Jana nilipita sehemu inayoitwa msoga kama km kumi ukitokea chalinze, kwenda arusha. kuna kitongaji kinaitwa vicoba hapa ndo nyumbani kwa jk. kuna ujenzi wa majengo kama 14 yanajengwa pale. wenyeji wanasema inajengwa ikulu pale.
Muungwana jk, kila jumamosi anakuja kukagua ujenzi.inasemekana kuwa anakuja kupitia mlandizi, anafika vocoba then anarudia bagamoyo kupitia kwa wazee wake pale bagamoyo.
pia kuna ujenzi wa majengo mawili ya ghorofa nne, yamejengwa na nationa l housing nje kidogo ya chalinze, inasemekana ni kwa ajili ya wafanyakzi watakaoukuwa wannafanya kazi ikulu ya vicoba
Je ni nani anafadhili ujenzi wa ikulu mpyaa vicoba? kama ni serikali iko kwenye bajeti?
Isije ikawa yale mambo ya Mobutu Sesseko kuhamishia ikulu kule gbaolite!
Mwenye information naomba anielimishe

Reply With Quote




Follow Us Here