Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 75
    1. #1
      Reyes's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Posts : 188
      Rep Power : 484
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Anadai pia kuwa hakujua kuwa Josephine ameolewa ama aliwahi kuolewa na hata pia Josephine hakuwahi kumweleza kuwa ni mke wa mtu.

      Dk. Slaa anaiomba Mahakama iitupe kesi hiyo kwani haina msingi wowote kwa sababu mdai mwenyewe alijidhalilisha kwa kukubali kutumiwa na chama cha siasa (hakukitaja) kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari na kukubali kuhamia nyumbani kwa mwanamke ambaye ni kiongozi wa chama hicho.

      Anadai kuwa kwa kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari, mdai ameonesha wazi kuwa hana maadili na hivyo Mahakama imwamuru alipe gharama za kesi hiyo. Mahakama ilipanga kesi hiyo itajwe Oktoba 5.

      HabariLeo | Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa


    2. #2
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2089
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Quote By reyes View Post
      Anadai pia kuwa hakujua kuwa Josephine ameolewa ama aliwahi kuolewa na hata pia Josephine hakuwahi kumweleza kuwa ni mke wa mtu.

      Dk. Slaa anaiomba Mahakama iitupe kesi hiyo kwani haina msingi wowote kwa sababu mdai mwenyewe alijidhalilisha kwa kukubali kutumiwa na chama cha siasa (hakukitaja) kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari na kukubali kuhamia nyumbani kwa mwanamke ambaye ni kiongozi wa chama hicho.

      Anadai kuwa kwa kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari, mdai ameonesha wazi kuwa hana maadili na hivyo Mahakama imwamuru alipe gharama za kesi hiyo. Mahakama ilipanga kesi hiyo itajwe Oktoba 5.

      HabariLeo | Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa
      Hakujua kama ameolewa ?? Sasa je anajua kuwa ameolewa na ana watoto Slaa timiza wajibu wako usingoje kuumbuliwa !!
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    3. #3
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,910
      Rep Power : 22570
      Likes Received
      6525
      Likes Given
      2933

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Tarehe 5/10/2010 si mbali...Ngoja tuje kuisikilizia siku hiyo!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    4. #4
      Reyes's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Posts : 188
      Rep Power : 484
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Wajibu gani? ana wajibu wa kuendelea kumtunza Josephine, Yule jamaa alipaswa kwenda polisi baada ya kugundua kuwa mke wake haonekani, sasa kakaa miaka mitatu hadi uchaguzi, na hilo jimama linalokaa naye la CCM linalogombea jimbo moja la DSM atalipeleka wapi? yeye alulie na jimama lake jipya na Josephine amuache na Slaa

      Tatizo lake ilikuwa ni pesa na kama hawakumpa imekula kwake kwani ishu yake imekosa mvuto kabisaa zaidi imemuongezea umaarufu Dr Slaa

    5. #5
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,394
      Rep Power : 12973
      Likes Received
      4638
      Likes Given
      2506

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      what else can he say?

      Lazima aseme hakujua kuwa ni mke wa mtu kisheria


    6. #6
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,217
      Rep Power : 1933
      Likes Received
      219
      Likes Given
      278

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      umeleta robo ya habari.
      Tupe ishu nzima hapa na siyo phrases.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    7. #7
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,874
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      228
      Likes Given
      9

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      HIZI PESA ZA EPA ZILIZOIBWA NA CCM ZITATUTESA KWA MUDA MREFU SANA KM TUSIPOCHUKUA HATUA YA KUKIKANA HADHARANI CHAMA HIKI CHA MAFISADI............ANGALIA SASA MZEE WA WATU AMENUNULIWA SIJUI KWA KIASI GANI MUNGU WANGU ETI AMUUMBUE DR.SLAA MBELE YA VYOMBO VYA HABARI..............MBAYA ZAIDI CCM WANALETA UCHAFU HUU KIPINDI HIKI AMBACHO WATZ SIO WALE WA PILAU NA POMBE ZA KIENYEJI ZA KILA BAADA YA MIAKA5
      bora slaa ameamua kuoa........mbona akina kikwete wanajichotea tubinti na wana skendo chungu nzima lakini tumenyamaza tu?
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    8. #8
      Malafyale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2008
      Posts : 1,228
      Rep Power : 799
      Likes Received
      322
      Likes Given
      25

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Then ikiwezekana naomba muniunganishie dot kama umaskini wetu uliotukuka umesababishwa na Dr Slaa kumkwapua mke wa mtu!

      Wa TZ mwaka huu tupige kura zetu kwa nadharia za umaskini huu uliovuka kiwango na hasa tujiulize kabla hatujapiga kura kwa nini akina "Ridhiwan" tu ndiyo wanafaidi pato la Taifa kama vile TZ ni mali yao pekee yao na sisi tunabaki kama watazamaji tu?!

    9. #9
      lembeni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 31
      Rep Power : 452
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Amedanganywa na Joaephine( First lady mtarajiwa ??????)

    10. #10
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,394
      Rep Power : 12973
      Likes Received
      4638
      Likes Given
      2506

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Quote By lembeni View Post
      Amedanganywa na Joaephine( First lady mtarajiwa ??????)
      hajandanganywa madhali hakuuliza.............wenyewe wanaita White Lie tu

    11. #11
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Dk. Slaa anaiomba Mahakama iitupe kesi hiyo kwani haina msingi wowote kwa sababu mdai mwenyewe alijidhalilisha kwa kukubali kutumiwa na chama cha siasa (hakukitaja) kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari na kukubali kuhamia nyumbani kwa mwanamke ambaye ni kiongozi wa chama hicho.

      Anadai kuwa kwa kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari, mdai ameonesha wazi kuwa hana maadili na hivyo Mahakama imwamuru alipe gharama za kesi hiyo. Mahakama ilipanga kesi hiyo itajwe Oktoba 5.
      Mathew 7:Judge not, that you be not judged" Mwisho wa nukuu
      Huyu Mlalamikaji kwa kuishi na wanamke mwingine na kukaa kimya kwa miaka mitatu wakati sheria hiyo hiyo ya ndoa inasema mkiishi kama mke na mume kwa miaka miwili ninyi mnahesabika mpo kwenye ndoa.

      Sheria ni msumeno na hivyo kinyume chake ni kuwa ukiithibitishia mahakama ya kuwa wanandoa hamkuwa mnaishi kama mume na mke kwa kipindi kinachozidi miaka miwili basi sana sana mahakama itakachofanya ni kutamka kuwa ninyi mliachana baada ya hiyo miaka miwili iliyopita na hamna ndoa yoyote na hakuna kudaiana isipokuwa kama kuna mali mlizichuma mkiwa pamoja matagawana kulingana na jasho la kila mhusika.

      Hii ndiyo tafsiri sahihi ya shewria ya ndoa yetu.

      CCM wanatapatapa tu na hata sheria walizokuwa wanazipitisha wao wenyewe bungeni hata hawazijui wangelizijua wansingehangaika na huu upuuzi ambao unathibisha jinsi ambavyo walivyo mambumbu wa kutupwa.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    12. #12
      Sokomoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2008
      Location : Kijijini
      Posts : 1,913
      Rep Power : 955
      Likes Received
      96
      Likes Given
      25

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Quote By reyes View Post
      Anadai pia kuwa hakujua kuwa Josephine ameolewa ama aliwahi kuolewa na hata pia Josephine hakuwahi kumweleza kuwa ni mke wa mtu.

      Dk. Slaa anaiomba Mahakama iitupe kesi hiyo kwani haina msingi wowote kwa sababu mdai mwenyewe alijidhalilisha kwa kukubali kutumiwa na chama cha siasa (hakukitaja) kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari na kukubali kuhamia nyumbani kwa mwanamke ambaye ni kiongozi wa chama hicho.

      Anadai kuwa kwa kutoa habari hizo kwenye vyombo vya habari, mdai ameonesha wazi kuwa hana maadili na hivyo Mahakama imwamuru alipe gharama za kesi hiyo. Mahakama ilipanga kesi hiyo itajwe Oktoba 5.

      HabariLeo | Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Walipo date Slaa alikuwa bwax nini?
      I'd rather die standing than live kneeling (Che guavara)

    13. #13
      imma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2009
      Posts : 423
      Rep Power : 589
      Likes Received
      16
      Likes Given
      13

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Nafurahi sana capt. Komba akiwa animba ile nyimbo ya:
      CCM CCM (Ahhh!)
      Chama cha mapinduzi CCM namba One.

      Ukitizama Sura yake kwa makini huwa haina furaha kabisa, kwani anacho kiimba hakina uhalisia ndani ya moyo wake.
      Nisitoke nnje ya mada. ila ningependa kama angekua mwimbaji wa Taifa ndani ya serikali ya CHADEMA hapo October.

      A question that sometimes drives me hazy: am I or are the others crazy?

    14. #14
      Mlachake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2009
      Location : Loitokitok Kenya
      Posts : 1,855
      Rep Power : 872
      Likes Received
      518
      Likes Given
      348

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Quote By Sokomoko View Post
      Walipo date Slaa alikuwa bwax nini?
      Hivi wewe ndio unaigiza kwenye lile gazeti la sani?
      Knowledge is knowing that a tomato is a fruit; wisdom is knowing not to put it in a fruit salad.

    15. #15
      Kiranja Mkuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 2,084
      Rep Power : 890
      Likes Received
      284
      Likes Given
      34

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Kuumbuka kupi tena huko ?
      Kama walishindwa kumuumbua kipindi kile makamba alipokuwa akiongea mbofumbofu ndio saa hizi wataweza?
      Quote By mwiba View Post
      hakujua kama ameolewa ?? Sasa je anajua kuwa ameolewa na ana watoto slaa timiza wajibu wako usingoje kuumbuliwa !!

    16. #16
      Kiranja Mkuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 2,084
      Rep Power : 890
      Likes Received
      284
      Likes Given
      34

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Thokomoko, mi thtaki kucheka.
      Lodi lofa na ndumilakuwili kunakutafuta.
      Quote By sokomoko View Post
      walipo date slaa alikuwa bwax nini?

    17. #17
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,602
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      316
      Likes Given
      921

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Habari Leo kwa udaku, sasa hata maagazeti ya shigongo hayoni ndani kwa umbeya mbele ya Habari Leo

    18. #18
      kanyasu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 9th February 2009
      Posts : 235
      Rep Power : 0
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Dr slaa msomi na daktari unakaa na mwanamke anawatoto wawili hujui kama watoto wake wana baba?

    19. #19
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,022
      Rep Power : 1657
      Likes Received
      1144
      Likes Given
      419

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Habari yoyote inayoshadadiwa na magazeti ya Daily Noise, Habari Leo na Uhuru huwa ni propaganda.

      Tunaomba siku Josephine akatoe ushahidi namna jamaa alivyokuwa functionless.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    20. #20
      kanyasu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 9th February 2009
      Posts : 235
      Rep Power : 0
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

      Unajua ushabiki mwingine ni kama utoto, yaani hata mtuhumiwa anapokubali makosa shabiki anapinga kama wewe unazani dr slaa ni msafi umechemka na hatudanganyiki.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Kauli ya First Lady wa Dk. Slaa, Josephine
      By Binti Maria in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 264
      Last Post: 15th January 2012, 16:12
    2. Sikujua kama wenje ni kivuli kabisa...
      By Mzee Wa Maono in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 49
      Last Post: 25th July 2011, 00:37
    3. Sikujua kama LUKUVI na SENDEKA ni Matabularaza!
      By MVUMBUZI in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 19
      Last Post: 17th June 2011, 20:47

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...