Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa Kikwete

    Report Post
    Page 3 of 16 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 318
    1. #1
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,543
      Rep Power : 948
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa Kikwete

      Jana nilipita sehemu inayoitwa msoga kama km kumi ukitokea chalinze, kwenda arusha. kuna kitongaji kinaitwa vicoba hapa ndo nyumbani kwa jk. kuna ujenzi wa majengo kama 14 yanajengwa pale. wenyeji wanasema inajengwa ikulu pale.

      Muungwana jk, kila jumamosi anakuja kukagua ujenzi.inasemekana kuwa anakuja kupitia mlandizi, anafika vocoba then anarudia bagamoyo kupitia kwa wazee wake pale bagamoyo.
      pia kuna ujenzi wa majengo mawili ya ghorofa nne, yamejengwa na nationa l housing nje kidogo ya chalinze, inasemekana ni kwa ajili ya wafanyakzi watakaoukuwa wannafanya kazi ikulu ya vicoba

      Je ni nani anafadhili ujenzi wa ikulu mpyaa vicoba? kama ni serikali iko kwenye bajeti?

      Isije ikawa yale mambo ya Mobutu Sesseko kuhamishia ikulu kule gbaolite!

      Mwenye information naomba anielimishe

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16347
      Likes Given
      8417

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Kutoka google:



      na pili inaonesha majengo ya upande mwingine, kutokana na rangi na muundo wake, naamini yanahusiana.

      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    4. #42
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      mmh JK mbona kaanza na speed ya ajabu namna hii!!
      shamba la mananasi tu hili ?

    5. #43
      Phillemon Mikael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2006
      Location : mwanza,/uk/santa clara
      Posts : 4,722
      Rep Power : 1594
      Likes Received
      912
      Likes Given
      29

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      ....mjj Safi Angalia Namna Ya Kuikuza Zaidi.....hiyo Barabara Ya Vumbi Ndiyo Inatokea Barabara Kuu Ya Lami..kwenye Kona Ya Msikiti..ukiwa Anateremka Na Gari Barabara Kuu Unaona Magorofa Yenye Mapaa Ya Vigae Vya Kijani.....

      ...nadhani Vigae Vya Kijani Vipo Strategic ...kama Camoufledge ..pamoja Na Uoto Wa Pale Hata Picha Haitoki Vema Sana ..ingekuwa Ameweka Vigae Vyekundu Ingekuwa Aibu ..tungepata Contrast Nzuri Sana...

    6. #44
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      our president is "green" conscious!

    7. #45
      Kungurumweupe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2008
      Posts : 320
      Rep Power : 622
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Post Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Quote By jokaKuu
      ..jamani si achukue mkopo tu kama Sumaye ajenge nyumba yake binafsi.
      Unasema Sumaye?! Yaani Sumaye huyuhuyu ninayemfahamu?! unamaanisha yeye in mtu safi??! Sina uhakika kama Sumaye ni mtu safi kiasi cha kumtolea mfano!

    8. Miaka 50

    9. #46
      Kipanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Posts : 687
      Rep Power : 707
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Quote By jokaKuu
      ..jamani si achukue mkopo tu kama Sumaye ajenge nyumba yake binafsi.
      ....Hivi huyu Fred nae tule tujisenti alitokopa NSSF alisharudisha au ndio amekandamizwa moja kwa moja???? Nifahamishani jamani
      "All things are created twice. There is a Mental or first creation ,and a physical or second creation to all things"

    10. #47
      Kite Munganga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2006
      Posts : 835
      Rep Power : 807
      Likes Received
      68
      Likes Given
      83

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Pia na nyie mnakaribishwa kujenga hapo Msoga kwani nijuavyo ni kwamba viwanja tayari vimepimwa na sote tunaweza pata viwanja pembeni ili hapo baadaye awe na majirani kama Mwalimu alivyofanya Msasani! hivyo jamani changamukieni viwanja vya makazi na biashara kwani muungwana kawaachia barabarani, pia sina uhakika kama ni yeye binafsi anajenga kwani land clearing ilifanywa na JKT

    11. #48
      Kinyamana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2008
      Posts : 772
      Rep Power : 719
      Likes Received
      106
      Likes Given
      291

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Heshima mbele wakuu,

      Source mbili ninazosuspect zinamwezesha kupata pesa ya kujenga mijengo hiyo ni:

      1.Shamba la mananasi kama ilivyonukuliwa hapo juu
      2.Perdiem za safari zake nyingi za nje ya nchi both akiwa Waziri wa Mambo ya nchi za Nje(Awamu ya tatu) na Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania (mambo ya nje).

      Hoja ni kama perdiem,allowances na mshahara wake kama Rais hautoshelezi kufanya hicho anachokifanya hapo Msoga.

    12. #49
      Mzozo wa Mizozo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2008
      Posts : 428
      Rep Power : 646
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Yaani kila siku nazidi kutokuwa naelewa elewa na hata sielewi elewi...

      Sasa nami naweza wapata JKT kwa ajili ya land clearing na shughuli nyengine za ujenzi mara tu nikinunua kiwanja hapo pembeni ya muungwana... ni jambo la busara anaandaa makazi yake mapema maana kwa mwendo kama huu sijui...

      Ila kama vinyonga tutafika... Mwenda pole hajikwai.
      Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek.

    13. #50
      Halisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 3,037
      Rep Power : 2178
      Likes Received
      455
      Likes Given
      243

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Quote By Kinyamana
      Heshima mbele wakuu,

      Source mbili ninazosuspect zinamwezesha kupata pesa ya kujenga mijengo hiyo ni:

      1.Shamba la mananasi kama ilivyonukuliwa hapo juu
      2.Perdiem za safari zake nyingi za nje ya nchi both akiwa Waziri wa Mambo ya nchi za Nje(Awamu ya tatu) na Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania (mambo ya nje).

      Hoja ni kama perdiem,allowances na mshahara wake kama Rais hautoshelezi kufanya hicho anachokifanya hapo Msoga.
      Unaweza ukawa sahihi maana kuna wanaosafiri naye mara moja tu, wanarudi nyumbani na kufanya vitu vya uhakika. Hapa nina maana ya maofisa ama waandishi wa habari, sasa yeye anayesafiri kila kukicha? Hapo angalia tokea akiwa Waziri. Halafu yeye ana advantage ya kumtumia Esteem Construction ya Subash Patel, akamfanyia kazi kwa bei poa kabisa kwa kujipendekeza ama kwa kuwekeza, akitegemea faida ya baadaye ama basi tu ili aonekane kuwa karibu na bwana mkubwa, na kutumia ukaribu huo kuwatisha kina fulani wampatie jengo la UVCCM, Mchuchuma, ujenzi wa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na kadhalika, wakijiona wanamfurahisha rafiki wa bosi

    14. #51
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,069
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      479
      Likes Given
      72

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Kosa tulilolifanya WTZ ni kuchagua JK, tena kwa 80 %!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mungu amuongezee busara nyingi ili aamue kwa busara zake mwnyewe asingombee 2010!!!!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    15. #52
      food for all's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd May 2008
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Ninavyofahamu mimi ni kwamba zile nyumba ni zake nibafsi mkulu na ameweka na msikiti katikati...na kuna tetesi kwamba ujenzi ule unafanywa na serikali yetu na kuna watu walihamishwa maeneo ya karibu na pale na kujengewa nyumba nzuri sehemu nyingine ili mzee na ukoo wake wapate faragha

    16. #53
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16347
      Likes Given
      8417

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Zilianza kujengwa lini? Kabla hajaukwaa Urais au baada ya kuukwaa Urais?
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    17. #54
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 863
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Question Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Quote By Kubwajinga
      Hivi hizo cellfoni zenu, camera zake hazifanyi kazi? Tunaomba mtu ajitolee kupiga picha hizo nyumba, Dar na huko Chalinze ili utamu wa hii stori kolee na kupata nguvu.

      Magazeti yetu nayo mbona kimya?
      Pale Migombani inajulikana wazi kuwa amemnunua jirani yake na kuibomoa yote na kujenga nyumba nyingine, ila swala la kupiga picha pale ni kazi kidogo maana hawa askari wetu wanaolinda pale hawakawii kukurukia na kukubandikizia kesi ambayo huwezi kuepuka kama sio SEGEREA basi KEKO.

    18. #55
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 863
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Nadhani itakuwa rahisi kupiga picha kibao ama bango la mkandarasi wa hayo majumba ya chalinze na ikitokea mtu anauwezo w kuwahoji baadhi ya wajenzi ama mafundi wanao jenge hayo maekalu basi lazima tutapata mambo mawili matatu kuhusu hilo kama ni nyumba yake binafsi ama ikulu au kiwanda cha saruji.
      But naomba kuuliza hapo nimakazi ya watu kama nikiwanda tena cha saruji wana mazingira wako wapi wanaruhusi ujenzi wa kiwanda ktk makazi ya watu??
      au ndio ule mtindo baada ya muda wananchi wa eneo hilo wakianza kulalamikia athari za kiwanda hicho cha saruji wanaambiwa wao ni wavamizi hilo ni sehemu ya kiwanda na map plan ya eneo hilo inabadilishwa hata kama mtu alishapewa hati ya kiwanja ataambiwa niyo hati ni batili??

    19. #56
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,852
      Rep Power : 2331
      Likes Received
      2861
      Likes Given
      5516

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Quote By borntown
      Nadhani itakuwa rahisi kupiga picha kibao ama bango la mkandarasi wa hayo majumba ya chalinze na ikitokea mtu anauwezo w kuwahoji baadhi ya wajenzi ama mafundi wanao jenge hayo maekalu basi lazima tutapata mambo mawili matatu kuhusu hilo kama ni nyumba yake binafsi ama ikulu au kiwanda cha saruji.
      But naomba kuuliza hapo nimakazi ya watu kama nikiwanda tena cha saruji wana mazingira wako wapi wanaruhusi ujenzi wa kiwanda ktk makazi ya watu??
      au ndio ule mtindo baada ya muda wananchi wa eneo hilo wakianza kulalamikia athari za kiwanda hicho cha saruji wanaambiwa wao ni wavamizi hilo ni sehemu ya kiwanda na map plan ya eneo hilo inabadilishwa hata kama mtu alishapewa hati ya kiwanja ataambiwa niyo hati ni batili??
      Borntown na wengine,
      Picha tayari tumeshaona. Zipo EARTH GOOGLES. Soma ukurasa wa nne wa hii makala imeandikwa kila kitu. Pia ukiangalia si kweli kwamba hapo ni kiwanda cha Saruji kwani ni majengo ya watu kuishi au makazi na hakuna mkanda au Bomba lolote linalobeba materials kutoka sehemu moja kwenda nyingine na sidhani watakuwa wanahamisha kila sehemu kwa gari. Hivyo la kusema kiwanda cha saruji hapo hakipo. Picha zilizopigwa chini zitatupa mwanga kupata haya majengo katia 3D.
      Mwisho mwacheni amalizie makazi yake na mwaka 2010 akajipumzishe pale baada ya kazi ngumu ya kujenga Taifa letu.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    20. #57
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,698
      Rep Power : 3254
      Likes Received
      979
      Likes Given
      753

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Quote By kipanga
      ....Hivi huyu Fred nae tule tujisenti alitokopa NSSF alisharudisha au ndio amekandamizwa moja kwa moja???? Nifahamishani jamani
      Taarifa zilizopo ni kuwa alirejesha, lakini sijui kama alirejesha kweli
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    21. #58
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,543
      Rep Power : 948
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      Quote By Halisi
      Unaweza ukawa sahihi maana kuna wanaosafiri naye mara moja tu, wanarudi nyumbani na kufanya vitu vya uhakika. Hapa nina maana ya maofisa ama waandishi wa habari, sasa yeye anayesafiri kila kukicha? Hapo angalia tokea akiwa Waziri. Halafu yeye ana advantage ya kumtumia Esteem Construction ya Subash Patel, akamfanyia kazi kwa bei poa kabisa kwa kujipendekeza ama kwa kuwekeza, akitegemea faida ya baadaye ama basi tu ili aonekane kuwa karibu na bwana mkubwa, na kutumia ukaribu huo kuwatisha kina fulani wampatie jengo la UVCCM, Mchuchuma, ujenzi wa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na kadhalika, wakijiona wanamfurahisha rafiki wa bosi
      historia ya estim construction co ltd

      1988-1990 kampuni ya konoike ilipewa kazi ya kujenga mradi wa maji uitwao the great nakuru water supply project nchini kenya. mtu aitwaye girr mhindi aliajiriwa kama karani wa kawaida.

      1990s konoike walihamia dsm kwenye mradi wa dsm road improvement program(drimp), wahamia hapa na bwana girr, huyu baadaye akaungana na mtanzania mmoja mhandisi mahiri aitwae paul j.sirito, wakaanzisha estim construction.(estim=establish and maintain). huyu girr akaja kumwondoa yule mtanzania akabaki mwenyewe.

      hivyoo girr mohamed ndo mkurugenzi wa estim, shubash patel hapana.

      estim ni kampuni inayobebwa sana na konoike construction na ina uadilifu wa kijapan. bahati mbaya wanasiasa wanashinda pale kwenye ofisi zake za mikocheni wakilia njaa. wengine wakiomba awajengee nyumba haswaa mary nagu

    22. #59
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,543
      Rep Power : 948
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      idadi ya majengo yanayojengwa humo ndani ni kumi na nne. kuna mtu ataingia pale kijasusi na ataleta kila kitu hapa.

    23. #60
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,283
      Rep Power : 3442
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      855

      Default Re: pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa kikwete

      kichuguu hili jambo la mwakimbi ni kweli kabisa majuzi nimepita sehemu hiyo akili za juu zikashuka chini na chini lkwenda juu!!!ila nilipata kuuliza watu wa pale wakasema nio msaada wa wazirimkuu wa japan alimwahidi wakati akiwa anasaka wafadhili wa kusaka madini na shanga hapa tanzania !!!!ila jamani ile si ikulu ina vibanda 10 kidogo kama ::BARAKUDA"" RESORT CHA MTOTO,,,ILA MZEE NATUMAINI ZI PESA ZA EPA ZINAZORUDISHWA!!!!!!
      EWE TANZANIA UNIOKOE NA DHAMBI ZILE
      JAMANI!!!!

    Page 3 of 16 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Pesa zao za mziki zinaliwa na kina nani?
      By Saint Ivuga in forum Jamii Photos
      Replies: 27
      Last Post: 29th November 2011, 16:33
    2. NANI MRITHI WA M-PESA / TIGO pesa Zako?
      By Chereko in forum Business & Economic Forum
      Replies: 18
      Last Post: 11th May 2011, 09:38
    3. Kina Nani wanaorudisha pesa za EPA?
      By Mpaka Kieleweke in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 37
      Last Post: 14th March 2008, 12:45
    4. Nani ana design pesa za Tanzania?
      By mstahiki in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 7
      Last Post: 30th December 2007, 05:06

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...