Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uongozi Wetu Na Hatima Ya Tanzania - Je, Kutatokea Nini Katika Hatima Yake?!

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,794
      Rep Power : 3278
      Likes Received
      921
      Likes Given
      2800

      Arrow Uongozi Wetu Na Hatima Ya Tanzania - Je, Kutatokea Nini Katika Hatima Yake?!

      Nikiangalia ahadi zilizotolewa na Mh. Rais Kikwete na muda uliopita tangu orodha hizi za mambo yanayowakera Watanzania zitolewe, kinamna fulani naanza kuhisi kuwa, utabiri wa Mwl. Nyerere (RIP) katika kitabu chake unatimia. Walau pole pole katika ahadi zisizo tekelezeka kiuongozi hapa nchini.

      -Orodha ya wala rushwa ninayo....
      -Orodha ya wauza unga ninayo....
      -Orodha ya majambazi ninayo.....
      -
      -
      -

      --------------------------------------------------

      Kama orodha hapo juu inazidi kurefuka bila kuona jambo kubwa linatendeka katika kutatua kero hizi za Watanzania, naanza kushikwa na wasiwasi mkubwa na kujiuliza, hatima ya Tanzania itakuwaje iwapo maswala kama haya yanayo walenga wananchi moja kwa moja hayatekelezeki? Ni urefu gani 'orodha hii ya orodha' itafikia ndipo tutaona matunda ya mojawapo ya orodha iliyomo? Tukitafakari yaliyotendeka wakati wa Mh. Mwinyi na Mh. Mkapa, hatima ya Tanzania itakuwa ipi iwapo orodha ya viongozi wetu nayo itazidi kurefuka bila kuona Tanzania inabadilika kwa hali ya juu katika nyanja zake mbalimbali?


      SteveD.



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    2. Miaka 50

    3. #2
      _SiDe_'s Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th March 2007
      Posts : 88
      Rep Power : 638
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: "Uongozi Wetu Na Hatima Ya Tanzania" - Je, Kutatokea Nini Katika Hatima Yake?!

      "Magufuli aliwatahadharisha wakurugenzi watakaokaidi agizo hilo na kuendelea kuwabomolea wakazi wa maeneo yasiyopimwa na kueleza kuwa watakaokaidi agizo hilo watajifunza kwa kuwekwa ndani.

      Aidha, aliwataka wakurugenzi hao kuacha kumpelekea barua za mapendekezo ya kubadilisha matumizi ya ardhi ya maeneo ya wazi na kudai kwamba watakaofanya hivyo, atazituma barua zao moja kwa moja kwa Rais Jakaya Kikwete na kusisitiza kuwa hatobadilisha hati hizo kama wanavyotaka."


      Na hii ajitayarishe kupokea pia ya Wakurugenzi. Hadi 2010 mbona balaa kwa orodha!

    4. #3
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3271
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      916

      Default Re: "Uongozi Wetu Na Hatima Ya Tanzania" - Je, Kutatokea Nini Katika Hatima Yake?!

      Quote By SteveD
      Nikiangalia ahadi zilizotolewa na Mh. Rais Kikwete na muda uliopita tangu orodha hizi za mambo yanayowakera Watanzania zitolewe, kinamna fulani naanza kuhisi kuwa, utabiri wa Mwl. Nyerere (RIP) katika kitabu chake unatimia. Walau pole pole katika ahadi zisizo tekelezeka kiuongozi hapa nchini.

      -Orodha ya wala rushwa ninayo....
      -Orodha ya wauza unga ninayo....
      -Orodha ya majambazi ninayo.....
      -
      -
      -

      --------------------------------------------------

      Kama orodha hapo juu inazidi kurefuka bila kuona jambo kubwa linatendeka katika kutatua kero hizi za Watanzania, naanza kushikwa na wasiwasi mkubwa na kujiuliza, hatima ya Tanzania itakuwaje iwapo maswala kama haya yanayo walenga wananchi moja kwa moja hayatekelezeki? Ni urefu gani 'orodha hii ya orodha' itafikia ndipo tutaona matunda ya mojawapo ya orodha iliyomo? Tukitafakari yaliyotendeka wakati wa Mh. Mwinyi na Mh. Mkapa, hatima ya Tanzania itakuwa ipi iwapo orodha ya viongozi wetu nayo itazidi kurefuka bila kuona Tanzania inabadilika kwa hali ya juu katika nyanja zake mbalimbali?


      SteveD.
      Kati ya falsafa kubwa ya nyerere nitakayokumbuka maisha yangu yote hi ile ya elimu ya watu wazima alipokuwa akinyooshea kidole akisema "Nenda kasome wakati ni huu."


      J. K. I. Kwete anatumia opportnunity ya kuwa watanzania wengi hawakuitikia mwito ule wa Nyerere kwa hiyo wengi wao hawaoni pumba na mchele.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    5. #4
      Rwabugiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Posts : 2,735
      Rep Power : 1158
      Likes Received
      67
      Likes Given
      31

      Default Re: "Uongozi Wetu Na Hatima Ya Tanzania" - Je, Kutatokea Nini Katika Hatima Yake?!

      Quote By kichuguu
      Kati ya falsafa kubwa ya nyerere nitakayokumbuka maisha yangu yote hi ile ya elimu ya watu wazima alipokuwa akinyooshea kidole akisema "Nenda kasome wakati ni huu."


      J. K. I. Kwete anatumia opportnunity ya kuwa watanzania wengi hawakuitikia mwito ule wa Nyerere kwa hiyo wengi wao hawaoni pumba na mchele.
      Hivi hatuwezi fanya lolote kwa sasa kuwasaidia waone??
      Mie nazidi kuwaalika wana JF na watanzania wenzangu popote mlipo.. hebu tuchangamke tuwaonyeshe wenzetu ambao hawakubahatika kuona, hebu tuwasimulie na ya waingie hasa hukooooo vijijini kwetu, Naamini tukiwa na umoja wa siafu/mchwa ''swarm intelligence'' niki kunukuu mkuu kichuguu?? tutafanikiwa.

    6. FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. Replies: 265
      Last Post: 20th March 2012, 23:21
    2. Toleo Jipya: UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA
      By Mzee Mwanakijiji in forum Great Thinkers
      Replies: 93
      Last Post: 1st July 2011, 21:43
    3. Toleo Jipya: UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 93
      Last Post: 1st July 2011, 21:43
    4. Natafuta "Uongozi wetu na hatima ya TZ" by J.K. Nyerere
      By Game Theory in forum Matangazo madogo
      Replies: 10
      Last Post: 11th September 2008, 16:24

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...