Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 48
    1. #1
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Mbunge wa Misri ajifedhehesha


      21 Julai, 2012


      Mbunge wa Misri wa chama cha Kiislamu chenye msimamo mkali, amekutikana na makosa ya kuvunja adabu ya kijamii, kuhusu tukio ambapo amekutikana anafanya mapenzi ndani ya gari lake.



      Kesi hiyo imewatia aibu Waislamu wanaoitwa Salafi - ambao wanadai kuwa wanaume watengwe kabisa na wanawake.

      Mbunge huyo, Ali Wanis, alipewa hukumu ya kifungo cha mwaka mmoja na nusu, kwa kufanya mapenzi na mwanafunzi, na kwa kumshambulia askari polisi
      Mbunge huyo ni wa chama cha Nour, kwenye bunge la mwanzo kuundwa baada ya utawala wa Rais Mubarak - bunge ambalo lilifutwa mwezi uliopita baada ya mahakama kuamua kuwa bunge hilo siyo halali.

      SOSI: BBC

      Najiuliza hivi wabunge wana akili zinazofanana?juzi hapa kuna mtu ameripot kuwa kuna mbunge wa Kondoa alikutwa akifanya mapenzi kwenye gari na kabinti huko ARUSHA


    2. #21
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By mopaozi View Post
      dah kumbe misri mi nilidhani ni mbunge wa tz utamu umekatika
      waandish wa tanzania hata wakiona ameingiza kojoleo akihongwa bia mbili chakoni chako na paja la kuku wa kienyeji anaipotezea

    3. #22
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By GodfreyTajiri View Post
      dah! ndio maana mzee mwinyi alisema "gonjwa limekaa pabaya".
      HAHAHAAAAAAAAA,,,SI URONGO

    4. #23
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,124
      Rep Power : 1250
      Likes Received
      671
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Bob G View Post
      Mbona ni kawaida saaana hio mkuu, maisha ni mafupi RAHA JIPE Mwenyewe,
      Kama Mwigulu vile.
      Bajabiri likes this.

    5. #24
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,124
      Rep Power : 1250
      Likes Received
      671
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By zomba View Post
      Ungesema "aliyekuwa" mbunge maana huyo kisha hukumiwa ina maana na ubunge hanao tena. Natamani sheria kama hizi za uzinzi zingefika hapa kwetu.
      Zomba angalia Mwigulu asije akakupiga ban.
      Msalagambwe likes this.

    6. #25
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By hovyohovyo View Post
      wabunge ni watu tu kama wengine, with 'feelings' and 'frailities" as well. Na ujue, haya mambo yanafanyika na watu wengi sana, sema kwa kuwa habari ikiwa inagusa mtu anaye enjoy high public profile, inakuwa rahisi kufahamika nk. Tendo la ngono, achana nalo bwana. Hakuna hero pale.
      umemaliza?


    7. #26
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,205
      Rep Power : 12770
      Likes Received
      6435
      Likes Given
      998

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Nilidhani mbunge wetu kumbe Misri.

    8. #27
      Elungata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 3,850
      Rep Power : 1281
      Likes Received
      447
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Bajabiri View Post
      ila wanaume hufata utelezi kwa wanawake maana utamu wanao wenyewe,,,,,,,,
      my GAD...!!
      Ila wewe unafaa kuwa mwanafalsafa.nimechunguza nikaona maneno yako yako right.
      Hakuna tunachofata kwa wanawake zaidi ya ule ute unaoteleza.

    9. #28
      Che Guevara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd May 2009
      Posts : 669
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      70
      Likes Given
      21

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By zomba View Post
      Ungesema "aliyekuwa" mbunge maana huyo kisha hukumiwa ina maana na ubunge hanao tena. Natamani sheria kama hizi za uzinzi zingefika hapa kwetu.
      Wakati akitenda kosa hilo alikuwa ni mbunge. Thread starter yuko sawa.
      "You must be the change you want to see in the world" - Mahatma Gandhi (1869-1948)

    10. #29
      Che Guevara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd May 2009
      Posts : 669
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      70
      Likes Given
      21

      Default Re: Mbunge akutwa akifanya Mapenzi kwenye Gari

      Quote By Ritz View Post
      Nilidhani mbunge wetu kumbe Misri.
      Bongo "dola" itakanusha tu... Mchemba, Simbachewene...
      "You must be the change you want to see in the world" - Mahatma Gandhi (1869-1948)

    11. #30
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Mbunge afanya mapenzi kwenye gari, ni wa chama cha waislamu wenye msimamo mkali

      Mbunge wa Misri ajifedhehesha

      21 Julai, 2012 - Saa 15:57 GMT



      Mbunge wa Misri wa chama cha Kiislamu chenye msimamo mkali, amekutikana na makosa ya kuvunja adabu ya kijamii, kuhusu tukio ambapo amekutikana anafanya mapenzi ndani ya gari lake.


      Kesi hiyo imewatia aibu Waislamu wanaoitwa Salafi - ambao wanadai kuwa wanaume watengwe kabisa na wanawake.
      Mbunge huyo, Ali Wanis, alipewa hukumu ya kifungo cha mwaka mmoja na nusu, kwa kufanya mapenzi na mwanafunzi, na kwa kumshambulia askari polisi.
      Mbunge huyo ni wa chama cha Nour, kwenye bunge la mwanzo kuundwa baada ya utawala wa Rais Mubarak - bunge ambalo lilifutwa mwezi uliopita baada ya mahakama kuamua kuwa bunge hilo siyo halali.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    12. #31
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,258
      Rep Power : 8420
      Likes Received
      1135
      Likes Given
      390

      Default Re: Mbunge afanya mapenzi kwenye gari, ni wa chama cha waislamu wenye msimamo mkali

      Kuishi kinafiki ndiko kunako wafikisha hapa.

      Wanasimamia wasichoweza kutekeleza

    13. #32
      Kima mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2011
      Posts : 303
      Rep Power : 452
      Likes Received
      46
      Likes Given
      0

      Default Re: Mbunge afanya mapenzi kwenye gari, ni wa chama cha waislamu wenye msimamo mkali

      ni heri kuoa kuliko kuweka tamaa

    14. #33
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Mbunge afanya mapenzi kwenye gari, ni wa chama cha waislamu wenye msimamo mkali

      Quote By NATA View Post
      Kuishi kinafiki ndiko kunako wafikisha hapa.

      Wanasimamia wasichoweza kutekeleza
      angekuwa mbunge mwanamke nina uhakika angepigwa mawe hadi kufa
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    15. #34
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,258
      Rep Power : 8420
      Likes Received
      1135
      Likes Given
      390

      Default Re: Mbunge afanya mapenzi kwenye gari, ni wa chama cha waislamu wenye msimamo mkali

      Quote By Saint Ivuga View Post
      angekuwa mbunge mwanamke nina uhakika angepigwa mawe hadi kufa
      Haswa kwa mfume dume unavyo tawala hizi jamii zetu.

      We acha siku vitabu vyote vilivyoweka hizi sheria vikipigwa kiberiti na wanawake wakae warekebishe hizi sheria lalizi.

    16. #35
      princess enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 972
      Rep Power : 897
      Likes Received
      344
      Likes Given
      329

      Default Re: Mbunge afanya mapenzi kwenye gari, ni wa chama cha waislamu wenye msimamo mkali

      huyo mbunge hana mke???

    17. #36
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 3,057
      Rep Power : 1059
      Likes Received
      803
      Likes Given
      341

      Default Re: Mbunge afanya mapenzi kwenye gari, ni wa chama cha waislamu wenye msimamo mkali

      huyu wa misri kapitiliza kuvunja maadili -- bora yule wa kwetu aliyekwepua wife wa mtu akamtumia kwa muda kisha akamrudisha kwa mumewe.

    18. #37
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 519
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default mbunge afanya mapenzi ndani ya V8

      Mbunge wa Misri
      wa chama cha
      Kiislamu chenye
      msimamo mkali,
      amekutikana na
      makosa ya kuvunja
      adabu ya kijamii,
      kuhusu tukio
      ambapo
      amekutikana
      anafanya mapenzi
      ndani ya gari lake.
      Kesi hiyo imewatia
      aibu Waislamu
      wanaoitwa Salafi -
      ambao wanadai
      kuwa wanaume
      watengwe kabisa na
      wanawake.
      Mbunge huyo, Ali
      Wanis, alipewa
      hukumu ya kifungo
      cha mwaka mmoja
      na nusu, kwa
      kufanya mapenzi na
      mwanafunzi, na
      kwa kumshambulia
      askari polisi.
      Mbunge huyo ni wa
      chama cha Nour,
      kwenye bunge la
      mwanzo kuundwa
      baada ya utawala
      wa Rais Mubarak -
      bunge ambalo
      lilifutwa mwezi
      uliopita baada ya
      mahakama kuamua
      kuwa bunge hilo
      siyo halali.

      Source :BBC.UK/SWAHILI(IDHAA YA KISWAHIL YA BBC
      Last edited by Mkurabitambo; 22nd July 2012 at 22:34.

    19. #38
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 494
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: mbunge afanya mapenzi ndani ya V8

      Mmmmmmm.

    20. #39
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6320
      Likes Given
      2418

      Default Re: mbunge afanya mapenzi ndani ya V8

      chezea utaamu....

    21. #40
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 435
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: mbunge afanya mapenzi ndani ya V8

      tupe web site ya kuaminika uliyotoa habari hiyo??!!!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...