Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      Mutambukamalogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2011
      Posts : 401
      Rep Power : 506
      Likes Received
      58
      Likes Given
      3

      Default NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Kwa mujibu wa report ya mkaguzi mkuu wa serikali,NSSF inaweza kupoteza zaidi ya Tshs 50 bilioni katika baadhh ya miradi inayotaka kuwekeza ambayo inaonekana ni hatarishi(Risky Investments). Miradi hiyo ni pamoja na Kiwira Coal and Power limitd. Tukumbuke pesa hizi zinatokana na makato ya wafanyakazi kwa minajili ya kuwasaidia wakati wa kustaafu.Source: The Citizen Friday ,15 April 2011- Editorial and Opinion.
      andate likes this.


    2. #2
      Rodcones's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 361
      Rep Power : 669
      Likes Received
      29
      Likes Given
      14

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Yote yawekana lakini
      kama wako na long plani sidhani kama wanaweza kupoteza mifyeza yoote hiyo
      GOD LOVES YOU ALL

    3. #3
      boma2000's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2009
      Location : nyumbani
      Posts : 2,741
      Rep Power : 1040
      Likes Received
      91
      Likes Given
      54

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Haya mashirika ya pensheni NSSF, PPF n.k yapo kwa ajiri ya kusaidia wafanya kazi wanaochanga hela zao ili baadae ziwasaidie lakini kilichopo haya mashirika yanakopesha hela watu ambao hata siyo members wake, yanatoa hela kusaidia vyama vya siasa kisiri (ccm), yanatoa hela kwa serikali, yaweka vipau mbele kwenye miradi mbali mbali ambayo viongozi wake wanapata kemisheni ya 10%.
      Lakini inasikitisha sana kuona mtu kulipwa haki yake akistaafu anasumbuliwa sana na bado inachukua muda, mtu akistafu kabla ya muda wake kama miaka 55 anambiwa inabidi asubiri miaka ya kustaafu 60 kupata pensheni,
      halafu unakuta mtu kachangui miaka labda 25, lakini anapokuja kulipwa hela apewi hata interest wakati hizo hela zimezalisha mamilioni through investments.
      Nafikkiri kuna haja kubwa sana ya kurekebisha haya mashirika yawe ya wale wanaochangia na siyo vinginevyo kama ilivyo sasa amabapo liukweli mfanyakazi ni kama ananyonywa tu
      Crashwise likes this.
      Tanzania Itajengwa na Watanzania Wazalendo wa Ukweli

    4. #4
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,630
      Rep Power : 6254
      Likes Received
      526
      Likes Given
      421

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Mambo haya ndio yanayotuletea shida...

    5. #5
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Ngoja siku ukienda kudai mafao yako ukakuta unanyimwa ndio useme.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe


    6. #6
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,875
      Rep Power : 4227
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      429

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By zomba View Post
      Ngoja siku ukienda kudai mafao yako ukakuta unanyimwa ndio useme.
      Uko Tanzania ipi?
      Hujasikia wafanyakazi wanaotaka kuandamana migodini baada ya kukosa hela yao?
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    7. #7
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By masopakyindi View Post
      Uko Tanzania ipi?
      Hujasikia wafanyakazi wanaotaka kuandamana migodini baada ya kukosa hela yao?
      Hawajaelimisha vya kutosha na wanachochewa na mapunguani wachache, wanajulikana ni kina nani. Migodini na NSSF wapi na wapi?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    8. #8
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,875
      Rep Power : 4227
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      429

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By zomba View Post
      Hawajaelimisha vya kutosha na wanachochewa na mapunguani wachache, wanajulikana ni kina nani. Migodini na NSSF wapi na wapi?
      Mkuu mimi nikidhani una upeo wa kuona the fallacy in the Ammendment ya sheria yenyewe na isivyo watendea haki wafanya kazi.

      Hata utoe elimu namna gani, the Ammendment does not make sense!

      Unategemeaje nini ksma yafuatayo ni dhahiri:
      -wafanyakazi wote walipwe after retirement at 55(orabove), wakati hata life expectancy haifiki huko

      -it is NOT in thr best interest ya mfanyakazi, kwa vile kuweka hela NSSF ni sawa na kuweka uchagoni kwa
      haina interest na inaliwa na inflation

      -ni narrow minded ness kutegemea kuwa watu wote(wafanyakazi) lengo lao ni kuishi(after55) kwa kula tu
      hiyo hela na si kuinvest katika miradi midogo midogo wanayoiweza, na wanaweza kufanya hivyo wakati wana
      nguvu tu na wakiwa na umri mdogo na wanapoihitaji hela hiyo.

      Tukubali kuwa SSRA inajaribu kutatua mgogoro unaoikumba NSSF na mashirika mengine ya aina hiyo kwa an unexpected(?) low return on investment.

      Nawekea question mark hiyo unexpected low return on investment kwa vile mwendesha mashirika hayo-Serikali-imewekeza katika miradi isiyorudisha mtaji leo wala kesho.
      Sehemu nyingine uwekezaji huo ni wa kisisa zaidi kuliko matakwa ya kibiashara. Hapa tuifikirie Machinga Complex, sijui kama mradi huo haukufanyiwa feasibility study, au NSSF haina wachumi?

      Miradi mingine kama Dodoma University, ni mizuri lakini you can hardly expect a return on investment inones life time.
      All this investment, risk anabeba mfanyakazi, its unfair and unproffessional.

      Katika hili elimu inakosekana upande wa Serikali zaidi kuliko upande wowote.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    9. #9
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By masopakyindi View Post
      Mkuu mimi nikidhani una upeo wa kuona the fallacy in the Ammendment ya sheria yenyewe na isivyo watendea haki wafanya kazi.

      Hata utoe elimu namna gani, the Ammendment does not make sense!

      Unategemeaje nini ksma yafuatayo ni dhahiri:
      -wafanyakazi wote walipwe after retirement at 55(orabove), wakati hata life expectancy haifiki huko
      Kabla sijaendelea kusoma hoja zako zingine, hapo umekosea sana:

      By Ludger Kasumuni
      The Citizen Reporter
      Dar es Salaam. Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) show


      Source: Tanzania


      Kwa kuwa ushalijuwa hilo, sasa badili post yako, uje kivingine.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    10. #10
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,875
      Rep Power : 4227
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      429

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By zomba View Post
      Kabla sijaendelea kusoma hoja zako zingine, hapo umekosea sana:

      By Ludger Kasumuni
      The Citizen Reporter
      Dar es Salaam. Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) show


      Source: Tanzania


      Kwa kuwa ushalijuwa hilo, sasa badili post yako, uje kivingine.
      Bado hujajibu mantiki nzima ya ukiukwaji wa madhumuni ya mfuko wenyewe kuwa ni kwa faida ya wafanyakazi na si vinginevyo.
      In fact hujajibu hoja.
      My points still stand.
      andate likes this.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    11. #11
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By masopakyindi View Post
      Bado hujajibu mantiki nzima ya ukiukwaji wa madhumuni ya mfuko wenyewe kuwa ni kwa faida ya wafanyakazi na si vinginevyo.
      In fact hujajibu hoja.
      My points still stand.
      Badili kwanza takwimu yako kama nilivyokurekebisha huko juu, unaonesha una data za mwaka 2008, maana hata 2010 life expectancy ilikuwa ni miaka 57.4.

      Hiyo ndio ilikuwa hoja yako ya mwanzo. Rekebisha hiyo au kubali kuwa ulileta hoja isiyo ya kweli ili tuendelee. Kwanini niendelee kukujibu hoja secondary wakati primary umezuwa? FIKIRI.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    12. #12
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,875
      Rep Power : 4227
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      429

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By zomba View Post
      Badili kwanza takwimu yako kama nilivyokurekebisha huko juu, unaonesha una data za mwaka 2008, maana hata 2010 life expectancy ilikuwa ni miaka 57.4.

      Hiyo ndio ilikuwa hoja yako ya mwanzo. Rekebisha hiyo au kubali kuwa ulileta hoja isiyo ya kweli ili tuendelee. Kwanini niendelee kukujibu hoja secondary wakati primary umezuwa? FIKIRI.
      As a thinking man you dissapoint me , hivi wewe kwa akili yako unafikiri hicho ndio kigezo kikubwa kilichosukuma kubadili sheria ili mfanyakazi "afaidike" after 55years of age?
      Come on what shallow targets and arguments!
      Inaeleka wala hujui unachokiongelea in its totality na ni kama mfa maji anayedandia unyasi!

      Hoja yangu bado inasimama kuwa mfanyakazi anaihitaji hiyo fedha siyo akistaafu, bali wakati anihitaji.
      Dont be static.
      Last edited by masopakyindi; 11th August 2012 at 08:54.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    13. #13
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By masopakyindi View Post
      As a thinking man you dissapoint me , hivi wewe kwa akili yako unafikiri hicho ndio kigezo kikubwa kilichosukuma kubadili sheria ili mfanyakazi "afaidike" after 55years of age?
      Come on what shallow targets.
      Inaeleka wala hujui unachokiongelea in its totality na ni kama mfa maji anayedandia unyasi!

      Hoja yangu bado inasimama kuwa mfanyakazi anaihitaji hiyo fedha siyo akistaafu, bali wakati anihitaji.
      Dont be static.
      Kwanza kubali ulileta habari siyo ya kweli ili tuendelee na hoja zako zingine. Bila hivyo ni kama unampigia mbuzi gita.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    14. #14
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,875
      Rep Power : 4227
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      429

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By zomba View Post
      Kwanza kubali ulileta habari siyo ya kweli ili tuendelee na hoja zako zingine. Bila hivyo ni kama unampigia mbuzi gita.
      I now seriously doubt your level of knowledge, and thus understanding of facts and logic.
      Na kama kuna mbuzi kama wewe asiyeelewa elewa basi hafai kuwa hapo alipo.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    15. #15
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By masopakyindi View Post
      I now seriously doubt your level of knowledge, and thus understanding of facts and logic.
      Na kama kuna mbuzi kama wewe asiyeelewa elewa basi hafai kuwa hapo alipo.
      First and foremost you have to apologize to the JF users for trying to feed us wrong national data. If you can not apologize at least acknowledge you were wrong or whom ever fed you that figure was as wrong as you are.

      By the way, Did you learn that from your teacher?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    16. #16
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,875
      Rep Power : 4227
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      429

      Default

      Quote By zomba View Post
      First and foremost you have to apologize to the JF users for trying to feed us wrong national data. If you can not apologize at least acknowledge you were wrong or whom ever fed you that figure was as wrong as you are.

      By the way, Did you learn that from your teacher?
      You sound like a suit claded nicompoop polishing office chairs for no good reason.
      The less people of your kind in high places the better for CCM

    17. #17
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1136
      Likes Received
      463
      Likes Given
      330

      Default

      Quote By zomba View Post
      First and foremost you have to apologize to the JF users for trying to feed us wrong national data. If you can not apologize at least acknowledge you were wrong or whom ever fed you that figure was as wrong as you are.

      By the way, Did you learn that from your teacher?
      Bwana mukubwa nondo ulizopigwa hujazitete ha moja. Na je kama ni kweli life expectancy ni zaidi ya miaka 57.
      Mfanya kazi yuko better off?
      Uhalali wa sheria ni kwanifaisha wananchi na si vinginevyo.
      Ukubali usikubali hapa serikali ilichemsha kuchezea kipato cha wafanyakazi.
      Mbaya zaidi wewe unasema wafanyakazi migodini wanachochewa!
      Wafanyakazi si wajinga kiasi mnachofikiri.

      Kweli aliyeshiba hamkui mwenye njaa!
      Ngongo likes this.

    18. #18
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,969
      Rep Power : 6858
      Likes Received
      2410
      Likes Given
      3171

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Mkuu Lole Gwakisa afadhali umenisaidia kumjibu jamaa anapenda ligi ya ubishi nadhani ana PhD ya ubishi kutoka Morogoro Islamic University.

      Quote By Lole Gwakisa View Post
      Bwana mukubwa nondo ulizopigwa hujazitete ha moja. Na je kama ni kweli life expectancy ni zaidi ya miaka 57.
      Mfanya kazi yuko better off?
      Uhalali wa sheria ni kwanifaisha wananchi na si vinginevyo.
      Ukubali usikubali hapa serikali ilichemsha kuchezea kipato cha wafanyakazi.
      Mbaya zaidi wewe unasema wafanyakazi migodini wanachochewa!
      Wafanyakazi si wajinga kiasi mnachofikiri.

      Kweli aliyeshiba hamkui mwenye njaa!

    19. #19
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1136
      Likes Received
      463
      Likes Given
      330

      Default

      Quote By Ngongo View Post
      Mkuu Lole Gwakisa afadhali umenisaidia kumjibu jamaa anapenda ligi ya ubishi nadhani ana PhD ya ubishi kutoka Morogoro Islamic University.
      Huyu bwana ana abasic problem ya understanding issues na logical presentation.
      Pamoja na unazi wa aidha chama au serikali kutetea makosa kidogo inampunguzia hadhi kama mtu mwenye uwezo wa kufikiri.

    20. #20
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 642
      Rep Power : 565
      Likes Received
      174
      Likes Given
      175

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Mkuu linapokuja suala la takwimu, magazeti mengi ya Tz sio credible source. Bila shaka serikali ina kitengo cha takwimu ambacho ningetegemea kiwe ndo kigezo.Ukumbuke miaka ya katikati mwa 2000 tuliambiwa kutokana na UKIMWI life expectancy was drastically reduced to 42yrs! Sijui hapo napo ikiwekwa gazetini kukanukuu tutaamini lipi? Kimsingi hoja kubwa sio life expectancy hoja kuu ni logic ya kusema wafanyakazi wote wasichukue mafao yao hadi wafikie umri huo, bila kufahamu kuwa tunawafanyakazi wa mkataba miaka miwili au mitatu na mkataba ukiishi unaweza kukaa miaka sita kabla hujapata kazi kwingine. Wewe utakuwa unakula wapi? Basi sheria hiyo iweke provision ya mikopo (make kina Manji wamekopa ambao sio wachangiaji wala wamiliki wa mifuko hiyo...why wafanyakazi wasikopeshwe). Na mifuko imhakikishie mchangiaji kula, kulala kusomesha watoto na huduma nyingine mujimu kipindi chote ambacho hana kazi. Suala jingine kuhusu wafanyakazi mgodini....nadhani hukufahamu! Wanalipa! Kimsingi sheria inakutaka hata msaidizi wa kazi nyumbani (house boy/girl) walipiwe kodi na hata mfanyakazi wa shamba alipiwe kodi!
      Quote By zomba View Post
      Kabla sijaendelea kusoma hoja zako zingine, hapo umekosea sana:

      By Ludger Kasumuni
      The Citizen Reporter
      Dar es Salaam. Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) show


      Source: Tanzania


      Kwa kuwa ushalijuwa hilo, sasa badili post yako, uje kivingine.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 47
      Last Post: 30th April 2013, 15:33
    2. CHADEMA inaweza kupoteza wabunge wengi 2015
      By WATANABE in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 57
      Last Post: 11th June 2011, 13:05
    3. Replies: 0
      Last Post: 26th January 2011, 01:12
    4. Replies: 0
      Last Post: 20th July 2009, 13:33

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...