Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania ziiii! - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > International Forum


International Forum African & International Bloggers' home. Politics, Economics & News in General. Let's exchange our views on matters arising in this globe! YES, we can!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 3rd July 2009, 03:04 PM   #1
Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania ziiii!
Mpadmire Mpadmire is offline 3rd July 2009, 03:04 PM

Kenya Airways, Reli zao wameunganisha na Uganda, Bandari ya mombasa, viwanda vya kusindika matunda, Viwanja vya ndege n.k viko vizuri kiuchumi wakati sisi watanzania tumelala wajameni??

Watanzania wengi wanaagiza magari na bidhaa na wanapitisha bandari ya Mombasa, why??? ukiritimba usio na sababu.

Kenya Airways wamepanua biashara zao na wanaenda nchi nyingi duniani, sisi bado tunatambaa.

Reli zao bomba.

Mie naona hata kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki tujiondoe kwanza hadi tutakapo pata watendaji wazalendo na hodari kwanza serikalini.

Hata Rwanda wanatushinda jamani, mh

Ndio sababu sio ufisadi tu bali hata uzembe na kubweteka?

KWa sababu hata kenya kuna ufisadi lakini ni wajanja wanazalisha. Mfano ni sawa na mtu ana shamba la mnazi, badala ya kuhudumia minazi vizuri avune nazi, kwa watanzania hata ule mnazi unaachwa uliwe na mchwa au anakata minazi anauza kama mbao au anaumza shamba. Du kali hiyo.

Wana jamii tuendelee kuwapigia hawa watu kelele.
__________________
When your life becomes a battleground, your mind is the best weapon

Mpadmire
Senior Member
Points: 147,971, Level: 100 Points: 147,971, Level: 100 Points: 147,971, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Mar 2006
Location: Dar es salaam
Posts: 130
Thanks: 0
Thanked 14 Times in 9 Posts
Views: 705
Reply With Quote
  #2  
Old 3rd July 2009, 04:20 PM
rmashauri's Avatar
rmashauri rmashauri is offline
rmashauri Christ's Ambassador
JF Premium Member
Points: 126,096, Level: 100 Points: 126,096, Level: 100 Points: 126,096, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 1,360
Thanks: 952
Thanked 1,290 Times in 789 Posts
Rep Power: 24
rmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enough
Default Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

Ndugu yangu mpadmire,
Mimi huwa najiuliza swali sipati jibu sahihi, kwamba sisi waafrika tuna matatizo gani? Je ni laana gani tuliyonayo? Maana hata kama una rasilimali kama ilivyo kwa Tanzania lakini maendeleo hakuna. Iangalie Nigeria na utajiri wao wa mafuta na gesi lakini hali ni mbaya tu. Katika nchi za Kiafrika viongozi wanagombea nafasi ili wakajilimbikizie mali na si kuwasaidia wananchi wao. Ufisadi wa kutisha unaoambatana na mikataba ya kinyonyaji. Ukikuta nchi ya Afrika imeendelea lazima utakuta kuna mkono wa mzungu inatia uchungu sana. Angalia Afrika ya Kusini maendeleo waliyonayo ni kwa sababu ya wazungu na kama wangekuwa tu wazulu wangekuwa na hali mbaya sana.

Ukija kwa upande wa Kenya, ni kwamba Kenya Airways inamilikiwa na KLM kwa asilimia 26 pia wako wawezezaji wengine wa ndani na nje. Kwa maana nyingine wana wawekezaji wenye uzoefu mzuri kwenye sekta hiyo. Kumbuka pia kuwa Kenya lilikuwa koloni kwa ajili ya makazi kama ilivyokuwa Zimbabwe kwahiyo wazungu wameweka base kubwa Kenya na hata wamiliki wa mashamaba makubwa yenye rutuba huko ni wazungu, wananchi wa kawaida wanateseka hawana ardhi ya kutosha yenye rutuba. Viwanda vingi pia vinamilikiwa na wazungu wakati kwetu hapa kuna wahindi ambao ni wezi na matapeli wasiotaka hata kulipa kodi na viongozi wetu wanacheka nao tu. Pia international organizations nyingi ziko Kenya yote haya yanachangia maendeleo yao. Bandari ya Mombasa, reli na barabara nzuri pia kwa kiasi kikubwa zianchangiwa na biashara za wazungu huko Kenya.

Ni wakati wa viongozi wetu sasa kubadili nia zao na kumrudia MUNGU waache ufisadi waonyeshe uzalendo kwa nchi yao ili taifa letu lipate kupona.
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Reply With Quote
  #3  
Old 3rd July 2009, 04:25 PM
Kituko Kituko is offline
Kituko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 89,689, Level: 100 Points: 89,689, Level: 100 Points: 89,689, Level: 100
Activity: 25% Activity: 25% Activity: 25%
 
Join Date: Mon Jan 2009
Posts: 1,049
Thanks: 52
Thanked 163 Times in 121 Posts
Rep Power: 24
Kituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enough
Default Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

ILI TUENDELEE TUNAITAJI VITU VITANO,

1:WATU (WATANZANIA_WAAFRIKA)

2:ARDHI

3: SIASA SAFI

4: UONGOZI BORA na

5: MZUNGU
Reply With Quote
  #4  
Old 3rd July 2009, 04:25 PM
Sophist Sophist is offline
Sophist correction
JF Senior Expert Member
Points: 106,651, Level: 100 Points: 106,651, Level: 100 Points: 106,651, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 260
Thanks: 0
Thanked 39 Times in 17 Posts
Rep Power: 21
Sophist will become famous soon enoughSophist will become famous soon enoughSophist will become famous soon enoughSophist will become famous soon enoughSophist will become famous soon enoughSophist will become famous soon enoughSophist will become famous soon enoughSophist will become famous soon enough
Thumbs down Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

Quote:
View Post
Kenya Airways, Reli zao wameunganisha na Uganda, Bandari ya mombasa, viwanda vya kusindika matunda, Viwanja vya ndege n.k viko vizuri kiuchumi wakati sisi watanzania tumelala wajameni??

Watanzania wengi wanaagiza magari na bidhaa na wanapitisha bandari ya Mombasa, why??? ukiritimba usio na sababu.

Kenya Airways wamepanua biashara zao na wanaenda nchi nyingi duniani, sisi bado tunatambaa.

Reli zao bomba.

Mie naona hata kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki tujiondoe kwanza hadi tutakapo pata watendaji wazalendo na hodari kwanza serikalini.

Hata Rwanda wanatushinda jamani, mh

Ndio sababu sio ufisadi tu bali hata uzembe na kubweteka?

KWa sababu hata kenya kuna ufisadi lakini ni wajanja wanazalisha. Mfano ni sawa na mtu ana shamba la mnazi, badala ya kuhudumia minazi vizuri avune nazi, kwa watanzania hata ule mnazi unaachwa uliwe na mchwa au anakata minazi anauza kama mbao au anaumza shamba. Du kali hiyo.

Wana jamii tuendelee kuwapigia hawa watu kelele.
Tuendelee kuwa na Kenya, tujifunze kupanga mipango-uchumi makini ya maendeleo na kujitegemea kutoka kwao. Kujitenga hakuwezi kutusaidia.
Karagebaho
Reply With Quote
  #5  
Old 3rd July 2009, 04:33 PM
msabato masalia msabato masalia is offline
msabato masalia has no status.
Senior Member
Points: 90,437, Level: 100 Points: 90,437, Level: 100 Points: 90,437, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2008
Posts: 97
Thanks: 9
Thanked 14 Times in 5 Posts
Rep Power: 22
msabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enough
Angry Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

Quote:
View Post
ILI TUENDELEE TUNAITAJI VITU VITANO,

1:WATU (WATANZANIA_WAAFRIKA)

2:ARDHI

3: SIASA SAFI

4: UONGOZI BORA na

5: MZUNGU
Hapo kwenye No.5 ndo panausika,ila najua watu watanishambulia kama ashambuliwavyo RA au EL ila kusema nakuleta mifano ya Botswana, ukweli ni kwamba kwenye kujali nchi yetu,watanzania tumefulia except Dk.SLAAAAAAAA
Reply With Quote
  #6  
Old 3rd July 2009, 04:35 PM
Magezi Magezi is offline
Magezi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 311,867, Level: 100 Points: 311,867, Level: 100 Points: 311,867, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Sun Oct 2008
Posts: 1,972
Thanks: 204
Thanked 398 Times in 234 Posts
Rep Power: 25
Magezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enough
Default Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

sijawahi kuona nchi iliyoendelea kutokana na investments za wahindi ukiacha india yenyewe. Sasa ajabu CCM yetu inakumbatia watu ambao wanahifadi pesa zao canada.....Nadhani CCM na watu wake ni vichaa.....sina hakika
Reply With Quote
  #7  
Old 3rd July 2009, 04:38 PM
Magezi Magezi is offline
Magezi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 311,867, Level: 100 Points: 311,867, Level: 100 Points: 311,867, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Sun Oct 2008
Posts: 1,972
Thanks: 204
Thanked 398 Times in 234 Posts
Rep Power: 25
Magezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enough
Default Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

Quote:
View Post
Tuendelee kuwa na Kenya, tujifunze kupanga mipango-uchumi makini ya maendeleo na kujitegemea kutoka kwao. Kujitenga hakuwezi kutusaidia.
Karagebaho
hakuna anayesema tujitenge na jirani zetu, nadhani mtoa thread anaonyesha hasira kwamba kama wenzetu wametuzidi kiasi hicho hatutaweza kwenda nao sambamba inabidi tujiandae then twende sawa
Reply With Quote
  #8  
Old 3rd July 2009, 04:59 PM
Madela Wa- Madilu's Avatar
Madela Wa- Madilu Madela Wa- Madilu is offline
Madela Wa- Madilu Mwanasiasa Wa Mwituni
JF Senior Expert Member
Points: 220,753, Level: 100 Points: 220,753, Level: 100 Points: 220,753, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Mar 2007
Location: NORTH WEST USA
Posts: 1,492
Thanks: 10
Thanked 15 Times in 12 Posts
Rep Power: 65
Madela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the roughMadela Wa- Madilu is a jewel in the rough
Default Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

Kama kweli tunataka kujifunza na kuratibu maendeleo yetu mahali pa kuanzia kujifunza na kujifananisha na kujiona sisi tuko mkiani siyo Kenya.
Wakenya wanajitahidi sana lakini siyo nchi iliyomfano wa kuigwa na Watanzania.
Tuna nchi nyingi za dunia ya kwanza ambazo zina mambo mengi tuwezayo kujifunza na kutengeneza utaratibu wetu wenyewe.
Wachina walizinguliwa na maendeleo ya 4 Tigers, lakini walipo azimia kubadili mambo walifunza kutoka Dunia ya kwanza.
Watanzania tuna hamu moja tu kujaza mapesa mifukoni mwetu kwa kuuza sehemu ya Uhuru wetu na urithi wetu mkuu, Ardhi.
Hatuwezi kuendelea kupona njaa kwa kujitafuna viungo vyetu wenyewe.
Sisi wananchi hatuna hamu ya kujenga nchi.
Viongozi wetu walio sehemu yetu pia hawana hamu ya kjenga nchi.
Kila mtu katika umoja wake anadhani akishiba yeye, barbara zitajijenga, uchumi utajipiga fimbo, nidhamu ya kazi itajisimika yenyewe zaidi taifa litasonga mbele bila mawaa.
__________________
Jamii ya Kitanzania itazidi dumu mkiani kwa kuenzi UTEGEMEZI.Maendeleo ya kweli yatakuja Tanzania kwa KUIMARISHA UWEZO WETU WENYEWE na kufuta kabisa tabia ivizayo ya kuOMBAOMBA
Reply With Quote
  #9  
Old 5th July 2009, 04:01 PM
Mwana wa Mungu Mwana wa Mungu is offline
Mwana wa Mungu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 146,436, Level: 100 Points: 146,436, Level: 100 Points: 146,436, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Thu Aug 2008
Posts: 483
Thanks: 0
Thanked 41 Times in 26 Posts
Rep Power: 22
Mwana wa Mungu will become famous soon enoughMwana wa Mungu will become famous soon enoughMwana wa Mungu will become famous soon enoughMwana wa Mungu will become famous soon enoughMwana wa Mungu will become famous soon enoughMwana wa Mungu will become famous soon enoughMwana wa Mungu will become famous soon enoughMwana wa Mungu will become famous soon enough
Default Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

Tanzania pia tunayo reli ambayo tumeiunganisha na Zambia, na kuna wazambia wengi tu na wacongo wanatumia bandari yetu kuagiza magari. reli ya tazara imeeenda hadi kaprimposhi zambia. tatizo ni nini kwani? ni kwasababu hatujaunganisha na uganda kama walivyofanya kenya? au ni ubovu wa reli?

Reli mbovu tz ni reli ya kati, reli ya tazara ni nzuri na inaridhisha at least. kwa habari ya bandari, nakubaliana na wewe, viongozi wetu hawana akili, kichwani wamejaa ukoko. wanachowaza ni kwenda tu kuzindika uchawi wao wa zindiko la taifa kule Lindi, na kuzindika ili waendelee kuwepo madarakani, lakini sio kufanya mambo mazuri ili wa prove kwamba wamefanya kitu katika uongozi wao. hakika muda umefika, watz tunatakiwa kuwaondoa hawa viongozi na ikiwezekana na chama chao kabisa cha ccm. hapo ndo uponyaji wetu, kwasababu tunaumia, tunateseka, hatuendelei, na tunapigwa changa la macho kama watoto. ukiona wamevaa mavazi ya kijani, hadi kwenye damu yao ni damu ya kijani, fikiri wewe ni daktari unamfanyia mtu operation unakutana na damu za kijani?| hahahah utakimbia sana. hivyo ndivyo walivyo viongozi wetu wanaodumisha chama chao. Mungu awasamehe lakini awaondoe madarakani kwa namna yoyote ile hata ya kuwapiga pressure tu. tumechoka kwakweli, na watu mtaani wamechokaaaaa.
Reply With Quote
  #10  
Old 5th July 2009, 05:29 PM
Tumain's Avatar
Tumain Tumain is offline
Tumain has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 266,004, Level: 100 Points: 266,004, Level: 100 Points: 266,004, Level: 100
Activity: 48% Activity: 48% Activity: 48%
 
Join Date: Sun Jun 2009
Posts: 3,149
Thanks: 1,154
Thanked 1,065 Times in 683 Posts
Rep Power: 27
Tumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enough
Default Re: Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania zi

Quote:
View Post
ILI TUENDELEE TUNAITAJI VITU VITANO,

1:WATU (WATANZANIA_WAAFRIKA)

2:ARDHI

3: SIASA SAFI

4: UONGOZI BORA na

5: MZUNGU

Siasa safi( weka upinzani)
Uongozi bora( katiba mpya)
Mzungu (Masoko)
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
airways, harbour, kenya, mombasa, reli, tanzania, viwanda, wanapaa, ziiii


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ripoti ya Richmond Bungeni na yatokanayo Halisi Jukwaa la Siasa 803 18th March 2010 12:11 PM
Muungano na kero zake: Tuuvunje? Sam Jukwaa la Siasa 3855 16th February 2010 01:10 PM
East African Federation (EAF) Views nmkenda International Forum 1186 19th November 2009 05:38 AM
Tunakumbuka - Miaka 12 Baadaye. Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Siasa 13 21st May 2008 04:05 PM
Kenya Waamua Kuwa Na Ccm Yao Ole Habari na Hoja mchanganyiko 4 25th January 2007 07:46 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:00 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com