TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 1 of 97 1 2 3 11 51 ... LastLast
Results 1 to 20 of 1932
  1. #1
    Senior Member tibwilitibwili will become famous soon enough tibwilitibwili will become famous soon enough tibwilitibwili will become famous soon enough tibwilitibwili will become famous soon enough tibwilitibwili will become famous soon enough tibwilitibwili will become famous soon enough tibwilitibwili will become famous soon enough tibwilitibwili will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Sep 2006
    Posts
    221
    Thanks : 0
    Thanked 3 Times in 1 Post
    Rep Power
    24

    Default Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Hii ndiyo halisi ya habari Tanzania . Naleta makala hii japokuwa ni ya muda kidogo ili iweze kuingia kweney record. Je ni kwa sababu hii ndiyo maana waandishi wanalamba viatu vya JK ?


    HEADLINE: CCM magnates in the media

    The treasurer of the Chama cha Mapinduzi (CCM) and advisor to the government party on economic and financial issues, the businessman and MP Rostam Aziz has recently acquired a significant stake in the largest press company in the country, Habari Corporation Ltd (HCL).

    And yet he is not a newcomer in the Tanzanian press sector, since during the 1990s he had launched the company Mwananchi Communications Ltd (MCL) in partnership with Ferdinand Ruhinda, a former ambassador turned businessman and close ally to former President Benjamin Mkapa.

    Aziz and Ruhinda subsequently joined forces with the Aga Khan's Nation Media Group to launch a daily English language newspaper, The Citizen.

    They later disagreed with their Kenyan partners over the coverage of Jikaya Kikwete's election campaign last year. A few months ago Aziz therefore sold a large proportion of his shares in MCL and purchased the stakes held by several journalists (Salva Rweyemamu, Jenerali Ulimwengu and William Shoo) in HCL. Since then this press group which was quite virulent under the previous regime has calmed down considerably with the present government. Other CCM dignitaries also have interests in the media. This is so in the case of Minister of Livestock, Anthony Diallo the owner of Sahara Communications Ltd which operates Star Television and Radio Free Africa as well as publishing the weekly magazine Msanii Afrika.

    For its part, the IPP Media group (The Guardian Ltd, Media Solutions Ltd, Independent Television and Radio One Ltd) owned by the magnate Reginald Mengi has always been able to butter up successive governments. However, today he is in the line of sight of several CCM executives due to some of his news stories.


    URL: www.IndianOceanNewsletter.com

    LOAD-DATE: October 27, 2006
    Ngoma kapigiwa kenge akiwa mtoni akicheza lazima maji yawe tibwilitibwili.

  2. #2
    JF Premium Member Game Theory is an unknown quantity at this point Game Theory's Avatar
    Join Date
    Tue Sep 2006
    Posts
    7,284
    Thanks : 60
    Thanked 441 Times in 184 Posts
    Rep Power
    20

    Default

    sidhani kama kuna sheria inamkataza kununua hayo makampuni na of course lengo ni kupata profit

    sasa labda issue iliopo mkononi ni kama kuna conlict of interest zozote na kama zipo je kuna maelezo au evidence yoyote kussuport hizo data?

  3. #3
    Senior Member Hussein Abdallah will become famous soon enough Hussein Abdallah will become famous soon enough Hussein Abdallah will become famous soon enough Hussein Abdallah will become famous soon enough Hussein Abdallah will become famous soon enough Hussein Abdallah will become famous soon enough Hussein Abdallah will become famous soon enough Hussein Abdallah will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Oct 2006
    Posts
    94
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    24

    Default

    Nakubaliana nawe hakuna sheria lakini matokeo yake ndiyo haya sasa kwamba habari za kweli na makelele ya kweli yanatokea jambo na si media za hapa nyumbani ambazo zinawafikiwa wengi ili wajue Nchi yao iko vipi .
    CCM ni kama kokoro lililovua samaki, makakara , konono, na matope yote ya ziwani-Julius K . Nyerere.

  4. #4
    JF Senior Expert Member Mafuchila will become famous soon enough Mafuchila will become famous soon enough Mafuchila will become famous soon enough Mafuchila will become famous soon enough Mafuchila will become famous soon enough Mafuchila will become famous soon enough Mafuchila will become famous soon enough Mafuchila will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Apr 2006
    Posts
    868
    Thanks : 7
    Thanked 42 Times in 21 Posts
    Rep Power
    26

    Default

    Hivi ile sheria ya kutoruhusiwa kucover habari zaidi ya 25% ya eneo la Tanzania bado ipo?

  5. #5
    JF Premium Member Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji's Avatar
    Join Date
    Fri Mar 2006
    Location
    Kijijini
    Posts
    20,622
    Thanks : 13,502
    Thanked 8,420 Times in 2,421 Posts
    Rep Power
    51

    Default

    sidhani kama ipo tena hiyo
    Hadithi mpya ya "HASIRA YA BABA-2" Inaendelea..!.. angalia kwenye Jukwaa la Mapenzi na Mahusiano! - Search Facebook "mimi mwanakijiji"

  6. #6
    JF Senior Expert Member Mugishagwe will become famous soon enough Mugishagwe will become famous soon enough Mugishagwe will become famous soon enough Mugishagwe will become famous soon enough Mugishagwe will become famous soon enough Mugishagwe will become famous soon enough Mugishagwe will become famous soon enough Mugishagwe will become famous soon enough
    Join Date
    Fri Apr 2006
    Posts
    347
    Thanks : 0
    Thanked 2 Times in 2 Posts
    Rep Power
    25

    Default

    Hiyo 25% was it applied on TV coverage anma hata magazeti ?
    Hizi ni zama za ukweli na uwazi lakini 2 + 2 = 24"Benjamin William Mkapa"

  7. #7
    Senior Member 70mainrd will become famous soon enough 70mainrd will become famous soon enough 70mainrd will become famous soon enough 70mainrd will become famous soon enough 70mainrd will become famous soon enough 70mainrd will become famous soon enough 70mainrd will become famous soon enough 70mainrd will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Oct 2006
    Posts
    66
    Thanks : 0
    Thanked 2 Times in 2 Posts
    Rep Power
    24

    Default

    TV coverage only.Lakini sasa haipo.sababu CCM wana TVT

  8. #8
    JF Premium Member Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji's Avatar
    Join Date
    Fri Mar 2006
    Location
    Kijijini
    Posts
    20,622
    Thanks : 13,502
    Thanked 8,420 Times in 2,421 Posts
    Rep Power
    51

    Default

    Mugishagwe hiyo ilikuwa kwenye TV tu....
    Hadithi mpya ya "HASIRA YA BABA-2" Inaendelea..!.. angalia kwenye Jukwaa la Mapenzi na Mahusiano! - Search Facebook "mimi mwanakijiji"

  9. #9
    JF Senior Expert Member Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado's Avatar
    Join Date
    Thu Nov 2006
    Location
    Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
    Posts
    1,124
    Thanks : 115
    Thanked 187 Times in 61 Posts
    Rep Power
    26

    Default

    kuna ukweli ulio Dhahiri kwamba ukimudu kuvituliza vyombo vya habari utatawala utakavyo,kwani maovu yako hayatosikika kwa umma.Sasa kwa mtazamo wangu naona awamu hii hilo ndilo lengo lao.Wanajaribu kwa kila mbinu kuwakumbatia waandishi ili mabovu yao yasisemwe.Si unaona hii issue ya RDC itakufa hivi hivi kwa sababu tu haisemwi sana kwenye vyombo vya habari vya nyumbani,na nataka kukuthibitishia tu,ya kwamba wananchi walio wengi hawajui Mkataba huu mbovu kati ya serikali yao na akina Gire!

  10. #10
    JF Premium Member Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji's Avatar
    Join Date
    Fri Mar 2006
    Location
    Kijijini
    Posts
    20,622
    Thanks : 13,502
    Thanked 8,420 Times in 2,421 Posts
    Rep Power
    51

    Default

    Mwawado, right on... kwa sababu watanzania wanapenda kugereshwa sana.. Hakuna anayeuliza iweje tukodi mtambo kwa gharama ya juu ambapo tungeweza kupata mtambo huo huo na kuumiliki kwa gharama ya chini sana kuliko hiyo ya kukodi? Iweje uamue kukodi kwa gharama ya juu badala ya kumiliki kwa gharama ya chini. Ni sawa na mtu anaamua kukodi gari na analipia shilingi milioni 20, wakati gari hilo hilo tena jipya lina gharibu shilingi milioni 10!! IT DOESN'T MAKE ANY SENSE!!
    Hadithi mpya ya "HASIRA YA BABA-2" Inaendelea..!.. angalia kwenye Jukwaa la Mapenzi na Mahusiano! - Search Facebook "mimi mwanakijiji"

  11. #11
    JF Senior Expert Member Chief will become famous soon enough Chief will become famous soon enough Chief will become famous soon enough Chief will become famous soon enough Chief will become famous soon enough Chief will become famous soon enough Chief will become famous soon enough Chief will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Jun 2006
    Posts
    477
    Thanks : 66
    Thanked 35 Times in 24 Posts
    Rep Power
    25

    Default

    Brother MKJJ,
    You'll never, ever get an explanation from the Gov't on this, trust me. Same like SONGAS (You sell your house to become a tenant to that house), Radar (which I heard worked for a couple of months only and now it is kaput!!), IPTL, Military L/R Discoveries (refer BCS discussion), and many, many more issues like these. It only happens in TZ.
    Last edited by Chief; 3rd November 2006 at 06:42 AM.

  12. #12
    Member Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Nov 2006
    Posts
    21
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default

    ndiyo maana Rostam kaamua kuvimaliza si mambo ya biashara hapana na haya mambo JK na Rostam waliya anza mapema sana . Iko kazi sana kweney kampeni sijui itakuwaje .Halafu wanalalama kwamba wanatukanwa na watu wa Kenya juu ya kulamnba viatu .Lakini Jk na Rostam na kundi lako mjue kwamba haya ya mwisho sana .Ni wakati wa kujenga senta za habari Nchini watu wengi wawezeku access mitandao ili kupambana na waandishi wajinga na ndiyo maana hata umeme unakuwa shida ili watu wasiweze kukaa online kwa muda mwingi .

  13. #13
    Member Nego will become famous soon enough Nego will become famous soon enough Nego will become famous soon enough Nego will become famous soon enough Nego will become famous soon enough Nego will become famous soon enough Nego will become famous soon enough Nego will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Oct 2006
    Posts
    34
    Thanks : 3
    Thanked 1 Time in 1 Post
    Rep Power
    0

    Default

    Defacto leader wa Tanzania sasa hivi ni Rostam Aziz...sasa katika kuhakikisha anajilinda na mambo yake machafu katika kuangamiza nchi........ameteka magazeti yaliyokuwa yanaheshimika sana katika utoaji wa habari zilizofanyiwa utafiti..
    Ndio sio mbaya kununua gazeti, lakini lazima sisi wa TZ tuelewe madhara ya ununuzi huu hasa hasa kwenye swala la transparency and good governance

  14. #14
    Member Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough Albinus Mboweto will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Nov 2006
    Posts
    21
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default

    Watanzania maisha yao hawajui kwamba yana amliwa na Chama siasa kinacho kuwa madarakani bali wanaleta mchezo kwa kuweka ushabiki wa Simba na Yanga matokeo yake watu wanaleta mikataba kama ya Richmond na hakuna wa kusema magazeti kimya na wasomi mitini na watu tunalia na Upinzani sasa kesho wakiomba kura kuwa nguvcu Bungeni ku balance issues tunasema wana tamaa tamaa ya madaraka .

  15. #15
    JF Premium Member Phillemon Mikael will become famous soon enough Phillemon Mikael will become famous soon enough Phillemon Mikael will become famous soon enough Phillemon Mikael will become famous soon enough Phillemon Mikael will become famous soon enough Phillemon Mikael will become famous soon enough Phillemon Mikael will become famous soon enough Phillemon Mikael will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Nov 2006
    Location
    mwanza,/uk/santa clara
    Posts
    3,189
    Thanks : 27
    Thanked 499 Times in 227 Posts
    Rep Power
    30

    Default

    watu kama rostam na mengi wanatuharibia uhuru wetu wa kikatiba wa kupata habari[za kweli] kuhusu nchi yetu,,huyu rostam na jk historia itawahukumu kwa kununua wana habari,,tena nasikia na kada wa chama manji kanunua shea majira ,,je ni kweli wana lengo na faida??

  16. #16
    JF Senior Expert Member omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Jan 2007
    Location
    Morogoro
    Posts
    1,755
    Thanks : 68
    Thanked 195 Times in 115 Posts
    Rep Power
    27

    Default Rostam anaongoza spinning ya mtandao maslahi dhidi ya Zitto

    Kuna habari za kuaminika kuwa Mhe Rostam Aziz maarufu humu kama RA amekuwa akihaha katika vyumba vya habari na kufanya vikao mbalimbali na baadhi ya wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari nchini kumtengenezea mabomu Zitto Kabwe ili jamii iache kuamini kile ambacho amekuwa akikisimamia katika siku za hivi karibuni.

    Kumbukeni kuwa RA ndiye alikuwa mmoja wa wakuu wa idara ya propaganda wakati wa kampeni za urais ndani ya CCM mwaka 2005. Kwa kutumia waandishi mbalimbali ambao wengi wao tayari wameshatajwa hadharani huyu jamaa ndiye alikuwa chanzo cha habari nyingi nyeti za serikali ambazo zilipelekea kuanguka kisiasa kwa mawaziri kadhaa wa serikali ya tatu ambao walikuwa wakonekana tishio kwa JK ambaye walitegemea kupata ride yake kuneemesha maslahi yao binafsi.

    Huyu jamaa ambaye kwa sasa ndio anaonekana kama KING MAKER nchini mwetu na kiongozi wa pili katika kundi la MTANDAO MASLAHI akifuatiwa na mshirika wake kibiashara na tajiri mwenzake Nizar Karamagi amekuwa mwiba mkubwa kwa JK kutokana na uroho wake wa kutaka awe katika kila deal inayoendelea nchini. Rostam ni mtu mwenye upeo mkubwa sana wa kiakili na mjanja kibiashara na asiye na simile katika kulinda maslahi yake. Mbinu chafu ndio jina lake la pili na unafiki ndio middle name yake.

    Katika hali inayojitokeza sasa inaelekea RA anapigania maslahi ya kundi ziima la MTANDAO MASLAHI kutokana na dalili kuwa limekuwa mzigo mzito kwa JK kufikia mahala kuonyesha dalili zote za kushukiwa na nyundo kali hata kabla ya uchaguzi wa ndani wa chama kufanyika.

    Pamoja na kuwa maslahi katika makampuni mbalimbali miliki ya vyombo vya habari kama Habari Corporation ambayo hutoa magazeti ya RAI, MTANZANIA na vilevile share ndogo katika umiliki wa gazeti la MWANANCHI na THE CITIZEN ambako amekuwa akizidiwa nguvu na Wakenya, RA anaushawishi mkubwa kwa waandishi wengi wa magazeti yetu kufikia wakati fulani kuwa akiwalipa mishahara tena mikubwa kuliko wapatayo kutoka kwa waajiri zao.

    Moja ya kazi inayoendelea ni uandishi wa makala mbalimbali za kuwahadaa watanzania kutomuamini Zitto kabwe akiwatumi watu kaka Dr Gideon Shoo na Muhingo Rweyemamu ambao kwa miaka mingi sasa wamekuwa watumishi wake waaminifu katika kazi ya UHANDISI WA HABARI. Hawa ni vinara tu lakini wapo wengi wengine. ngome yake nyingine ni Gazeti la MAJIRA.

    Kwa hali inayoendelea ni wazi mtasikia mengi kuhusu Zitto Kabwe lakini kuweni makini na kujaribu kujua vyanzo vya habari hizo. cha ajabu ni kuwa huyu jamii wakati wote hupenda kujifanya ni rafiki wa Zitto na kujigamba kuwa anamkubali na misimamo yake lakini ukweli ni kuwa akipata nafasi tu hataacha kummaliza ndugu yetu na kijana mwenzetu Zitto Kabwe. Ukweli ni kuwa RA ameshiriki hata kupanga njamaa za kuwaundermine baadhi ya wanamtandao wenzake ambao wanonekana kuelemea kundi la MTANDAO MATUMAINI linaloongozwa na Waziri MMoja mwandamizi Nchini ambalo liliweka imani ya matumaini ya watanzania kwa JK ambaye anaonekana kuelemewa nguvu na mafisadi waliojikita katika mpango wa kula hadi kusaza utajiri wa watanzania.

    Zaidi sintashangaa kuwa hili likawa kosa la mwisho la RA ambalo sio tu litamrudi yeye binafsi lakini pia lina hatari ya kuzua hasira za watanzania wengine dhidi ya watanzania wenzao wenye asili ya asia (mnapenda waita wahindi) ambao RA anaonekana kama kinara wa maslahi yao katika ngazi ya kisiasa ingawa yyeye ni Muiran (mbulushi)zaidi ya uhindi.

    Tanzanianjema
    Last edited by omarilyas; 25th August 2007 at 05:52 PM.
    Tanzania Makini haitajengwa kwa mbinu za kiujanjaujanja(oppurtunism)..

  17. #17
    JF Senior Expert Member Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Dec 2006
    Location
    Malampaka
    Posts
    4,724
    Thanks : 1
    Thanked 230 Times in 116 Posts
    Rep Power
    33

    Default

    Kwa sasa sina la kusema lakini RA anafahamika ni adui wa Nchi yangu .

  18. #18
    JF Senior Expert Member Kalamu will become famous soon enough Kalamu will become famous soon enough Kalamu will become famous soon enough Kalamu will become famous soon enough Kalamu will become famous soon enough Kalamu will become famous soon enough Kalamu will become famous soon enough Kalamu will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Nov 2006
    Posts
    1,164
    Thanks : 0
    Thanked 1 Time in 1 Post
    Rep Power
    26

    Default Very Good to Know

    TanzaniaNjema:

    Ahsante sana kwa taarifa. Unajua, vita yetu hii ya kuiokoa nchi yetu ambayo sasa inaelekea kung'ang'aniwa na mafisadi, ukiwa unatupa tu risasi gizani bila kujua adui yupo wapi ni kazi bure.

    Michango ya namna hii inayowatoa nje mahasimu wetu ni mhimu sana katika mapambano haya.

  19. #19
    JF Senior Expert Member Masanja will become famous soon enough Masanja will become famous soon enough Masanja will become famous soon enough Masanja will become famous soon enough Masanja will become famous soon enough Masanja will become famous soon enough Masanja will become famous soon enough Masanja will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Aug 2007
    Location
    Msewe
    Posts
    1,353
    Thanks : 43
    Thanked 280 Times in 107 Posts
    Rep Power
    26

    Default

    Kalamu na wananchi wenzangu, mi nadhani from now onwords, tuanze kufikiria si tuu kuwaidentify hawa wanaotuhujumu. Tuanze kustrategize kipi tunaweza kufanya katika hizi harakati. Kila mtu akitimiza wajibu wake. Hakika, mambo yatabadilika. Maana hawa mafisadi wameshakula vya kutosha mno. we cant afford any other minute of waiting. Tupeane mawazo katika hili.

  20. #20
    Senior Member Nakandamiza Kibara will become famous soon enough Nakandamiza Kibara will become famous soon enough Nakandamiza Kibara will become famous soon enough Nakandamiza Kibara will become famous soon enough Nakandamiza Kibara will become famous soon enough Nakandamiza Kibara will become famous soon enough Nakandamiza Kibara will become famous soon enough Nakandamiza Kibara will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    223
    Thanks : 0
    Thanked 2 Times in 2 Posts
    Rep Power
    24

    Default

    Mtu akitaka kuujua ukweli kabisa atakubaliana na mimi kwamba Rostam Aziz ndiye hasa rais wa Jamhuri ya Muungano.Maana si king Maker pekee pia final decision maker . Kitendo cha Uslama wa Taifa kumwachia mtu wa Iran kuwa na nguvu kubwa za namna kama alivyo kuwa Kinana those days kuna risk usalama wa Nchi hii .Siasa chafu na hata kutumia pesa na vyombo vya habari kwa manufaa ya wizi wao na kuwaacha watanzania wengi katika dimbwi la umasikini haikubaliki na mwisho wake ni mbaya sana .RA tuachie Nchi yetu bakia na CCM yenu .
    Ni rahisi kujenga Butcher ya nyama ya nguruwe Saudi Arabia kuliko kupata kibali cha kuingiza madawa ya binadamu Tanzania ,TFDA punguzeni kasi ya kuomba rushwa jamani Tanzania haina kiwanda cha madawa


 
+ Reply to Topic
Page 1 of 97 1 2 3 11 51 ... LastLast

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts