Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana
hapa tunapoongea sasa hivi wamepokelewa madaktari watano kutoka Mbeya tanzania na tayari residence permit zao zinatengenezwa ili kuanza kazi mara,
watakuwa wanafanya kazi hospitali za Gaborone city council na mishahara yao itakuwa allmost mara saba ya mshahara waliokuwa wanapata tanzania wa laki tisa
My take:
serikali ya tanzania isifikiri inawakomoa hawa madaktari ambao nchi za huku kusini zinaheshimika kuliko jambo lolote lile,kama walifikiri wanawakomoa kwa kutumia SADC ili wasipate kazi huku wajua serikali ya Botswana ni serikali imara na madhubuti na haiendeshwi kinafiki
Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana
By Tiba
Are you saying Dr. Kimaro ni marehemu kwa sasa? Alifariki lini? Alikuwa kiongozi wangu imara aliyewezesha maandamano kufanyika hadi kwenye geti la Magogoni!!!!
Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana
By Delegate
hapa tunapoongea sasa hivi wamepokelewa madaktari watano kutoka Mbeya tanzania na tayari residence permit zao zinatengenezwa ili kuanza kazi mara,
watakuwa wanafanya kazi hospitali za Gaborone city council na mishahara yao itakuwa allmost mara saba ya mshahara waliokuwa wanapata tanzania wa laki tisa
My take:
serikali ya tanzania isifikiri inawakomoa hawa madaktari ambao nchi za huku kusini zinaheshimika kuliko jambo lolote lile,kama walifikiri wanawakomoa kwa kutumia SADC ili wasipate kazi huku wajua serikali ya Botswana ni serikali imara na madhubuti na haiendeshwi kinafiki
source! plse! as not every trash put forward are factually correct, some gossips are driven by ill-motives aiming at misguiding us!
mwanangu ndio anasema eti anataka kuwa dokta, nilikuwa namkazania sana sasa anajua sayansi na hesabu sana, ila na mimi nataka kubadili mawazo nisishabikie huo udaktari anaouota, nadhani asome siasa,
hivi huwa wanasoma wapi vile?
Mpeleke kigamboni Chuo Cha mwalimu nyerere aje kuwa raisi kama mwalimu mwenyewe.
Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana
Kuweni Makin Botswana hawavumilii wizi wa Dawa,uzembe wa kupasua kichwa badala ya miguu,rushwa ili kutoa rufaa ya kutibiwa nje vigogo maana hakuna kigogo atibiwae nje kwa fedha ya serkal bila ya kupata Rufaa toka kwa madokta wa kibongo,kutoa mimba kwa elfu 20( USD 13)!
Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana
By Abdulhalim
i doubt kaa wapasua kichwa badala ya miguu can be marketable anywhere than the land which redefined incompetence..
u do know what u re talking man hujui uzembe ulikuwa wanani katka hiyo issue "keeping silence it doesnt meant ure fool bt speaking mud concludes that ure poor in thnkng''
Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana
By Ammy the great
u do know what u re talking man hujui uzembe ulikuwa wanani katka hiyo issue "keeping silence it doesnt meant ure fool bt speaking mud concludes that ure poor in thnkng''
would care less about such an act of immense incompetence..sasa huezi niambia habari ya busara wakati tukio zima linaonesha hakuna at least common sense..btw yule mgonjwa mlishamlipa kwa uzembe wenu?
Re: Madaktari kutoka Tanzania wapokelewa kwa heshima Botswana
dr, akishawachukia watawal hatakiwie tena wajibu.kutakuwana na conflict of interest.Sasa kama daktari anamwambia waziri kuwa warekebishe hata hospital ya dodoma.kwani kuna magonjwa wakipata hata nje mkoa hawatatoka bila kufa bali na uwezo wao wakwenda india.Sasa jiulize kipindi cha pilikapilika za uchaguzi (hasa 2005 CDM watakavyokuwa wanawakimbiza na kila dakika development stories si nzuri), wangapi watajikuta mikononi pa madaktari?Ole wao waliokuwa wakipoteza muda na Mnyika ,huku wakiwa upande wa Serikali na waliomdhuru dr, Uli. Bora hawa jamaa watawanyike.Kwani watanzania bado watajia adjust tuu, mpaka sasa wengi wanatibiwa kwa sangoma/sambunge na phamacies za karibu, au masai fulani.ukishjibizana na Dr. si vyme tena akuhudumie.Ingawa kuna watakaokulewabado si lazima kucheza bahati nasibu.Madaktari wengi huwa kuna vitu vya ziada huwa wanafanya kwa wagonjwa yanayosumbua kutambua au kutibika,ingawa si lazima wafanye.Wana option ya kuku refer ingawa pia wanajua huko uendao wanaweza wasipate jibu.Hizi benefit hatuwezi zipata kirahisi. Itabidi Wanaccm (A-B-C) na wake zao waombe Mungu waugue wakiwa India, watumie imprest hukohuko, wakitua mikono mwa hawa jamaa ipo kazi.Hata hizo hospital za binafsi hao jama pi awana hasira, na wanafuatilia nyuzi sana.
SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.
Follow Us Here