Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Report Post
    Page 125 of 196 FirstFirst ... 25115123124125126127135 ... LastLast
    Results 2,481 to 2,500 of 3902
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,507
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16378
      Likes Given
      8453

      Default Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

      Kwa mara nyingine tena hoja ya Bunge kupitisha sheria ya kurudisha ofisi ya Kadhi Mkuu linajitokeza tena huku waislamu wakitaka Bunge litunge sheria ya kutambua uwepo wake na wakristu wakipiga kelele kuwa kufanya hivyo ni kuvunja Katiba. Hoja yangu leo ni kuwa, Waislamu hawahitaji kibali cha serikali kuanzisha ofisi ya Kadhi Mkuu kushughulikia mambo yao yanayoendana na sheria za Kiislamu.

      Waislamu wakae wao wenyewe wapitishe uwepo wa ofisi hiyo na kuendelea na shughuli zao. Ilimradi tu, maamuzi ya ofisi yao hiyo hayaingilii uhuru wa Mtanzania mwingine au utendaji kazi wa sheria zetu za makosa ya uhalifu na jinai. Pia waelewe ya kwamba uwepo wa ofisi ya Kadhi Mkuu ni subject ya Katiba ya Muungano na Mtanzania yeyote kimbilio lake la mwisho ni mahakama ya Kiraia. Zaidi ya yote, watakapoanzisha ofisi hiyo, wajue kuwa isiwalazimishe waislamu wote kutatua matatizo yao kupitia ofisi hiyo isipokuwa wale ambao kwa hiari yao wanataka kufanya hivyo.

      Kanisa Katoliki kwa mfano linayo mahakama yake na sheria zinazoliongoza kanisa hilo (Canon Law) na mahakama yake hiyo ina ngazi za rufaa hadi Vaticano. Hata hivyo Mkatoliki ana haki ya kutumia sheria hizo kuhusu masuala mbalimbali ya kanisa lake, lakini anapofanya kosa la jinai, sheria za kiraia (civil law) zinakuwa na mamlaka. Hivyo basi, waislamu wasisubiri Bunge kupitisha ofisi ya Kadhi Mkuu bali waianzishe wao wenyewe huku wakiweka bayana kabisa kuwa ofisi hiyo haitahusika na makosa ya jinai au kupingana na Katiba ya nchi. Then, hakutakuwa na haja ya kugongana!!!
      Tabby, Njowepo, Magobe T and 45 others like this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #2481
      Tumain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2009
      Posts : 3,213
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By Bull
      Waislam walitumia pesa zao,muda kupanga mikakati ya kuleta uhuru Tanzaia, wakati huo niwakristo wawili/watatu walishirikiana na waislam akiwepo Nyerere, sijui wewe unatoka nchi gani hulielewi hili. Fuatilia hata hutuba za Nyerere ameongea hili na wala sio story za mitaani kama unavyofikiri, history ni history haitobadilika

      Uhuru wa TZ hauwezi kufananisha na mimba eti mtotot amefikia time atatoka tu, NO, NO!! lazima kunamtu katia mimba na lazima mkunga awepo karibu

      Wakristo hawakushiki kugombea UHURU sababu walisha fubaishwa na neno la bwana kutoka kwa wakolono. Ni waislam ndo freedom fighter si wakristo. Historia ya TZ haitobadilika!!
      Historia ndiyo hiyo ishakwenda na maji...tuendelea kufight for peoples right..kwasababu hiyo duty yetu sisi leo babu zetu walishadai uhuru...sisi tunadai maendeleo na siasa safi sasa....

    4. #2482
      Tarishi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th May 2008
      Location : studying in the Ukraine
      Posts : 23
      Rep Power : 567
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      now, this is good 9(?0 news. we can now rest in peace since our Muslim bothers and sisters were at loggerheads with the system over this issue. what says U. i am OUT!

    5. #2483
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3353
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      tartiibu nasikiliza nyimbo ya abbas mzee wa kikundi cha EGYPTIAN inaitwa HARUSI...

    6. #2484
      MpigaFilimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Location : Uvunguni
      Posts : 1,089
      Rep Power : 782
      Likes Received
      127
      Likes Given
      76

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      eeeeeh! habari hii kama ni kweli kuwa mazungumzo ya Pinda over the weekend yametosha kubadili msimamo wa serikali, nikiunganisha na ile ya kufuta kodi kwa mashirika ya dini kwa kutishiwa kunyimwa kura tu, basi kumbe kuna raha za kuwa madarakani ukiwatishia kuwaondoa inawauma sana. Kama madaraka ni matamu kiasi hicho kwa nini wasitimize wajibu wao? Kwa kuwa tumegundua udhaifu wao tuutumie.
      Tuiambie serikali kama hakuna katiba mwakani wote hatupigi kura, bila shaka wataanza mchakato wa katiba mpya.
      "If you are going through HELL, keep going..."-W.Churchill

    7. #2485
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3353
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      halafu watu wanasema ohh CCM itashidwa

      subutu

      kwa kadi kama hizi sidhani kama watashindwa

      I cant wait kusikia tamko la CHADEMA on this issue

    8. RukaaJuu Final

    9. #2486
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      615
      Likes Given
      448

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Watu kwa kupulizia moto hawajambo.

    10. #2487
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3353
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By MwanaFalsafa1
      Watu kwa kupulizia moto hawajambo.
      maaashalah

      umegunduah eeeh?

      invisible yeye anatazama traffic tuu bas

      safi sana

    11. #2488
      Kang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Posts : 3,515
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      527
      Likes Given
      24

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Hehe yaani page 19 kumbe original story ilikuwa uzushi? JF sijui tunaenda wapi.
      “Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”

    12. #2489
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3353
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By Kang
      Hehe yaani page 19 kumbe original story ilikuwa uzushi? JF sijui tunaenda wapi.
      hata MoU ya kanisa mlisema uzushi

    13. #2490
      Kang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Posts : 3,515
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      527
      Likes Given
      24

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By Game Theory
      hata MoU ya kanisa mlisema uzushi
      Tulisema akina nani? Kwani kuna ubaya gani tukisubiri kidogo proof zije ndo tuanze kuchambua mambo?
      “Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”

    14. #2491
      X-PASTER's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Firdaws (Paradise)
      Posts : 11,859
      Rep Power : 7687
      Likes Received
      1467
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By MkamaP
      Hapana tunamwita mtoto wa kijakazi ,na tena ktk ukatoliki hatuna neno halamu,maana twaamini Mungu alisipendi aghalabu sekunde kadhaa kukifanya kuwepo sasa mwanadamu wawezaje kuita kitu halamu ,ambacho Mungu kasipendi mda wake??
      Kwenye ukatoliki kweli hakuna neno Halamu, ila kuna neno Haramu...!
      “I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

      'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.

      (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯)


    15. #2492
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By Tumain
      Mahakama zitakuwepo hata kama ni another 20 years, no matter what it takes, no matter period it takes...hiyo ibada bwana ya Mwenye Nguvu, Mwenye Haki Allah hakuna atakayezuia atachelewsha tu iwe CCM, iwe CUF iwe Chadema hata kama Maaskofu waandike waraka mara elfu sabini "Mahakama ni Haki ya Muumini" so it has nothing to do Non-believers,
      Ibada gani hiyo inahusu Mirathi na Ndoa tu? Masuala mengine vipi? Kwa nini msitekeleze maagizo yote ya Mola wenu na Mtume wenu? Kwa nini mchague baadhi tu ya kutekeleza huku sheria nyingine mnazikanyaga?

      Unafiki mtupu!
      Moola's the motive

    16. #2493
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By Game Theory
      hata MoU ya kanisa mlisema uzushi
      MoU ile inaonekana imekuchoma kotekote..lol..Maana chuki imekujaa utakufa umesimama..Na u-atheist umeacha lini?
      Moola's the motive

    17. #2494
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      MkamaP,
      Hapana tunamwita mtoto wa kijakazi ,na tena ktk ukatoliki hatuna neno halamu,maana twaamini Mungu alisipendi aghalabu sekunde kadhaa kukifanya kuwepo sasa mwanadamu wawezaje kuita kitu halamu ,ambacho Mungu kasipendi mda wake??
      Sasa ikiwa Ismail ni mtoto wa kijakazi kwa hiyo Hakubaliki au sio?.. kuna tofauti gani! ni sawa na kusema Mkate badala ya Boflo!

      Mkuu ukitaka kuzitazama dini zetu kwa jicho hilo nadhani hutaabudu dini yoyote kwa sababu hata huyo Sarah ni dada yake Abraham kwa kuzaliwa..Kisha basi ukweli wa historia na hadithi (true story) Huyo kijakazi mnayemwita ni mtoto wa kuzaliwa wa Pharaoh ambaye alizawadiwa Abraham na Pharaoh ikifuatiwa baada ya Abraham kumzuga Pharaoh kwamba Sarah alikuwa dada yake huku jamaa alikuwa akila vitu usiku..Sasa tujiulize Sarah alikuwa dada yake Ibrahim au alikuwa mkewe!.
      Tuachane na dini, mkuu wangu tunapopishana sisi na nyie ni mila za wazungu na waarabu kuingia ktk dini. Maswali mengi ya mila na desturi za Wayahudi au niseme walotutangulia hatuwezi kuzipatia nafasi sahihi ktk tamaduni zetu.

      Ni imani yangu kwamba Ukristu, Uyahudi na Uislaam umechukua ndani yake mengi ya mila na desturi za hao wazungu na waarabu ambazo zimeathiri sana tamaduni zetu, but to my knowledge Torah, Kuran na Biblia ndio mwongozo wetu sote na matatizo mengi ktk imani zetu yametokana na tafsiri mbovu za wale waliotutangulia ama kututawala. Walichojaribu kufanya ni kuuza mila na desturi zao kwa kutumia jina la dini wakati wakitumaliza kama tunavyofungashiwa na UN, IMF na World Bank leo hii..

      Hakuna njia moja iliyo bora kwetu kwa sababu sisi wenyewe NDIVYO TULIVYO...
      Ukitazama ugawaji wa mirathi kutoka Kuran unafanana sana na ugawaji wa mirathi Kiasili isipokuwa tofauti kubwa imekuja tu kwamba hapa tunatumia imani ya dini inawapa mshtuko..
      Kwa ujinga wetu na NDIVYO TULIVYO, nina hakika serikali wakisema toka sasa tumekubali kutumia baadhi ya sheria na haki za kiasili ktk mahakama zetu kila mmoja wenu atakubali hata kama sheria hizo zitakuwa ni za kiislaam..simply we can all relate with, sasa kazi kwa wahindi watatukanwa hao kama hawataki kufuata warudi India na kadhalika.
      Last edited by Mkandara; 6th July 2009 at 04:19.
      Exploration of reality

    18. #2495
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      615
      Likes Given
      448

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Ishaanza kuwa madrasa na Sunday school humu. Hivi watu hawajui kuna jukwa la dini humu JF?

    19. #2496
      X-PASTER's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Firdaws (Paradise)
      Posts : 11,859
      Rep Power : 7687
      Likes Received
      1467
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By rmashauri
      Mungu gani huyo ambaye mambo yake yanatatuliwa kwa njia ya mahakama? Mna tofauti gani na wapagani nyie? Halafu ukiangalia kwa undani wanaotaka mahakama ya kadhi ni wanaume kwasababu ya ubinafsi wao na ili waweze kuwakandamiza zaidi wanawake wao. Haki iko wapi pale mwanamke anayepata ujauzito nje ya ndoa anahukumiwa kifo wakati mwanaume aliyempa hiyo mimba anakula mpunga mitaani? Ukija kwenye issue ya mirathi wanawake hawana chao ni wanaume tu, hivi ndo mungu wenu kahalalisha mufanye uonevu huo? Hii dini inatia mashaka kwelikweli.
      Unaweza kutupatia source ya hayo uliyo yaeleza hapo juu, ili tusikudharau kwa kukuona kuwa wewe ni mzushi na unapaswa kudharauliwa!?
      “I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

      'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.

      (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯)


    20. #2497
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,860
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      350
      Likes Given
      681

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By X-PASTER
      Unaweza kutupatia source ya hayo uliyo yaeleza hapo juu, ili tusikudharau kwa kukuona kuwa wewe ni mzushi na unapaswa kudharauliwa!?
      Kwani ni uongo?
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    21. #2498
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      X-PASTER,
      Mkuu huwezi kushindana wala ku reason na watu walojaa hasira.. Haikusaidii kitu wala hutamsaidia kitu kwani kisha pigwa mhuri..

      Kitu kikubwa wasichofahamu ni kwamba dini zote zilianza na mahakama ndogo za kadhi kusaidia jamii zilizopo kupata haki zao. Ni katika kuleta haki na usawa baina ya jamii ndipo watu walianza kujenga imani ya dini hizo ambazo leo hii ni tawala na wamejenga mfumo ambao tunautumia.

      Tatizo letu wengi hatufahamu historia za dini zetu zaidi ya kusoma Biography ya mitume na jina kubwa la MUNGU, bila kuelewa kwamba moja ya mission kubwa ya dini ni kuongoza jumuiya hizo ktk misingi ya haki na ni hizi dini zilizoangusha falme kubwa kubwa..Haki ni part of Ibada hata ktk lugha ya UN ndioo maana tuna haki za wanawake , watoto na kadhalika.na haki hizi hazikpatikani chumbani ila mahakamani kwenye sheria.
      Mahakama zipo kwa sababu kuna watu kama hawa wanaofikiria kwamba hukumu ni mbinguni tu, halafu utawasikia Mafisadi wanatakiwa kufungwa Jela, kwa nini tusiwaachie hadi mbinguni wakahukumiwe!
      Exploration of reality

    22. #2499
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,860
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      350
      Likes Given
      681

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      Quote By Abdulhalim
      Ibada gani hiyo inahusu Mirathi na Ndoa tu? Masuala mengine vipi? Kwa nini msitekeleze maagizo yote ya Mola wenu na Mtume wenu? Kwa nini mchague baadhi tu ya kutekeleza huku sheria nyingine mnazikanyaga?

      Unafiki mtupu!
      Yaani ni unafiki mtupu. Ibada gani hiyo wanayodai hali ni kwa ajili ya kuwanufaisha wanaume tu? Ibada gani hiyo ya kuingizwa kwenye serikali? Si wangeifanyia huko misikitini basi?
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    23. #2500
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Serikali yasalimu amri: Mahakama za Kadhi kuanzishwa!

      RMashauri,
      Wewe Mjita usokuwa na haya vipi kinakuuma nini haswa! wenzako wanabeba msalaba mmoja wewe mitatu utaiweza! Kwanza ni kufur kwa dini yako kuonyesha hiyo misalaba mitatu kwa sababu ile misalaba mingine miwili yalisulubiwa majambazi..
      Exploration of reality

    Similar Topics

    1. Mahakama ya kadhi
      By Billie in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 31
      Last Post: 12th January 2013, 22:54
    2. Replies: 0
      Last Post: 21st December 2010, 12:56
    3. Replies: 10
      Last Post: 19th November 2010, 16:02
    4. Mahakama ya kadhi haitakuwapo
      By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 10
      Last Post: 25th July 2009, 02:18

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...