Chadema kama mnapokea misaada kutoka nje bila kufanya tathmini, angalieni mkishika dola msije mkaiuza Tanzania na watu wake kwa vijimisaada vichache- Hao wanaowapa misaada hawana permanent Friends/Enemies, bali wana permanent Interests.
Watanzania kwa unafiki lo!!. Yaani mnajifanya mna uchungu na hao Waafrica wanavyofanyiwa huko Israel kuliko Wabongo wenzenu wanavyonyanyaswa na serikali yao wenyewe hapa nchini kwetu?. Mbona hampigi kelele kila siku Policcm wanavyowavurumishia mabomu ya machozi wamachinga na Chadema? Mbona hamlalamiki jinsi serikali yenu inavyowathamini wawekezaji kiasi kwamba hadi wawekezai wanafikia hatua za kuwajeruhi au kuwauwa ndugu zenu huko migodini na mashambani? Kuna ufisadi wa EPA, Richmond, Meremeta n.k hii sio uonevu na dhuluma kwa Watz? Tujaribu kutoa Boliti katika jicho letu wenyewe kabla ya kutaka kuondoa kibanzi kwenye jicho la mwenzetu. Waisrael wameamua kufanya hivyo ili kutetea maslahi yao ndani ya nchi yao, na nyie kwanini msiwafukuze Waisrael au wazungu waliomo ndani ya nchi yenu?. Miaka michache iliyopita kulikuwa na matukio ya kuwafukuza raia kutoka nchi nyingine na wengi waliuawa huko South Africa, nahisi matukio hayo yalikuwa ni ya kinyama zaidi kuliko hata yaliyotokea Israel. Sasa kama sisi wenyewe kwa wenyewe tunauwana, itakuwaje tujifanye tuna uchungu kuona Waisrael wanatunyanyasa kwao? Tuwe tunatulia katika nchi zetu na kuweka strategy za kujenga nchi zenu zifikie katika hali kama ya huko mnapopatamani kukimbilia kila siku kama hampendi kunyanyaswa, nadhani hiki ndicho Waisrael wanataka Waafrica tutambue. Bado safari ni ndefu sana kwetu Waafrika, tunatakiwa tumuombe sana Mungu ili atujalie ufahamu wa kujitambua na kupigania haki zetu na manyanyaso yaliyomo ndani ya nchi zetu badala ya kuanza kushabikia yanayotokea kwa wenzetu ambapo kelele zetu hazisaidii kuzuia hayo yasitokee wala hazitusaidii sisi katika kutatua matatizo ya msingi yanayotukabili.
Watanzania kwa unafiki lo!!. Yaani mnajifanya mna uchungu na hao Waafrica wanavyofanyiwa huko Israel kuliko Wabongo wenzenu wanavyonyanyaswa na serikali yao wenyewe hapa nchini kwetu?. Mbona hampigi kelele kila siku Policcm wanavyowavurumishia mabomu ya machozi wamachinga na Chadema? Mbona hamlalamiki jinsi serikali yenu inavyowathamini wawekezaji kiasi kwamba hadi wawekezai wanafikia hatua za kuwajeruhi au kuwauwa ndugu zenu huko migodini na mashambani? Kuna ufisadi wa EPA, Richmond, Meremeta n.k hii sio uonevu na dhuluma kwa Watz? Tujaribu kutoa Boliti katika jicho letu wenyewe kabla ya kutaka kuondoa kibanzi kwenye jicho la mwenzetu. Waisrael wameamua kufanya hivyo ili kutetea maslahi yao ndani ya nchi yao, na nyie kwanini msiwafukuze Waisrael au wazungu waliomo ndani ya nchi yenu?. Miaka michache iliyopita kulikuwa na matukio ya kuwafukuza raia kutoka nchi nyingine na wengi waliuawa huko South Africa, nahisi matukio hayo yalikuwa ni ya kinyama zaidi kuliko hata yaliyotokea Israel. Sasa kama sisi wenyewe kwa wenyewe tunauwana, itakuwaje tujifanye tuna uchungu kuona Waisrael wanatunyanyasa kwao? Tuwe tunatulia katika nchi zetu na kuweka strategy za kujenga nchi zenu zifikie katika hali kama ya huko mnapopatamani kukimbilia kila siku kama hampendi kunyanyaswa, nadhani hiki ndicho Waisrael wanataka Waafrica tutambue. Bado safari ni ndefu sana kwetu Waafrika, tunatakiwa tumuombe sana Mungu ili atujalie ufahamu wa kujitambua na kupigania haki zetu na manyanyaso yaliyomo ndani ya nchi zetu badala ya kuanza kushabikia yanayotokea kwa wenzetu ambapo kelele zetu hazisaidii kuzuia hayo yasitokee wala hazitusaidii sisi katika kutatua matatizo ya msingi yanayotukabili.
Em soma hapo juu hili ni jukwaa la kimataifa na sio habari za ndani tuelimike jaman angetaka kuongea siasa jukwaa laje lipo.
Sidhani kama hawapendi waafrika!
Tatizo kubwa la waafrika na waarabu ni kuwa hatutaki kutatua matatizo yetu wenyewe ndio maana tunang'ang'ania nchi za watu.
Israel ni kaeneo kadogo sana, lakini utashangaa watu wenye maeneo makubwa kama waarabu na waafrika wanakimbilia Israel.
Kwa nini waarabu wanashindwa kuwapa hifadhi waarabu kipalestina?
Kwa nini waafrika wanakimbilia ulaya na Israel?
Wakati kuna maeneo makubwa uarabuni na Afrika?
Wanasiasa wetu hawana mipango kuhudumia raia wao.
Hatupendani wenyewe.
Mnhh ni waarabu ndio wanakimbilia israeli au israel ana chukua maeneo ya palestine acha bias
Hawakuanza leo wala jana.........ni wanafunzi wa Hitler ,wamesoma vizuri kwani kati yao walikuwa askari wenye vyeo vya juu katika jeshi lake.Haya ni marudio tu .
wateule hao hawana makosa !!!
na wao waafrika wanafanya nini israel of all the places
Swali gani hilo.... mbona wapo raia weupe wa nchi zingine hawawabagui .. kwanini ngozi nyeusi!?
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26) My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
Swali gani hilo.... mbona wapo raia weupe wa nchi zingine hawawabagui .. kwanini ngozi nyeusi!?
kumbuka hao weupe unakuta wengi wao ni wamarekani ambao ni rafiki zao na pia kuna swala la udini..unaweza ukute majority ya hao waafrika huko israel labda ni waislam na unajua israel ilivyo sensitive na maswala ya dini.
Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde
One man's good fortune is another man's misfortune
For real!??? Taifa langu Israel nimekutendaje au kwa jambo gani nimekusikitisha????
Eee Mungu wa Ibrahimu,Mungu wa Isack, Mungu wa Yakobo, Mungu wa Daudi na Mungu wa babu zetu,tunakulilia leo ubadilishe mioyo ya waisrael iwe na upendo kwa watu wa mataifa yote,kwa maana hakuna upendo uliyo mkuu kama mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya wengine
kumbuka hao weupe unakuta wengi wao ni wamarekani ambao ni rafiki zao na pia kuna swala la udini..unaweza ukute majority ya hao waafrika huko israel labda ni waislam na unajua israel ilivyo sensitive na maswala ya dini.
Actually wengi wao wanatokea Ethiopia na wanaingia kule kwa kujiita waJEWS kwahiyo sio waislam. Hata kuishi wanaishi upande wa waIsrael na jeshi lao wanasoma.
Watanzania ambao hawajawahi kuishi nje ya Tanzania huwa wanathamini sana raia wa kigeni. Laiti kama wangejua wasivyotuthamini tukiwa kwenye nchi zao wasingethubutu kuwa-karimu kiasi hicho.
Hebu wale wateule waje watupe maelezo kidogo hapa (wale wenye bendera ya Israeli kwenye magari na sebule zao na kuamini ukiwachukia umelaniwa).
Najua watakuja na utetezi tu!!!sasa sijui nani hapo atakuwa amelaaniwa?
Wanachukiwa sana!!!Except in Christ 90% wanawapenda waafrica. Kwani ukijiuliza swali simple, if it happen you were born blind, how could you know that there are back and white, with exception on knowing how a woman be like and men be like?
kumbuka hao weupe unakuta wengi wao ni wamarekani ambao ni rafiki zao na pia kuna swala la udini..unaweza ukute majority ya hao waafrika huko israel labda ni waislam na unajua israel ilivyo sensitive na maswala ya dini.
Kwa hiyo Mmarekani mweusi habaguliwi? Majibu mengine unaishia kucheka tuu !
Waisraeli wamechemsha kwa kuwapinga waafrika Israel. Kwanza kwa mujibu wa zionism, wayahudi wote kokote waliko duniani wanapaswa kurudi kwenye nchi ya 'ahadi' i.e. israel, taifa lililoundwa mashariki ya kati 1947. Zionism haisemi ni wayahudi wenye asili ya uzungu tu. na wapo wayahudi wenye asili ya afrika, ambao wengi wao wako Ethiopia, wanaojua historia na dini watamkumbuka malkia sheba na watu wake walioenda uyahudini enzi za mfalme Suleiman. walirudi na mimba etc na kuzaa watoto hao ambao ni wayahudi wa Ethiopia - Falashi, kama sikosei. sasa zionism inawakumba mpaka hao mafalashi na wao wana hiyo 'haki' ya kwenda kwenye nchi ya 'ahadi'. kwa hiyo kwa wayahudi 'wenye rangi' kuwabagua waafrika, ni aibu kubwa sana kwa taifa kama Israeli. Tena inakuwa mbaya zaidi kwani Israel iko mbele kupambana na kubaguliwa waliofanyiwa wayahudi enzi za Hitler. leo wao ndo wanaandamana na kuwapiga waafrika. dhana ile ile ya ubaguzi na wao wanairudia.
Kwa kweli zile sala za kuiombea Israel, wala sioni mantiki yake. ni bora tuziombee nchi zetu, ambazo zinatuhusu na ni zetu!
"Falling Down does not mean being Buried" - Manumbu on 1st June 2011
ally kombo..sio wayahudi tu hata ukiwakataa waarabu na hasa wale wa saudi arabia/macca utakuwa umelaaniwa mungu wa upande wa pili.
IGWEhapo kwenye RED si kweli .... Mafunzo ya dini yetu waislam yanasema mbora kati yetu ni yule mwenye kutenda mambo mema na kukataza maovu!.... haikuwapa special priority watu wa aina flani au ngozi flani...
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26) My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
Follow Us Here