Well, at least you are honest enough to recognise this, sababu the way you wrote it ni kama umesha fuka vile. Kwanza let's get it straight: Bukavu ni Capital City ya South Kivu-it is not two separate entities, but one is the province and the other is its capital city. Kuna barabara ya almost 2000km (N2, then N3 from Kassai). Hiyo barabara inapitika kwa gari na kwa trucks ila ina section ya 134km (nearly 5%) (Kati ya Kitutu near Kamituda, to Kasongo) ambayo huwezi tumia gari but motor cycle zinapita. This makes the trfic possible for people but not for marchandises. they would have to use the N5 (Via the south) wich makes the journey some 2 weeks longer. alternatively wanatumia ndege aina ya Skyvan (Swala Aviation) au Antonovs (Congocom) and of course this has an impact on the price of the goods once at destination.
Kuhusu Boti kwenye mto Congo sijui ni ipi unayo ongelea sababu mto Congo ni mkubwa sana na una sehem nyingi navigable, from Kisangani all the way to Kinshasa, with hundreds of boats and ferry operating there. Kuna za National Transport (Office des routes), kuna binafsi za kibiashara, kuna binafsi za kutumia for private trips, kuna za kazi (mostly NGO) etc. so maybe you have a name in mind?
Kisangani and Kinshasa are linked via River Congo and the trafic is regular. Lubumbashi and kishasa are linked by road, rail (half way) but the most practical mean remains air because of the distance (three times Kigoma-Dar).
For more about transport in the DRC and its challenges, anzia hapa (
Simple start)
Back to the main question of the recrudescence of violence in the DRC: Is this Rwanda again? Nitasema yes, sababu vita hivi tunaongelea hapa (excluding other insecurities caused by bandits, or by the LRA) vinatokana na vitu viwili: 1. presence of FDLR in the Congo (Rwandand rebels) na 2. Mutinery from former Congolese general (Of Rwandan origin, and backed up by Rwandan Army). The responsibility of this war is shared among many stakeholders, ila Rwanda is certainly playing an active role. For more about this, unaweza pitia hapa (
Congo Siasa covering the DRC security and Governance problems)
Follow Us Here