International ForumAfrican & International Bloggers' home. Politics, Economics & News in General. Let's exchange our views on matters arising in this globe! YES, we can!
Nelson Mandela anatimiza miaka 20 (11/02/2010)tangu aachiliwe kutoka katika Gereza alikotumiakia kwa mia ka 27!
Picha ya chumba(cell) cha Mandela akiwa Robben Island.
Hapo chumbani kuna vifaa 4 tu; -Pa kulala, kitanda?/Kirago? -Stuli ndogo -Debe -Sahani na kikombe!
Je, unalinganishaje umri alio nao huyu mzee hadi sasa(miaka karibu 91), na mateso haya aliyoyapata kwamiaka hiyo yote?
-Je Huenda mateso yale yalimkomaza mwili sana na akawa fit?
-Au kukaa bila kufanya kazi kwa muda mwingi kunasababisha mtu aishi zaidi, maana mwili unakuwa haukutumika?
-Ni nini siri ya umri mwingi wa mzee huyu?
Eee Mungu mbariki mzee huyu mwenye heshima na hekima, aishi miongo kadha mingine!
__________________ Whoever Knows Everything Is Expert In Nothing
Last edited by PakaJimmy; 11th February 2010 at 11:45 AM..
Nelson Mandela anatimiza miaka 20 (11/02/2010)tangu aachiliwe kutoka katika Gereza alikotumiakia kwa mia ka 27!
Picha ya chumba(cell) cha Mandela akiwa Robben Island.
Hapo chumbani kuna vifaa 4 tu; -Pa kulala, kitanda?/Kirago? -Stuli ndogo -Debe -Sahani na kikombe!
Je, unalinganishaje umri alio nao huyu mzee hadi sasa(miaka karibu 91), na mateso haya aliyoyapata kwamiaka hiyo yote?
-Je Huenda mateso yale yalimkomaza mwili sana na akawa fit?
-Au kukaa bila kufanya kazi kwa muda mwingi kunasababisha mtu aishi zaidi, maana mwili unakuwa haukutumika?
-Ni nini siri ya umri mwingi wa mzee huyu?
Eee Mungu mbariki mzee huyu mwenye heshima na hekima, aishi miongo kadha mingine!
Sio mchezo. Huyu jamaa pamoja na kulala chumba kisicho hata na meza aliwahimiza sana wenzake wajitume kujifunza na kwa kweli ile timu iliyotoka huko ilikuwa imekamilika.Hata taxi drivers waliweza kujiendeleza na kuwa professionals katika nyanja nyingine za kisomi. Kwa bahati mbaya kwa ajiri ya umri mkubwa visomo vyao wengi wanatumia kujiweka sawa kiafya nyumbani.
__________________
"I want to shoot the moon...and even if it happens that I fail, I will land among the stars"
yah nimeweka rangi,naikubali hoja yako kama ulivyosema kwakweli maana naona pia kama watu wenye hekima mara nyingi huishi muda mrefu sana wala si uongo,tatizo ninachojiuliza sasa ni je tutaendelea kupata watu wenye hekima kama hawa na wengineo tena?maana naona kadri siku zinavyokwenda maadili yanazidi kuponyoka kwa kasi kubwa;mfano tu rejea hapohapo south na kwa rafiki mkubwa wa mandela
prezidaa jacob zuma mambo yake.
Nadhani watu hawa huwa wanaumbwa wachache sana, kwa nia maalum. Mungu anawaweka watu hawa ili wawe taa katika jamii za ulimwengu!
Mandela kwa umri alio nao sasa hafanyi kazi ambazo ni phyisical sana, lakini uwepo wake tu ni kemeo kali kabisa kwa maovu mengi.
Hivi kwa hapa Tanzania tuna nani aliyebakia wa jamii hii?
__________________ Whoever Knows Everything Is Expert In Nothing
Nadhani watu hawa huwa wanaumbwa wachache sana, kwa nia maalum. Mungu anawaweka watu hawa ili wawe taa katika jamii za ulimwengu!
Mandela kwa umri alio nao sasa hafanyi kazi ambazo ni phyisical sana, lakini uwepo wake tu ni kemeo kali kabisa kwa maovu mengi.
Hivi kwa hapa Tanzania tuna nani aliyebakia wa jamii hii?
nakubali mkuu,halafu wala hajakaa sana madarakani kawaachia wengine!!,kuna watu wanaumbwa na roho duniani mzee,sipati picha kama mugabe ndio angekuwa kakaa jela namna hiyo halafu atoke awe president kama mandela hakyanani hata angekufa maiti yake ingeng`ang`ana kuendelea kuwa president wa nchi.
The Following 3 Users Say Thank You to babukijana For This Useful Post:
Nadhani watu hawa huwa wanaumbwa wachache sana, kwa nia maalum. Mungu anawaweka watu hawa ili wawe taa katika jamii za ulimwengu!
Mandela kwa umri alio nao sasa hafanyi kazi ambazo ni phyisical sana, lakini uwepo wake tu ni kemeo kali kabisa kwa maovu mengi.
Hivi kwa hapa Tanzania tuna nani aliyebakia wa jamii hii?
TZ sikuhizi kama hm washua wamesafiri vile!! kila mtu ndani mbabe anafanya atakacho......
__________________ You dont have to win every Argument, Agree to Disagree
Nelson Mandela anatimiza miaka 20 (11/02/2010)tangu aachiliwe kutoka katika Gereza alikotumiakia kwa mia ka 27!
Picha ya chumba(cell) cha Mandela akiwa Robben Island.
Hapo chumbani kuna vifaa 4 tu; -Pa kulala, kitanda?/Kirago? -Stuli ndogo -Debe -Sahani na kikombe!
Je, unalinganishaje umri alio nao huyu mzee hadi sasa(miaka karibu 91), na mateso haya aliyoyapata kwamiaka hiyo yote?
-Je Huenda mateso yale yalimkomaza mwili sana na akawa fit?
-Au kukaa bila kufanya kazi kwa muda mwingi kunasababisha mtu aishi zaidi, maana mwili unakuwa haukutumika?
-Ni nini siri ya umri mwingi wa mzee huyu?
Eee Mungu mbariki mzee huyu mwenye heshima na hekima, aishi miongo kadha mingine!
baba Mandela yuko fit sana mie nadhani mazoezi nayo yanampa nguvu sidhani kama hafanyi mazoezi mpaka sasa angalau hata kunyoosha mikono juu chini mbili tatu zinamtosha kwa sasa,tuje kwetu baba nkapa anafanya hayo mazoezi?Baba wa Taifa pia alikuwa fit mungu tu alimuwahisha..Pia tunuku za mwenyezi Mungu..Bungu libariki Bara la matumain 2012..
__________________
Mla halwa
The Following User Says Thank You to Magulumangu For This Useful Post:
uvumilivu ndio msingi ya hayo maswali yote dia,alivumilia na kamwe hakukata tamaa
miaka 27 bila kunjunji sio mchezo..
nasikia pia kunjunji kunapunguzapunguza siku za kuishi.
__________________
KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE