Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

    Report Post
    Page 28 of 40 FirstFirst ... 18262728293038 ... LastLast
    Results 541 to 560 of 785
    1. #1
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,545
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      2405
      Likes Given
      166

      Default Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      MAISHA NA NYAKATI ZA ABDULWAHIS SYKES (1924 -1968)

      Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika na Mohamed Said

      Pitio la Kitabu

      Kitabu hiki kilipochapwa kwa mara ya kwanza 1998 kwa Kiingereza nchini Uingereza na kilipoanza kuzagaa katika maktaba na maduka ya vitabu mjini London yanayouza vitabu kuhusu Afrika Watanzania wengi waliokuwa Uingereza walisisimuliwa na yale yaliyokuwa ndani ya kitabu hiki. Kubwa zaidi ilikuwa kule kufunuliwa kwa mara ya kwanza kuwa kumbe TANU chimbuko lake si Julius Nyerere bali ni marehemu Abdulwahid Sykes. Hii ilikuwa habari mpya kwa wengi hasa ikizingatiwa kuwa Nyerere mwenyewe hakuwahi kumtaja Abdulwahid Sykes kama mwenzake katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika. Hili lilikuwa la kwanza. Kitu cha pili kilichosisimua wasomaji ni kuwa mwandishi kwa kutulia kabisa alionyesha bila woga na kutafuna maneno kuwa TANU kilikuwa chama kilichojengwa katika migongo ya Waislam. Hili alilishaijisha kwa kueleza wazalendo waliokuwa bara ambao kwa umoja wao na wengi wao wakiwa Waislam walipambana na ukoloni wa Kiingereza.

      Kubwa zaidi la kusisimua ilikuwa kitabu kilieleza bila kupepesa macho au kutafuna maneno njama alizofanya Nyerere kwanza kumfuta Abdulwahid Sykes katika historia yake binafsi, TANU na katika harakati za kudai uhuru. Lakini kilichotibua sege la nyuki ni pale katika kuhitimisha kitabu mwandishi alipoweka wazi mipango ya Nyerere akishirikiana na Kanisa Katoliki baada ya uhuru kupatikana kupanga njama za kuzuia maendeleo ya Waislam. Katika kipande hiki msomaji atakutana na Mufti Sheikh Hassan bin Amir aliyekuwa mufti wa Tanganyika na Zanzibar na mwanasiasa shupavu. Msomaji ataziona juhudi za Sheikh Hassan bin Amir katika kupambana na njama za Nyerere na Kanisa Katoliki na nini kilimfika msomi huyu maarufu wa Kiislam. Kwa wakati ule Nyerere akiwa hai ilihitaji ujasiri mkubwa kwa yeyote yule kusema au kuandika hayo.

      Nakala za kitabu zilifika Tanzania na kila aliyesoma alipatwa na mshtuko mkubwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na nje yake. Kitabu kiliwaudhi wapenzi wa Nyerere na wapo waliomwendea kwa kutaka afanye jambo kukomesha “uongo” wa mwandishi. Wengine hawakuamini kuwa huyo anayejiita Mohamed Said kama kweli yupo. Wengine walitaka kujua kama kweli akina Sykes na baba yao ndio waasisi wa vyama vya Waafrika katika Tanganyika katika 1929 hadi 1954 TANU ilipoasisiwa. Hii ilikuwa bahari kubwa kwa wapenzi wa Nyerere ambao wasingeweza kuogelea bila ya msaada wake Baba wa Taifa. Mawimbi ya bahari hii yalikuwa marefu na yakija kwa kasi. Juu ya haya yote Waswahili wana msemo “penye ukweli uongo hujitenga.” Nyerere asingeweza kuthubutu kukana mchango wa marehemu Abdulwahid kwake yeye binafsi na kwa TANU. Abdulwahid ndiye aliyempokoea Dar es Salaam ile ya miaka ya 1950 na akamjulisha kwa wenyeji wa mji. Wapenzi wa Nyerere hadi leo ukiwauliza Nyerere alisema nini kuhusu ukweli kuwa si yeye aliyeasisi TANU wamekuwa kimya.

      Msomi maarufu wa Chuo Kikuu cha Cambridge John Illife ambae ameandika sana historia ya Tanganyika alikasirishwa na msimamo wa mwandishi khasa pale aliposema kuwa inastaajabisha kuwa Illife ingawa alitegemea nyaraka za akina Sykes katika kuandika historia ya African Association inastaajabisha hakuona umuhimu wa kutaka kumhoji marehemu Abduwahid aliyekuwa katibu na rais wake kati ya 1951 hadi 1953. Akiandika pitio la kitabu hiki katika Cambridge Journal of African History Illife alimshambulia mwandishi katika njia ambayo haikuwa staili yake msomi mkubwa kama yeye. Illife alikuwa ameghadhibishwa kwa kuambiwa katika kitabu kuwa alimzuia mwanafunzi wake katika Idara ya Historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka wa 1969, Daisy Sykes ambae alikuwa binti ya Abdulwahid asiandike maisha ya baba yake. Daisy wakati huo msichana mdogo alikuwa amekasirishwa na jinsi TANU na magazeti yake yote, “The Nationalist” chini ya uhariri wa Benjamin Mkapa na “Uhuru” yalivyoshindwa kumwandika baba yake kwa hadhi aliyostahili. Magazeti hayo yaliripoti kifo cha Abdulwahid Sykes kwa kuwa Nyerere alikwenda mazikoni. Hapakuwa na jingine. Brendon Grimshaw ambae alikuwa Mhariri Mkuu wa “The Tanganyika Standard” na akimfahamu vyema Abdulwahid ndiye aliyendika tanzia ya maana katika “Sunday News” akasema kuwa Nyerere asingelifika pale alipofika kama si kwa msaada wa Abdulwahid Sykes na ni juhudi za ukoo wa Kleist ndiyo uliowezesha watu wa Tanganuyika kuwa na chama cha siasa. “The Standard” na “Sunday News” wakati ule lilikuwa gazeti huru halikuwa na hofu ya Nyerere. Hii ilikuwa mwaka 1968.

      Kilipotoka kitabu hiki mwaka 1998 walikuwepo watu walioona ukweli wa kuwa historia ya TANU bado haijaandikwa na kuna baadhi ya shutuma zilizoelekezwa kwake Nyerere ni muhimu yeye mwenyewe akazijibu akiwa hai kwa faida ya jamii isijesemwa kuwa kasingiziwa, walimsubiri afe ndipo wamzushie la kumzushia. Mmoja wa kundi hili la pili alikuwa marehemu Prof. Haroub Othman. Yeye alimkabili Nyerere uso kwa macho na kumuomba atoe majibu kujibu shutuma za waandishi wawili. Kwanza ajibu shutuma za Sheikh Ali Muhsin Barwani aliiyekuwa kiongozi wa Zanzibar Nationalist Party (Hizbu) katika kitabu chake “Conflict and Harmony in Zanzibar” na kitabu cha Mohamed Said “The Life and Times of Abdulwahid Sykes (19241968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.” Sheikh Ali Muhsin akimtuhumu Nyerere kwa kupeleka mamluki Zanzibar kuipindua serikali ya wananchi na Mohamed Said akimtuhumu kwa chuki dhidi ya Waislam na kupotosha historia ya uhuru wa Tangnayika. Prof. Haroub alimshauri Nyerere kuwa njia nzuri ya kuiweka historia yake na uhusiano wake na Waislam sawa ni kwa yeye kuandika historia ya maisha yake. Hadi Nyerere anaingia kaburini hiili halikufanyika.

      Kitabu hiki ni muhimu kwa Waislam na wananchi wote kwa ujumla kukisoma na kuwahimiza watoto wao nao wakisome wapate kujifahamu na kufahamu changamoto za udini na chanzo chake. Ndani ya kitabu hiki mwandishi amejitahidi kukusanya mashujaa waliotupwa waliopigania uhuru wa Tanganyika hata kabla hawajasikia jina la Nyerere wala kuona sura yake, wazalendo kama Hassan Suleiman na Juma Ponda wa Dodoma. Wazalendo waliohutubia mikutano ya hadhara na kuhamasisha watu kudai uhuru hata Nyerere hawamjui kama Titi Mohamed na wengine wengi kutoka katika majimbo ya Tanganyika. Ukikianza kitabu hiki huwezi kukiweka chini hadi umefika mwisho.

      Kitabu hiki kinapatikana Ibn Hazim Bookshop Mtoro na Manyema na Tanzania Publishing House, Samora Avenue.
      Last edited by Mohamed Said; 13th March 2011 at 19:45.

    2. RukaaJuu Final

    3. #541
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default

      Quote By Zing
      jaribu kupitia japo kama page tatu au nne za mwiso utayaona. Sijakisoma hicho kitabu lakini kwa maelezo ya mwandishi kuna hoja zake

      • Anajaribu kueleza uwongo au ukweli nusu ili kulipa faraja kundi fulani la watu.

      Amejaribu kusema yeye kama muislam kakutana na vikwazo vingi. Anaamini yeye na waislam wote wanakutana na vikwazo hivi vinavyowekwa na kanisa/ nyeree juu yao. mhhhhh

      • Je watu wa dini nyingine na wasio na dini hawakutani na vikwazo katika maisha yao?
      • Kwa nini challenge anazopta mtu azihusanishe na dini na sio kabila au utamduni au falsfa ya kisiasa?
      • Je waislam kundi chache la mkoa wa kagera wanafanikiwaje kuishi na hao wakristu wengi . Mbona wapo wasomi wengi tu. Kama kweli wakristu ni kikwazo hili linaawezekanaje?
      Huja kidhi kiu changu laiti unge "quote" alichoandika.

    4. #542
      Nanren's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2009
      Posts : 1,048
      Rep Power : 720
      Likes Received
      363
      Likes Given
      562

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Mohamed Said
      Kanisa liulizwe nini limefanya kupitia mawakala wake Wizara ya Elimu kuwazuia vijana wa Kiislam kupata elimu.

      Kwa nini walikataa OIC isijenge Chuko Kikuu kwa Waislam Tanzania.

      Kwa nini wanapinga Tanzania kujiunga na OIC.

      Imekuwaje Kanisa linahodhi 85% ya viti katika Bunge la Tanzania.

      Kwa nini walipiga vita Darul Iman walipotaka kujenga shule ya Kiislam Kibaha.

      Kwa nini wanafanya juhudi ya kufifilisha historia iliyotukuka ya Waislam.

      Kwa nini hawaiti mkutano wa pamoja na Wasilam tukasafahiana nia.

      Kwa nini wanafanya mikutano pembeni na Waislam wanafiki ilhal viongozi
      wa kweli wa umma wapo.

      Kwa nini wanapinga Mahakama ya Kadhi.

      Nini lilikuwa kosa la marehemu Prof. Malima hata wakamwandama kiasi kile.

      Ni kule kumtaarifu Rais Mwinyi kuwa Wizara ya Elimu inadhulumu vijana wa Kiislam.

      Kwa nini wanataka wahodhi kila fursa nchini.

      Nk. nk. nk.
      Mheshimiwa, haya maswali sio ya kuulizwa na mtu kama wewe, kwa jinsi ninavyokuchukulia kuwa una uelewa mkubwa.

      Sasa japo mimi sipo karibu sana na mambo ya kikanisa, naweza kukujibu. Lakini kabla ya kukujibu naomba unieleze (1) unamaanisha nini unaposema KANISA. 2. Mtu yeyote anayefanya usiyoyapenda, anakuwa WAKALA WA KANISA automatically?

      Nimeuliza hivi kwa sababu nahisi labda tunaelewa tofauti maana ya kanisa na wakala wa kanisa. Kama unaelewa kama ninavyoelewa mimi, huwezi kuuliza maswali hayo.

      Naomba unijibu hapa kabla sijajaribu kukujibu.

    5. #543
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,545
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      2405
      Likes Given
      166

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Nanren
      Mheshimiwa, haya maswali sio ya kuulizwa na mtu kama wewe, kwa jinsi ninavyokuchukulia kuwa una uelewa mkubwa.

      Sasa japo mimi sipo karibu sana na mambo ya kikanisa, naweza kukujibu. Lakini kabla ya kukujibu naomba unieleze (1) unamaanisha nini unaposema KANISA. 2. Mtu yeyote anayefanya usiyoyapenda, anakuwa WAKALA WA KANISA automatically?

      Nimeuliza hivi kwa sababu nahisi labda tunaelewa tofauti maana ya kanisa na wakala wa kanisa. Kama unaelewa kama ninavyoelewa mimi, huwezi kuuliza maswali hayo.

      Naomba unijibu hapa kabla sijajaribu kukujibu.
      Sisi na Kanisa tunaelewana sana.

      Hatukuanza leo.

      Wewe usishughulike.

      Haya ndiyo katika yale yasosemwa.

    6. #544
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,841
      Rep Power : 2971
      Likes Received
      2452
      Likes Given
      3533

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Mohamed Said,

      ..kwa nafasi za wabunge kila mwananchi aliyetimiza vigezo anaruhusiwa kupiga au kupigiwa kura

      ..sidhani kama kuna ulazima wa kuingiza masuala ya Kidini huko.

      ..hivi kweli unaamini Waislamu hawana nafasi, au wanazuiwa na Kanisa kugombea nafasi za uongozi?

      ..mbona tunaye Raisi ambayo ni Muislamu na tena ameshinda kwa kishindo kila aliposimama kugombea nafasi hiyo?

      ..mbona hata Alhaji Mzee Mwinyi alikuwa akishinda uchaguzi kwa asilimia 85% kwenda juu.

      NB:

      ..je kuna sheria fulani ya uchaguzi ambayo inawakwaza Waislamu na kusababisha kushindwa kugombea nafasi za Ubunge?

    7. #545
      Zing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Posts : 1,780
      Rep Power : 3181
      Likes Received
      426
      Likes Given
      552

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Majimshindo
      Huja kidhi kiu changu laiti unge "quote" alichoandika.
      Mkuu unataka nifanye quote ya quote .Hiyo itakuwa redunncacy au PC yako na browser hainyoshi pages za thread. hapa yanaadikwa mengi sasa ukitaka niquote yote itakuwa ni kutaka kurudi nyuma. S asa tunakwneda mbele tunaona dhima nzima ya kitabu muheshimwa MS ni chuki. Hayo majina ya Adul Sykes na Nyerere yanatumiwa tu.

      hata huyo Nyerere anayelumiwa naye anatumiwa tu. kifasihii ya kitabu chake ni kuwa anajenga watu waamin

      • Nyerere ana represent wakritsu wote wa Tanzania.-Mwandishi anaeleza hawa akina nyerere, kanisa na wakristu ni wa i watu wa fitna wasiopenda maendeleo ya waislam.


      • Abdulwahid sykes anapresent waislam wate wa tanzania- Hawa ni watu amabo bila wao tanzania isingepata uhuru. Hawa ni watu wanaoonewa kudhulumiwa na kunyanyaswa na akina nyerere/ wakristu.na kanisa

    8. Miaka 50

    9. #546
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,841
      Rep Power : 2971
      Likes Received
      2452
      Likes Given
      3533

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Mohamed Said

      Kwa nini hawaiti mkutano wa pamoja na Wasilam tukasafahiana nia.
      Mohamed Said,

      ..kwa kumbukumbu zangu kuna Kamati ya Mashehe na Maaskofu ilipata kuundwa kushughulika na masuala ya amani nchini.

      ..nadhani kulikuwepo na mazungumzo yanafanyika na Askofu Method Kilauni alikuwa ni mmoja wa washiriki wakuu.

      ..pia kutokana na maneno-maneno wakati wa Uchaguzi kuna kamati ya nyingine iliyokwenda kufanya mazungumzo na wagombea Uraisi.

      ..wewe binafsi, au wale wenye mtizamo kama wako, wameshiriki kwa kiwango gani ktk juhudi hizo za kuleta maelewano?

      NB:

      ..Kamati kama hizo mara nyingi zinatafuta a way FORWARD, normally they r not obssesed with what happened in the PAST.

    10. #547
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default

      Quote By Zing
      Mkuu unataka nifanye quote ya quote .Hiyo itakuwa redunncacy au PC yako na browser hainyoshi pages za thread. hapa yanaadikwa mengi sasa ukitaka niquote yote itakuwa ni kutaka kurudi nyuma. S asa tunakwneda mbele tunaona dhima nzima ya kitabu muheshimwa MS ni chuki. Hayo majina ya Adul Sykes na Nyerere yanatumiwa tu.

      hata huyo Nyerere anayelumiwa naye anatumiwa tu. kifasihii ya kitabu chake ni kuwa anajenga watu waamin

      • Nyerere ana represent wakritsu wote wa Tanzania.-Mwandishi anaeleza hawa akina nyerere, kanisa na wakristu ni wa i watu wa fitna wasiopenda maendeleo ya waislam.


      • Abdulwahid sykes anapresent waislam wate wa tanzania- Hawa ni watu amabo bila wao tanzania isingepata uhuru. Hawa ni watu wanaoonewa kudhulumiwa na kunyanyaswa na akina nyerere/ wakristu.na kanisa
      Duhh, kama hizo ndio "quote" basi naona mie sielewi maana ya "quotation".

      Nakuomba soma kitabu tajwa.

    11. #548
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,545
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      2405
      Likes Given
      166

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Diehard
      Hiki kitabu nilidhani kinadhima ya kuirekebisdha historia na wakati huohuo kuwaenzi wazee wako kina Sykes na wenzake na hasahasa Adulawahid,
      Nimesema mwanzo na nitaendelea kusema kwamba hapa Tanzania huwezi kuitenganisha familia ya Sykes na uhuru wa Tanzania.

      Nitofautiane tena na wewe hapa unaposema ati waliotenda wamekaa kimya na hawawezi kukufanya chochote. Ni imani yangu wengi wao ni vizee na wengi wao wametangulia mbele ya haki na pia wengi wao leo hii hawana mamlaka ya kimaamuzi zaidi ya kuwa pensioners.

      Mtiririko wa maelezo yako hapa ni ya kujihami kitu ambacho si sura nzuri ulichowweka hapa katika JF ni jambo muhimu ambalo kila mmoja anavutiwa kutaka kujua zaidi na ndio maaana mjadala ni mrefu.Wengine wanaona kitabu kitajenga chuki baina yetu yaani waislam na wakristo lakini yote kwa yote ni mtazamo ambao wewe kama mwandishi unatakiwa kutudadavulia ili tupate kujua yalopita.

      Sijawahi kuwa na sitakuja kuidharau dini ya mtu au kuikashifu, sijawahi kumchukia mtu au kuhitilafiana na mtu ati tu dini zetu ni tofauti, sipendi na nasema sipendi kumkwaza mtu kwa sababu ya dini yake. Kitabu chako kitasomwa lakini kama kina element za udini na kuwakashifu wengine wasiwasi wangu kutawafanya watu hao wengine wajue ukweli na kuupuuza ukeli na mwisho wa siku watu tu wa dini fulani watabaki kuwaenzi the so called 'wazee wako' Napenda uje kuandika kitabu chenye historia isiyo angalia dini ya mtu chenye ukweli na mvuto ili tuje wafundisha watoto wetu kweli hiyo. Najivunia utanzania na utanganyika na nina penda kesho niwafundishe wanangu historia isichakachuliwa ningeijua na ningekuwa na kipaji cha kuandika vitabu nadhani ningefanya nakuomba wewe ufanye kwakuwa naona una kipaji na unayajua mengi katika hilo.

      Binasi nawafahamu waislam na mchango wao katika taifa kama ninaifahamu familia ya Kleist. Pia binafsi sikuwahi kufuatilia kwa nini Nyerere alikuja kuwa rais wa tanganyika nikidhania yalikuwa makubaliano baina ya wanaharakati hawa.

      Ninashukuru kwa mengi uliyojibu katika mada hii nimeyajua mengi sana,mengine yananifanya nipige picha ya kipindi hicho na kujaribu kujiundia picha ya kusadikika ya watu na mzizima yenyewe.
      Kitabu hakijakashifu wala kudharau dini ya mtu.

      Kitabu kingekuwa hivyo kisingesheherekewa katika Vyuo Vikuu Ulaya na Marekani
      kunapofundishwa "Islam and Politics" wala kingefanyiwa pitio katika Cambridge Journal
      of Africa History. Humo hakingii kitabu cha ovyo ovyo.

      Utaingizwa humo ukija na kitu kilichokuwa na maana.

      Nimehadhir kwingi kuhusu kitabu hicho. Vyuo havialiki mtoa kashfa na matusi au mtukana
      dini za watu.

      Wakuletee tikiti ya ndege, wakulaze hoteli nyota tano, wakupe na honorarium ya madola
      kwa sifa ya kuandika upuuzi!

      Hebu tulelewane ndugu zangu.

      Kwa lipi wakualike. Ili ukakashifu dini yao?

      Hilo ni muhali. Na hao wanonialika ni Wakristo.

      Hao Wakrsto walimu wa vyuo hivyo na marafiki zangu wa kualikana majumbani
      kila wakija Tanzania.

      Kinachowastua wengi hapa nyumbani ni ile tu kusema Waislam ndiyo walioongoza mapambano
      dhidi ya Waingereza.

      Kwa wenzetu hiyo ni "statement of fact."

      Na kwangu mimi huo ni ukweli na utauona katika historia yenyewe.

      Tatizo limekuja baada ya uhuru ikaanza fitna dhidi ya Uislam kwa woga tu.

      Vyombo vya dola vikatumika kuvunja nguvu ile iliyoonekana katika kupigania uhuru.

      Ikawa na historia yenyewe inaogopwa ikafanywa kitu cha kutisha.

      Matokeo yake kukawa na historia rasmi ya uhuru inaanza na kumalizikia na Nyerere.

      Leo mimi kuja na historia ya TANU kama nilivyoelezwa na wazee wangu na kueleza hisia zao...

      Ndiyo hii sasa...

      Wasiotishika na historia hii ni wajukuu wa hao waliopigania uhuru.

      Kila wakiwa na likizo katika shule zao wananialika katika "camps" nikawafunze
      historia hii wao wameipa jina "Historia ya Kweli."

      Hebu tuondokane na huu uoga wa kuogopa Uislam ulopandikizwa bila ya sababu.

    12. #549
      Zing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Posts : 1,780
      Rep Power : 3181
      Likes Received
      426
      Likes Given
      552

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Sababu tumetoka kwenye kitabu tusaidie kueleweshana machache
      Kwa nini wanapinga Mahakama ya Kadhi.
      Sababu serikali haina dini

      • Mimi kama mkristu napinga mahakama hiyo . utasema sababu mimi ni mkristu
      • Wewe kama muislam unataka iwe sehemu ya serikali . ok nitasema sababu wewe ni muislam

      lakini wote wawili mimi nawewe tukiweka dini pembeni na kuweka maadili ya kisheria na kama tumesoemea sheria na tunajua katiba ya nchi. wote tutakuja na jibu moja . No to Mahakama ya kadhi. Kwa hiyo jibu hili kwa mwenye mawazo finyu ataona linawapendela wakristu.
      So msidhani hata wasilam wenzenu Kina JK na wengine wanafitini. madai yenu mengine hayana base ya kitaifa

      Wewe MS hata ukiteuliwa Kuwa mwanasheria mkuu leo ukifuata taaluma ya sheria utapata wakati mgumu kupata hoja kuanzisha mahakam hii kiserikali. Huu ndio ukweli


    13. #550
      Nanren's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2009
      Posts : 1,048
      Rep Power : 720
      Likes Received
      363
      Likes Given
      562

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Mohamed Said
      Sisi na Kanisa tunaelewana sana.

      Hatukuanza leo.

      Wewe usishughulike.

      Haya ndiyo katika yale yasosemwa.

      Samahani kama umekwazika. Haikuwa nia yangu kukukwaza. Nia yangu ni kukupa majibu sahihi kadri nitakavyoweza. Lakini ili nitoe majibu sahihi, kweli ningependa kujua hizi "terms" KANISA na WAKALA WA KANISA kama unavyoelewa wewe muulizaji.

      Siwezi kukisia kwamba labda
      a) KANISA maana yake ni watu wote wasio waislam
      b) Watu wote ambao ni wakristo
      c) Vyombo vikuu vinavyosimamia wakristo nchini
      d) Nyumba za ibada za wakristo.

      Na WAKALA WA KANISA labda ni
      a) Mkristo anayekusanya habari za kiintelijensia kwa niaba ya kanisa
      b) Mkristo ambaye ni mwakilishi rasmi anayelipwa na kanisa kufanya kazi za kanisa nje ya kanisa.
      c) Mtu yeyote yule bila kujali dini yake anayefanya mambo ambayo wasio wakristo hawayapendi.

      Bila mimi kujua ulichomaanisha, inakuwa ngumu kukujibu kwa hoja au kukupa majibu sahihi.

    14. #551
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,545
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      2405
      Likes Given
      166

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By JokaKuu
      Mohamed Said,

      ..kwa kumbukumbu zangu kuna Kamati ya Mashehe na Maaskofu ilipata kuundwa kushughulika na masuala ya amani nchini.

      ..nadhani kulikuwepo na mazungumzo yanafanyika na Askofu Method Kilauni alikuwa ni mmoja wa washiriki wakuu.

      ..pia kutokana na maneno-maneno wakati wa Uchaguzi kuna kamati ya nyingine iliyokwenda kufanya mazungumzo na wagombea Uraisi.

      ..wewe binafsi, au wale wenye mtizamo kama wako, wameshiriki kwa kiwango gani ktk juhudi hizo za kuleta maelewano?

      NB:

      ..Kamati kama hizo mara nyingi zinatafuta a way FORWARD, normally they r not obssesed with what happened in the PAST.
      Unajua tabu unayokupata wewe ni kuwa unatazama mambo bila kuingia katika undani wake.

      Hizo kamati huwa sisi Waislam sharti tunacheka.

      Hao wanaoitwa ni wale nilopata kusema "Waislam wa Bakwata."

      Hukuti Sheikh wa maana.

      Sasa serikali/kanisa (hao ni kitu kimoja) wako "comfortable."

      Hao maaskofu akina Malasusa hawatakubali hata siku moja kukaa meza moja
      na mimi au Sheikh Ali Basaleh, Sheikh Mohamed Iddi au Sheikh Mohamed Issa.

      Wanajua sisi si watu wa kuburuzwa na kurubuniwa.

      Sisi si wajinga. Tuna umma wa Waislam nyuma yetu.

      Nimetoa orodha ya DVD nilizofanya mihadhara ndani ya misikiti maarufu Dar es Salaam
      na vituo vya radio za Kiislam.

      Bakwata hawathubutu kutia pua hapo.

      Watapopolewa mawe na Waislam na hilo wao wanalijua.

      Sasa kwa kanisa kudhani inaweza kuleta amani kwa kuwatumia masheikh
      wa Bakwata wanapoteza muda wao.

      Bakwata hawajakubaliwa na umma wa Waislam.

      Tafadhali zitafuteni hizo DVD mziangalie na kuzisikiliza mtaelewa Waislam nini tunakipigania.
      Zinapatikana nje ya misikiti mingi Dar es Salaam na miji mingine.

      Vinginevyo itakuwa hii "hide and seek" haitopatikana tija yeyote.

      Nilipokamatwa uwanja wa ndege na makachero waliniuliza nina nafasi gani kwa Waislam.
      Nikajibu, "Mimi kiongozi wao."

      Ulichaguliwa wapi?

      Nikawajibu, "Waislam hatuchaguani kama CCM lakini twende msikiti wowote Dar es Salaam
      niweke mbele ya membar halafu waulize Waislam huyu mbele yenu mnamtakidi vipi?"

      Jibu watakupa Waislam.

      Inatosha.

    15. #552
      Zing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Posts : 1,780
      Rep Power : 3181
      Likes Received
      426
      Likes Given
      552

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Kwa nini wanafanya mikutano pembeni na Waislam wanafiki ilhal viongozi
      wa kweli wa umma wapo
      • Je hata hii serikali ya sasa bado inafanya mikutano na viongozi wanafiki?
      • Viongozi wa kweli ni kina nani hao?

      Nini lilikuwa kosa la marehemu Prof. Malima hata wakamwandama kiasi kile.
      Ni kule kumtaarifu Rais Mwinyi kuwa Wizara ya Elimu inadhulumu vijana wa Kiislam.
      Inawadhulumu vipi? Na wewe unaamini
      Kosa lake ilikuwa ni fitina zisizo za ukweli . Sababu tunaona hivi leo wanafunzi wanfanya mitihani kwa number sijui wakristo wa wizara ya elimu wanatumia mbinu gani kujua number fulani ni ya husein na Juma na numbe r fulani ni ya Michael. % imekuwaje au bado tunafanya fitina.

      Au kuondoa fitina dawa itakuwa ni kundoa mtihani wa darasa na la saba na kuondoa hata mtihani wa form IV.Is It????


      At least walau siku hizi madarasa tunaona wamenza kuwafundisha watoto ilimu dunia kama hesabu . Haya ndo mambo yataleta mabadiliko.
      Huwezi ku tacle tatizo la elimuya waislam kwa kushupalia wizara ya elimu tu.

    16. #553
      Zing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Posts : 1,780
      Rep Power : 3181
      Likes Received
      426
      Likes Given
      552

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Mohamed Said
      Unajua tabu unayokupata wewe ni kuwa unatazama mambo bila kuingia katika undani wake.

      .......................
      Hao wanaoitwa ni wale nilopata kusema "Waislam wa Bakwata."
      Hukuti Sheikh wa maana.
      Sasa serikali/kanisa (hao ni kitu kimoja) wako "comfortable."

      Hao maaskofu akina Malasusa hawatakubali hata siku moja kukaa meza moja
      na mimi au Sheikh Ali Basaleh, Sheikh Mohamed Iddi au Sheikh Mohamed Issa.
      mhhhh Dah kazi kwelikweli. Sasa Askofu Malasusa kilaini mkae nao meza moja ili mjadili nini.

    17. #554
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8469

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Fr. Wille ambaye alimfahamu Nyerere kuanzia 1955 (siyo kusimuliwa na watu wengine) aliandika hivi katika tafakari yake ya kumbukumbu ya Nyerere.





      Within three months of returning to Dar es Salaam Julius joined the Tanganyikan African Association. He had been a member of this organization when he was at Makerere. A much respected British Governor, Sir Donald Cameron, had established the Tanganyikan African Association as a social club for civil servants.

      It continued to be involved in this way, but never with the purpose of seeking independence. As Julius got to know TAA better, he found that it was merely a social club interested mainly in giving tea parties for expatriates who were going on leave.
      As a newcomer to Dar es Salaam Julius was seen as one with the people. He was in contrast to Chief David Makwaia, who was the favorite politician of the then Governor Edward Twining. Chief David Makwaia was a university graduate. Like many Africans with university education at this time, they became sophisticated. Chief Makwaia preferred to be with the Europeans. He was elected to the Legislative Council of the governor.

      Julius quickly gained leadership and was elected president of TAA. He began by educating his followers to think about independence. Chief Patrick Kunambi who knew him well said that his leadership was not based on what Julius promised “because Julius practically never promised anything.”

      Another associate of his, Abdul Sykes, once said, “Nyerere made us start to think: all we wanted was independence.” Because of this goal of independence Nyerere and his colleagues reorganized TAA as a political party, the Tanganyika African National Union, on July 7, 1954. It became better known as TANU and the date of it founding, the seventh day of the seventh month became Saba Saba (in Swahili “seven-seven”).

      His colleagues unanimously elected Julius as president of TANU. He was 32 years old at the time. One of the founding members of TANU, Abbas Sykes said, “He came at the right time. Usually if a man went away to university when he came back he would not be one with us; he would be very sophisticated. But here was a man who had the same kind of education — higher in fact, because he had an M.A. instead of a B.A. — who was willing to be with his people.

      This humility— ‘I’m willing to serve you’— made everyone forget that he was from up-country and that he wasn’t a Muslim.” There are as many Christians as Muslims in Tanganyika (now Tanzania) as a whole, but the coastal region is heavily Muslim.

      One of the great challenges that Julius foresaw and spoke to me about when he was teaching me was a conflict between religions, especially between Christians and Muslims. It is ironic that the law that Governor Edward Twining passed which forbade anyone who was receiving a government salary from joining TANU could have increased this danger.

      The Christians at this time were predominantly the educated people who held government jobs. They were also teachers in church schools. The government paid the salaries of all the teachers in the country even though the schools were built and administered by various Christian churches.
      It was because of this law that Julius had to resign from teaching at St. Francis College in Pugu. It was a difficult decision for him. He loved teaching. He once told me that if he had confidence in any one of his party members who would not cause bloodshed and bring Tanganyika to independence he would gladly return to his books. He was a scholar at heart.
      Kuna mambo kadhaa ambayo ningependa kujua msimamo wa Bw. Said:

      a. Ni kweli Governo Cameron ndiye aliyeanzisha TAA kama social Club ya Civil servants?

      b. Ni kweli Nyerere alikuwa mwanachama wa TAA tangu akiwa Makerere?

      c. Ni kweli kwamba TAA ilikuwa "It continued to be involved in this way, but never with the purpose of seeking independence."?


      d. Ni kweli kwamba Abdul Skyes alikiri kuwa "
      Nyerere made us start to think: all we wanted was independence.”


      e. Ni kweli Abbas Skyes alidai kuwa "
      He(Nyerere) came at the right time. Usually if a man went away to university when he came back he would not be one with us; he would be very sophisticated. But here was a man who had the same kind of education — higher in fact, because he had an M.A. instead of a B.A. — who was willing to be with his people.This humility— ‘I’m willing to serve you’— made everyone forget that he was from up-country and that he wasn’t a Muslim.”





      f. Hata mtu kama Fr. Wille alikuwa anatambua mchango wa kina Skyes kuwa mtu kama Abbas ni "One of the founding members" wa TANU. Huyu ni padre na alikuwa anajua hili kwanini Bw. Said anafikiri hii ni siri ambayo haijulikani?

      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    18. #555
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,841
      Rep Power : 2971
      Likes Received
      2452
      Likes Given
      3533

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Mohamed Said,

      ..je, wewe na wanaharakati wa WARSHA mkipewa nafasi ya kuzungumza na WAKATOLIKI mtawaambia nini ili waweze kuwaunga mkono ktk harakati zenu?

      ..nauliza hivyo kwasababu at the end of the day TANZANIA ni yetu sote, Waislamu,Wakristo,Wapagani,wan aharakati wa Warsha,Wakatoliki, Walutheri etc etc.

    19. #556
      Nguruvi3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2010
      Location : Kidabashi-Dongobeshi
      Posts : 3,437
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      4802
      Likes Given
      2863

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Nimepitia post nyingi sana na yapo mambo muhimu ambayo yanahitaji majibu. Kwa bahati mbaya maswali mazito yamekuwa hayajibiwa kikamilifu bali yanababaishwa. Tunaomba majibu kwa ktoka kwa yoyote anayedhani ataweza kutusaidia.

      Mohamed Said, nimepitia hoja zako nyingi kwa umakini. Napenda nikukukumbushe msemo wa kiingereza unaosema '' If you have a problem and you can't solve it, you're the problem in first place''.
      Bakwata: MS- 'serikali ilipiga marufuku uanzishaji wa taasisi nyingine'. Mabadiliko yametokea na leo kuna Bakwata, Taasisi ya waislam, shura ya maimam, haki na mali za waislam(ponda), haki za waislam (khalifa) n.k. MS 'amesema wamejifunza kutoweka mayai katika kapu moja'
      Nakuhakikishia MS huna ufaham wa dhati kuhusu taasisi hizi. Nyingi ni za maslahi binafsi na si waislamu (ushahidi upo) . Hoja ya mayai katika vikapu tofauti si sahihi, mengine si mayai ni visa.

      MS,hakuna anayekataa kuwa wazee wetu waliotoa mchango katika harakati za uhuru. Ni asiye na ufaham atakayeamini kuwa AA, TAA au TANU vilianza na Nyerere. AA ilikuwepo kuanzia 1920 hata kabla ya Nyerere kuzaliwa. Viongozi wengi walikuwa waislam, hakuna ubishi. Tatizo ni pale pasiposemwa ukweli. Mfano, eti hakukuwa na wapagani enzi hizo! eti Nyerere alikuwa muovu tu hakuna jema alilofanya na wazee wenzake. Eti, mfumo wa Nyerere umedumaza elimu ya waislam,mbona hatuelezwi hali ilikuwa vipi wakati wa ukolon?Eti, ni waislam peke yao walioleta uhuru! n.k.
      Kama kitabu chako kingekuwa na mizania sawa, na kisingekuwa na chambe za udini na kuficha ukweli, kingesomwa sana duniani. Bahati mbaya sana kwa maneno yako ya ' wame, hawa, wao,sisi n.k umelenga kundi fulani la jamii kuwa wasomaji wako na watakubali tu kwasababu wanajua wewe ni MS. Unapoteza sehemu kubwa sana ya wasomaji ambao kwa kujua ukweli wangekuwa sehemu ya 'solution' ya matatizo unayoainisha.
      Unaposema historia ya wazee wako na Nyerere sasa ni 'Classic', kwa kukwepa au kushindwa kujibu au kukiri udhaifu na mapungufu fulani kunaondoa thamani ya neno 'classic' na kuwa replaced na ''controversy'.

      MS, kwa weledi wako mzuri sana ninashangaa unapohoji vitu kana kwamba wasomaji ni mbumbumbu. Huko mitaani walikoishia darasa la 4B au 7 D watakuelewa ukisema '' kwanini wanakataa tusijiunge na OIC'. Hapa JF ni tofauti sana. Kujiunga na OIC sio tatizo, suala ni je kuna faida? kuna hasara? tunaweza kufanya hivi bila kuathiri mfumo wetu wa maisha? tunaweza kukubaliana bila matatizo?, si suala la mbona msumbiji wamejiunga na ni wakristo? yes, wamejibu maswali yanyokidhi haja ya jamii zao kwanza.

      MS, umesema mbona hawataki ijengwe shule 'Darul Iman', jiulize katika mvurugano wa jumuiya lukuki za kiislam nani anaweza kuhoji kwa niaba ya waislam? Ni Ponda, ni Khalifa, ni Bakwata, ni Kundecha au sheikh wa kibaha! Tatizo si 'wao' ni nyinyi (nachukia kusema hivi).
      Jiulize pale kibaha kuna shule ya WHIPAS si ya waislam ile! Lakini jambo la muhimu zaidi ni kujiuliza kwanini unadhani kuzuiwa shule kunarudisha maendeleo ya waislam nyuma na usijiulize haya yafuatayo.
      1. Kwanini shule za waislam zinzotegemewa kuwa na maaadili zinaongoza kwa utovu wa nidham? (Ushahidi ninao).Jiulize hivi ile shule ya Ali Hassan Mwinyi Dodoma ina wanafunzi 250 na walimu 2, unategemea miujiza gani hapo kama si kufeli 'big time', kabla ya kulalamika kuhusu Darul Islam mmefanya nini kuhusu Ali Hassan Mwinyi sekondari.
      Jiulize, ilikuwaje Al haramain ilipokuwa na walimu 'serious' waliwahi kuingiza wanafunzi Chuo kikuu karibu asilimia 80 ya darasa, nini kimetokea baada ya hapo! kwanini walimu walikimbia.(nina ushahidi na hili).
      MS, kwanini usiangalie kuwa shule mbovu kwa matokeo ni za Waislam, na ni hizo hizo zina walimu 'unqualified' 3 na wanafunzi 400.
      MS, jiulize kwanini mtoto wa kiislam anayesoma Marian pale bagamoyo anakuwa wakwanza kitaifa? Jiulize ni kwanini waislam wenye uwezo wapeleke watoto wao shule ya masista kule Morogoro? Je umewahi kufanya ziara ya utafiti katika seminari na kuona tofauti!
      MS, unaposema wamezuia Darul Islam, tuambie hizi zilizopo zina ubora gani! je suala ni wingi au ubora?
      Kama kunadhuluma ya kujenga chuo kikuu huko nyuma hiyo ni historia kama ya wazee wako, sasa tuambie kile cha Morogoro kinaendeleaje na kwanini wahadhiri wanakimbia tena ni waislam? why!

      Vyombo vya habari: Mimi nadhani ni vigumu kuvilaumu. Leo Ponda anasema hili, kesho halifa anajibu hivi keshokutwa Shaaban simba anasema hivi, siku nyingine Kundecha anajibu hivi, sasa ninani mwenye kauli juu ya waislam. Pili kauli zingine zinaashiria kuvuruga taifa. Hebu fikira MS yupo katika TV anasema '' wao wametudhulum wamechukua asilimia 85% ya viti vya ubunge, Sisi tunasema wao wasije n.k.
      Wabunge hawateuliwi Mohamed, wanapigiwa kura na ninawapongeza wananchi kwa kuchagua watu na si dini. Nigeria haijawasiaidia hata kidogo. Simamisheni watu wanaokubalika na jamii. Ukisimamisha mgombea kwasababu ni muislam, tayari unapoteza nusu ya wapiga kura. Na miongoni mwa wapiga kura wako wapo watakaokukataa.
      Kuna mbunge mwislam anakubalika katika jimbo lenye wakristo wengi kwasababu ya weledi wake si dini yake.(ushahidi upo)

      Matatizo mengi yapo ndani ya jamii ya waislam, lakini kuna njia za kutaka kukwepa ukweli kwa kutumia visingizo tu. Narudia msemo '' If you can't solve a problem, you're the problem in the first place'

      Ahsante

    20. #557
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,545
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      2405
      Likes Given
      166

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By JokaKuu
      Mohamed Said,

      ..je, wewe na wanaharakati wa WARSHA mkipewa nafasi ya kuzungumza na WAKATOLIKI mtawaambia nini ili waweze kuwaunga mkono ktk harakati zenu?

      ..nauliza hivyo kwasababu at the end of the day TANZANIA ni yetu sote, Waislamu,Wakristo,Wapagani,wan aharakati wa Warsha,Wakatoliki, Walutheri etc etc.
      Warsha haipo.

      Agenda yetu na Wakatoliki si wao kutuunga mkono.

      Wao wanajua tutakachozungumza wala hili usitie shaka.
      Unadhani wao na sie hatujuani?

      Mbona mie nikizungumza na Fr Peter Smith mtaalamu wa
      Kanisa kuhusu Uislam?

      Akija hadi ofisini kwangu. Alinitafuta baada ya kunisoma.
      Tukizungumza mengi sana.

      Nami sikumficha kitu.

      Nikimuuliza je nyinyi mngekubali kupewa kasma ya 10% kwa
      watoto wenu ndiyo wapewe elimu kama mnavyotufanyia?

      Nyie mngekubali TEC ivunjwe na Ali Hassan Mwinyi akuundieni
      baraza kibaraka kama Nyerere alivyotuundia sisi Bakwata?

      Tatizo kubwa ni kuwa wao wamo ndani ya serikali huo
      Mfumo Kristo unaozungumzwa ni wao.

      Kabla ya mazungumzo la kwanza kutanzua serikali ni ipi na
      Kanisa ni nani.

      Siyo yale ya Membe Bungeni anasema OIC haina tatizo
      siku ya pili Pengo anamuita akirudi anatoa kauli nyingine.

      Hatutowaruhusu kupanda farasi wawili.

      Hakika umesema kweli nchi hii ni yetu sote.

      Vibaya dini moja wakajijaza wao kila mahali na kuzuia wengine.

      Hii ni fitna na dhulma na fitna na dhulma huangamiza nchi.

    21. #558
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,545
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      2405
      Likes Given
      166

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Nguruvi3
      Nimepitia post nyingi sana na yapo mambo muhimu ambayo yanahitaji majibu. Kwa bahati mbaya maswali mazito yamekuwa hayajibiwa kikamilifu bali yanababaishwa. Tunaomba majibu kwa ktoka kwa yoyote anayedhani ataweza kutusaidia.

      Mohamed Said, nimepitia hoja zako nyingi kwa umakini. Napenda nikukukumbushe msemo wa kiingereza unaosema '' If you have a problem and you can't solve it, you're the problem in first place''.
      Bakwata: MS- 'serikali ilipiga marufuku uanzishaji wa taasisi nyingine'. Mabadiliko yametokea na leo kuna Bakwata, Taasisi ya waislam, shura ya maimam, haki na mali za waislam(ponda), haki za waislam (khalifa) n.k. MS 'amesema wamejifunza kutoweka mayai katika kapu moja'
      Nakuhakikishia MS huna ufaham wa dhati kuhusu taasisi hizi. Nyingi ni za maslahi binafsi na si waislamu (ushahidi upo) . Hoja ya mayai katika vikapu tofauti si sahihi, mengine si mayai ni visa.

      MS,hakuna anayekataa kuwa wazee wetu waliotoa mchango katika harakati za uhuru. Ni asiye na ufaham atakayeamini kuwa AA, TAA au TANU vilianza na Nyerere. AA ilikuwepo kuanzia 1920 hata kabla ya Nyerere kuzaliwa. Viongozi wengi walikuwa waislam, hakuna ubishi. Tatizo ni pale pasiposemwa ukweli. Mfano, eti hakukuwa na wapagani enzi hizo! eti Nyerere alikuwa muovu tu hakuna jema alilofanya na wazee wenzake. Eti, mfumo wa Nyerere umedumaza elimu ya waislam,mbona hatuelezwi hali ilikuwa vipi wakati wa ukolon?Eti, ni waislam peke yao walioleta uhuru! n.k.
      Kama kitabu chako kingekuwa na mizania sawa, na kisingekuwa na chambe za udini na kuficha ukweli, kingesomwa sana duniani. Bahati mbaya sana kwa maneno yako ya ' wame, hawa, wao,sisi n.k umelenga kundi fulani la jamii kuwa wasomaji wako na watakubali tu kwasababu wanajua wewe ni MS. Unapoteza sehemu kubwa sana ya wasomaji ambao kwa kujua ukweli wangekuwa sehemu ya 'solution' ya matatizo unayoainisha.
      Unaposema historia ya wazee wako na Nyerere sasa ni 'Classic', kwa kukwepa au kushindwa kujibu au kukiri udhaifu na mapungufu fulani kunaondoa thamani ya neno 'classic' na kuwa replaced na ''controversy'.

      MS, kwa weledi wako mzuri sana ninashangaa unapohoji vitu kana kwamba wasomaji ni mbumbumbu. Huko mitaani walikoishia darasa la 4B au 7 D watakuelewa ukisema '' kwanini wanakataa tusijiunge na OIC'. Hapa JF ni tofauti sana. Kujiunga na OIC sio tatizo, suala ni je kuna faida? kuna hasara? tunaweza kufanya hivi bila kuathiri mfumo wetu wa maisha? tunaweza kukubaliana bila matatizo?, si suala la mbona msumbiji wamejiunga na ni wakristo? yes, wamejibu maswali yanyokidhi haja ya jamii zao kwanza.

      MS, umesema mbona hawataki ijengwe shule 'Darul Iman', jiulize katika mvurugano wa jumuiya lukuki za kiislam nani anaweza kuhoji kwa niaba ya waislam? Ni Ponda, ni Khalifa, ni Bakwata, ni Kundecha au sheikh wa kibaha! Tatizo si 'wao' ni nyinyi (nachukia kusema hivi).
      Jiulize pale kibaha kuna shule ya WHIPAS si ya waislam ile! Lakini jambo la muhimu zaidi ni kujiuliza kwanini unadhani kuzuiwa shule kunarudisha maendeleo ya waislam nyuma na usijiulize haya yafuatayo.
      1. Kwanini shule za waislam zinzotegemewa kuwa na maaadili zinaongoza kwa utovu wa nidham? (Ushahidi ninao).Jiulize hivi ile shule ya Ali Hassan Mwinyi Dodoma ina wanafunzi 250 na walimu 2, unategemea miujiza gani hapo kama si kufeli 'big time', kabla ya kulalamika kuhusu Darul Islam mmefanya nini kuhusu Ali Hassan Mwinyi sekondari.
      Jiulize, ilikuwaje Al haramain ilipokuwa na walimu 'serious' waliwahi kuingiza wanafunzi Chuo kikuu karibu asilimia 80 ya darasa, nini kimetokea baada ya hapo! kwanini walimu walikimbia.(nina ushahidi na hili).
      MS, kwanini usiangalie kuwa shule mbovu kwa matokeo ni za Waislam, na ni hizo hizo zina walimu 'unqualified' 3 na wanafunzi 400.
      MS, jiulize kwanini mtoto wa kiislam anayesoma Marian pale bagamoyo anakuwa wakwanza kitaifa? Jiulize ni kwanini waislam wenye uwezo wapeleke watoto wao shule ya masista kule Morogoro? Je umewahi kufanya ziara ya utafiti katika seminari na kuona tofauti!
      MS, unaposema wamezuia Darul Islam, tuambie hizi zilizopo zina ubora gani! je suala ni wingi au ubora?
      Kama kunadhuluma ya kujenga chuo kikuu huko nyuma hiyo ni historia kama ya wazee wako, sasa tuambie kile cha Morogoro kinaendeleaje na kwanini wahadhiri wanakimbia tena ni waislam? why!

      Vyombo vya habari: Mimi nadhani ni vigumu kuvilaumu. Leo Ponda anasema hili, kesho halifa anajibu hivi keshokutwa Shaaban simba anasema hivi, siku nyingine Kundecha anajibu hivi, sasa ninani mwenye kauli juu ya waislam. Pili kauli zingine zinaashiria kuvuruga taifa. Hebu fikira MS yupo katika TV anasema '' wao wametudhulum wamechukua asilimia 85% ya viti vya ubunge, Sisi tunasema wao wasije n.k.
      Wabunge hawateuliwi Mohamed, wanapigiwa kura na ninawapongeza wananchi kwa kuchagua watu na si dini. Nigeria haijawasiaidia hata kidogo. Simamisheni watu wanaokubalika na jamii. Ukisimamisha mgombea kwasababu ni muislam, tayari unapoteza nusu ya wapiga kura. Na miongoni mwa wapiga kura wako wapo watakaokukataa.
      Kuna mbunge mwislam anakubalika katika jimbo lenye wakristo wengi kwasababu ya weledi wake si dini yake.(ushahidi upo)

      Matatizo mengi yapo ndani ya jamii ya waislam, lakini kuna njia za kutaka kukwepa ukweli kwa kutumia visingizo tu. Narudia msemo '' If you can't solve a problem, you're the problem in the first place'

      Ahsante
      Unachanganya mambo mengi.

      Shule zinazofanya vibaya za Kiislam, maslahi binafsi ya Waislam, uchaguzi nk. nk.

      Yote yana majibu lakini ningependa sana kujikita katika historia na kama unataka kuanzisha
      uzi mwingine wa haya ahlan wa saalan.

      Ila jua kuwa Baraza la Mitihani ni moja ya majimbo ya Kanisa na kila siku mitihani iko mitaani
      inauzwa.

    22. #559
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,545
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      2405
      Likes Given
      166

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Fr. Wille ambaye alimfahamu Nyerere kuanzia 1955 (siyo kusimuliwa na watu wengine) aliandika hivi katika tafakari yake ya kumbukumbu ya Nyerere.







      Kuna mambo kadhaa ambayo ningependa kujua msimamo wa Bw. Said:

      a. Ni kweli Governo Cameron ndiye aliyeanzisha TAA kama social Club ya Civil servants?

      b. Ni kweli Nyerere alikuwa mwanachama wa TAA tangu akiwa Makerere?

      c. Ni kweli kwamba TAA ilikuwa "It continued to be involved in this way, but never with the purpose of seeking independence."?


      d. Ni kweli kwamba Abdul Skyes alikiri kuwa "
      Nyerere made us start to think: all we wanted was independence.”


      e. Ni kweli Abbas Skyes alidai kuwa "
      He(Nyerere) came at the right time. Usually if a man went away to university when he came back he would not be one with us; he would be very sophisticated. But here was a man who had the same kind of education — higher in fact, because he had an M.A. instead of a B.A. — who was willing to be with his people.This humility— ‘I’m willing to serve you’— made everyone forget that he was from up-country and that he wasn’t a Muslim.”





      f. Hata mtu kama Fr. Wille alikuwa anatambua mchango wa kina Skyes kuwa mtu kama Abbas ni "One of the founding members" wa TANU. Huyu ni padre na alikuwa anajua hili kwanini Bw. Said anafikiri hii ni siri ambayo haijulikani?
      Huyo ni Lady Judith Listowel.

      Hayo yote ulouliza na Judith LIstowel nishaeleza kwa kirefu.

      Rejea nyuma utayakuta.

      Wana ukumbi walosoma hiyo wamwelekeze wapi aingie.

    23. #560
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,545
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      2405
      Likes Given
      166

      Default Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

      Quote By Zing
      mhhhh Dah kazi kwelikweli. Sasa Askofu Malasusa kilaini mkae nao meza moja ili mjadili nini.
      Kwani walipokaa Movenpick na Bakwata walijadili nini?

    Page 28 of 40 FirstFirst ... 18262728293038 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...