Re: Ugaidi wa serikali ya Marekani.
Pia mmeangalia ,upande wa pili wa jamaa wanaopiga bao kwa kujibu kila tukio km inspector enzi zake?Wazungu wanapiga bao sana(wanatengeneza hela sana) kwa kutumia nature ya binadamu hasa wanaotoka nchi za middle east/africa na nyingine zenye misingi ya kijamma ambao huamini ktk conspiracy theories.Watu wanoshawishika kirahisi huwa wanaingia haraka km wale wa upatu...
Last edited by Nicholas; 17th April 2012 at 03:34.
SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.
Follow Us Here