Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Polisi kufutwa kazi Misri

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,131
      Rep Power : 926
      Likes Received
      550
      Likes Given
      2008

      Default Polisi kufutwa kazi Misri

      Waziri Mkuu wa Misri ameamuru maafisa walioshutumiwa kwa mauji ya waandamanaji kufutwa kazi na kushtakiwa.
      Essam Sharaf


      Waziri Mkuu wa Misri, Essam Sharaf, ameamuru kufutwa kazi kwa maafisa wote wa polisi walioshtumiwa kwa mauaji ya waandamanaji wakati wa vuguvugu za kumpinga Rais Mubaraka mwezi February.
      Katika hotuba yake kupitia televisheni, Bw Sharaf alisema afisa yoyote anayetuhumiwa kuuwa raia atashtakiwa.
      Alikuwa akizungumza na maelfu ya watu waliondelea na maandamano dhidi ya serikali yake katika eneo la kati kati mwa mji mkuu Cairo.
      Waandamanaji wamekuwa wakidai hatua zichukuliwe dhidi ya maafisa wote wa polisi waliohusika na ghasia zilizosababisha mauaji ya watu takriban mia tisa.

      CHUKI NA UADUI NI MATOKEO YA UPUMBAVU:

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Masikini_Jeuri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Location : Igangidung'u
      Posts : 5,953
      Rep Power : 2079
      Likes Received
      698
      Likes Given
      5029

      Default Re: Polisi kufutwa kazi Misri

      Nataraji siku hili litafika hapa kwetu
      sulphadoxine likes this.
      24 hours in a day! 24 beers in a case, Coincidence? I think not!

    4. #3
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Polisi kufutwa kazi Misri

      Ukiona manyoya ujue kaliwa.
      Hiyo nimeipenda kuliko zote.misri tutaenda kesho acha tusherehekee kwanza.
      sulphadoxine likes this.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    5. #4
      Ikumbilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Posts : 455
      Rep Power : 2664
      Likes Received
      51
      Likes Given
      33

      Default Re: Polisi kufutwa kazi Misri

      Jamaa kaamua kuvua gamba kisawa sawa.

    6. #5
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,131
      Rep Power : 926
      Likes Received
      550
      Likes Given
      2008

      Default Re: Polisi kufutwa kazi Misri

      Quote By RINGO EDMUND
      Ukiona manyoya ujue kaliwa.
      Hiyo nimeipenda kuliko zote.misri tutaenda kesho acha tusherehekee kwanza.
      Karibu "simba kapakatwa pub" maeneo ya makumbusho,kutakuwa na mchemsho maalumu kwa wanajangwani tu.
      CHUKI NA UADUI NI MATOKEO YA UPUMBAVU:

    7. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Polisi 700 wafukuzwa kazi Misri
      By sulphadoxine in forum International Forum
      Replies: 2
      Last Post: 15th July 2011, 10:35
    2. Polisi wapambana na raia Misri
      By sulphadoxine in forum International Forum
      Replies: 3
      Last Post: 27th June 2011, 11:53
    3. Kuandikwa au kufutwa kazi na sintofahamu hiyo
      By L'AMOUR in forum Jukwaa la Lugha
      Replies: 4
      Last Post: 9th May 2011, 23:09
    4. 80 kufutwa kazi ATCL
      By Gudboy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 29th October 2009, 08:32
    5. Mawaziri kufutwa kazi,asema Waziri Mkuu!
      By Ab-Titchaz in forum International Forum
      Replies: 16
      Last Post: 2nd April 2009, 11:10

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...