Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rais anapoweka rehani maisha yake

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,708
      Rep Power : 15285
      Likes Received
      3768
      Likes Given
      2906

      Default Rais anapoweka rehani maisha yake



      Sijajua bado vyombo vya usalama nchini utaratibu wa kuongoza misafara ya wakubwa serikalini hasa Rais katika vyombo vya usafiri. Mapokeo na utaratibu wa nchi nyingi duniani Rais anaposafiri kwa kutumia usafiri wa gari hukaa passenger seat ya kati wakati wanausalama wake hukaa viti vya mbele na kama kuna viti zaidi nyuma ya rais. Sasa hii picha naona Rais kakaa kiti cha mbele, hii imekaaje?


    2. #2
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,316
      Rep Power : 3308
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      1240

      Default Re: Rais anapoweka rahani maisha yake

      Quote By Candid Scope View Post


      Sijajua bado vyombo vya usalama nchini utaratibu wa kuongoza misafara ya wakubwa serikalini hasa Rais katika vyombo vya usafiri. Mapokeo na utaratibu wa nchi nyingi duniani Rais anaposafiri kwa kutumia usafiri wa gari hukaa passenger seat ya kati wakati wanausalama wake hukaa viti vya mbele na kama kuna viti zaidi nyuma ya rais. Sasa hii picha naona Rais kakaa kiti cha mbele, hii imekaaje?
      wewe si unamuona obama yuko mtaani anasukuma toroli lenye bidhaa alizotoka kununua sokoni,...tena kwa usafiri wa miguu kabisa
      wilbald, Saint Ivuga and Ninaweza like this.
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    3. #3
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,348
      Rep Power : 3064
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4230

      Default Re: Rais anapoweka rahani maisha yake

      Nazi zinalindwa?
      RR, wilbald, Elli and 1 others like this.

    4. #4
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,016
      Rep Power : 2644
      Likes Received
      2314
      Likes Given
      2091

      Default Re: Rais anapoweka rahani maisha yake

      Tungo tata
      Quote By Bigirita View Post
      Nazi zinalindwa?
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    5. #5
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Rais anapoweka rahani maisha yake

      Quote By igwe View Post
      wewe si unamuona obama yuko mtaani anasukuma toroli lenye bidhaa alizotoka kununua sokoni,...tena kwa usafiri wa miguu kabisa
      avator yake inamjibu kisawa sawa
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.


    6. #6
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,348
      Rep Power : 3064
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4230

      Default

      Hahahahahaaa!!
      Wenye uelewa kama wewe ushautatua utata....hakuna utata tena.

      Quote By Elli View Post
      Tungo tata

    7. #7
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2030
      Likes Received
      1193
      Likes Given
      1426

      Default Re: Rais anapoweka rahani maisha yake

      nazi zina haki ya kulindwa .
      mwizi ataziiba
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    8. #8
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,348
      Rep Power : 3064
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4230

      Default

      Sasa tulinde nazi au ubwabwa wa nazi...naona kama ubwabwa wa nazi ndo unapendwa zaidi.
      Quote By Rose1980 View Post
      nazi zina haki ya kulindwa .
      mwizi ataziiba

    9. #9
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,640
      Rep Power : 933
      Likes Received
      567
      Likes Given
      90

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      Mazoea yako tu ndiyo yanakupa taabu, Raisi Joseph Kabila wa DRC huwa ana Drive Mwenyewe, sasa jiulize DRC na Bongo wapi ni hatari zaidi?

    10. #10
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,333
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      845

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      hatuna al shababy bongo

    11. #11
      Msharika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 869
      Rep Power : 687
      Likes Received
      44
      Likes Given
      5

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      Quote By Raia Fulani View Post
      hatuna al shababy bongo
      Hahaha! mbona kova kasema watu wasiandamane akiofia wamiliki wa dowans (aka Al-shabab) watawalipua?


      Museveni uganda anaendesha hammer yake akiwa na AK 47. shida mkulu wetu ni mnyonge awezi jitetea.

    12. #12
      Pezzonovante's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2008
      Posts : 648
      Rep Power : 697
      Likes Received
      33
      Likes Given
      7

      Default Re: Rais anapoweka rahani maisha yake

      Quote By rose1980 View Post
      nazi zina haki ya kulindwa .
      Mwizi ataziiba
      rose1980 ulipotea ulikuwa wapi?

    13. #13
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,931
      Rep Power : 16839
      Likes Received
      2645
      Likes Given
      2033

      Default

      Quote By Bigirita View Post
      Nazi zinalindwa?
      Sijaelewa.

    14. Obe is online now
      Obe
      #14
      Obe's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st December 2007
      Posts : 1,425
      Rep Power : 921
      Likes Received
      329
      Likes Given
      186

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      Quote By Katavi View Post
      Sijaelewa.


      huzijui Nazi! mbona bagamoyo nyingi sana na za msoga ndo nzuri, siku hizi azam naye anauza zilizokunwa

    15. #15
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,172
      Rep Power : 1768
      Likes Received
      1020
      Likes Given
      1341

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      Angalia Avatar yako
      @@

    16. HT is offline
      HT
      #16
      HT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2011
      Location : Tanzania hii hii!
      Posts : 1,886
      Rep Power : 780
      Likes Received
      378
      Likes Given
      185

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      security is more than that. Kama hakuna surround security and intelligence/interception nzuri, hata wakimzunguka watakufa naye!
      Daudi Mchambuzi likes this.

    17. #17
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3053
      Likes Given
      13989

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      Quote By Candid Scope View Post


      Sijajua bado vyombo vya usalama nchini utaratibu wa kuongoza misafara ya wakubwa serikalini hasa Rais katika vyombo vya usafiri. Mapokeo na utaratibu wa nchi nyingi duniani Rais anaposafiri kwa kutumia usafiri wa gari hukaa passenger seat ya kati wakati wanausalama wake hukaa viti vya mbele na kama kuna viti zaidi nyuma ya rais. Sasa hii picha naona Rais kakaa kiti cha mbele, hii imekaaje?
      Mtu akiwa mbishi kuhusu usalama wake ni kumuacha tu yatokee yakutokea.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    18. #18
      ZionTZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Posts : 900
      Rep Power : 674
      Likes Received
      132
      Likes Given
      133

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      changanya na zako mbayuwayu wewe.....avatar umewekewa nn??

    19. #19
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      akae nyuma atachekicheki saa ngapi..chezea jk wewee
      Candid Scope likes this.

    20. #20
      Kisima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 303
      Rep Power : 501
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default Re: Rais anapoweka rehani maisha yake

      Fısadı utamjua tu!
      Anampa mtoto chejı ılı apate mlo wa sıku moja ılhal kesho yake maskın mtoto wa watu haıjuı!
      Maısha yake yamezungukwa na sıntofahamu nyıngı,hana nyenzo za kupambana na future yake, shule, makazı na afya vyote kwake nı kıtendawılı kıschotegulıwa!
      Wallah laıtı kama atafanıkıewa kuıona pıcha hıı baada ya mıaka ıshırını, atakuwa mstarı wa mbele kupganıa ukombozı wa Nhı hıı na amahakıka atamtafuta MTU huyu amchabange kwa rısası za kıchwa.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. ''Natamani JK awe Rais wa Maisha''!
      By pumbatupu in forum JF Chit-Chat
      Replies: 3
      Last Post: 22nd July 2012, 20:03
    2. Muungano: Siku za maisha yake zinaelekea ukingoni?
      By Filipo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 40
      Last Post: 29th June 2011, 10:49
    3. Natabiria CCM maisha yake yapo mwishoni!
      By KakaKiiza in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 4
      Last Post: 29th December 2010, 11:43
    4. Replies: 0
      Last Post: 7th May 2010, 10:11

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...