Rais wa Malawi..Bi Joyce Banda ambaye ni mwanamke wa pili Afrika kuwa rais, ameipiga mnada ndege ya serikali iliyokuwa ikitumiwa na rais aliyemtangulia marehemu Bingu wa Mutharika.
Pia ameyapiga mnada magari 60 ya kifahari aina ya MERCEDEZ BENZ ili ipatikane pesa ya kuboresha huduma za kijamii ikiwemo madawa ya hospital, huduma ya maji, elimu, mishahara madaktari na wahudumu wengine serikalini.
Unauonaje uamuzi wake?

Reply With Quote




Follow Us Here