Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ukata idara ya uhamiaji

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 605
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Ukata idara ya uhamiaji

      Yasemekana wameshindwa kutoa pass kwa muda mrefu kwa kukosa pesa za kutengenezea machine za kuchapia.

      Mimi binafsi nilijaza form za kubadili pasi yangu iliyoisha muda tangu mwaka Jana December lakini mpaka leo imekuwa nenda rudi bila mafanikio.

      Baada ya kufuatilia hilo, moja wa afisawa pale akanimegea siri hiyo.

      Nadhani kuna member wengine humu wameshakutana na usumbufu kama huu.

      Mwenye nyeti zaidi atujuze.
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,416
      Rep Power : 1380
      Likes Received
      588
      Likes Given
      404

      Default Re: Ukata idara ya uhamiaji

      pasi zote za kusafiria zilibadilishwa 2005 kutoka zile za zamani za kuandikwa kwa mkono na kuwa za kuchapwa kwa mashine. Latest time ya kuisha muda ni 2015. Unaposema iliisha muda unadanganya au kama umesafiri sana na imejaa.
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    4. #3
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 605
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Ukata idara ya uhamiaji

      Quote By Utingo
      pasi zote za kusafiria zilibadilishwa 2005 kutoka zile za zamani za kuandikwa kwa mkono na kuwa za kuchapwa kwa mashine. Latest time ya kuisha muda ni 2015. Unaposema iliisha muda unadanganya au kama umesafiri sana na imejaa.
      Imejaa mkuu. Inabidi kubadilishwa. 2015 ni expiration date.
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    5. #4
      mbutalikasu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 53
      Rep Power : 380
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      kaka la ukata ni kweli na hilo siyo kwa idara ya uhamiaji ukata ni wizara na idara kumbuka serikali imeamua kumega bil.3 kila idara za serikari kutokana na ukwasi ilionao ila vumilia itatoka mie pia kuna jamaa yangu alijaza tokea septemba mwaka jana imetoka january mwaka huu

    6. #5
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,591
      Rep Power : 22053
      Likes Received
      992
      Likes Given
      769

      Default Re: Ukata idara ya uhamiaji

      Mkuu unachanja mbuga kama JK yaani ilishajaa!
      Ukata is cutting accross all the gvt entities
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    7. Miaka 50

    8. #6
      nsangaman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Location : Arusha
      Posts : 265
      Rep Power : 452
      Likes Received
      38
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Njowepo
      Mkuu unachanja mbuga kama JK yaani ilishajaa!
      Ukata is cutting accross all the gvt entities
      Anaongozana sana na baba mwanaasha katika misele

    9. #7
      Uwilingiyimana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd December 2011
      Posts : 53
      Rep Power : 384
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mbutalikasu
      kaka la ukata ni kweli na hilo siyo kwa idara ya uhamiaji ukata ni wizara na idara kumbuka serikali imeamua kumega bil.3 kila idara za serikari kutokana na ukwasi ilionao ila vumilia itatoka mie pia kuna jamaa yangu alijaza tokea septemba mwaka jana imetoka january mwaka huu
      mind your language. Haiwezekani kwa wakati mmoja mtu akawa na umasikini wa kupindukia (ukata) na utajiri wa kupindukia (ukwasi). Next time, think before you ink!
      mfianchi likes this.

    10. #8
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,123
      Rep Power : 2416
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Utingo
      pasi zote za kusafiria zilibadilishwa 2005 kutoka zile za zamani za kuandikwa kwa mkono na kuwa za kuchapwa kwa mashine. Latest time ya kuisha muda ni 2015. Unaposema iliisha muda unadanganya au kama umesafiri sana na imejaa.
      Hajakuambia imejaa bali imeisha, labda kaweka hapa ili tujue nae anakwea pipa kumbe ndo anakoroga mambo

    11. #9
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,123
      Rep Power : 2416
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default Re: Ukata idara ya uhamiaji

      Safari moja inaanzisha nyingine itaanza kufisika wizara na idara moja ya serikali hadi nyingine

    12. #10
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,635
      Rep Power : 10159
      Likes Received
      5646
      Likes Given
      12664

      Default Re: Ukata idara ya uhamiaji

      hata yangu imeshajaa inabidi next month niibadili ..ila nina wasi wasi ho jamaa kuna kitu wanataka wewe ongea nao vizuri bongo watu wanaishi kimjini mjini ujue
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    13. #11
      MD25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 1,890
      Rep Power : 895
      Likes Received
      534
      Likes Given
      64

      Default

      Quote By Utingo
      pasi zote za kusafiria zilibadilishwa 2005 kutoka zile za zamani za kuandikwa kwa mkono na kuwa za kuchapwa kwa mashine. Latest time ya kuisha muda ni 2015. Unaposema iliisha muda unadanganya au kama umesafiri sana na imejaa.
      Kumbuka kuna waombaji wengine ni wapya, hawakuwa na hizo pass zinazoisha 2015.
      Ukweli ni kwamba si uamiaji peke yao waliofulia, serikali nzima hali ni tete, hadi imefikia point chekacheka anapanda Qatar Airways?

    14. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...