Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Mwanamayu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Location : Manzese
      Posts : 3,048
      Rep Power : 1068
      Likes Received
      240
      Likes Given
      112

      Angry Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      Jamani ebu tuangalie huko Ivory Coast, uchaguzi umefanyika na watu kama 12 wamefariki dunia kwa vurugu; halafu matokeo yanacheleweshwa kutangazwa mpaka muda wa kutangaza matokeo kikatiba umepita. Hivi ni kwa nini Marais wa Afrika wanaokuwa madarakani wengi wao hawataki maamuzi ya wananchi? Naomba Wikileaks watusaidie kwenye hili!

      Mambo haya yametokea Kenya, Zimbabwe, Tanzania ikiwamo Zanzibar.

      Source: Radio DW 2/12/2010 6 AM; Ivory Coast to announce partial election results - CNN.com

    2. Miaka 50

    3. #2
      Wacha1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2009
      Posts : 6,714
      Rep Power : 1820
      Likes Received
      1082
      Likes Given
      1253

      Default Re: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      Njaa.
      TANESCO hawashindwi kununua mitambo yao Kama kweli Dowans siyo ya JK ataifishe mitambo hiyo kwa sheria ya uhujumu awafilisi RA, EL vile vile awachukulie hatua waliokwapua fedha BOT

    4. #3
      seniorita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 674
      Rep Power : 575
      Likes Received
      49
      Likes Given
      141

      Default Re: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      Udikteta, greed, corruption, and the like

    5. #4
      Ikimita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2010
      Posts : 299
      Rep Power : 494
      Likes Received
      12
      Likes Given
      15

      Default Re: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      Quote By Wacha1
      Njaa.
      Sidhani kama ni njaa kwani tayari pesa wanazo. Mara nyingi wakishachaguliwa huigeuza nchi kuwa shamba la bibi sasa wanaogopa kuwaachia wengine ili waendelee kulinda uzandiki wao.

    6. #5
      Ikimita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2010
      Posts : 299
      Rep Power : 494
      Likes Received
      12
      Likes Given
      15

      Default Re: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      Quote By seniorita
      Udikteta, greed, corruption, and the like
      ........ exactly.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      LoyalTzCitizen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Lashkar Gah, Helmand
      Posts : 1,539
      Rep Power : 762
      Likes Received
      157
      Likes Given
      147

      Default Re: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      Quote By seniorita
      Udikteta, greed, corruption, and the like
      To add, ignorance and poverty
      "A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)


    9. #7
      ejogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2009
      Posts : 974
      Rep Power : 677
      Likes Received
      58
      Likes Given
      50

      Default Re: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      Ulafi na ufalme umewatawala zaidi

    10. #8
      Margwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Location : chini ya jua
      Posts : 193
      Rep Power : 602
      Likes Received
      30
      Likes Given
      39

      Default Re: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      They are welcome by ICC to enjoy their presidential terms behind the grills in The Hague!

    11. #9
      KIMICHIO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Location : KITANDANI
      Posts : 1,155
      Rep Power : 676
      Likes Received
      66
      Likes Given
      24

      Default Re: Hivi Marais wa Afrika wana matatizo gani jamani?

      Quote By margwe
      they are welcome by icc to enjoy their presidential terms behind the grills in the hague!
      absolutelly margwe that what it is.

    12. Study Abroad

    Similar Topics

    1. Wangoni wana matatizo gani???
      By Power G in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 29
      Last Post: 10th August 2011, 11:49
    2. Replies: 26
      Last Post: 25th December 2010, 18:53
    3. Je, viongozi wa Afrika wana matatizo ya vinasaba?
      By The Planner in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 7th December 2010, 21:47
    4. abiria wa pikipiki wana matatizo gani?
      By Akili Kichwani in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 9
      Last Post: 28th July 2010, 15:38
    5. Hivi Waganda wana matatizo gani na Kiswahili
      By Omugasi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 39
      Last Post: 26th June 2009, 11:08

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...