Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...
Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA
Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...
Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA
Invisible, is this an evidence that Lowassa is Fisadi? Nikienda Brela nitapata majina yenu wote mnaomiliki JF, does it make you Fisadi kwa kumiliki JF. Jibu ni hapana.
Ningefarijika sana kama tungeenda kwenye sheria za nchi na kujiuliza Barare wanalipa kodi? je wameajiri watanzania wangapi? mtaji wa kuanzisha kampuni ulitoka wapi? Kisha tuweke ushahidi unaoonyesha kuwa mtaji ulipatikana kwa wizi, udanganyifu au njia isiyo halali.
Hivi nikiwa na hela zangu siruhusiwi kuziwekeza? mbona Ndesamburo anamiliki Hotel Uingereza, amefisadi wapi? We should be objective my dear brothers. Hizi fikira za kuona mtu mwenye pesa ni fisadi ni fikira mufilisi kabisa.
Tukio
Miezi miwili iliyopita, maeneo ya kawe bwana mmoja akiwa kwenye Land Cruiser 105 anaelekea mjini, daldala likampiga pasi, liliposimama akashuka kwenda kumuuliza dereva kwanini kafanya hivyo. Kwa kuwa Dereva ni jeuri akaanza kumtukana na kumwambia fisadi, katikati ya malumbano abiria wakapokea fisadi, fisadi maraumati ukaanza kujaa bila hata kuuliza kuna nini wote wakaanza kuimba fisadi. Yule bwana kuona hali inakuwa tofauti akarudi kwenye gari yake akaondoka. kila mwenye kitu tofauti anaitwa fisadi hata kama ni mkopo kutoka benki hakuna anayeona zaidi ya kujenga chuki ya ufisadi.
My Take
450Ml ni pesa ambazo leo hii ukienda saccos unaweza kukopeshwa, siyo lazima uwe umeiba ndiyo uwe na 450ml.
Sijui ni aina gani ya ufunuo na hekima ulizonazo kama umeshindwa kutambua hata hili lililo wazi kabisa. Nyaraka za Brela zimewekwa hapa kama kielelezo cha kuthibitisha kwamba EL ni mmiliki wa kampuni ya Barare na kwamba uhamishaji wa fedha umefanywa na familia ya EL. Sasa je, ni biashara gani anayofanya inayoweza kumpa turnover ya 8 bilion
Kwa mwezi kama si biashara haramu na mavuno ya matumizi yake ya madaraka?
Pata ufunuo huu ukusaidie!
This country is full of mazingaombwe!!!
There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela
e-mail: [email protected]
There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela
e-mail: [email protected]
Ni vizuri Watanzania wakaacha kuhukumu bila kuwa na ushahidi
Wana JF hivi ili suala limeishia wapi?
Jamani Jamani tumwogope Mungu Hata Ukiwa Waziri kwa Miaka 5 Huwezi kuwa na mtaji wa 8Billions. lazima ziwe zimetoka mikono ovu!
Hekima Ufunuo Pound Sterling 475,000.00 ni sawa na Tsh 450Million? hebu kapitie upya exchange rate ya P0UND STERLING against Tanzanian shilling! Huyo aliyeitwa Fisadi ni reflection ya GAP kubwa kati ya walionacho na wasio nacho!!
Hili suala la Gap kati ya walionacho na wasionacho is mis-leading na inatumiwa na wanasiasa zaidi kwa sababu obvious wafanyabiashara lazima weweze ku-control fedha nyingi. Pamoja na kwamba hizo fedha wanazimiliki wao, ni vizuri kujua kwamba hizo fedha ni kwa ajili ya biashara zao!
Tabia iliyojengeka kwa wa-TZ kuona matajiri kama watu wasiotakiwa itakula kwetu kwa sababu tunaishia kuchukia wajasiriamali na hivyo kutokuwa-probusiness katika mitazamo yetu mingi; ki-sera na vinginevyo.
tunahitaji kubadilika! Tunahitaji kujua kwamba wengine ni lazima wawe na fedha nyingi ili kwa sababu wana mawazo ya kuzipata hizo fedha nyingi, mawazo ambayo pia yanaeweza kutusaidia wengine wakapata ujira wao, kazi n.k. Na hapo utofauti wetu pia huonekana. Hao wanaita wenzao mafisadi bila hata kujua kama kweli ndivyo hivyo, wengi wao wana tatizo la kutokujua au wanaamini yanayosemwa na vyombo vya habari na maneno ya mitaani.
Ufisadi nao pia upo, ni kweli. Lakini pia ufisadi unaweza kuwa na faida kama matokeo yake yakawa ni kuongezeka kwa ujasiriamali, siyo kupeleka fedha kuweka benki huko ughaibuni n.k. ...
.....
Hata CCM wajifarague namna gani sijamuona mchapakazi kama Lowassa. Tena walikuwa na bahati wakaichezea. Kwa vile Rais wao alikuwa dhaifu, kuwepo kwa Lowassa kungeziba pengo hilo na ombwe la uongozi lililopo lisingeonekana sana. Kosa la pili, lilikuwa kumteua Pinda Waziri Mkuu ambaye alikuwa chini ya Lowassa. Kibinadamu kila Pinda anapotaka ajitahidi huona kivuli cha Lowasa kiutendaji. Yaani Pinda anamuona Lowassa kama boss wake, milele na huo ndo ukweli.
Hebu hao mabingwa wa kupambana na ufisadi watwambie, hivi serikali ilipata hasara gani katika suala la Richmond? Si ni Lowassa huyuhuyu ndiye alipambana na Citywater hadi wakang'oka na hata kesi waliyofungua tukashinda.
Iweje iweje, ipo siku umma utakubali kuwa CCM waliteleza na hadi sasa hakuna mchapa kazi na anaekubalika kama Lowassa ndani ya CCM, nani? Mtaje. Lakini kosa la CCM wamempaka matope sana kiasi cha kwamba amechafuliwa mno, huenda inaweza kuwa vigumu kumsafisha na kumtengeneza kama Rais mtarajiwa tukizingatia nguvu za upinzani.
Ukweli CCM mliteleza, na mtajuta!
Tehe tehe tehe, yetu macho bana. Jambo la msingi nchi hii kwa sasa haina msafi hata mwanafunzi akitoka chuo na kupata kazi anawaza kupiga dili na kuingiza fedha fasta, iwapo atakwama atatafuta pori jingine la kuvuna. Ila kasi ya vigogo kwenda kisutu inatupa somo.
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Huyu hafai na wala asiogopwe wala kutegemea kwani kambi aliyoipanga imsaidie imeshavurugwa (Halmashauri Kuu, Wakuu wa wilaya na Mikoa hawapo) ndio wangempigia kura za uteuzi
Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum
Kwa wale ambao watakuwa wamepitwa na haya madudu...
[email protected]
Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji
A diplomat is a man who always remembers a woman's birthday but never remembers her age.
La Dolce Vita
Hata mimi hii subjectivity ya watz inanipa hofu sana. Matajiri wenye makampuni makubwa tu na wamewekeza hadi nje ya nchi, tunaambiwa WAFANYABIASHARA. Wengine wakifanya hivyo wanaitwa MAFISADI. Tuache ushabiki na uvivu wa kufikiri
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Follow Us Here