Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 84
    1. #1
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

      Default Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Wakuu.
      Kuna hizi videos zinazokushawishi uamini US ni magaidi at the true sense of the word!

      Kuna mipango mingi hufanyika nyuma ya jukwaa la siasa la kuhakikisha US anaweka bases zake katika nchi tofauti duniani.
      Mbinu moja ni kuanzisha vita kwa visingizio kama vile vya Iraq na Afghanistan kwa karibuni, lakini pia kupitia intervensions kama hizi za Libya na kuwait.

      Pia huwa wanapiga ofisi zao mabomu, au meli zao za kivita na halafu huwasingizia watu , nchi, au vikundi vyengine ili kuunda visingizio vya kuzivamia au kujiingiza katika nchi hizo.

      Mbinu ya nipe nikupe pia hutumika. Kama kuwarubuni viongozi wa nchi ambayo US wanataka kitu hapo au kutoa misaada iliyonona na mikubwa kwa matarajio ya kuvuna zaidi siku za usoni.

      Katika nchi kama Yemen waliripua meli ya kivita,(manoari) na halafu wameingia Yemen kwa kisingizio cha kuwapiga na kuwatokomeza Al-qaeda.

      Tanzania na kenya wameripua balozi zao na wanatoa misaada mikubwa huku wakijitayarisha kwa shughuli zao za baadae, mafuta ya Uganda yapate urahisi wa kusafirishwa na makampuni yao yapate nafasi ya kukomba rasilimali.




      Mwanamageuko likes this.


    2. #41
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 658
      Rep Power : 0
      Likes Received
      193
      Likes Given
      1

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Na jana waziri wa marekani amesema Iran itapigwa na Israel kabla ya mwezi wa nne

    3. #42
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

    4. #43
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.


    5. #44
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      The Pentagon’s global military design is one of world conquest. The military deployment of US-NATO forces is occurring in several regions of the world simultaneously.

      zaidi hapa GLOBALIZATION OF WAR: THE MILITARY ROADMAP TO WWIII « EPHEMERIS 360°

    6. #45
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 847
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Quote By Nonda View Post
      The Pentagon’s global military design is one of world conquest. The military deployment of US-NATO forces is occurring in several regions of the world simultaneously.

      zaidi hapa GLOBALIZATION OF WAR: THE MILITARY ROADMAP TO WWIII « EPHEMERIS 360°
      Loh,kwa hiyo unatoa mada na kuchangia wewe mwenyewe peke yako?

      Haya endelea
      Nonda likes this.
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa


    7. #46
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Quote By shizukan View Post
      Loh,kwa hiyo unatoa mada na kuchangia wewe mwenyewe peke yako?

      Haya endelea
      Gonga link
      April 17, 1984: The murder of policewoman Yvonne Fletcher – a perfect CIA assassination « Eccleza

    8. #47
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,513
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      kitu chochote chenye neno "serikali" maana yake ni ugaidi, nashangaa unavyo i single out Marekani.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    9. #48
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 6,449
      Rep Power : 3911
      Likes Received
      1515
      Likes Given
      2670

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Pia mmeangalia ,upande wa pili wa jamaa wanaopiga bao kwa kujibu kila tukio km inspector enzi zake?Wazungu wanapiga bao sana(wanatengeneza hela sana) kwa kutumia nature ya binadamu hasa wanaotoka nchi za middle east/africa na nyingine zenye misingi ya kijamma ambao huamini ktk conspiracy theories.Watu wanoshawishika kirahisi huwa wanaingia haraka km wale wa upatu...
      Last edited by Nicholas; 17th April 2012 at 03:34.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    10. #49
      haki na usawa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 153
      Rep Power : 399
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Mimi naona kwa umaskini wa akili na ufukara wa mawazo wa viongozi wetu tutapigwa na kuoana wanaume kwa wanaume, mwanamke kwa mwanamke, watoto wataleta hawara zao ndani na haturuhusiwi kuwauzi watoto, watalalana ndani ya nyumba ya mzazi na anatakiwa kuwapa chakula watakapokuwa wamamemaliza kazi zao na kila jambo la kifirauni litafanyika Afrika maana atakayekataa atahukumiwa kufungwa maisha na sio kunyongwa lengo likiwa kuwa kuwaonya wanaozaliwa ili wajue na ili wafuate mila zao " EWE MUUMBA TUEPUSHE NA BALAA HILI NA TUNAOMBA ANGAMIZA WOTE WANAOKUWA NA NIA MBAYA NA WANYONGE"

    11. #50
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

    12. #51
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

    13. #52
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

    14. #53
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.


    15. #54
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,974
      Rep Power : 6906
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Historia ya dunia imegubikwa na majanga ya kupanga.Hawa watu wanafanya ibada kwa mungu wao,wanatoa kafara ya damu za watu in exchange of power.Al-qaeda,Boko haram,Al Shaabab,Tamil tiger,na uasi wa aina zote duniani unadhaminiwa na UN,yes UN chini ya mataifa yote yenye nguvu unayoyajua duniani.Dunia haitakua na amani kamwe!

    16. #55
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,974
      Rep Power : 6906
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Kiranga View Post
      kitu chochote chenye neno "serikali" maana yake ni ugaidi, nashangaa unavyo i single out Marekani.
      Hii tafsiri umeitoa wapi?Tafadhali Kiranga ukirudi hapa naomba ufafanuzi!

    17. #56
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,513
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Quote By Eiyer View Post
      Hii tafsiri umeitoa wapi?Tafadhali Kiranga ukirudi hapa naomba ufafanuzi!
      Katika joho la "usalama wa taifa" kila serikali inaficha ugaidi dhidi ya watu wake.

      Katika kushindana na serikali nyingine kila serikali inafanya ugaidi na ujasusi dhidi ya nchi nyingine.

      Haya yamekubalika mpaka kutaka kuhalalishwa na wanafalsafa kama wakina Igor Primoratz.
      mwakaboko likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    18. #57
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,974
      Rep Power : 6906
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Thanx Kiranga nimekuelewa.Ni kama vile tulivyo Watanzania,kila uchao tunapiga kelele eti wale mafisadi,wakati kila mmoja wetu ni tayari ni fisadi kwenye familia yake na anataka naye apate nafasi ya kuwa fisadi zaidi.Wanadamu ni wanafiki sana!

    19. #58
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      American Bombs Ready To Fall On Africa Via Botswana

      Link vifovita

    20. #59
      Echolima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2007
      Posts : 442
      Rep Power : 683
      Likes Received
      71
      Likes Given
      18

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Ngoma unapiga mwenyewe unaimba mwenyewe,unacheza wewe na unapiga vigeregere mwenyewe na unajipongeza mwenyewe hiki unachofanya umeonyesha wazi CHUKI uliyonayo dhidi ya wamarekani sasa unajaribu kupandikiza chuki hiyo kwa wengine kitu ambacho hutendi haki wewe ungeleta hapa hoja yako ya kuichukia Marekani na wana jamvi wangechangia kwa uhuru kabisa sasa wewe umebeba jukumu la kuihukuma Marekani peke yako angalia umeposti na kuchangia Topic 20 bila kuwapa nafasi hata wengine wachangie.umetoa mada wewe mwenyewe na umechangia wewe mwenyewe mara 20 wewe umeonyesha wazi una chuki binafsi na wamarekani mada zako zote bila kuishambulia Marekani huoni kama umechangia wewe ni shujaa wa kueneza CHUKI hongera sana
      Nonda likes this.

    21. #60
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,987
      Rep Power : 1901
      Likes Received
      966
      Likes Given
      370

      Default Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.

      Quote By Echolima View Post
      Ngoma unapiga mwenyewe unaimba mwenyewe,unacheza wewe na unapiga vigeregere mwenyewe na unajipongeza mwenyewe hiki unachofanya umeonyesha wazi CHUKI uliyonayo dhidi ya wamarekani sasa unajaribu kupandikiza chuki hiyo kwa wengine kitu ambacho hutendi haki wewe ungeleta hapa hoja yako ya kuichukia Marekani na wana jamvi wangechangia kwa uhuru kabisa sasa wewe umebeba jukumu la kuihukuma Marekani peke yako angalia umeposti na kuchangia Topic 20 bila kuwapa nafasi hata wengine wachangie.umetoa mada wewe mwenyewe na umechangia wewe mwenyewe mara 20 wewe umeonyesha wazi una chuki binafsi na wamarekani mada zako zote bila kuishambulia Marekani huoni kama umechangia wewe ni shujaa wa kueneza CHUKI hongera sana
      Echolima.
      Huu ndio mchango wako?

      Kwa nini umefikia hitimisho kuwa naichukia Marekani?

      Nilichofanya mimi ni kudondoa kutoka vyanzo tofauti, video au mada zinanazokushawishi kuwa Marekani wanafanya ugaidi na kusingizia wengine kwa lengo la kutanua himaya yao.

      Kama una vyanzo vya taarifa au video, weka hapa na onesha kuwa US hawafanyi ugaidi au hawatanui himaya yao kwa kutumia ugaidi.

      Unaelewa maana ya chuki?

      Watu wengine hawawezi kuhimili kusikia ukweli.

      Hata kwa tafsiri yako kuwa mimi nimeleta mada au mjadala, hakuna ambaye amezuiliwa kuandika maoni yake vile apendavyo. Badala ya kutaka malumbano ya chuki/mapenzi nami ungeweka machango wako kama kuisafisha US au vyenginevyo.Chagua moja kati ya hizo 20 ulizoziona na toa maoni yako.

      Kwa mfano, tetea uwepo wa AFRICOM katika nchi za Afrika(Bara la Afrika) au onesha madhahara ya uwepo wake kwa Afrika.
      Karibu mkuu.

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    Similar Topics

    1. Marekani na uingereza ni washirika wakubwa wa serikali ya ccm
      By luckman in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 10th November 2011, 15:19
    2. Serikali ya Tanzania Yawekeza MAREKANI!
      By Kinyungu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 7
      Last Post: 4th November 2011, 20:49
    3. Miaka 10 ya Ugaidi Marekani, Septemba 11, 2001 - 2011
      By wakuwaza in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 24th August 2011, 12:57
    4. Rais Kikwete kuwajibishwa na serikali ya Marekani?
      By Matola in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 110
      Last Post: 15th August 2011, 11:19
    5. Maandamano Marekani serikali yetu ina cha kujifunza?
      By Candid Scope in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 9
      Last Post: 2nd July 2011, 03:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...