasara
      Mbona kiongozi wao anaowafadhili au ambaye hawachukulii hatua kwa niaba yetu sisi wanyonge hukumtaja? Au ndio nambari wani kuwafanya hawa 49 kutimia hamsini?
      Kilasara kwani hujui kinachoendelea hapa JF? Kuna kampeni ya kumlaumu kila mtu mwingine isipokuwa Kikwete. Title ya heading inaongelea watu ambao wana fanya screwing kwa Tanzania (ing inamaanisha tensi inayoendelea). Sasa jiulize, Mkapa anaendeleaje kuiscrew Tanzania hadi leo hii?

    6. #184
      Boma's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2008
      Posts : 194
      Rep Power : 606
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Nawaongeza
      1. Ali Hassani Mwinyi
      2. Dr Mwinyi ( waziri wa ulinzi)
      3. John Samwel Malecela
      4. Dr Dau wa NSSF
      4. Waziri wa fedha wa sasa

    7. #185
      Boma's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2008
      Posts : 194
      Rep Power : 606
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Mtumishi
      Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

      1. Rostam Azziz
      2. Edward Lowassa
      3. Andrew Chenge
      4. Idris Rashid,
      5. Nazir Karamagi,
      6. Gray Mgonja,
      7. Basil Mramba,
      8. Daniel Yona,
      9. Peter Noni,
      10. Nimrod Mkono,
      11. Subash Patel
      12. Yusuf Manji
      13. Anna Mkapa
      14. Johson Lukaza
      15. Vincent Mrisho
      16. Frederick Sumaye
      17. Omari Mahita
      18. Jeetu Patel
      19. Sir Andy Chande
      20. Amatus Liyumba
      21. Emmanuel Nchimbi
      22. Shailesh Vithlani
      23. Tanil Somaiya
      24. Eric Shigongo
      25. Patrick Rutabanzibwa
      26. Felix Mrema (Arusha)
      27. Laurence Masha
      28. David Mattaka
      29. Kingunge Ngombare Mwiru
      30. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
      31. Malegesi Advocates
      32. Ringo Advocates
      33. Cleopa David Msuya
      34. Prof. Mkandara (UDSM)
      35. Maria Kejo
      36. Apson Mwang'onda
      37. Dr Edward Hosea - PCCB
      38. Ferdinand Ruhinda
      39. George Lauwo (TRA Customs)
      40. Cpt. John Chiligati
      41. Costa Mahalu
      42. James Sinclair
      43. Pius Msekwa
      44. Alex Massawe
      45. Zakhia Meghji
      46. Joseph Mungai
      47. Abdallah Kigoda
      48. Yusufu Makamba
      49. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya


      Mimi nijuavyo ALEX MASSAWE ni JAMBAZI wa siku nyingi siyo FISADI

    8. FemaTV & Radio

    9. #186
      Solomon David's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2009
      Posts : 1,146
      Rep Power : 755
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Mwanzoni jina la Kikwete lilikuwa la 15, naona limefutwa.

    10. #187
      Mateso's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th August 2008
      Location : Bongo
      Posts : 224
      Rep Power : 594
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Namuunga mkono son of Alaska kwamba watanzania tuwe namba 1 kwenye order kwa sababu sisi watanzania ndo tunaong'ang'ania viongozi wabovu. Kazi kwetu 2010

    11. #188
      Boramaisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 826
      Rep Power : 681
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Mfumwa
      Sijui inatumika vigezo gani?, lakini list kama hii yaweza tumika kuchafuana ama kuchafua hata wale wasiokuwepo.
      Kati ya hao walioorodheshwa hebu toa jina/majina ya ambaye unaona anachafuliwa bila sababu!

    12. #189
      7ceven's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th February 2008
      Posts : 65
      Rep Power : 720
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Leonard Tendwa, msajiri vyama vya siasa

    13. #190
      shabanimzungu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Location : dsm
      Posts : 187
      Rep Power : 539
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Andy Chande who bought his Knighthood from the British Government is the biggest fisadi.
      He is the one who behind the mask of 'patriotism'is the king maker in many of the deals in Tanzania and is a FREEMASON as well.
      The whole TANZANIA RAILAWAY contract by Indians smacks of corruption and the proof is in the pudding.
      He has made a lot of money in shady dealings and is renowned for his corrupting element.
      Ironically he does not know Kiswahili and can hardly speak in kiswahili..
      these are the people ho ruin our country..................
      Go google andy chande and u will come across many things about him.
      His son donated 5 miullion pounds to LABOUR PARTY to get a knighthood for andy chande..........WHOM CAN U TRUST IN TANZANIA

    14. #191
      Bob1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th March 2008
      Posts : 49
      Rep Power : 578
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Nadhani line iwe kama hivi
      Number one ni VIJANA wa Tanzania tunakoroma huku tukirisishwa nchi mifupa.

      Number two maraisi walioshika nchi most of the walikua na plan ya kuwa maraisi lakini hawana(hawakuna) na vision wapi kuipeleka nchi.

      number three individual how to my believe they don't love this country.hao uliowataja hapo juu.
      wakubeba lawama ni VIJANA and Maraisi.

    15. #192
      Kachero's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 211
      Rep Power : 551
      Likes Received
      6
      Likes Given
      124

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Mtumishi
      Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

      Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

      Tunaweza kuwataja bila uonevu?

      Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

      1. Rostam Azziz
      2. Edward Lowassa
      3. Andrew Chenge
      4. Idris Rashid,
      5. Nazir Karamagi,
      6. Gray Mgonja,
      7. Basil Mramba,
      8. Daniel Yona,
      9. Peter Noni,
      10. Nimrod Mkono,
      11. Subash Patel
      12. Yusuf Manji
      13. Anna Mkapa
      14. Johson Lukaza
      15. Vincent Mrisho
      16. Frederick Sumaye
      17. Omari Mahita
      18. Jeetu Patel
      19. Sir Andy Chande
      20. Amatus Liyumba
      21. Emmanuel Nchimbi
      22. Shailesh Vithlani
      23. Tanil Somaiya
      24. Eric Shigongo
      25. Patrick Rutabanzibwa
      26. Felix Mrema (Arusha)
      27. Laurence Masha
      28. David Mattaka
      29. Kingunge Ngombare Mwiru
      30. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
      31. Malegesi Advocates
      32. Ringo Advocates
      33. Cleopa David Msuya
      34. Prof. Mkandara (UDSM)
      35. Maria Kejo
      36. Apson Mwang'onda
      37. Dr Edward Hosea - PCCB
      38. Ferdinand Ruhinda
      39. George Lauwo (TRA Customs)
      40. Cpt. John Chiligati
      41. Costa Mahalu
      42. James Sinclair
      43. Pius Msekwa
      44. Alex Massawe
      45. Zakhia Meghji
      46. Joseph Mungai
      47. Abdallah Kigoda
      48. Yusufu Makamba
      49. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
      Tuendeleze list

      NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
      Hiyo namba 32 hapo juu imewekwa kimakosa au sawa sawa nijuavyo mimi sio Ringo Advocates waliotufisadi ila waliotuhujumu na kutunga mikataba yote ya kifisadi ni Law Associates ya Dr. Tenga waliopitunga mikataba ya IPTL,Richmonds,Dowans and the like na bila kuwasahau IMMMA Advocates ya kina Masha,Mujulizi,Magai na Ishengoma waliotuletea Deep Green Finance.

    16. #193
      Ulamaa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th April 2009
      Posts : 19
      Rep Power : 518
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By mtumishi
      baada ya invisible kuweka kitabu cha "100 people who are screwing up america" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

      Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

      Tunaweza kuwataja bila uonevu?

      Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

      1. rostam azziz
      2. edward lowassa
      3. andrew chenge
      4. idris rashid,
      5. nazir karamagi,
      6. gray mgonja,
      7. basil mramba,
      8. daniel yona,
      9. peter noni,
      10. nimrod mkono,
      11. subash patel
      12. yusuf manji
      13. anna mkapa
      14. johson lukaza
      15. vincent mrisho
      16. frederick sumaye
      17. omari mahita
      18. jeetu patel
      19. sir andy chande
      20. amatus liyumba
      21. emmanuel nchimbi
      22. shailesh vithlani
      23. tanil somaiya
      24. eric shigongo
      25. patrick rutabanzibwa
      26. felix mrema (arusha)
      27. laurence masha
      28. david mattaka
      29. kingunge ngombare mwiru
      30. mark manji & sadiki muze (hawa wamepelekea atcl kufikia icu)
      31. malegesi advocates
      32. ringo advocates
      33. cleopa david msuya
      34. prof. Mkandara (udsm)
      35. maria kejo
      36. apson mwang'onda
      37. dr edward hosea - pccb
      38. ferdinand ruhinda
      39. george lauwo (tra customs)
      40. cpt. John chiligati
      41. costa mahalu
      42. james sinclair
      43. pius msekwa
      44. alex massawe
      45. zakhia meghji
      46. joseph mungai
      47. abdallah kigoda
      48. yusufu makamba
      49. chrisant majiyatanga mzindakaya
      tuendeleze list

      note: marais wote kuanzia mwalimu nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
      50. Reginald mengi
      51. Samwel sitta
      52. Iddi simba

    17. #194
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,326
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4883
      Likes Given
      5604

      Default

      Quote By Ulamaa
      50. Reginald mengi
      51. Samwel sitta
      52. Iddi simba
      Sidhani kama hawa wanastahili kuingia kwenye list. Mmoja bado anakosekana...!
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    18. #195
      Serendipity's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2009
      Location : Magogoni
      Posts : 442
      Rep Power : 614
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Invisible
      Sidhani kama hawa wanastahili kuingia kwenye list. Mmoja bado anakosekana...!
      Mr. Clean? (BWM?)
      If you really want something in this life, you have to work for it. <o></o>

    19. #196
      kunjygroup's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2009
      Posts : 339
      Rep Power : 548
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Mkodoleaji
      Peter Noni????
      Peter Noni alikua BOT wakati wa EPA. Ameenda TIB kama CEO kulinda zile hela mh. alisema wamerudisha watu wa EPA

    20. #197
      Ngalikihinja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2009
      Posts : 4,414
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      988
      Likes Given
      96

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Mtumishi
      Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

      Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

      Tunaweza kuwataja bila uonevu?

      Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

      1. Rostam Azziz
      2. Edward Lowassa
      3. Andrew Chenge
      4. Idris Rashid,
      5. Nazir Karamagi,
      6. Gray Mgonja,
      7. Basil Mramba,
      8. Daniel Yona,
      9. Peter Noni,
      10. Nimrod Mkono,
      11. Subash Patel
      12. Yusuf Manji
      13. Anna Mkapa
      14. Johson Lukaza
      15. Vincent Mrisho
      16. Frederick Sumaye
      17. Omari Mahita
      18. Jeetu Patel
      19. Sir Andy Chande
      20. Amatus Liyumba
      21. Emmanuel Nchimbi
      22. Shailesh Vithlani
      23. Tanil Somaiya
      24. Eric Shigongo
      25. Patrick Rutabanzibwa
      26. Felix Mrema (Arusha)
      27. Laurence Masha
      28. David Mattaka
      29. Kingunge Ngombare Mwiru
      30. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
      31. Malegesi Advocates
      32. Ringo Advocates
      33. Cleopa David Msuya
      34. Prof. Mkandara (UDSM)
      35. Maria Kejo
      36. Apson Mwang'onda
      37. Dr Edward Hosea - PCCB
      38. Ferdinand Ruhinda
      39. George Lauwo (TRA Customs)
      40. Cpt. John Chiligati
      41. Costa Mahalu
      42. James Sinclair
      43. Pius Msekwa
      44. Alex Massawe
      45. Zakhia Meghji
      46. Joseph Mungai
      47. Abdallah Kigoda
      48. Yusufu Makamba
      49. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
      Tuendeleze list

      NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
      MIMI NADHANI HAKUNA HAJA YA KUWATAJA WOTE HAMSINI..........HII NI KWA SABABU HAO WOTE JK ANAWEZA KUWACHUKULIA HATUA........... HIVYO MAKOSA YAO YANABEBWA NA JK. Kwa hiyo hii list ingetaja jina moja tu JK

    21. #198
      Werema Ekekondo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th October 2008
      Posts : 26
      Rep Power : 547
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Nakubaliana nawe Mkubwa!

      JK should go, hana lo lote jipya!

    22. #199
      MtuKwao's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2006
      Posts : 175
      Rep Power : 681
      Likes Received
      7
      Likes Given
      11

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Kwenye list hii tujiongeze na sisi wasomi wa Kitanzania ambao kwa kweli tumeshindwa kabisa kusogeza nchi mbele. Kwa mfano wasomi na watanzania wengineo wenye ufahamu wangapi wameanzisha makampuni ya kuzalisha mali na kuajiri watanzania wenzao? Waliopo serikalini ndo hao wanaandika mikataba ya kuifilisi nchi. Waliopo nje hawafikirii kuijenga nchi yao kwa kuleta hayo wanayofahamu huku, hata kwa kuiba, mpaka wahongwe kwa "dual citizenship". Tulio wengi nafikiri bado hatujitambui. Tunahitaji kutambua tuko wapi na tunakwenda wapi. Uzalendo, ushirikiano (sharing), ni mdogo sana. kila mmoja amelenga kuganga njaa yake. Msomi atafikiriaje kuipeleka mbele Tanzania wakati wazo kuu ni kuganga njaa yake?

      Kwa hiyo sishangai kuona mnaweka list hii kwa vile ni subset ya Watanzania, kwa maana kwamba Watanzania ndivyo tulivyo. Hivyo nasi tunaoandika humu tukubali kwamba nasi tumo kwenye list hiyo! Wala sisemi hivyo kwa sababu nawatetea waliomo kwenye list!

      MtuKwao

    23. #200
      Lawkeys's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 587
      Rep Power : 601
      Likes Received
      117
      Likes Given
      72

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Nikisema wabaya watanzania hawatumii vizuri nguvu ya kura mtasema chama ndio kimewanyima elimu! basi mi sina comment.

    Page 10 of 17 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 26th June 2010, 04:20
    2. 19th November 2009, 20:01

    Similar Topics

    1. The Hadza People Facts in Tanzania
      By Eraser Stop in forum Jamii Intelligence
      Replies: 2
      Last Post: 15th December 2011, 08:38
    2. Replies: 6
      Last Post: 22nd August 2011, 08:03
    3. Tanzania's 100 most influential people
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 53
      Last Post: 2nd April 2009, 22:15
    4. 50 People Who Are Sorting Out Tanzania
      By Companero in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 16
      Last Post: 27th March 2009, 10:45

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...