Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Burundi: Nchi masikini duniani

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 31
    1. #1
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Burundi: Nchi masikini duniani

      Takwimu karibia zote kwenye mtandao zinakubaliana kuwa Burundi ndio nchi masikini duniani. Pia ni mwanachama wa EAC kwa hiyo ni aibu kwetu wote na pia naamini ukishirikiana na masikini unakuwa masikini.Tuwasaidie hawa jamaa wetu kimawazo jameni. Maoni yangu binafsi ni kwamba hii nchi iungane na iwe nchi moja na kati ya Rwanda, Uganda au Tanzania. mnasemaje wadau wa JF?
      Last edited by chash; 20th August 2012 at 08:32.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,772
      Rep Power : 15110
      Likes Received
      7236
      Likes Given
      6914

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      kwa nini ifutwe.....?
      shauri ya umaskini wao ndio ishindikane wao kuwa nchi.....?

    4. #3
      Baro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2012
      Posts : 316
      Rep Power : 424
      Likes Received
      61
      Likes Given
      114

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Quote By chash
      Takwimu karibia zote kwenye mtandao zinakubaliana kuwa Burundi ndio nchi masikini duniani. Pia ni mwanachama wa EAC kwa hiyo ni aibu kwetu wote na pia naamini ukishirikiana na masikini unakuwa masikini.Tuwasaidie hawa jamaa wetu kimawazo jameni. Maoni yangu binafsi ni kwamba hii nchi ifutwe na igawanywe kati ya Rwanda na Uganda au Uganda na Tanzania. La sivyo iunganishwe na Rwanda. mnasemaje wadau wa JF?


      duhhhhh ..hapo kwenye red mayazo yako yanatisha hata rais wa nchi hyo akikusikia lazima akutafute ....alaf....utaelewka tu

    5. #4
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,579
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      425
      Likes Given
      625

      Default

      Quote By chash
      Takwimu karibia zote kwenye mtandao zinakubaliana kuwa Burundi ndio nchi masikini duniani. Pia ni mwanachama wa EAC kwa hiyo ni aibu kwetu wote na pia naamini ukishirikiana na masikini unakuwa masikini.Tuwasaidie hawa jamaa wetu kimawazo jameni. Maoni yangu binafsi ni kwamba hii nchi ifutwe na igawanywe kati ya Rwanda na Uganda au Uganda na Tanzania. La sivyo iunganishwe na Rwanda. mnasemaje wadau wa JF?
      ebu tueleze kwanza, wewe niwa nchi gani?: burundi, rwanda, uganda, DrC au tz?!, nadhani in real economic terms TZ ni maskini kuliko burundi, au wewe unasemaje?!

    6. #5
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,454
      Rep Power : 1126
      Likes Received
      639
      Likes Given
      829

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      kwa nini? mbona kuna nchi maskini na zenye njaa na hazitawaliki km Somalia? mm sijaona umaskini wao wakati wanakula au ni vigezo vipi umetumia kwani km mashindano huwa kuna wa kwanza na wa mwisho hata Olimpiki, Miss world nk
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      ukisema suala la kufutwa ipo siku hata BONGO itafutwa kwani nayo huwa inachezea hizo hizo namba za viatu

      ni nchi masikini sababu ya migogoro ya ndani halafu ni LOCKED LAND
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    9. #7
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,321
      Rep Power : 12589
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Somalia na Congo za ngapi?
      Roulette likes this.

    10. #8
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 589
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Sisi ndio Warundi watushangae, pamoja na rasilimali zote bado tunakaribia kulingana nao na kila siku umasikni unazidi Bongoi.

    11. #9
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 548
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      kama kufutwa nchi! ingeanza kufutwa tanzania kwanza alafu akapewa paul kagame aiunganishe na rwanda! au ikapewa nchi yyt ile ambayo ni masikini lakini inajikwamua kutoka kwenye umasikini na inaelekea pazuri.
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    12. #10
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,024
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      982
      Likes Given
      247

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Kaziwa nyasa kamewachemsha, mnataka kutest bujumbura, presida wa huko siyo demu kusema mtaenda kuchekacheka, mtafurushwa!!!
      Ni rahisi zaidi popo kuwa ndege, kuliko ndizi kuwa tunda

    13. #11
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Quote By Baro
      [/COLOR][/FONT]

      duhhhhh ..hapo kwenye red mayazo yako yanatisha hata rais wa nchi hyo akikusikia lazima akutafute ....alaf....utaelewka tu
      Aiseee!! Ni kweli Mkuu. Naomba nibadilishe hii lugha nzito nisema 'waungane na'... badala ya kufutwa.

    14. #12
      Apolonary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : SAN DIEGO COMMUNITY
      Posts : 1,472
      Rep Power : 685
      Likes Received
      257
      Likes Given
      30

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      ni mawazo lakini sio ya warundi kwanza burundi sio nchi namba maskini bali ni Drc

    15. #13
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Quote By Preta
      kwa nini ifutwe.....?
      shauri ya umaskini wao ndio ishindikane wao kuwa nchi.....?
      Ok ok nimebadilisha hiyo lugha ya nchi kufutwa. Nasema 'iungane'

    16. #14
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Quote By Gama
      ebu tueleze kwanza, wewe niwa nchi gani?: burundi, rwanda, uganda, DrC au tz?!, nadhani in real economic terms TZ ni maskini kuliko burundi, au wewe unasemaje?!
      Kwenye list yako kwanini unaona siwezi kuwa mkenya? Nikitaja wawapi utaanza kuunganisha na mada hii na kutafuta visababu, kwa hiyo tusubiri kwanza.

      Kulingana na takwimu hizi hapa List of countries by GDP (PPP) per capita - Wikipedia, the free encyclopedia za 2011.

      Kenya ipo no 152, Tanzania ya pili 158, Uganda 159 Rwanda 163 alafu Burundi 177 out of 180. Sleeping giants kama DRC hatuta hesabu kwa sababu waki settle vita vyao hata ndani ya miezi sita wanaweza kuzizidi nchi za EAC ki uchumi.

    17. #15
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Nch moja ikiwa chini excessively ki uchumi inakuwa mzigo kwa nchi za muungano. Ndio sasa hivi unaona muungano wa europa unajitahidi sana kuwasaidia wagiriki na hispania sabab wakiachiwa wanazivuta chini zingine. Ona kam ishu ya wakimbizi. Sio mzigo kwa Tanzania? Wanarudishwa kwao lakini baada ya integration watarudi tu, na hawataweza kuondolewa. Lakini nchi yao ikiboreshwa kidogo wanaweza wakubali kubaki huko huko.

    18. #16
      MWILI NYUMBA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 591
      Rep Power : 467
      Likes Received
      153
      Likes Given
      256

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Quote By Gama
      ebu tueleze kwanza, wewe niwa nchi gani?: burundi, rwanda, uganda, DrC au tz?!, nadhani in real economic terms TZ ni maskini kuliko burundi, au wewe unasemaje?!
      Hapo kwenye bold,Hebu acha utani mkuu.
      chash likes this.

    19. #17
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Quote By asigwa
      ukisema suala la kufutwa ipo siku hata BONGO itafutwa kwani nayo huwa inachezea hizo hizo namba za viatu

      ni nchi masikini sababu ya migogoro ya ndani halafu ni LOCKED LAND
      Eventually nchi zote za afrika mashariki zitafutwa kwa sababu ndio longterm plan ya EAC. Walianza na kusawazisha tarrifs, sasa wapo kwenye free movement of goods and people then one currency ndio iwezekana political integration. Hii integration haitawezekana kama tofauti ya economy itapishana sana dhidi ya nchi husika. Huku tunako elekea Burundi ina dalili za kulemewa hiyo ndio nahoji nivipi wanaweza kusaidiwa.
      asigwa likes this.

    20. #18
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Nashangaa Somalia haipo kwenye hizi takwimu hapa List of countries by GDP (PPP) per capita - Wikipedia, the free encyclopedia
      au ndio wameshaungana na Kenya au?

      Kuusu DRC wanasema hivi . quote "Although citizens of the DRC are among the poorest in the world, having the second lowest
      nominal GDP per capita, the Democratic Republic of Congo is widely considered to be the richest country in the world regarding natural resources; its untapped deposits of raw minerals are estimated to be worth in excess of US$ 24 trillion"

      Kama tutaachia nchi zingine kuzidiwa na umasikini basi muungano utakuwa mgumu. Ndio nikatoa mfano hispania na giriki wanavyo saidiwa na nchi zingine za europa. Sasa nchi zetu zenyewe masikini, tutasaidiana vipi? si bora kuungana na kujaribu kumaliza umasikini kwa pamoja? Kwa kuanza kuungana naona bora zile zipo chini kama burundi zitangulize kuunganishwa na nchi nyingine ili muungano uwe mwepesi zaidi. Naona Kenya na Rwanda wako mbioni kuweka muungano mwingine wenye kasi zaidi ndani ya muungano wa EAC. Wanaondoa uhitaji wa passport kusafiri dhidi ya nchi hizo mbili, tayari wameshafuta work permits, Rwanda imesha chukua waalimu 4000 wa Kenya kwenda kufundisha Rwanda naona wanafuta kifaransa once and for all. Makampuni ya horticulture ya Kenya yapo Rwanda yanawafundisha warwanda kazi za kupanda maua na mboga kwa ajili ya exports. Mimi nasema kuwa hii kasi inapaswa kuwa kwenye nchi zote za EAC kwa pamoja. Ulimwengu mzima nchi zinajikusanya vikundi ili kusaidia watu wao kuishi vizuri, tena sasa hivi sio baada ya tumesha kufa. Nashangaa tunashindwa kuona ya kwamba umasikini unaweza kuondolewa kwenye maisha haya yetu sasa hivi. Sio baada ya tumesha kufa eti ndio watoto wetu wafanye yale tunaweza kuyafanya sasa hivi.
      Last edited by chash; 20th August 2012 at 15:30.

    21. #19
      usungilo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th August 2012
      Posts : 244
      Rep Power : 390
      Likes Received
      69
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MWILI NYUMBA
      Hapo kwenye bold,Hebu acha utani mkuu.
      burundi wamekuwa kwenye vita vya kupinduana miaka yote, mpaka sasa uhasama bado upo. Alafu hawana rasilimali yoyote ya kueleweka kwamba itawaongezea mapato zaidi ya kufuga wale ngombe wenye pembe zenye uzito mkubwa kuliko the rest of the body. Sasa tz miaka yote ya kutulia, ardhi yote,madini,mbuga za wanyama, maziwa,bahari, natural forests zote tunakuwa nafasi ya 22 kutoka mwisho unaona fahari?
      chash likes this.

    22. #20
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5028
      Likes Given
      5754

      Default Re: Burundi: Nchi masikini duniani

      Quote By Ritz
      Somalia na Congo za ngapi?
      Somalia sio masikini kabisa, utahsangaa data zao zimekaa bora kuliko za Tanzania. Ila the last timr I checked Congo (DRC) ilikua ndio imeshika mkia. Sasa sijui hizi za Burundi kua ya mwisho kazitoa wapi. Labda atuwekee source.
      Hata ikiwa ni kweli, sioni kwanini nchi iunganishwe na nchi zingine maskini. They will just drag the better off country down to their level maana na hizo zinazoonekana less poor are relying on aid.
      chash likes this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...