Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 41
    1. #1
      Mutambukamalogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2011
      Posts : 401
      Rep Power : 502
      Likes Received
      58
      Likes Given
      3

      Default NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Kwa mujibu wa report ya mkaguzi mkuu wa serikali,NSSF inaweza kupoteza zaidi ya Tshs 50 bilioni katika baadhh ya miradi inayotaka kuwekeza ambayo inaonekana ni hatarishi(Risky Investments). Miradi hiyo ni pamoja na Kiwira Coal and Power limitd. Tukumbuke pesa hizi zinatokana na makato ya wafanyakazi kwa minajili ya kuwasaidia wakati wa kustaafu.Source: The Citizen Friday ,15 April 2011- Editorial and Opinion.
      andate likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1133
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By Sungurampole
      Jana tumeshudia serikali ikisalimu amri kuwa itarudisha sheria gereji ili ifanyiwe marekebisho na kuafiki na kilio cha wachngiaji wamifuko ya hifadhi ya jamii juu ya fao la kujitoa. Nimeona tena nguvu ya umma ikishinda. Wachangiaji bila kujali itikadi, dini wadhifa na tofauti nyingine walijitokeza kupinga sheria hii na mwisho tumeshinda mpaka hatua hii na tunaamini hii ni mpaka watakaporidhia kufanya marekebisho tunayaoyataka.

      Kumbe tukiamua tunaweza japo wako waliokosoa uelewa wetu wa dhana ya mifuko ya hifadhi ya jamii - tunawasamehe tunajua walikuwa wanaganga njaa kwa kutetea kila kilichopita kama sheria hata baada ya kuona hakifai. Tujifunze katika hili wenye sheria ni sisi na zipo kwa ajili yetu na siyo sisi kwa ajili ya sheria

      Nawasilisha
      Hata hivyo nimepata hii humuhu JF,sijui Zoma yuko wapi?

    4. #22
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,749
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      416

      Default

      Quote By Ngongo
      Mkuu Lole Gwakisa afadhali umenisaidia kumjibu jamaa anapenda ligi ya ubishi nadhani ana PhD ya ubishi kutoka Morogoro Islamic University.
      Du huyu jamaa kumbe ana umaarufu wa kuwa king'ng' anizi kwa masuala bomu

    5. #23
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,749
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      416

      Default

      Quote By Ngongo
      Mkuu Lole Gwakisa afadhali umenisaidia kumjibu jamaa anapenda ligi ya ubishi nadhani ana PhD ya ubishi kutoka Morogoro Islamic University.
      Du huyu jamaa kumbe ana umaarufu wa kuwa king'ng' anizi kwa masuala bomu

    6. #24
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By BUBE
      Mkuu linapokuja suala la takwimu, magazeti mengi ya Tz sio credible source. Bila shaka serikali ina kitengo cha takwimu ambacho ningetegemea kiwe ndo kigezo.Ukumbuke miaka ya katikati mwa 2000 tuliambiwa kutokana na UKIMWI life expectancy was drastically reduced to 42yrs! Sijui hapo napo ikiwekwa gazetini kukanukuu tutaamini lipi? Kimsingi hoja kubwa sio life expectancy hoja kuu ni logic ya kusema wafanyakazi wote wasichukue mafao yao hadi wafikie umri huo, bila kufahamu kuwa tunawafanyakazi wa mkataba miaka miwili au mitatu na mkataba ukiishi unaweza kukaa miaka sita kabla hujapata kazi kwingine. Wewe utakuwa unakula wapi? Basi sheria hiyo iweke provision ya mikopo (make kina Manji wamekopa ambao sio wachangiaji wala wamiliki wa mifuko hiyo...why wafanyakazi wasikopeshwe). Na mifuko imhakikishie mchangiaji kula, kulala kusomesha watoto na huduma nyingine mujimu kipindi chote ambacho hana kazi. Suala jingine kuhusu wafanyakazi mgodini....nadhani hukufahamu! Wanalipa! Kimsingi sheria inakutaka hata msaidizi wa kazi nyumbani (house boy/girl) walipiwe kodi na hata mfanyakazi wa shamba alipiwe kodi!
      Tatizo ya amma husomi vizuri hiyo habari ya amma huelewi Kiingereza ya amma hujaifata link iliyowekwa.

      No research No right to Speak.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    7. #25
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,749
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      416

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By zomba
      Tatizo ya amma husomi vizuri hiyo habari ya amma huelewi Kiingereza ya amma hujaifata link iliyowekwa.

      No research No right to Speak.
      Oh no...
      You again?

      I picture you as that proverbial ostritch with its head buried deep in the sand ,oblivious of its stark naked behind waving unceremoniously in the prevailing winds.

      You seem to be stuck in am impasse of your own making, un aware of developments around you.

      I honestly wish you luck, but the world will definately march on foward prefferably without erratic characters as this one we are witnessing.

      Sayonara, and again good luck!
      Oh,you definately need all the luck you can muster.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By masopakyindi
      Oh no...
      You again?

      I picture you as that proverbial ostritch with its head buried deep in the sand ,oblivious of its stark naked behind waving unceremoniously in the prevailing winds.

      You seem to be stuck in am impasse of your own making, un aware of developments around you.

      I honestly wish you luck, but the world will definately march on foward prefferably without erratic characters as this one we are witnessing.

      Sayonara, and again good luck!
      Oh,you definately need all the luck you can muster.
      Have you come up with corrections on your intentionally misleading figures?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    10. #27
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1133
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By zomba
      Have you come up with corrections on your intentionally misleading figures?
      inaelekea with your state of mind nothing matters, hapo ni pole tu.
      Yours faithfully!

    11. #28
      Thanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Multiple Destination
      Posts : 1,891
      Rep Power : 1608
      Likes Received
      566
      Likes Given
      1523

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Atafikisha hiyo miaka 55 kweli?

    12. #29
      Thanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Multiple Destination
      Posts : 1,891
      Rep Power : 1608
      Likes Received
      566
      Likes Given
      1523

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Hoja ya fao la mfuko wa hifadhi ya jamii ati hadi mtu afikishe miaka 55 au 60 ndio apewe mafao yake HALIKUBALIKI kwa 100%

    13. #30
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 558
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Mkuu linapokuja suala la credible source....nilichosema ni kwamba Watu wa takwimu ndo wanaweza kutupatia inform kamili. Sijui kama umesoma HBS ya 2007. Hiyo inatupatia data tofauti, around 51..., na kimsingi that is the latest official data ambayo tunaweza kutumia kwa sasa, na zingine zote bado hazijathibitshwa. Muhimu ni kwamba tukubaliane kwa Tz inategemea data ameitoa nani na kwa malengo yapi, otherwise tunakuwa na takwimu nyingi tofauti kwa kitu kile kile....na ndicho nilisema. Hebu tizama hapa tena (na ukumbuke haya ni makadirio ya mwaka jana tuuuuu)

      Life expectancy at birth: total population: 53.14 years
      male: 51.62 years
      female: 54.7 years (2011 est.)
      Source: Tanzania Demographics Profile 2012

      Quote By zomba
      Tatizo ya amma husomi vizuri hiyo habari ya amma huelewi Kiingereza ya amma hujaifata link iliyowekwa.

      No research No right to Speak.

    14. #31
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By BUBE
      Mkuu linapokuja suala la credible source....nilichosema ni kwamba Watu wa takwimu ndo wanaweza kutupatia inform kamili. Sijui kama umesoma HBS ya 2007. Hiyo inatupatia data tofauti, around 51..., na kimsingi that is the latest official data ambayo tunaweza kutumia kwa sasa, na zingine zote bado hazijathibitshwa. Muhimu ni kwamba tukubaliane kwa Tz inategemea data ameitoa nani na kwa malengo yapi, otherwise tunakuwa na takwimu nyingi tofauti kwa kitu kile kile....na ndicho nilisema. Hebu tizama hapa tena (na ukumbuke haya ni makadirio ya mwaka jana tuuuuu)

      Life expectancy at birth: total population: 53.14 years
      male: 51.62 years
      female: 54.7 years (2011 est.)
      Source: Tanzania Demographics Profile 2012
      By Ludger Kasumuni
      The Citizen Reporter
      Dar es Salaam. Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) show


      Source: Tanzania


      Kwa kuwa ushalijuwa hilo, sasa badili post yako, uje kivingine.

      Sasa wewe unaona data zako ndio bora kuliko za UNDP? ustake ncheke!
      Maundumula likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    15. #32
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 558
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Zomba nadhani wewe mgumu wa kuelewa! Nimeongelea credible source....na umeona jinsi gani zilivyotofauti hata zile nilizoweka,nikasema kwa walio wengi ambao hatutumii takwimu kisiasa (make za kisiasa zinapikwa sana hapa tanzania) huwa tunatumia zile tu ambazo tunazipata kutoka kitengo cha Takwimu. Finish! Sources nyingine tunazi-quote with a pinch of salt!
      Quote By zomba
      .

      Sasa wewe unaona data zako ndio bora kuliko za UNDP? ustake ncheke!

    16. #33
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By BUBE
      Zomba nadhani wewe mgumu wa kuelewa! Nimeongelea credible source....na umeona jinsi gani zilivyotofauti hata zile nilizoweka,nikasema kwa walio wengi ambao hatutumii takwimu kisiasa (make za kisiasa zinapikwa sana hapa tanzania) huwa tunatumia zile tu ambazo tunazipata kutoka kitengo cha Takwimu. Finish! Sources nyingine tunazi-quote with a pinch of salt!
      UNDP unaijuwa au unaisikia tu? Na umefata link niliyokuwekea? otherwise, sikuelewi.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    17. #34
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 558
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Wewe ZOmba UNDP ipi? Soma hata taarifa za CIA na zile za EIU....on some areas huwa haziaminiki. Linapokuja suala la UNDP jiulize source yao ya data iko wapi? You mean as a country we do not collect and update our own information had uone kuwa zile za UNDP ni credible zaidi kuliko kitengo cha nchi chenye mamlaka ya kukusanya na kukokotoa takwimu? Give me a break! Sitaki kueleza nchi fulani ambako figures zilikuwa inflated simply because donors walidhani wanasababu ya kuelezea hela zimekwenda wapi za msaada pamoja na kuwa in reality there was nothing on the ground! There is a lot of politics and conflicts of interest when it comes to data!
      Quote By zomba
      UNDP unaijuwa au unaisikia tu? Na umefata link niliyokuwekea? otherwise, sikuelewi.

    18. #35
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By BUBE
      Wewe ZOmba UNDP ipi? Soma hata taarifa za CIA na zile za EIU....on some areas huwa haziaminiki. Linapokuja suala la UNDP jiulize source yao ya data iko wapi? You mean as a country we do not collect and update our own information had uone kuwa zile za UNDP ni credible zaidi kuliko kitengo cha nchi chenye mamlaka ya kukusanya na kukokotoa takwimu? Give me a break! Sitaki kueleza nchi fulani ambako figures zilikuwa inflated simply because donors walidhani wanasababu ya kuelezea hela zimekwenda wapi za msaada pamoja na kuwa in reality there was nothing on the ground! There is a lot of politics and conflicts of interest when it comes to data!
      Hizo habari za UNDP nimekubandikia na link na zimetolewa hapahapa Tanzania tena kwa kuita waandishi wa habari na kuzitangaza, hivi wewe upo sawa kweli? kunambia nisome habari ambazo haziko verified? CIA ndio nini si habari za ujasusi? unajuwa maana ya ujasusi? ni kuweka habari na kuwaaminisha watu hizo ndio kweli, hiyo ni moja ya kazi za ujasusi (brain washing). Nikikuita punguani kwa ku quote CIA itakuwa nimekosea? wasome kwenye hizi link kama hujui kuwa hao ni waongo wa kutupwa:

      https://www.google.co.tz/search?q=CI...t=firefox-beta
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    19. #36
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 558
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Bila shaka unaweza kuwa na gunia la matusi. Huko siko! Nimekuambia kuhusu sources na malengo ya baadhi ya takwimu, whether ni CIA au nani lazima kujiridhisha kwanza, lakini nadhani unaweza kuwa mstaarabu kuepuka matusi!
      Quote By zomba
      Nikikuita punguani kwa ku quote CIA itakuwa nimekosea? wasome kwenye hizi link kama hujui kuwa hao ni waongo wa kutupwa:

      https://www.google.co.tz/search?q=CI...t=firefox-beta

    20. #37
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By BUBE
      Bila shaka unaweza kuwa na gunia la matusi. Huko siko! Nimekuambia kuhusu sources na malengo ya baadhi ya takwimu, whether ni CIA au nani lazima kujiridhisha kwanza, lakini nadhani unaweza kuwa mstaarabu kuepuka matusi!
      Tusi liko wapi hapo? au hujui maana ya punguani nikupe darsa? punguani ni mwenye kutokujuwa undani wa jambo fulani. Kama vile wewe ulivyokuwa hujui kuwa CIA ni waongo wa kutupwa. Tusi liko wapi hapo na ushahidi wa kuwa CIA ni waongo nimekuwekea links.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    21. #38
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 558
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Teh! idiot, mentally deficient person, feebleminded person, half-breed. Kati ya hayo wewe lipi si tusi kwako ukiitwa? I mean maana hizo nimezichukua kwenye kamusi/tafsiri kwenye kamusi ya kiswahili kuelekea ki-elizabeth! Sijui wewe kati ya hayo ulimaanisha lipi ambalo sio tusi! Kwa bahati mbaya tumetoka kwenye uzi na kuingia vitu vingine. Ninaishia hapa kuandika kuhusu hili, maana badala ya kuendeleza hoja tumekwenda ndivyo sivyo! MWISHO! Search results for punguani | fie.nipa Dictionaries&.
      Quote By zomba
      Tusi liko wapi hapo? au hujui maana ya punguani nikupe darsa. Tusi liko wapi hapo na ushahidi wa kuwa CIA ni waongo nimekuwekea links.

    22. #39
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By BUBE
      Teh! idiot, mentally deficient person, feebleminded person, half-breed. Kati ya hayo wewe lipi si tusi kwako ukiitwa? I mean maana hizo nimezichukua kwenye kamusi/tafsiri kwenye kamusi ya kiswahili kuelekea ki-elizabeth! Sijui wewe kati ya hayo ulimaanisha lipi ambalo sio tusi! Kwa bahati mbaya tumetoka kwenye uzi na kuingia vitu vingine. Ninaishia hapa kuandika kuhusu hili, maana badala ya kuendeleza hoja tumekwenda ndivyo sivyo! MWISHO! Search results for punguani | fie.nipa Dictionaries&.
      Yote hayo si matusi hata kidogo. Ngoja nikupe darsa lingine;

      Tusi ni neno lolote lile inategemea linavyotumiwa, naweza kukuita wewe kichwa, ikawa tusi au sifa nzuri kwako. Kuwa punguani sio tusi, ni ubinaadam hakuna binaadam aliyekamilika. Au wewe umekamilika? Hata "kichaa" inaweza kuwa sifa nzuri kutokana na matamshi.

      Sasa wewe CIA umekubali kuwa ni waongo na hawana credibility kama ya UNDP.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    23. #40
      iwensato's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th February 2011
      Posts : 49
      Rep Power : 429
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni...

      Quote By masopakyindi
      Mkuu mimi nikidhani una upeo wa kuona the fallacy in the Ammendment ya sheria yenyewe na isivyo watendea haki wafanya kazi.

      Hata utoe elimu namna gani, the Ammendment does not make sense!

      Unategemeaje nini ksma yafuatayo ni dhahiri:
      -wafanyakazi wote walipwe after retirement at 55(orabove), wakati hata life expectancy haifiki huko

      -it is NOT in thr best interest ya mfanyakazi, kwa vile kuweka hela NSSF ni sawa na kuweka uchagoni kwa
      haina interest na inaliwa na inflation

      -ni narrow minded ness kutegemea kuwa watu wote(wafanyakazi) lengo lao ni kuishi(after55) kwa kula tu
      hiyo hela na si kuinvest katika miradi midogo midogo wanayoiweza, na wanaweza kufanya hivyo wakati wana
      nguvu tu na wakiwa na umri mdogo na wanapoihitaji hela hiyo.

      Tukubali kuwa SSRA inajaribu kutatua mgogoro unaoikumba NSSF na mashirika mengine ya aina hiyo kwa an unexpected(?) low return on investment.

      Nawekea question mark hiyo unexpected low return on investment kwa vile mwendesha mashirika hayo-Serikali-imewekeza katika miradi isiyorudisha mtaji leo wala kesho.
      Sehemu nyingine uwekezaji huo ni wa kisisa zaidi kuliko matakwa ya kibiashara. Hapa tuifikirie Machinga Complex, sijui kama mradi huo haukufanyiwa feasibility study, au NSSF haina wachumi?

      Miradi mingine kama Dodoma University, ni mizuri lakini you can hardly expect a return on investment inones life time.
      All this investment, risk anabeba mfanyakazi, its unfair and unproffessional.

      Katika hili elimu inakosekana upande wa Serikali zaidi kuliko upande wowote.
      Kuna tofauti kubwa kati ya benki na Mfuko wa Hifadhi.Wakati ambapo benki ni sehemu ambapo watu binafsi au taasisi/kampuni wanatunza fedha au kwa maneno rahisi wanafanya baishara ya fedha, Mifuko ni bima ambapo mwanachama wake akipata janga (contingency) anapata mafao kulingana na janga alilopata bila kujali kiasi cha michango aliyochanga. Ndio maana serikali inaelimisha kutaka raia wasijitoe uanachama wakiwa bado wana nguvu za kufanyakazi. Michango inayochukuliwa na Mifuko hii ni asilimia 10 tu na asilimia 90 zinazobaki anaachiwa mfanyakazi kama mshahara. Ni kiroja 10% uitegemee kujenga nyumba au kufanya biashara ilihali uluachiwa 90% hukufanya.Mafao wakati wa uzee au ulumavu ni muhimu sana.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 47
      Last Post: 30th April 2013, 15:33
    2. CHADEMA inaweza kupoteza wabunge wengi 2015
      By WATANABE in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 57
      Last Post: 11th June 2011, 13:05
    3. Replies: 0
      Last Post: 26th January 2011, 01:12
    4. Replies: 0
      Last Post: 20th July 2009, 13:33

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...