Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: (Gregorian calendar) Is he pious?

    Report Post
    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast
    Results 101 to 120 of 151
    1. #1
      realness's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th February 2012
      Location : Morogoro
      Posts : 190
      Rep Power : 403
      Likes Received
      20
      Likes Given
      4

      Default (Gregorian calendar) Is he pious?

      Sehemu nyingi duniani tunatumia kalenda ya kirumi au gregarian calender, kwa heshima aliyopewa pope gregory kwa mchango wake katika kalenda hii.

      ilikuwa ni mwaka 1582,ambapo watu walilala tarehe 4 mwezi wa tano wakaamka tarehe 15 mwez wa tano bado sijajua kwa nn waliziruka siku 11,labda.....!

      kalenda ya kirumi wakati inaanza ilikuwa na miezi kumi:
      1.MARCH,
      2.APRILIUS,
      3.MAIUS,
      4.JUNE
      5.SEXTILIUS
      6.QUANTILIUS
      7.SEPTEMBER
      8.OCTOBER
      9.NOVEMBER
      10.DECEMBER.

      Kutokana na mchango wa Julius na Augusto miezi miwili ilitolewa kwa kuheshimu michango yao ambayo ni sextilius na quatilus ambayo leo inaitwa July na August.

      Hoja yangu ni kwa huyu papa gregory ambae alirekebisha kalenda kwa mara ya mwisho. Kwa nini aliacha majina ya miungu yatumike? Majina kama junus,februalius,march,apriliu s,maius na june/junos. Yeye ni kiongozi mkubwa wa dini ambae ilibidi awe antagonist mkubwa wa miungu hiyo. Siwazungumzii kina julius na augustus kwa sababu wao walikuwa emperors of rome/roman empire. Je kama kiongozi mkubwa wa dini anaikubali miungu,vipi kwa waumini.

      I do not disagree to call them saints but are they such pious?
      Yo Yo and Juma mpilly like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #101
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By IGWE
      Eiyer,...nimekupata mkuu,ila ndio uniambie ni kwanini huyo Regan alipona ingawa ni kwa maajabu....nafikiri hizi ni cincidence tu kiongozi wangu.
      Coincedance?Wait a minute!Hebu fikiri vizuri!

    4. #102
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: mysterious georgia guidestones and its ten commandments na mambo yalivyo sasa!

      IGWE,mtafungwa,ukweli kuhusiana na vifo hivyo ni kuwa zipo hadithi nyingi ila ukweli ni ibada ya kishetani.Kwanza hawaipendi namba inayoishia na 0 kwa sababu Mungu aliitumia alipompa Musa amri 10,so wao wanakwenda against na Mungu,ndo maana wana amri 11 za shetani!Wanapofanya mauaji wanakua wanapinga kiongozi wa taifa lao kuchaguliwa mwaka wa Mungu,lakini pia wanakua wamemtoa kafara kwa kumwaga damu yake.Regan alipona kiajabu coz alitakiwa afe,Bush aliechaguliwa 2000 hakuuwawa coz familia yake ni wanachama wa Skull & Bones tangu babu yake Bush alikua anaitwa Prescot Bush ambae alikua gavana,ndo maana alipona lakini alitakwa badala yake atoe kafara akiwa madarakani ndo maana kadhia ya WTC ilitokea!Ilikua ni sehemu ya kafara hizo!

    5. #103
      mtafungwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 74
      Rep Power : 3481
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default Re: mysterious georgia guidestones and its ten commandments na mambo yalivyo sasa!

      Quote By Eiyer
      IGWE,mtafungwa,ukweli kuhusiana na vifo hivyo ni kuwa zipo hadithi nyingi ila ukweli ni ibada ya kishetani.Kwanza hawaipendi namba inayoishia na 0 kwa sababu Mungu aliitumia alipompa Musa amri 10,so wao wanakwenda against na Mungu,ndo maana wana amri 11 za shetani!Wanapofanya mauaji wanakua wanapinga kiongozi wa taifa lao kuchaguliwa mwaka wa Mungu,lakini pia wanakua wamemtoa kafara kwa kumwaga damu yake.Regan alipona kiajabu coz alitakiwa afe,Bush aliechaguliwa 2000 hakuuwawa coz familia yake ni wanachama wa Skull & Bones tangu babu yake Bush alikua anaitwa Prescot Bush ambae alikua gavana,ndo maana alipona lakini alitakwa badala yake atoe kafara akiwa madarakani ndo maana kadhia ya WTC ilitokea!Ilikua ni sehemu ya kafara hizo!
      Asante. Baada ya kupata maelezo yako nimecheki kama kweli GW Bush na viongozi wengine maarufu wa Marekani ni wanachama wa Mafuvu na Mifupa e.g., Secret Societies SKULL & BONES REVEALED, CNN 2009 - YouTube . Kwa hiyo ina maana kwamba utawala wa marekani umejemgwa kwa misingi ya ushirikina? Na wakati huo huo wanatuambia "in God we trust". Sasa huyo mungu ni yupi kama si shetani...Unaweza kuona hata serikali ya Tz imesimamishwa kwenye msingi hiyohiyo...who knows?

    6. #104
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: mysterious georgia guidestones and its ten commandments na mambo yalivyo sasa!

      Mtafungwa,uko sahihi,wanaposema "IN GOD WE TRUST" mungu wanaemtaja hapa ni Lucife au maarufu kama G.A.O.T.U(Great Archtec Of The Universe)hakuna serikali ambayo imesalimika na hawa watu!

    7. #105
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5535
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: mysterious georgia guidestones and its ten commandments na mambo yalivyo sasa!

      Quote By mtafungwa
      Asante. Baada ya kupata maelezo yako nimecheki kama kweli GW Bush na viongozi wengine maarufu wa Marekani ni wanachama wa Mafuvu na Mifupa e.g., Secret Societies SKULL & BONES REVEALED, CNN 2009 - YouTube . Kwa hiyo ina maana kwamba utawala wa marekani umejemgwa kwa misingi ya ushirikina? Na wakati huo huo wanatuambia "in God we trust". Sasa huyo mungu ni yupi kama si shetani...Unaweza kuona hata serikali ya Tz imesimamishwa kwenye msingi hiyohiyo...who knows?
      kwa kusema in god we trust haimaanishi ni mungu huyu wote tumuaminie, yawezekana kabisa ni mungu wao fulani wanaomuamini yawezekana pia kuwa wanasema tu hivyo kuwapumbaza walio wengi.

    8. Miaka 50

    9. #106
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5535
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: (Gregorian calendar) Is he pious?

      Quote By Iza
      Mkuu Eiyer
      Kwa maelezo rahisi ni kwamba dunia inatumia kalenda yenye uwelekeo wa kipagani bila kujua au haijali?
      Hili tukio la 9/11 linavyounganishwa na uwepo wa Mungu huwa sielewi na siamini.,kama Wamerekani ni wapagani kutokana na maelezo yako hapo juu inakuaje tena shambulio la upagani likafanyike katika ardhi ya Upagani? walitaka kuonyesha nini hasa? Au ni pigo toka kwa Mungu wa kweli?
      ni mambo mengi wanadunia tunayafanya pasipo kujua kwa nini tunafanya hata kusali jumapili wengu hawajui sababu na kama ni kweli biblia imesema tusali jpili au la?
      na hata ukisema bible imesema hivyo swali jingine litakuja nani haswa aliyeandika bible? na hata nani aliyetafsiri hadi mimi na wewe tukajaelewa kwa lugha za sasa? je biblia tuisomayo leo ni ya kuaminika?

    10. #107
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5535
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: (Gregorian calendar) Is he pious?

      Quote By IGWE
      Acheni hofu za kipuuzi kama hizi,..unajumlisha mara unagawa namba bila sababu ya msingi.....number is number_full stop.
      namba si namba tafuta maarifa zaidi. hata katika vizazi vilivyopita namba kilikuwa kitu muhimu sana na cha kuheshimika kuna nguvu nyingi sana katika kujua siri ya namba ndio maana wajanja wanajua kuzitumia na kuificha elimu hiyo ili wafaidi wachache.

    11. #108
      realness's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th February 2012
      Location : Morogoro
      Posts : 190
      Rep Power : 403
      Likes Received
      20
      Likes Given
      4

      Default Re: (Gregorian calendar) Is he pious?

      kwa hyo mnataka kumaanisha kwamba he(pope gregory) was the one of members of that secret society!?

    12. #109
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Iron Lady
      namba si namba tafuta maarifa zaidi. hata katika vizazi vilivyopita namba kilikuwa kitu muhimu sana na cha kuheshimika kuna nguvu nyingi sana katika kujua siri ya namba ndio maana wajanja wanajua kuzitumia na kuificha elimu hiyo ili wafaidi wachache.
      Nimeipenda sana hii post,chukua tano iron lady!

    13. #110
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By realness
      kwa hyo mnataka kumaanisha kwamba he(pope gregory) was the one of members of that secret society!?
      Sio yeye tu,mapapa wote walikua member including benedict xvi,pamoja na kofia yao yenye maneno VICARVIS FIL DEI(sina uhakika kama nimepatia speling)pamoja na kanisa katoliki lote!

    14. #111
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Iza
      Mkuu Eiyer
      Kwa maelezo rahisi ni kwamba dunia inatumia kalenda yenye uwelekeo wa kipagani bila kujua au haijali?
      Hili tukio la 9/11 linavyounganishwa na uwepo wa Mungu huwa sielewi na siamini.,kama Wamerekani ni wapagani kutokana na maelezo yako hapo juu inakuaje tena shambulio la upagani likafanyike katika ardhi ya Upagani? walitaka kuonyesha nini hasa? Au ni pigo toka kwa Mungu wa kweli?
      Hii ilikua ni kafara ya kumwaga damu ili kujiongezea power ya kutawala dunia,pamoja na kumtangaza Lucife kuwa mungu wao!

    15. #112
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Iron Lady
      kwa kusema in god we trust haimaanishi ni mungu huyu wote tumuaminie, yawezekana kabisa ni mungu wao fulani wanaomuamini yawezekana pia kuwa wanasema tu hivyo kuwapumbaza walio wengi.
      Their god is Lucifer and they knw it!

    16. #113
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,077
      Rep Power : 3256
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      1196

      Default Re: mysterious georgia guidestones and its ten commandments na mambo yalivyo sasa!

      Quote By Eiyer
      Their god is Lucifer and they knw it!
      Basi mungu wao(Lucifer)ana nguvu sana_maake kaiendeleza sana nchi yake(USA),sio kama nchi za kwetu kina yakhe na mungu wetu katuacha.
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    17. #114
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5535
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: mysterious georgia guidestones and its ten commandments na mambo yalivyo sasa!

      Quote By IGWE
      Basi mungu wao(Lucifer)ana nguvu sana_maake kaiendeleza sana nchi yake(USA),sio kama nchi za kwetu kina yakhe na mungu wetu katuacha.
      mkuu igwe,
      shetani ana nguvu nyingi sana na pia anaweza kufanya maajabu kupita binadamu, ndio maana nguvu za shetani zitashindwa na za mungu peke yake, unakumbuka katika biblia shetani anaelezwa kujionesha kwa umbo la nyoka na kuongea na yesu na hata akampeleka juu ya kilima kumuonesha miji na milki aliyomwambia atampa? hivyo wamarekani wamechagua au bila kujua wengine kuwa wanaendeshwa kishetani shetani naye shetani anawapa mali nyingi lakini mali hiyo si ya kudumu, itawafanya wapoteze mengi zaidi.
      sasa ukija kwetu kuna utata kidogo maana hatujijui mungu wetu wengine wanamcha mungu aliye juu wengine wanamcha mungu na miungu huoni tunampa mungu confussion?
      si kama marekani walio wengi wanamcha shetani tena kwa kujua, wengine wanamcha shetani kwa kutojua bali kulazimishwa na hali iliyopo, hakuna taifa wananchi wake wamekuwa controled kama wamarekani.na hilo wamefanikiwa sana.

    18. #115
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By IGWE
      Basi mungu wao(Lucifer)ana nguvu sana_maake kaiendeleza sana nchi yake(USA),sio kama nchi za kwetu kina yakhe na mungu wetu katuacha.
      Kuna utajiri kutoka kwa Lucifer,as well as maendeleo pia upo unaotoka kwa Mungu na kila upande una taratibu zake!Uchaguzi ni wako!

    19. #116
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,077
      Rep Power : 3256
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      1196

      Default Re: (Gregorian calendar) Is he pious?

      Quote By Eiyer
      Kuna utajiri kutoka kwa Lucifer,as well as maendeleo pia upo unaotoka kwa Mungu na kila upande una taratibu zake!Uchaguzi ni wako!
      Mmmmmmmmh_hapo sasa!
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    20. #117
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,077
      Rep Power : 3256
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      1196

      Default Re: mysterious georgia guidestones and its ten commandments na mambo yalivyo sasa!

      Quote By Iron Lady
      mkuu igwe,
      shetani ana nguvu nyingi sana na pia anaweza kufanya maajabu kupita binadamu, ndio maana nguvu za shetani zitashindwa na za mungu peke yake, unakumbuka katika biblia shetani anaelezwa kujionesha kwa umbo la nyoka na kuongea na yesu na hata akampeleka juu ya kilima kumuonesha miji na milki aliyomwambia atampa? hivyo wamarekani wamechagua au bila kujua wengine kuwa wanaendeshwa kishetani shetani naye shetani anawapa mali nyingi lakini mali hiyo si ya kudumu, itawafanya wapoteze mengi zaidi.
      sasa ukija kwetu kuna utata kidogo maana hatujijui mungu wetu wengine wanamcha mungu aliye juu wengine wanamcha mungu na miungu huoni tunampa mungu confussion?
      si kama marekani walio wengi wanamcha shetani tena kwa kujua, wengine wanamcha shetani kwa kutojua bali kulazimishwa na hali iliyopo, hakuna taifa wananchi wake wamekuwa controled kama wamarekani.na hilo wamefanikiwa sana.
      nimekupata.......!
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    21. #118
      Vodka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Location : Nothern west Dar Es Salaam
      Posts : 727
      Rep Power : 517
      Likes Received
      54
      Likes Given
      30

      Default

      Quote By Eiyer
      Sio yeye tu,mapapa wote walikua member including benedict xvi,pamoja na kofia yao yenye maneno VICARVIS FIL DEI(sina uhakika kama nimepatia speling)pamoja na kanisa katoliki lote!
      Mmmh ok,ujui usemalo labda unasoma na kuamini usichokifahamu mimi sikulaumu ila ndivyo unavyojua.

    22. #119
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      489
      Likes Given
      173

      Default Re: (Gregorian calendar) Is he pious?

      Quote By Eiyer
      Sio yeye tu,mapapa wote walikua member including benedict xvi,pamoja na kofia yao yenye maneno VICARVIS FIL DEI(sina uhakika kama nimepatia speling)pamoja na kanisa katoliki lote!
      Mkuu ulikuwa unazunguka na mwisho umeingia kwenye point yako Rasmi.

      Mimi naona unajichanganya kwa kujaribu kukusanya maandiko ambayo wala hujisumbui kujiuliza, wewe unameza kama ulivyoletewa

      Hizo namba unazoziweka hapa ni namba mpya duniani, unaposema hizo twin tower ni sawa na namba 11, lakini hiyo sio sawa na kumi na moja ya kirumi ama kihindi ama kichina ama kiarabu, sasa huyo Lucifer anabase kwenye mfumo wa namba unazozitaka wewe?

      sasa hiyo Kofia yao (Mapapa) imeandikwaje?, si uweke vitu vyenye uhakika basi ili tukosoane

      Unasema hao (wa Lucifer) hawapendi namba 0 kwa sababu ni namba ya Mungu ndio iliyokuwa kwenye Amri kumi,
      ndugu yangu Eiyer, usijichanganye kiasi hicho, Hizo Amri kumi hazikuja kwenye mfumo wa hizi namba unazozitumia sasa hivi, zilikuwa kwenye aharamic, ambazo zinaufanano na kihebrew na Kiarabu kwa kiasi fulani na kulikuwa hakuna hiyo ziro unayoizungumza,
      na hata zilipokuja kwenye kirumi hiyo kumi ilikuwa X na wala kulikuwa hakuna ziro

    23. #120
      kidonge ki1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st March 2012
      Location : monduli
      Posts : 15
      Rep Power : 367
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: (Gregorian calendar) Is he pious?

      Mr.kituko naomba nkurekebshe AMRI KUMI ALIZOPEWA MUSA ZILIKUWA katika lugha ya kiarabu na sio kwamba zilikuwa zna ufanano na lugha ya kiarabu coz MUSA Mwenyewe lugha mama yake ni kiarabu na ndiyo aliyokua aki itumia,,na MISRI NI NCHI inayotumia lugat arabia na pia nchi hiyo ipo ndani ya MIDDLE EAST nchi zote zlizopo middle East lugha za asili ni kiarabu yaan kusoma na kuiandika kutoka kulia kuelekea kushoto,n hayo tu

    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...