Vyeti feki, digrii za kununua, na watumishi vihiyo! - Page 59 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jamii Intelligence


Jamii Intelligence Serious reports & Discussions on Corruption, Politics etc recommended to our clients! Detailed discussions which you need not to miss


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 28th March 2006, 10:08 PM  
Vyeti feki, digrii za kununua, na watumishi vihiyo!
Matata Matata is offline 28th March 2006, 10:08 PM

Jamani wanajumuiya ya Wa-Tanzania tuishio British Virgin Islands tumeshutushwa na habari kuwa kuna baadhi ya viongozi wetu serikalini wana shahada za PhD kutoka kisiwani hapa. Ukweli hapa hakuna chuo kama hicho. Hiki kisiwa ni kidogo mno kuna wakazi wapatao 23,000. Kisiwa hiki kina secondary 2 na community collage moja.

Uchumi wa kisiwa hiki unategemea sana Utalihi na Financial services which includes offshore banking and registration of companies. Baada ya kutembelea web site ya Commonwealth Open University, Ni kweli nimegundua kuwa imekuwa registered hapa. Cha ajabu address yao ni ya hapa(box no.) lakini, Palm Chambers ambalo ni jengo halipo hapa. Kuonyesha kuwa ni fake, hawakutoa simu yao, ila wametoa fax number. Kutokana na fax number hizi number ni za USA (Florida).

Baadae nilikwenda kwa msajiri wa makampuni nilielezwa kuwa Commonwealth Open University imekuwa registered kama kampuni lakini haina Learning Institution yoyote. Baada ya kuuliza zaidi information hizo, niliambiwa nijaze form harafu nitapewa details baada ya kulipia $ 25.

Registry Of Corporate Affairs,
P.O . Box 418,
Road Town, Tortola, British Virgin Islands.
Fax 1 284 494 6331:
Simu 1 284 494 5491:
E-mail corporateregistry@bvifsc.vg Website www.bvifsc.vg

Sikuweza kulipia ili nipate maelezo hayo. Baada ya kujadiliana na wenzangu hapa tumejua kuna watu wajanja wachache wanatumia mwanya huu kuwaibia fedha watu na kuwapa degree baada ya kuwalipa pesa. Hicho chuo hakipo, hao jamaa ni matapeli.

Naomba serikali, Wizara ya Elimu, UTUMISHI mjue kuwa hakuna chuo kama hicho hapa. Kama kingekuwa ni chuo basi tungeweza kuona hizo ofisi zao hapa. Kuna Mtanzania mwenzetu ambaye amekaa hapa zaidi ya miaka kumi. Hajawahi kuona ofisi hiyo (Palm Chambers).

Tuko tayari kushirikiana na mtu yoyote ili kukomesha ununuaji wa yeti fake hasa kwa viongozi wetu.

Shukrani.
__________________
HAKUNA MATATA

Last edited by Silencer; 5th August 2008 at 05:33 PM..

Matata
Member
Points: 294,237, Level: 100 Points: 294,237, Level: 100 Points: 294,237, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Mar 2006
Posts: 11
Thanks: 0
Thanked 4 Times in 2 Posts
Views: 37217
Reply With Quote
The Following 3 Users Say Thank You to Matata For This Useful Post:
De Novo (22nd November 2009), engkittaneh (18th February 2010), Sungi (7th December 2009)
  #581  
Old 9th February 2010, 02:50 PM
wisdom11 wisdom11 is offline
wisdom11 has no status.
Junior Member
Points: 50,234, Level: 100 Points: 50,234, Level: 100 Points: 50,234, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Feb 2010
Posts: 6
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
wisdom11 will become famous soon enoughwisdom11 will become famous soon enoughwisdom11 will become famous soon enoughwisdom11 will become famous soon enoughwisdom11 will become famous soon enoughwisdom11 will become famous soon enoughwisdom11 will become famous soon enoughwisdom11 will become famous soon enough
Default Re: Vyeti feki, digrii za kununua, na watumishi vihiyo!

Ahsante ndugu mjumbe kwa taarifa hii, naomba pia utoe maoni yanu kuhusu matokeo ya kidato cha nne mwaka huu hapa Tanzaia ukizingatia kwa makini na kwa upeo ulitukuka kuwa ni 17.53% tu ya watahiniwa ndo wana daraja la kwanza mpaka la tatu hao wengine ni daraja la nne na sifuri!!! je taifa linaelekea wapi katika elimu???
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to wisdom11 For This Useful Post:
Waberoya (9th February 2010)
Reply

Bookmarks

Tags
digrii, feki, kununua, vihiyo, vyeti, watumishi, za


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Mkapa above the law?: Allegations Mzee Mwanakijiji Jamii Intelligence 4058 7th October 2009 12:25 PM
Sababu za Serikali kuchechemea ktk VYETI vya URAIA...MOJA NI HII hapa... Mr. Clean Habari na Hoja mchanganyiko 1 7th March 2007 02:38 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 07:45 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com