Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 48
    1. #1
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Mbunge wa Misri ajifedhehesha


      21 Julai, 2012


      Mbunge wa Misri wa chama cha Kiislamu chenye msimamo mkali, amekutikana na makosa ya kuvunja adabu ya kijamii, kuhusu tukio ambapo amekutikana anafanya mapenzi ndani ya gari lake.



      Kesi hiyo imewatia aibu Waislamu wanaoitwa Salafi - ambao wanadai kuwa wanaume watengwe kabisa na wanawake.

      Mbunge huyo, Ali Wanis, alipewa hukumu ya kifungo cha mwaka mmoja na nusu, kwa kufanya mapenzi na mwanafunzi, na kwa kumshambulia askari polisi
      Mbunge huyo ni wa chama cha Nour, kwenye bunge la mwanzo kuundwa baada ya utawala wa Rais Mubarak - bunge ambalo lilifutwa mwezi uliopita baada ya mahakama kuamua kuwa bunge hilo siyo halali.

      SOSI: BBC

      Najiuliza hivi wabunge wana akili zinazofanana?juzi hapa kuna mtu ameripot kuwa kuna mbunge wa Kondoa alikutwa akifanya mapenzi kwenye gari na kabinti huko ARUSHA

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 716
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Mbona ni kawaida saaana hio mkuu, maisha ni mafupi RAHA JIPE Mwenyewe,
      Mboko likes this.

    4. #3
      Gosbertgoodluck's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 2,863
      Rep Power : 1149
      Likes Received
      334
      Likes Given
      4

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Kwa hao wenzetu suala hilo mbona ni la kawaida sana.

    5. #4
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,337
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      648
      Likes Given
      498

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Nilijuwa mchemba tena.

    6. #5
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By matumbo
      Nilijuwa mchemba tena.
      ndo maana yake,it means na kule yupo

    7. Miaka 50

    8. #6
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By Gosbertgoodluck
      Kwa hao wenzetu suala hilo mbona ni la kawaida sana.
      sasa ndo aibu inamkuta,halafu ndo mbunge wa chama cha waislam wenye msimamo mkali

    9. #7
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By Bob G
      Mbona ni kawaida saaana hio mkuu, maisha ni mafupi RAHA JIPE Mwenyewe,
      ila wanaume hufata utelezi kwa wanawake maana utamu wanao wenyewe,,,,,,,,

    10. #8
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Ungesema "aliyekuwa" mbunge maana huyo kisha hukumiwa ina maana na ubunge hanao tena. Natamani sheria kama hizi za uzinzi zingefika hapa kwetu.
      Bajabiri likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    11. #9
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,675
      Rep Power : 1911
      Likes Received
      1580
      Likes Given
      676

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Hao ni wabunge marafiki wa ccm ambao Wana tabia Kama hizo

    12. #10
      Kennedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 2,865
      Rep Power : 947
      Likes Received
      362
      Likes Given
      180

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Josephat Joseph! Tehe tehe kwi kwi kwi.

    13. #11
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,078
      Rep Power : 538
      Likes Received
      261
      Likes Given
      393

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Tujadili mambo ya msingi yatakayotusaidia kama watanzania.mbona juzi tuu hapa wazir wa serikali hii kafumaniwa na mke wa mtu?
      Bajabiri likes this.

    14. #12
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 537
      Rep Power : 453
      Likes Received
      178
      Likes Given
      530

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Msimamo mkali?
      wanaweka sheria kali kwa wengine
      wao haziwahusu kabisa,
      Wanataka wengine wasifanye,
      wakati wao wanaiwaza kila dakika,

      Kinachosaidia kuficha maovu,
      siyo ukali wa sheria walizoweka,
      bali ni usiri unaotawaliwa na,
      kibano unachopewa na jamii,
      ukijifana kutoa siri.
      Bajabiri likes this.

    15. #13
      hovyohovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 487
      Rep Power : 443
      Likes Received
      123
      Likes Given
      38

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Wabunge ni watu tu kama wengine, with 'feelings' and 'frailities" as well. Na ujue, haya mambo yanafanyika na watu wengi sana, sema kwa kuwa habari ikiwa inagusa mtu anaye enjoy high public profile, inakuwa rahisi kufahamika nk. Tendo la ngono, achana nalo bwana. Hakuna hero pale.
      Bajabiri likes this.

    16. #14
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 561
      Rep Power : 551
      Likes Received
      79
      Likes Given
      63

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      dah! ndio maana mzee mwinyi alisema "gonjwa limekaa pabaya".
      Bajabiri likes this.
      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    17. #15
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,970
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Bajabiri
      Mbunge wa Misri ajifedhehesha


      21 Julai, 2012


      Mbunge wa Misri wa chama cha Kiislamu chenye msimamo mkali, amekutikana na makosa ya kuvunja adabu ya kijamii, kuhusu tukio ambapo amekutikana anafanya mapenzi ndani ya gari lake.



      Kesi hiyo imewatia aibu Waislamu wanaoitwa Salafi - ambao wanadai kuwa wanaume watengwe kabisa na wanawake.

      Mbunge huyo, Ali Wanis, alipewa hukumu ya kifungo cha mwaka mmoja na nusu, kwa kufanya mapenzi na mwanafunzi, na kwa kumshambulia askari polisi
      Mbunge huyo ni wa chama cha Nour, kwenye bunge la mwanzo kuundwa baada ya utawala wa Rais Mubarak - bunge ambalo lilifutwa mwezi uliopita baada ya mahakama kuamua kuwa bunge hilo siyo halali.

      SOSI: BBC

      Najiuliza hivi wabunge wana akili zinazofanana?juzi hapa kuna mtu ameripot kuwa kuna mbunge wa Kondoa alikutwa akifanya mapenzi kwenye gari na kabinti huko ARUSHA
      Juma nkamia au nani?

    18. #16
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4295
      Likes Given
      1229

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Hana mke anaye itwa mama neema?

    19. #17
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,478
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3051
      Likes Given
      1017

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Nimekurupuka nikadhani ni pale Chako ni Chako ama kwenye viunga vya CBE kumbe Misri! Pelekeni jukwaa la kimataifa.

    20. #18
      S.Liondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Posts : 338
      Rep Power : 476
      Likes Received
      55
      Likes Given
      6

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Ama kweli dini ya mtu haiko kwenye Kanzu na Kibarakashia anachovaa, na wala haiko kwenye Joho wala msalaba ambao mtu anavaa. Pia haiko kwenye jina alilobeba kama vile "Mwisilamu wa sala tano" au "Mlokole". Bali dini ya mtu inadhihirishwa na moyo wake. Kama huyu mujahidina anafumaniwa akizini, itakuwaje kwa wale waislamu wa kawaida? Unafiki ni kitu kibaya sana. Huyu hana tofauti na kafiri tena ni mbaya kuliko kafiri kwababu ya unafiki. Ni heri kafiri maana yeye amekubali kujulikana jinsi alivyo.
      Msalagambwe likes this.

    21. #19
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 757
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Dah kumbe misri mi nilidhani ni mbunge wa tz utamu umekatika
      Bajabiri likes this.

    22. #20
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By zomba
      ungesema "aliyekuwa" mbunge maana huyo kisha hukumiwa ina maana na ubunge hanao tena. Natamani sheria kama hizi za uzinzi zingefika hapa kwetu.
      atabaki mtu pale,,,,,,hata katibu wa bunge habaki

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...