Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      mpayukaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 950
      Rep Power : 921
      Likes Received
      337
      Likes Given
      1498

      Default Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa




      Habari zilizotufikia ni kwamba mtoto wa rais wa zamani wa Zambia, Rupiah Banda aitwaye Andrew (pichani) kutokana na shutuma za ufisadi aliofanya chini ya utawala wa baba yake. Kwa mujibu wa taarifa toka Zambia ni kwamba kijana huyu alikuwa akiwa na maelfu ya dola na euro kwenye akaunti yake lakini alishindwa kutoa maelezo ya jinsi alivyoipata. Hili ni somo kwa wake, familia na watoto wa watawala wetu kuwa baada ya madaraka lolote laweza kutokea. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

    2. Miaka 50

    3. #2
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Breaking News mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      yani maelfu ya dola ndio wanamkamata?? mbona chenji tu hizo..hapa bongo watu wana mabillion ya dollars
      mpayukaji likes this.
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    4. #3
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,639
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      758

      Default Re: Breaking News mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      yale yale ya RITZ 1!!
      mpayukaji likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    5. #4
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Breaking News mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      Wakubwa!.....ukiona mwenzako kanyolewa zako anza kutia maji..,huu ni ujumbe wangu kwa akina Riz 1,nikisema hivyo simaanishi kuwa ninaushaidi wa moja kwa moja,hapana,...ispokua kwa maneno niyasikiayo watu wakitaja kwenye mitandao juu ya mali uzonazo ghafla tangu mzee wako aingie madarakani.hivyo basi anza kujianda maana 2015 si mbali.HIZI NI SALAMU ZANGU KWAKO
      mpayukaji likes this.

    6. #5
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,282
      Rep Power : 3571
      Likes Received
      3079
      Likes Given
      465

      Default Re: Breaking News mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      Fantastic... 2015 tutaangalia watoto wa wengi na Viongozi Vijana Wengi... Mmmm Sijui tutaita INTERPOL sijui CIA

      Lazima tuchokonoe kote tuzipate pesa zetu; Yaani Kaka na Dada wote powerful Nchini; Mme wa Dada Anafanya kazi

      kwenye Machimbo ya GOLD; Mmmm hizo hela tukipata zijenge Barabara na Umeme...
      mpayukaji likes this.


    7. #6
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,729
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      Siku hiyo sijui wa kwangu atapona

    8. #7
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8417
      Likes Received
      1134
      Likes Given
      390

      Default Re: Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      Mbona mchovu hvyo!
      mpayukaji likes this.

    9. #8
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,978
      Rep Power : 881
      Likes Received
      245
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By mpayukaji



      Habari zilizotufikia ni kwamba mtoto wa rais wa zamani wa Zambia, Rupiah Banda aitwaye Andrew (pichani) kutokana na shutuma za ufisadi aliofanya chini ya utawala wa baba yake. Kwa mujibu wa taarifa toka Zambia ni kwamba kijana huyu alikuwa akiwa na maelfu ya dola na euro kwenye akaunti yake lakini alishindwa kutoa maelezo ya jinsi alivyoipata. Hili ni somo kwa wake, familia na watoto wa watawala wetu kuwa baada ya madaraka lolote laweza kutokea. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.
      Kila kitu anachokifanya binadamu lazima kiwe na faida au hasara sasa hapo inategemea ni kipi kimezidi unga.Akamatwe tu na sisi huku Tz tuige mfano huu 2016 chagua upinzani kamata wezi wote weka ndani
      mpayukaji likes this.

    10. #9
      franktemu123's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 92
      Rep Power : 397
      Likes Received
      25
      Likes Given
      2

      Default Re: Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      Your Excellence President Michael Chilufya Satta, I SALUTE YOU!! this is a kind of president we want in Africa. Sasa tuje TZ Riz1 jiandae na hii si kwa watoto wa Maraisi tu.. hata watendaji wakuu na watoto wao na marafiki zao Pia hapa Tanzania Pinda jiandae tunajua umejificha nyuma ya SUMRY BUS unakula taratiiiibu kodi zetu na sasa mmenunua kampuni nyingine MBEYA EXPRESS kupotezea ushahidi, pia NYALANDU, MAIGE, MKULO, Omari Nundu a.k.a Ommy Dimpoz mtatueleza vizuri mlipopeleka pesa zetu. Zaidi we mwarabu wa HOME SHOPPING CENTRE endeleza huo mchezo wako mchafu wa kufanya dili na familia ya mkulu na kutishia watu wa TRA na TPA,siku yako yaja.
      mpayukaji likes this.

    11. tz1
      #10
      tz1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 2,049
      Rep Power : 828
      Likes Received
      406
      Likes Given
      319

      Default Re: Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      Att: Riz1.
      mpayukaji likes this.
      [email protected]

    12. #11
      MwalimuZawadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2007
      Posts : 623
      Rep Power : 724
      Likes Received
      50
      Likes Given
      3

      Default Re: Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      Quote By NATA
      Mbona mchovu hvyo!
      Usiangalie sura, angalia akaunti mkuu
      mpayukaji likes this.
      Sent from my Nokia rinGo using JamiiForums

    13. #12
      franktemu123's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 92
      Rep Power : 397
      Likes Received
      25
      Likes Given
      2

      Default Re: Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      Rais Satta ndo Rais aliye madarakani Zambia ndio aliyewafikisha wala rushwa kwenye mkono wa Sheria akiwepo waziri wa zamani wa Kazi ambae alikutwa amefukia Pesa Shamabni mwake. Toka ameingia madarakani amefanya makubwa ikiwamo kupunguza safari za Rais nje ya nchi kama sijakosea toka aingie madarakani 2011 hajasafiri nje ya nchi zaidi ya mara 3 (mlinganishe na JK toka Januari 2012 amesafiri nje ya nchi mara ngapi? Marekani, Brazili, Botswana, Ethipoia, Uswisi etc....) Rais Satta ameshaalikwa nje ya Nchi yeye hutuma Waziri au Mzee Kaunda kwenda kumuwakilisha namuona Satta kama mtunukiwa wa Tunzo ya Nobel or Mo Ibrahim hivi karibuni. Sisemi ati hizo tunzo ndo kiwango cha utendaji wa kiongozi/mtu bali ni alama ya kuonyesha kuwa mchango wake umetambulika nje ya mipaka ya nchi anakotoka muhusika. Zaidi anajihakikishia kuchaguliwa muhula mwingine kupitia sanduku ya kura....YOTE KWA YOTE ZAMBIA WAMEPATA RAISI WA AINA YAKE. Next time nitakuja na mada kuwa na Rais/kiongozi mzee si mzigo kama waTZ tunavyofikiri bado nakamilisha ka-utafiti kangu......nikichukulia mifano ya SATTA,MANDELA,KIBAKI...vs JK, Obama, Rajoulina (madagascar),, Mwigulu Nchemba,Benno Malisa, Nape, Maige, Ngeleja......Asanteni
      mpayukaji likes this.

    14. #13
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8417
      Likes Received
      1134
      Likes Given
      390

      Default Re: Mtoto wa rais wa zamani Zambia akamatwa

      =MwalimuZawadi;3974934]Usiangalie sura, angalia akaunti mkuu
      OYA HAPENDWI MTU!lol

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...