Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vurugu Zanzibar, makanisa yachomwa moto!

    Report Post
    Page 1 of 37 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 727
    1. #1
      chilubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 1,044
      Rep Power : 8095
      Likes Received
      205
      Likes Given
      3

      Default Vurugu Zanzibar, makanisa yachomwa moto!

      Kwa mara ya kwanza kabisa nimekubali kuamini kuwa, tatizo liliopo Zanzibar sio Muungano bali ni dini na wanatumia muungano kama kigezo. Mimi ni muislamu lakini nalipongeza Jeshi kwa kutoa kibano kwa wafanyaji fujo usiku huu huko mjini Zanzibar.

      Jumuiya ya UAMSHO itabidi ipigwe marufuku kabisa kwanza inapotosha wananchi ili kufikia malengo yake.

      Katika ripoti nilizozipata mpaka hivi sasa ni kuwa wazanzibari ambao obviously ni waislam wenzangu wameenda kuchima moto kanisa moja pale mjini. Kitendo hichi nimekichukia kwa sababu kinaudhalilisha uislam na kufanya uonekane ni dini yenye wafuasi wajinga kabisa.

      Katika dini ya uislam tumefundishwa kuheshimu dini za wenzetu, lakini sasa wamevuka mipaka hata mungu wanampinga! Sio jambo la ustaarabu kabisa na kama wamo waislam humi watakaochangia, nawapa LIVE yoyote atakayesapoti kitendo hicho ni mjinga na haijui dini! Katika historia ya mtume saw sijawahi kuona sehemu ambayo mtume alivamia tu wakiristo au mayahudi na kuwachomea moto Nyumba zao za ibada!

      MAKANISA YAHESHIMIWA KAMA VILE WEWE MUISLAM UNAVOTAKA MSIKITI UHESHIMIWE! Leo hii lau kama ungeskia msikiti umechomwa moto na wakiristo mungekuwa na hasira sana, basi na hai wakiristo na wao wana hasira ivo ivo! HESHIMA NI KITU CHA BURE!

      TATIZO LA WAZANZIBARI NINELIGUNDUA SIO MUUNGANO BALI NI UDINI. Na watu wanaburuzwa tu na iyo UAMSHO, na ndio maana wanafunzi wa zenji wapiga drift ya 360 katika mitihani yao


      Kanisa lililochomwa moto


      Gari la askofu lililochomwa moto


    2. FJM is offline
      FJM
      #2
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default re: Vurugu Zanzibar, kanisa lachomwa moto!

      Tunashukuru kwa taarifa. Umeweza kujua ni kanisa gani lilichomwa? Najua kuna kanisa kwenye eneo lilikuwa linatumiwa kama soko la watumwa. Ni kanisa la kihistoria. Lakini hata kama litakuwa ni kanisa jingine, ni jambo la kusikitisha maana linasambaratisha jamii na kujenga chuki baina ya watu wa dini hizi mbili. Wote tutaangamia.

    3. #3
      Activist p's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 40
      Rep Power : 365
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default re: Vurugu Zanzibar, kanisa lachomwa moto!

      Ahaa! Nilikuwa cjui asante kwa kunijuza. Ila inabidi tuchukue hatua watz hii ni aibu

    4. #4
      Lilombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 237
      Rep Power : 462
      Likes Received
      35
      Likes Given
      1

      Default Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      Hali si nzuri huko Zanzibar, jana usiku kanisa la TAG limechomwa moto eneo la Kariakoo huko Unguja.

      Source: Wapo Radio

    5. #5
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,204
      Rep Power : 1859
      Likes Received
      1445
      Likes Given
      1560

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      Tena, kweli hali ni mbaya. Yesu yu karibu kuja, watakatifu inueni macho yenu juu.
      nahavache and mkizungo like this.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"





    6. #6
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,844
      Rep Power : 5675
      Likes Received
      6323
      Likes Given
      2422

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      i see...........

    7. #7
      Bangoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,793
      Rep Power : 5804
      Likes Received
      456
      Likes Given
      0

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      ktk maandiko yametabiriwa haya, Wala msishangae shetani yu kazini. Dini yao inawatuma kutenda hayo ili waingie peponi! Kwa hiyo tusishangae haya! Yatakuja mengi sana maana yalitabiriwa ktk biblia. Yatupasa kumshukuru MUNGU kwa kila jambo.

    8. #8
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,815
      Rep Power : 856
      Likes Received
      348
      Likes Given
      44

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      sasa kanisa limewakosea nini Wazanzibar!? Mi nafikiri hiki kitu si cha kufumbia macho hata kidogo, inabidi hatua ichukuliwe, kwa hivyo vitendo vinavyofanywa na wahuni wachache, walianza kuchoma moto mabar, wakachoma moto nyumba za Watanganyika sasa wanapoelekea ni pabaya. Huu uhuni hauwezi kuvumilika hata kidogo. Hatuwezi kuchekea upumbavu wa namna hii.
      asigwa likes this.

    9. #9
      Mwana Mtoka Pabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 3,433
      Rep Power : 2012
      Likes Received
      1628
      Likes Given
      491

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      Huu mkoa una matatizo sana, ilipaswa wapelekwe wakurya wengi zaidi kule kuweka mambo sawa kwa kutumia virungu na mabomu ya kutoa mchozi.

      Hawa akina Yakhe ni wabaguzi na wadini sana
      Be wise with SPEED. A fool at forty, is a fool INDEED!

    10. #10
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      Mwisho wa siku watapigana wenyewe kwa wenyewe. Kwani dhambi hiyo itawatafuta tu kama vile SIRYA wanavyotafunwa na Uislam wao.

      WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
      Bakulutu likes this.

    11. #11
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1259
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      nilishasema sana huko nyuma kwamba kero za muungano zinatumiwa kama kichaka na kikundi cha watu fulani wenye msimamo mkali kupitishia hoja zao za udini...kuchomwa kwa kanisa badala ya jengo la serikali kunadhihirisha hilo...!

    12. #12
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      Hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya ubaguzi
      mkizungo likes this.

    13. #13
      CHIEF MVUNGI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 383
      Likes Received
      13
      Likes Given
      4

      Default Zanzibar bado hali si shwari

      Baada ya kutawanywa jana majira ya saa nne za usiku Wazanzibar na wanaUamsho kwa pamoja wanaodai zanzibar huru wanaendelea na fujo za hapa na pale huku maeneo ya mji mkongwe na viunga vyake kumekua na uchomaji wa matairi ya gari na rapsha,zogo n.k hukui askari wakipiga mabomu,nawaasa wale mnaokwenda kanisa la mkunazini na la minara miwili kuwamakini na ukizingatia kanisa la kariakoo limeshapigwa kiberiti.

    14. #14
      Codon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 489
      Likes Received
      75
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By PhD View Post
      Leta bia ya baridi hapa nipoze machungu ya kuchomewa kanisa
      Inaelekea umefurahi sana,PhD?Agiza wisik kabisa!Sijambo lakufurahisha hata kidogo,Linaleta picha mbaya sana na muelekeo ambao hatima yake...........!
      mkizungo likes this.

    15. #15
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 328
      Rep Power : 591
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Cool Matatizo Muungano KICHAKA cha WADINI

      Nashawishika kuamini sasa kuwa Kero ya Muungano huko Zanzibar inatumika kama kichaka cha kutekeleza mipango ya kikundi/vikundi vyenye misimamo ya kidini.

      Kwa nini kila Vuguvugu la Muungano linapochipua Makanisa huchomwa?
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    16. #16
      Makoye Matale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Location : Uwandani, Kondeni
      Posts : 1,292
      Rep Power : 670
      Likes Received
      266
      Likes Given
      49

      Default Re: Zanzibar bado hali si shwari

      Watanganyika na Wazanzibar tumechangamana vya kutosha. Huku Tanganyika Wazanzibar pia wapo lakini si busara wala si haki kulipa kisasi dhidi yao. Nashauri Serikali ilinde raia na mali zao kwa nguvu zote.
      alibaba likes this.

    17. #17
      ndomyana's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 2,080
      Rep Power : 0
      Likes Received
      211
      Likes Given
      0

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      Tumezidi nasisi kunanini kule znz tunachowang'ang'ania,. Wache waende nafikiri njia ya kuchoma makanisa so nzuri ndugu zangu daini haki kwa njia zingine

    18. #18
      ThinkPad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2008
      Posts : 1,471
      Rep Power : 865
      Likes Received
      93
      Likes Given
      93

      Default Re: Kanisa lachomwa moto Zanzibar

      Mimi nilishasema, Katika dunia kunanguvu mbili zinazo pingana, Mungu wa kweli yupo na Shetani yupo victim ni sisi wanadamu.

      Mungu wa kweli alituumba na anatupenda sana, Shetani ni muhalibifu yeye alikosea tangu mwanza kabisa sasa kinachofanyika ni kupotosha watu ili waende nae motoni.

      Chakushangaza watu huwa hawafikilii na kujiuliza Je! shetani anatumia mbinuzipi kupata watu maana yeye shetani ni mpinzani wa Mungu yaani ataki mapenzi ya Mungu kwa wanadamu yatimie yeye anapotosha na kudanganya.

      Swali la kujiuliza kwanini Waislam hawana shida na wahindu na wapagani n.k lakini wakisikia Ukristo hawawapendi wala hawawataki kabisa nikipi kiko nyuma ya pazia.

      Kwanini hawaubiri kuwaambia wapagani waje kwao na kwanini wanapinga ukristo tu! je Ukristo unaweza ukawa ndio dini ya haki ?

      Mpaka hapo kama kuna mtu mwenye kuelewa anaweza akajua a to z kwanini makanisa yanachomwa.

    19. #19
      Dr.kapama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Posts : 157
      Rep Power : 415
      Likes Received
      22
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By sweke34 View Post
      nilishasema sana huko nyuma kwamba kero za muungano zinatumiwa kama kichaka na kikundi cha watu fulani wenye msimamo mkali kupitishia hoja zao za udini...kuchomwa kwa kanisa badala ya jengo la serikali kunadhihirisha hilo...!
      hii ina ukweli...udini ndio tatizo kubwa...udini ni MOTO muungano ni PETROLI...

    20. #20
      Sabry001's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Location : everywhere
      Posts : 968
      Rep Power : 613
      Likes Received
      288
      Likes Given
      199

      Default

      Quote By sweke34 View Post
      unaweza kutueleza kwa maneno machache kwa nini waislam wa zanzibar wana hofu kubwa sana na kanisa?
      Wanaogopa jina la Yesu likitamkwaga mapepo na majini yao huwa yanatoroka so they think burning churches is the solution as also they thnk he stays in the buildings! Mtachoma makanisa ila Yesu anaeishi ndani ya wamwabuduo atadumu milele. Burning churches makes christians more stronger as they are in the battle and its not physical one...spiritual one. VITA VYETU SIO VYA DAMU NA NYAMA ILA NI VYA ROHONI TUKIPAMBANA NA HAO WAKUU WA GIZA.....!
      Majimoto and UTAJUA like this.

    Page 1 of 37 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...