Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > International Forum


International Forum African & International Bloggers' home. Politics, Economics & News in General. Let's exchange our views on matters arising in this globe! YES, we can!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 2nd July 2009, 06:57 PM   #1
Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea
MziziMkavu MziziMkavu is offline 2nd July 2009, 06:57 PM



Thursday, July 02, 2009 8:32 AM

Rubani wa ndege ya shirika la ndege la Arkefly la Uholanzi ametoa kali ya mwaka kwa kuwashusha abiria wote kwenye ndege na kuendelea na safari ndege ikiwa tupu baada ya kukasirishwa na baadhi ya abiria ambao waligoma kufunga mikanda. Tukio hilo lilitokea ijumaa kwenye uwanja wa ndege wa Schiphol wa jijini Amsterdam, Uholanzi wakati ndege hiyo ilipokuwa ikijiandaa kupaa kutoka Uholanzi kuelekea Uturuki.

Wakati ndege ikiwa iko kwenye hatua za mwisho za kupaa huku taratibu za usalama kwenye ndege zikitolewa, abiria wapatao 10 walikataa kukaa kwenye viti vyao na pia walikataa kufunga mikanda yao.

Tukio hilo lilimkasirisha rubani wa ndege hiyo raia wa Uholanzi ambaye aliamua kuirudisha ndege hiyo kwenye terminal na kuwashusha abiria wote waliokuwemo kwenye ndege hiyo na kuanza safari ya kuelekea Uturuki ndege hiyo ikiwa tupu haina abiria hata mmoja.

Abiria walioachwa uwanja wa ndege walipandishwa ndege nyingine siku iliyofuatia na kuendelea na safari zao.

Shirika la ndege la Arkefly halijasema chochote juu ya rubani wao huyo ambaye amekuwa gumzo kutokana na hatua yake hiyo.


Source: nifahamishe.com

 
MziziMkavu's Avatar
MziziMkavu
JF Senior Expert Member
Points: 1,756,223, Level: 100 Points: 1,756,223, Level: 100 Points: 1,756,223, Level: 100
Activity: 55% Activity: 55% Activity: 55%
Join Date: Tue Feb 2009
Posts: 2,764
Thanks: 435
Thanked 346 Times in 231 Posts
Views: 888
Reply With Quote
  #2  
Old 2nd July 2009, 07:03 PM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 742,467, Level: 100 Points: 742,467, Level: 100 Points: 742,467, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,157
Thanks: 82
Thanked 96 Times in 64 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

Aliwashusha kwa nguvu au?
Reply With Quote
  #3  
Old 4th July 2009, 08:12 AM
kui kui is offline
kui has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 91,668, Level: 100 Points: 91,668, Level: 100 Points: 91,668, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Mon Mar 2009
Posts: 675
Thanks: 2
Thanked 37 Times in 31 Posts
Rep Power: 23
kui will become famous soon enoughkui will become famous soon enoughkui will become famous soon enoughkui will become famous soon enoughkui will become famous soon enoughkui will become famous soon enoughkui will become famous soon enoughkui will become famous soon enough
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

Quote:
View Post
Aliwashusha kwa nguvu au?
No, aliwaambia washukie hapo airport ama sivo angeruka halafu akawashusha kwa nguvu wakati ndege iko hewani.
Reply With Quote
  #4  
Old 4th July 2009, 08:18 AM
Skills4Ever's Avatar
Skills4Ever Skills4Ever is online now
Skills4Ever Die Trying Guru
JF Senior Expert Member
Points: 117,495, Level: 100 Points: 117,495, Level: 100 Points: 117,495, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Thu Feb 2008
Posts: 1,417
Thanks: 0
Thanked 78 Times in 51 Posts
Rep Power: 25
Skills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enough
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

Pia rubani akisha toa order lazima ifuatwe maana anaweza fanya lolote...hapo rubani anaweza akakosa kazi au adhabu tu za kiutendaji wao wana sheria zao....maana hata hvy atajiteetea sababu za kiusalama ndg haiwezi kuruka abiria wamesimama....ila kosa kuzira kuwashusha na kuwaacha.
__________________
"No matter how far down the wrong road you've gone,TURN BACK"
Reply With Quote
  #5  
Old 4th July 2009, 10:17 AM
Shukuru Shukuru is offline
Shukuru is not just a muslim
JF Senior Expert Member
Points: 219,861, Level: 100 Points: 219,861, Level: 100 Points: 219,861, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Sep 2007
Location: dsm
Posts: 793
Thanks: 57
Thanked 48 Times in 32 Posts
Rep Power: 24
Shukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enough
Send a message via AIM to Shukuru
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

So alienda Uturuki kufanya nini? au ndio kutimiza ratiba?

maana hapa bongo ni upuuzi kulinda ratiba afu uchome mafuta bure
__________________
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu........."
Reply With Quote
  #6  
Old 4th July 2009, 10:48 AM
Pape's Avatar
Pape Pape is offline
Pape has no status.
JF Premium Member
Points: 976,703, Level: 100 Points: 976,703, Level: 100 Points: 976,703, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Thu Dec 2008
Posts: 3,579
Thanks: 245
Thanked 584 Times in 407 Posts
Rep Power: 29
Pape will become famous soon enoughPape will become famous soon enoughPape will become famous soon enoughPape will become famous soon enoughPape will become famous soon enoughPape will become famous soon enoughPape will become famous soon enoughPape will become famous soon enough
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

mwe, hiki ni kituko atii. ila ni sawa, nadhani angewashusha wale waliogoma kukaa na kufunga mikanda tu. kosa lake ni kuwashusha wote!!!
Reply With Quote
  #7  
Old 4th July 2009, 08:31 PM
JuaKali's Avatar
JuaKali JuaKali is offline
JuaKali a Network Engineer
Senior Member
Points: 142,055, Level: 100 Points: 142,055, Level: 100 Points: 142,055, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Nov 2007
Location: USA
Posts: 190
Thanks: 3
Thanked 6 Times in 3 Posts
Rep Power: 23
JuaKali will become famous soon enoughJuaKali will become famous soon enoughJuaKali will become famous soon enoughJuaKali will become famous soon enoughJuaKali will become famous soon enoughJuaKali will become famous soon enoughJuaKali will become famous soon enoughJuaKali will become famous soon enough
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

Quote:
View Post
mwe, hiki ni kituko atii. ila ni sawa, nadhani angewashusha wale waliogoma kukaa na kufunga mikanda tu. kosa lake ni kuwashusha wote!!!
Samaki mmoja akioza......
Reply With Quote
  #8  
Old 4th July 2009, 09:29 PM
Mbogela's Avatar
Mbogela Mbogela is offline
Mbogela sio mwanamke
JF Senior Expert Member
Points: 285,984, Level: 100 Points: 285,984, Level: 100 Points: 285,984, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Mon Jan 2008
Location: Tanzania
Posts: 801
Thanks: 160
Thanked 116 Times in 72 Posts
Rep Power: 24
Mbogela will become famous soon enoughMbogela will become famous soon enoughMbogela will become famous soon enoughMbogela will become famous soon enoughMbogela will become famous soon enoughMbogela will become famous soon enoughMbogela will become famous soon enoughMbogela will become famous soon enough
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

Quote:
View Post
So alienda Uturuki kufanya nini? au ndio kutimiza ratiba?

maana hapa bongo ni upuuzi kulinda ratiba afu uchome mafuta bure
Ndege ilikuwa na aratiba ya kurudi na abiria kutoka uturuki. Fikiria kama KLM au BA haijaja hapo bongo kwasababu jamaa alikuwa hana abiria wa kuwaleta wangapi wataathirika hapo DSM.
__________________
Elizabeth Gupta - BBA Revolution, Mwaka huu ni wetu pia
Reply With Quote
  #9  
Old 4th July 2009, 11:35 PM
Kasheshe's Avatar
Kasheshe Kasheshe is offline
Kasheshe a responsible citizen!
JF Premium Member
Points: 300,667, Level: 100 Points: 300,667, Level: 100 Points: 300,667, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Jun 2007
Location: Bububu
Posts: 2,574
Thanks: 216
Thanked 203 Times in 113 Posts
Rep Power: 28
Kasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enough
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

Quote:
View Post
So alienda Uturuki kufanya nini? au ndio kutimiza ratiba?

maana hapa bongo ni upuuzi kulinda ratiba afu uchome mafuta bure
Nimeelewa, alienda Uturuki kuchukua abiria wasiokuwa na hatia, hao Wa-dutch walimletea za kuleta akasema aende zake Istanbul akachukue abiria wapole.
Reply With Quote
  #10  
Old 5th July 2009, 12:43 AM
rmashauri's Avatar
rmashauri rmashauri is offline
rmashauri Christ's Ambassador
JF Premium Member
Points: 125,555, Level: 100 Points: 125,555, Level: 100 Points: 125,555, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 1,347
Thanks: 948
Thanked 1,281 Times in 785 Posts
Rep Power: 24
rmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enough
Default Re: Rubani wa Uholanzi Afanya Kituko Ambacho Hakijawahi Kutokea

Kweli hii ni kali ya mwaka
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
afanya, ambacho, hakijawahi, kituko, kutokea, rubani, uholanzi


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:34 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com