"FEMALE GENITAL MUTILATION HAS NOTHING TO DO WITH CULTURE, TRADITION OR RELIGION. IT IS TORTURE AND A CRIME. HELP US TO PUT AN END TO THIS CRIME.” -Waris Dirie
The campaign | STOP FGM NOW.COM
"FEMALE GENITAL MUTILATION HAS NOTHING TO DO WITH CULTURE, TRADITION OR RELIGION. IT IS TORTURE AND A CRIME. HELP US TO PUT AN END TO THIS CRIME.” -Waris Dirie
The campaign | STOP FGM NOW.COM
'Belief in myths allows the comfort of opinions without the discomfort of thought.' - JFK
Ubinafsi na choyo tu...
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problem,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
Mwaka huu haugawanyiki kwa mbili ukienda wilaya ya Serengeti na Tarime kuanzia December kuelekea X-mas kunakuwa na shamrashamra za FGM nadhani ndio kipindi muafaka cha kampeni maana kule japokuwa serikali ipo lakini mambo ni hadharani na wakifanya FGM mwaka huu ni mpaka 2014 japokuwa siku hizi wanasema wanatahiri ki-CCM ndio lugha wanayotumia wakimaanisha wanatahiri kisasa kwa kuchuna kidogo. NGO zinazodeal na haya mambo nadhani kule zina kazi za kufanya.
Ni dhahiri jambo hili linapaswa kukemewa kwa nguvu zote
No one is in charge of your happiness except you...
God time is the best..
Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma
Kwa kweli linafaa kukemewa kwa nguvu zote
Kwa mantiki nzima ya kutahiri wanawake ni nini? Naomba kueleweshwa, kwa kuwa kwetu hakuna kitu hicho!
A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
[email protected]
Eti kuwafanya mabinti wasiwe na hamu ya tendo la ndoa ili watulie nyumbani. Hivyo hata wakiolewa nasikia huwa ni shida sana kusisimuliwa na kuwa tayari kushiriki kwa furaha tendo hilo na waume zao. Huishia kuumia tu kwani wanakuwa hawajasisimuliwa vya kutosha kuwafanya watoe ile fluid ya kuzuia maumivu pale mume anapokuwa anaingia. Pia kwenye kuzaa napo nasikia ni kasheshe. Kwa kifupi ni ukatili usiofaa kuendekezwa hata kidogo.
Usiwanyime watu mema yaliyo haki yao, ikiwa katika uwezo wa mkono wako kuyatenda (Mithali 3:27)
Follow Us Here