Quote:
Originally Posted by Kitila Mkumbo
It would appear like these Clintons are unvoidable in the Democratic administration. But I guess Obama will have tough time to argue a case for having brought change he promised in 2012 elections.
|
Hii si kweli hata kidogo, kumbuka Democrat ni chama na Clinton is the recent democratic president before the current president elect. Whilst it is true that Clinton did appoint some of these pple but wengine walikuwepo kwenye serikali before yeye kuwa rais. And what Obama is now doing is to give a job to the able ones and maintaining the government meant to be governed by democrats.
Anahitaji watu wazoefu, wachapa kazi na wenye records na ambao watakubaliana na kutekelezesha sera za democrats. Na change amabayo Obama alikuwa anaizungumzia was it on the personnel au policies?????
"All in all change has come to America"