The Radar Scandal: Investigation & Progress - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jamii Intelligence


Jamii Intelligence Serious reports & Discussions on Corruption, Politics etc recommended to our clients! Detailed discussions which you need not to miss


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rating: Thread Rating: 1 votes, 5.00 average. Display Modes
Old 13th November 2006, 11:17 PM   #1
The Radar Scandal: Investigation & Progress
Game Theory Game Theory is offline 13th November 2006, 11:17 PM
Rating: (1 votes - 5.00 average)

Kutokana na taarifa zilizoingia kwenye wires this evening hapa London ni kuwa ile skendo ya Mtambo wa rada imeibuka umpya na kuna INVESTIGATION on the way na hawa jamaa wa SFO au serious fraud office wanaweza kuwatia mbaroni walio pewa pesa na BAE systems

Nadhani mnakumbuka kuwa CLAIRE SHORT alipiga kelele weee lakini ile TENDA iliendelea sasa hii ya Tanzania inaunganishwa na ile ya Saudi Arabia ambako for strategic reasons inaweza ikamalizwa kiaina lakini kwa Tanzania things are not rossy na balozi naye hayu8po sasa nadhani ubalozi hapa London wajiweke katika position yakujibu hizi shutuma nzito maana kuna na MP ambao washajiposition kutoliachia hili ili kuendana na hizo recomendation za TONI BLAIR's COMMISSION FOR AFRICA na mojawapo ilikuwa ni good governance

By the way hii mess sio ya JK bali ilikuwa na Ben Mkapa lakini still JK inabidi a clear hii mess


All attachments over this scandal are here: Attachments - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Last edited by Game Theory; 22nd January 2007 at 03:19 AM..

 
Game Theory's Avatar
Game Theory
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 425 Times in 178 Posts
Views: 134768
Reply With Quote
  #2  
Old 13th November 2006, 11:21 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is offline
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,970,977, Level: 100 Points: 12,970,977, Level: 100 Points: 12,970,977, Level: 100
Activity: 93% Activity: 93% Activity: 93%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,450
Thanks: 8,431
Thanked 4,635 Times in 1,298 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default

haya labda wazungu wakisema tutasikiliza
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote
  #3  
Old 13th November 2006, 11:31 PM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 425 Times in 178 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default

ok nishaipata hiii link lakini kwa taarifa nilizozipata hivi punde ni kuwa Guardian,FT na The Times wanaweza kuirun hii story lakini hiyo kamati ya bunge nasikia kuna hao ma self appointed messiahs of Africa wako all out and fuming about this deal



http://www.exacteditions.com/exact/b.../412/1751/3/13

will keep u posted as time goes by
Reply With Quote
  #4  
Old 13th November 2006, 11:49 PM
Mwanagenzi Mwanagenzi is offline
Mwanagenzi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 588,928, Level: 100 Points: 588,928, Level: 100 Points: 588,928, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Sep 2006
Location: Mtandaoni
Posts: 729
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 25
Mwanagenzi will become famous soon enoughMwanagenzi will become famous soon enoughMwanagenzi will become famous soon enoughMwanagenzi will become famous soon enoughMwanagenzi will become famous soon enoughMwanagenzi will become famous soon enoughMwanagenzi will become famous soon enoughMwanagenzi will become famous soon enough
Default

Bongo nao washaidaka...

Ununuzi wa mtambo wa kuongozea ndege wa Tanzania kuchunguzwa

2006-11-13 16:20:55
By Radio One Habari

Viongozi wa Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu utata wa uuzaji kwa Tanzania mtambo mmoja wa kuongozea ndege miaka minne iliyopita.

Wizara yao ya Mambo ya Ulinzi imesema kwa kushirikiana na polisi inachunguza jukumu lililofanywa na kampuni yake ya ulinzi BAE Systems kuhusu tenda hiyo iliyogharimu dola milioni 50.

Habari kutoka London zilizosikika mjini Dar es Salaam leo zinasema Tenda hiyo iliidhinishwa na Waziri Mkuu wa Uingereza Bwana Tony Blair.

Gazeti la Times la Uingereza limesema uchunguzi unaangalia madai ya rushwa yaliyolipwa na kampuni ya BAE Systems kwa serikali ya Tanzania.

Kampuni hiyo imesema inashirikiana kikamilifu na wachunguzi lakini imesema haikufanya jambo lolote baya.


SOURCE: Radio One
__________________
____________
Ili Tuendelee Tunahitaji Dikteta mwenye Uzalendo na Visheni
_____________
"UTU BUSARA UJINGA HASARA,
"TUPINGANE BILA KUPIGANA"
Reply With Quote
  #5  
Old 14th November 2006, 12:06 AM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 425 Times in 178 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default

now this is interesting...
Reply With Quote
  #6  
Old 14th November 2006, 12:12 AM
Field Marshall ES Field Marshall ES is offline
Field Marshall ES has no status.
JF Premium Member
Points: 2,215,636, Level: 100 Points: 2,215,636, Level: 100 Points: 2,215,636, Level: 100
Activity: 47% Activity: 47% Activity: 47%
 
Join Date: Thu Apr 2006
Posts: 12,619
Thanks: 1,011
Thanked 1,692 Times in 780 Posts
Rep Power: 91
Field Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the rough
Default

Mzee Nani,

Bravo kwa hizo data, yaani ngoja tule data zaidi weka mwanangu!
Reply With Quote
  #7  
Old 14th November 2006, 12:16 AM
Kichuguu's Avatar
Kichuguu Kichuguu is offline
Kichuguu Nyumba ya Mchwa na Nguchiro
JF Premium Member
Points: 788,657, Level: 100 Points: 788,657, Level: 100 Points: 788,657, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,146
Thanks: 170
Thanked 499 Times in 226 Posts
Rep Power: 33
Kichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enough
Default

Waa!!! this is killing me!

Quote:
Gazeti la Times la Uingereza limesema uchunguzi unaangalia madai ya rushwa yaliyolipwa na kampuni ya BAE Systems kwa serikali ya Tanzania.
Nadhani hao watatupatia angalau punje tu ya jinsi viongozi wa serikali yetu walivyopewa rushwa ili kusukuma hili dili.
__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

Last edited by Kichuguu; 14th November 2006 at 12:28 AM..
Reply With Quote
  #8  
Old 14th November 2006, 12:20 AM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 425 Times in 178 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default

by the way hii mes sio ya JK lakini itabidi aiclean up

nashangaa kwa nini hawakureview hii contract na BAE SYSTEMS au at least kuifanyia amendments

Yaani of all people sielewi Mkapa aliingia vipi kwenye hii trap
Reply With Quote
  #9  
Old 14th November 2006, 12:26 AM
Kichuguu's Avatar
Kichuguu Kichuguu is offline
Kichuguu Nyumba ya Mchwa na Nguchiro
JF Premium Member
Points: 788,657, Level: 100 Points: 788,657, Level: 100 Points: 788,657, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,146
Thanks: 170
Thanked 499 Times in 226 Posts
Rep Power: 33
Kichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enough
Default

Quote:
by the way hii mes sio ya JK lakini itabidi aiclean up

nashangaa kwa nini hawakureview hii contract na BAE SYSTEMS au at least kuifanyia amendments

Yaani of all people sielewi Mkapa aliingia vipi kwenye hii trap
Mtego wa 10% una accuracy ya juu sana; mara nyingi huwa haukosi target yake.
__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Reply With Quote
  #10  
Old 14th November 2006, 12:44 AM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 425 Times in 178 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default

sasa ubalozi London sijui utatoa statemenr gani au ndio tutegemee kumuona Bwana Ambukile akitoa msimamo wa serikali yetu kwenye BBC NEWS 24 maana balozi hayupo au ndio tena Mama Radhia Msuya atachukua uskani kwani hii ni BAD PR kwa nchi especially katika muda ambao sisi hatuna umeme na hayo ma skendo ya Richmond,IPTL,madini etc etc
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
bae, bribe, bribery, chenge, decide, fraud, hoseah, investigation, mikononi, million, newspaper, perspectivedo, poised, progress, prosecute, prosecution, radar, remember, scandal, suspects, tanzania, ufisadi, watchdog


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
BoT Scandal: Tulikotoka, Tulipo, Tunakoelekea Maxence Melo Jamii Intelligence 3079 12th November 2009 08:12 AM
Echoes of 1990s debt-swap in new scandal at Tanzania central bank Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 0 19th February 2007 02:29 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:46 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

You Rated this Thread: