Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 80
    1. #1
      Delegate's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 126
      Rep Power : 398
      Likes Received
      58
      Likes Given
      28

      Default Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      hapa tunapoongea sasa hivi wamepokelewa madaktari watano kutoka Mbeya tanzania na tayari residence permit zao zinatengenezwa ili kuanza kazi mara,
      watakuwa wanafanya kazi hospitali za Gaborone city council na mishahara yao itakuwa allmost mara saba ya mshahara waliokuwa wanapata tanzania wa laki tisa

      My take:
      serikali ya tanzania isifikiri inawakomoa hawa madaktari ambao nchi za huku kusini zinaheshimika kuliko jambo lolote lile,kama walifikiri wanawakomoa kwa kutumia SADC ili wasipate kazi huku wajua serikali ya Botswana ni serikali imara na madhubuti na haiendeshwi kinafiki
      Kichuguu, BAK, Elli and 11 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Delegate's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 126
      Rep Power : 398
      Likes Received
      58
      Likes Given
      28

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By Abdulhalim
      would care less about such an act of immense incompetence..sasa huezi niambia habari ya busara wakati tukio zima linaonesha hakuna at least common sense..btw yule mgonjwa mlishamlipa kwa uzembe wenu?
      nani sasa anatakiwa amlipe??au ndo kenyan diaspora?

    4. #42
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,742
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1202
      Likes Given
      560

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By Delegate
      nani sasa anatakiwa amlipe??au ndo kenyan diaspora?
      kila mhusika, btw yule bwana last time i checked hali yake ilikua bado si nzuri <huenda ameshatangulia mbele za haki>, sijasikia mhusika yeyote akiomba radhi kufuatia uzembe ule uliotukuka..
      Nyunyu likes this.
      Moola's the motive

    5. #43
      Sunshow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 689
      Rep Power : 518
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Nawatakia safari njema huko Botswana ni heri kubakia na clinical officers kuliko madaktari pasua vichwa.

    6. #44
      Setuba Noel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 217
      Rep Power : 407
      Likes Received
      88
      Likes Given
      184

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By mchukiaufisadi
      Bravo.

      Namkumbuka Dr. Kimaro (RIP) aliyekuwa Rais wa DARUSO miaka ya 1992, Rais Mwinyi aliapa kuwa hatafanya kazi yeyote Duniani, lakini Botswana alifanya kazi.
      Kama unamzungumzia Dr Haroun Kimaro, mbona umeandika RIP kwani alifariki lini?
      Jamaa alikuwa kichwa sana enzi zake.

    7. #45
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 758
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Madokta wanaoenda kuhudumia nchi nyingine na kuacha kuhudumia eneo Mungu alilowapangia watalaaniwa milele dhambi hii ni ya kudumu

    8. Miaka 50

    9. #46
      Setuba Noel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 217
      Rep Power : 407
      Likes Received
      88
      Likes Given
      184

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By pgasper
      Kitu kimoja naipendea Tanzania,
      inasomesha bure madaktari.
      Inalipa fees,
      inalipa boom,
      ila inapofika kutumia matunda ya walichopanda hawana mda nacho,
      "Ondokeni mkamtafute mwajiri anayelipa vizuri" Baba Mwanaasha aka Vasco de traveller
      Tanzania haisomeshi bure madaktari. Wanakopeshwa kama wanafunzi wengine na wanazilipa wanapomaliza. Ile ni investment ya mwanafunzi mwenyewe, hivyo anapohitimu ana haki ya kutafuta mahali pa kuuzia taaluma yake apate pesa ya kulipa mkopo huo.

    10. #47
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,321
      Rep Power : 12589
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Watanzania kwa maneno bana kulikuwa na tetesi kuwa serikali inaleta madaktari wageni kuja Tanzania watu waliishambulia serikali eti ni aibu kubwa kutibiwa na wageni leo tena mnawasifia Botswana...kama wamepata kazi huko na wanalipa vizuri safi sana...serikali aina uwezo wa kuwalipa mshahara mnaotaka.
      Bukyanagandi and Thanda like this.

    11. #48
      Setuba Noel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 217
      Rep Power : 407
      Likes Received
      88
      Likes Given
      184

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By mchukiaufisadi
      Ni karibu miaka mitatu imepita. Kama utakuwa na taarifa ya kugombea mali zake ambapo hata Mch. Mtikikila alikuwemo kumdhulum mke wake(RIP). Kimaro was a good leader ambaye alifanya kazi na Katibu Rutashoborwa(RIP)
      Mbona inahuzunisha zaidi, unamaanisha hata mkewe na Ruta pia ni marehemu?

    12. #49
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 670
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Maisha popote not only inTanzania. Yanini kuumiza kichwa sehemu ambayo haukubaliki. Nabii hakubaliki kwao.

    13. #50
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 723
      Rep Power : 630
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By Duduwasha
      Wacha uchoyo Mpe like yake Basi...
      Tatizo ni hizi simu za tochi, hata hivyo hayo maneno ni like tosha

    14. #51
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By mwaJ
      Umenichekesha sana with that phrase in red!
      aaaah,mwaJ weee,kichina kinanitatiza sasa hata inglishi?????leti mi trai intaneshno langueji

    15. #52
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Tutafika
      Tatizo ni hizi simu za tochi, hata hivyo hayo maneno ni like tosha
      profile yangu inasema sijawah toa laiki hata moja,kisa?????nokia 3310,aaaargh

    16. #53
      Tiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 1,712
      Rep Power : 896
      Likes Received
      406
      Likes Given
      503

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By Delegate
      Dr Kimaro alitutoka Mkuu!
      This is too bad!!! Sikuwahi kujua hii habari.

      Tiba

    17. #54
      zaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 795
      Rep Power : 536
      Likes Received
      235
      Likes Given
      528

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By mchukiaufisadi
      Bravo.

      Namkumbuka Dr. Kimaro (RIP) aliyekuwa Rais wa DARUSO miaka ya 1992, Rais Mwinyi aliapa kuwa hatafanya kazi yeyote Duniani, lakini Botswana alifanya kazi.
      Mkuu, unaMRIP Kimaro? mbona unanishitua? Oh ooooooh! Nafahamu vizuri kijana yule ambaye hata shuleni pale medical school walidhani angefeli lakini C ikawa palepale hata akabatizwa jina la Mr C maana alijisemea mwenyewe kwamba anachokitaka ni C, sio zaidi na sio kinginecho. Alivyokuwa bussy walidhani shule ingemshinda kumbe wapi! Kile kilikuwa kichwa kwelikweli. Yuko kwenye harakati mchana hata kama kesho kuna Sungusungu lakini C ni palepale! Hebu nipe zaidi bwna, imenishitua sana kwa vile nilijua anachapa kazi Zimbabwe alikomalizia shule baada ya kutimuliwa hapa na Mwinyi.

      Unajua kwa nini Mzee Ruksa alimlaani Kimaro? Kimaro aliwahi kusema mbele ya vyombo vya habari "Huyo raisi wenu...." Hapo Mwinyi alirudia rudia kusema "Mimi ni raisi wa watanzania wote, walionichagua na wasionichagua. Adabu nzuri ni kukubali kuwa mimi ni rais wako hata wewe..." That guy, very cool if you meet him, to everybody without descrimination, mwe! Kweli Mungu anawapenda wapole na majasiri kuupinga ubaya. Nakumbuka alivyokwenda kujiunga kwa Kakobe kulikoitwa siku zile kwenye imani ya moto sababu ilisemekana wanabatizwa kwa kuruka moto! Kama kweli ulivyomRIP, anastahili kuwa mahala pema peponi na sio pachungu, mtu wa watu yule. Surely angekuwapo hivi leo angetengeneza timu nzuri na kina Mnyika na Zito nk.
      episodes likes this.
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” by Hon Lema, MP - Arusha

    18. #55
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 923
      Likes Received
      718
      Likes Given
      1475

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By Delegate
      hapa tunapoongea sasa hivi wamepokelewa madaktari watano kutoka Mbeya tanzania na tayari residence permit zao zinatengenezwa ili kuanza kazi mara,
      watakuwa wanafanya kazi hospitali za Gaborone city council na mishahara yao itakuwa allmost mara saba ya mshahara waliokuwa wanapata tanzania wa laki tisa

      My take:
      serikali ya tanzania isifikiri inawakomoa hawa madaktari ambao nchi za huku kusini zinaheshimika kuliko jambo lolote lile,kama walifikiri wanawakomoa kwa kutumia SADC ili wasipate kazi huku wajua serikali ya Botswana ni serikali imara na madhubuti na haiendeshwi kinafiki
      Mkuu, tunawatakia kila la kheri, ila nakukumbusha kwamba uchumi wa Botswana uwezi kulinganisha na wa TANZANIA - vile vile hata population nayo ni ndogo, sasa kama Serikali ya Tanzania haina uwezo wa kuwalipa Madaktari mishahara wanayo dahi inawezaje kuzuia madaktari wasitafute ajila inayo walipa vizuri nje ya nchi; mbona Botswana wapo wa Tanzania wataalamu wa fani mbali mbali na wanasifika sana kwa utendaje wao mzuri wa kazi. Lakini kusema kwamba TANZANIA inaweza kuwazuia Madaktari wasifanye kazi kwenu kwa kutumia SADC naona hiyo kama ni slip up tu hukudhamilia kusema hivyo, kama umedhalimia basi hii inashangaza kidogo!
      Last edited by Bukyanagandi; 5th July 2012 at 05:43.

    19. #56
      Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Posts : 1,725
      Rep Power : 1022
      Likes Received
      54
      Likes Given
      6

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      [QUOTE=Delegate;4170829]hapa tunapoongea sasa hivi wamepokelewa madaktari watano kutoka Mbeya tanzania na tayari residence permit zao zinatengenezwa ili kuanza kazi mara,
      watakuwa wanafanya kazi hospitali za Gaborone city council na mishahara yao itakuwa allmost mara saba ya mshahara waliokuwa wanapata tanzania wa laki tisa

      My take:
      serikali ya tanzania isifikiri inawakomoa hawa madaktari ambao nchi za huku kusini zinaheshimika kuliko jambo lolote lile,kama walifikiri wanawakomoa kwa kutumia SADC ili wasipate kazi huku wajua serikali ya Botswana ni serikali imara na madhubuti na haiendeshwi kinafiki[/Quote

      Tafadhali nijuze nini chanzo cha Kifo cha Dr Kimaro,Je alirudihswa nyumbani au alizikwa huko huko?RIP Dr Kimaro!
      UKIJUA UNAPOKWENDA NI RAHISI KUFIKA!

    20. #57
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,410
      Rep Power : 713
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      waende tu, kwanza ni incompetent ile mbaya, bora tubaki na hospitali za watu binafsi. wataenda huko watachokwa watarudi tu na kazi wataanza kutafuta upya.....yaani huo mkwara kwamba madaktari watahama nchi ni wa kujinga sana kwasababu hakuna hata doctor mmoja anayefanya kazi ya hisani hapa, wote wanaganga njaa/wanatafuta pesa na hizo kazi walizipata kwa mbinde...wakiondoka basi tutaajiri wengine chuo si kina magraduate kila mwaka...kwani nini bwana hata tutishane?
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    21. #58
      Thanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Multiple Destination
      Posts : 1,891
      Rep Power : 1608
      Likes Received
      566
      Likes Given
      1523

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Kwa mshshara wa 900.0000 wa daktari, hawezi kunywa chupa moja ya "Champagne"..nasema hawezi...simaanishi ulaya, nazungumzia hapo hapo TZ., Haya wa hotel za DAr Es Salaam, Arusha na Mwanza, Nairobi, Mombasa na Kwingineko Afrika ya Mashariki, Nipeni bei ya Champagne hizi hapa:

      1.Moet & Chandon (Imperial), Vintage 1743, 12 alc vol. 750ml (320,000)
      2.Dom Perignon, Vintage 2002,12.5 alc vol. 750ml (900,000)

      Bei hizi (kwa chupa moja) ni nilizikuta Mount Meru Hotel, Arusha wakati wa Mkutano wa AfDB.

      Kunywa tu bia moja, mawazo matupu au wanakunywa kujisahaulisha wanayoyapitia...kama kawaida ya waafrika wengi tulivyo.
      RedDevil likes this.

    22. #59
      Thanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Multiple Destination
      Posts : 1,891
      Rep Power : 1608
      Likes Received
      566
      Likes Given
      1523

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Sikuungi mkono

    23. #60
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,744
      Rep Power : 725
      Likes Received
      292
      Likes Given
      266

      Default Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana

      Quote By Herald Hunter
      Kwa mshshara wa 900.0000 wa daktari, hawezi kunywa chupa moja ya "Champagne"..nasema hawezi...simaanishi ulaya, nazungumzia hapo hapo TZ., Haya wa hotel za DAr Es Salaam, Arusha na Mwanza, Nairobi, Mombasa na Kwingineko Afrika ya Mashariki, Nipeni bei ya Champagne hizi hapa:

      1.Moet & Chandon (Imperial), Vintage 1743, 12 alc vol. 750ml (320,000)
      2.Dom Perignon, Vintage 2002,12.5 alc vol. 750ml (900,000)

      Bei hizi (kwa chupa moja) ni nilizikuta Mount Meru Hotel, Arusha wakati wa Mkutano wa AfDB.

      Kunywa tu bia moja, mawazo matupu au wanakunywa kujisahaulisha wanayoyapitia...kama kawaida ya waafrika wengi tulivyo.
      Ha ha haaaaaa! Mkuu naona sasa unalinganisha tamaa na starehe nk nk. Hata kama ukipewa Tsh. 10 M, kama unatamaa na starehe hazitakutosha. Ila nikweli kwmba wanastahili malipo mazuri. Ila umekuja kwa kunyumbulisha vibaya!
      Thanda likes this.

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...