Zimbabwe: The turmoil, reconciliation, and the future! - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > International Forum


International Forum African & International Bloggers' home. Politics, Economics & News in General. Let's exchange our views on matters arising in this globe! YES, we can!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 14th March 2007, 08:54 PM   #1
Zimbabwe: The turmoil, reconciliation, and the future!
Lunyungu Lunyungu is offline 14th March 2007, 08:54 PM
Rating: (4 votes - 5.00 average)


Nimepata habari hizi kwa masikitiko makubwa kwamba Kiongozi mkubwa sana wa Upinzani Zimbabwe kapigwa na kudhalilishwa kufikia sasa kutishia maisha yake kisa madaraka .

Nampa pole ni sana yeye na MDC na Familia yake . Hapa chini naomba msaada wetu tafadhali . Je ni nini mahusiano ya ZANU PF na CCM ama nini tofauti zao ikifikia wakati wa madaraka na kunyamazisha Wananchi ?

Last edited by Silencer; 21st August 2008 at 05:57 AM..

Lunyungu
JF Senior Expert Member
Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Dec 2006
Location: Malampaka
Posts: 4,706
Thanks: 1
Thanked 205 Times in 111 Posts
Views: 20007
Reply With Quote
  #2  
Old 14th March 2007, 09:09 PM
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu is offline
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 130,513, Level: 100 Points: 130,513, Level: 100 Points: 130,513, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Mar 2006
Posts: 1,338
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 27
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enough
Default

Unapopambana basi ujue mengi yatakufika na hii ni moja ya misukosuko ya mpambanaji.Kuhusu Uhusiano uliopo baina ya vyama viwili ulivyovitaja hapo ni kwamba kimoja kilitoa msaada na mchango mkumbwa kuhakikisha zimbabwe inakua huru when It comes to the power........ wote wanapenda watawale daima kwenye nchi zao..............................!
Reply With Quote
  #3  
Old 14th March 2007, 09:26 PM
Ole's Avatar
Ole Ole is offline
Ole Just watching...
JF Senior Expert Member
Points: 280,360, Level: 100 Points: 280,360, Level: 100 Points: 280,360, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Dec 2006
Posts: 950
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 25
Ole will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enough
Default

Lunyungu

Nimeongeza hiyo picha, watu waone hao ZANU PF walivyo.
Reply With Quote
  #4  
Old 14th March 2007, 09:41 PM
Kichuguu's Avatar
Kichuguu Kichuguu is offline
Kichuguu Nyumba ya Mchwa na Nguchiro
JF Premium Member
Points: 789,166, Level: 100 Points: 789,166, Level: 100 Points: 789,166, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,146
Thanks: 176
Thanked 499 Times in 226 Posts
Rep Power: 33
Kichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enough
Default

Bob Mugabe amepiga marufuku mkusanyiko wa aina yoyote ya kisiasa. Hivi majuzi nafikiri umoja wa makanisa ulikuwa umeitisha ibada ya dini zote kuiombea Zimbabwe ipate nafuu kutokana na hali ngumu ya uchumi na maisha magumu waliyo nayo raia hasa ukizingatia kuwa sasa hivi inflation ni 1700% na noti zao zimekwihsa fanyiwa ukarabati mara kadhaa hivi ambapo safari fulani waliondoa sifuri nne nadhani, yaani iliyokuwa Z$100,000 ikawa Z$10, lakini kutokana na inflation rate waliyo nayo wakajikuta tena wananabeba mzigo mkubwa sana wa manoti.

Bwana Tsvangirayi alikwenda kuhudhuria ibada hiyo pamoja na viongozi wengine wote wa upinzani. Sasa kuonekana kwa bwana Tsvangirayi kwenye viwanja hivyo na kushangiliwa na wafuasi wake kukafanya askari wa Bob waone kuwa kile kilikuwa ni kikao cha kisiasa na ndipo wakavurumishwa. Nimesoma kuwa amepasuliwa fuu la kichwa.

Tabia ya vyama vyetu vilivyoongoza mapambano ya uhuru kudhani kuwa nchi ni mali yao kweli inaleta kasoro sana katika harakatinzima za kisiasa na kidemokrasia barani Afrika. Kenya, Malawi na Zambia walifanikiwa kuving'oa vyama hivyo kutoka madarakani kutokana na kushindwa kudeliver. Nchi ambazo bado tunakumbatia vyama hivyo ambavyo vimeshapitwa na wakati kweli tuna wakati mgumu.
__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Reply With Quote
  #5  
Old 14th March 2007, 10:35 PM
Lunyungu Lunyungu is offline
Lunyungu Kisu Kikali Mno
JF Senior Expert Member
Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Location: Malampaka
Posts: 4,706
Thanks: 1
Thanked 205 Times in 111 Posts
Rep Power: 33
Lunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enough
Default

Hivi hii ilikuwa ni amri ya serikali ya kumuua huyu jamaa ama ilikuwaje maana naona haya hainingii akili kwamba polisi wanampiga namna hii mtu kama vile ni mnayama . Je hawa polisi wana maisha gani ? Hii ni sawa na ile ya Lipumba kupigwa Temeke ?
Reply With Quote
  #6  
Old 14th March 2007, 10:48 PM
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu is offline
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 130,513, Level: 100 Points: 130,513, Level: 100 Points: 130,513, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Mar 2006
Posts: 1,338
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 27
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enough
Default

Aluta Continua................................
Reply With Quote
  #7  
Old 14th March 2007, 11:35 PM
Lunyungu Lunyungu is offline
Lunyungu Kisu Kikali Mno
JF Senior Expert Member
Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Location: Malampaka
Posts: 4,706
Thanks: 1
Thanked 205 Times in 111 Posts
Rep Power: 33
Lunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enough
Default

Kazi ndiyo kipimo una maana gani ?
Reply With Quote
  #8  
Old 14th March 2007, 11:39 PM
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu is offline
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 130,513, Level: 100 Points: 130,513, Level: 100 Points: 130,513, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Mar 2006
Posts: 1,338
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 27
Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enoughKazi Ndiyo Kipimo Cha Utu will become famous soon enough
Default

Ninamaanisha mapambano yanaendelea ,kwani hata kama wamempiga huyo jamaa kwa kutaka kumnyamazisha lakini Kama ni kiongozi Shupavu ataendeleza MAPAMBANO BAADA YA KUPONA KWAKE.NAMTAKIA NAFUU YA HARAKA NA KILA LA KHERI KATIKA SHUGHULI ZAKE ZA KILA SIKU!
Reply With Quote
  #9  
Old 15th March 2007, 01:12 AM
Yebo Yebo Yebo Yebo is offline
Yebo Yebo has no status.
JF Premium Member
Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Mon Nov 2006
Posts: 2,771
Thanks: 853
Thanked 240 Times in 116 Posts
Rep Power: 29
Yebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enough
Default Can't get lower that this...

Quote:
View Post
Bwana Tsvangirayi alikwenda kuhudhuria ibada hiyo pamoja na viongozi wengine wote wa upinzani. Sasa kuonekana kwa bwana Tsvangirayi kwenye viwanja hivyo na kushangiliwa na wafuasi wake kukafanya askari wa Bob waone kuwa kile kilikuwa ni kikao cha kisiasa na ndipo wakavurumishwa. Nimesoma kuwa amepasuliwa fuu la kichwa.

Kichuguu

Huyu jamaa hicho kipigo wala hakukipata hapo uwanjani kama wafuasi wengine wa MDC. Yeye akiwa kama mmoja wa viongozi wa chama alienda kituo cha polisi akiwa na mwanasheria wa chama ili kuwaombea dhamana. Ndipo alipopatia hicho kipigo kutoka kwa polisi wa Bob Mugabe.

Hali walipofikia wazimbabwe wasikate tamaa this is as low as it can goo...there shouldn't be anything to fear anymore. Nawatakia mapambano mema....na Mungu Awalinde.
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007.
Reply With Quote
  #10  
Old 15th March 2007, 01:39 PM
Yebo Yebo Yebo Yebo is offline
Yebo Yebo has no status.
JF Premium Member
Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Mon Nov 2006
Posts: 2,771
Thanks: 853
Thanked 240 Times in 116 Posts
Rep Power: 29
Yebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enough
Default Tanzania moves to revive Zimbabwe, Britain talks

Tanzania moves to revive Zimbabwe, Britain talks

2007-03-15 09:02:01
By Guardian Reporter


Tanzania`s Director of Intelligence, Rashid Othman, has held closed-door meetings with top Zimbabwean officials in an attempt to revive an initiative led by retired President Benjamin Mkapa to initiate dialogue between Zimbabwe and Britain.

Mkapa`s proposed mission seemed doomed last year over problems relating to the terms of reference but the Tanzania government, acting on Mkapa`s behalf, recently sent Othman to meet with senior Zimbabwean security officials ahead of a possible visit to Harare by the immediate former President.

According to The Zimbabwe Herald, Othman arrived in Harare on Monday last week and held talks the following morning with Zimbabwe�s intelligence chiefs, led by Central Intelligence Organisation head Happyton Bonyongwe.

Details of the meeting could not be immediately ascertained but the sources suggested that one of Othman`s aims was to seek assurances on Mkapa�s personal security and to explore common ground on the terms of reference for the talks.

It is believed that President Kikwete, who is thought to be close to President Mugabe, can convince the Zimbabwean leader to allow Mkapa to proceed with the initiative Mugabe himself unveiled in July last year.

Presidents Mugabe and Kikwete discussed the Mkapa initiative on the sidelines of the African Union Summit held in Addis Abba last month.

Zimbabwean presidential spokesman George Charamba was not immediately available to comment on the latest developments but it is understood that a major sticking point of the Mkapa initiative is funding.

A spokesman at the British High Commission in Harare yesterday flatly denied claims by the Zimbabwean government that Britain had refused to come to the negotiating table to repair relations which became strained after President Mugabe`s land reforms.

Joey Bimha, Zimbabwe`s Secretary for Foreign Affairs, told a parliamentary portfolio committee this week that Britain had refused to enter into dialogue with the southern African nation to heal the rift.

`If the other party is not willing to come to the negotiating table, what do you do?`Bimha told MPs.

But Gillian Dare, spokesperson for the British High Commission in Harare, said Zimbabwe had never invited Britain to any talks to improve relations.

`We have not been invited by the Zimbabwean government to talk,` said Dare in a press statement.

Bimha told Parliament that several European countries, which he did not name, had begun to appreciate that the fallout between Harare and London stemmed from a bilateral dispute over land.

However, Dare said: `We maintain diplomatic relations and embassies in each other`s capitals so we can talk to each other whenever needed. There is no bilateral UK/Zimbabwe dispute to be addressed. Our concerns about Zimbabwe are shared by many in the international community.`

`The UK remains a strong advocate of effective, well-managed and pro-poor land reform. The `fast track` land reform has not been implemented in line with these principles and has resulted in the abuse of the rule of law,` he said.

SOURCE: Guardian
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
future, reconciliation, turmoil, zimbabwe


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:19 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com