Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa
Dk. Slaa anaiomba Mahakama iitupe kesi hiyo kwani haina msingi wowote kwa sababu mdai mwenyewe alijidhalilisha kwa kukubali kutumiwa na chama cha siasa (hakukitaja) kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari na kukubali kuhamia nyumbani kwa mwanamke ambaye ni kiongozi wa chama hicho.
Anadai kuwa kwa kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari, mdai ameonesha wazi kuwa hana maadili na hivyo Mahakama imwamuru alipe gharama za kesi hiyo. Mahakama ilipanga kesi hiyo itajwe Oktoba 5.
Mathew 7:Judge not, that you be not judged" Mwisho wa nukuu
Huyu Mlalamikaji kwa kuishi na wanamke mwingine na kukaa kimya kwa miaka mitatu wakati sheria hiyo hiyo ya ndoa inasema mkiishi kama mke na mume kwa miaka miwili ninyi mnahesabika mpo kwenye ndoa.
Sheria ni msumeno na hivyo kinyume chake ni kuwa ukiithibitishia mahakama ya kuwa wanandoa hamkuwa mnaishi kama mume na mke kwa kipindi kinachozidi miaka miwili basi sana sana mahakama itakachofanya ni kutamka kuwa ninyi mliachana baada ya hiyo miaka miwili iliyopita na hamna ndoa yoyote na hakuna kudaiana isipokuwa kama kuna mali mlizichuma mkiwa pamoja matagawana kulingana na jasho la kila mhusika.
Hii ndiyo tafsiri sahihi ya shewria ya ndoa yetu.
CCM wanatapatapa tu na hata sheria walizokuwa wanazipitisha wao wenyewe bungeni hata hawazijui wangelizijua wansingehangaika na huu upuuzi ambao unathibisha jinsi ambavyo walivyo mambumbu wa kutupwa.
John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"
John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."
Follow Us Here