Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie hili

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,283
      Rep Power : 3442
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      855

      Default Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie hili

      Wapendwa
      kwa wlaioona jana taarifa ya habari ya tbc kesi ya jerrymuro imezaa kesi nyingine juu yake baada ya mshitakiwa aitwae deogratias kusema aliitwa mbele ya mkuu wa upelelezi kanda ya dar es salaam na kamishna wa polisi kbw kasala na kuletewa karatasi ambayo ilikuwa juu yake imewekwa karatasi nyingine na kuambiwa asaini..alipokataa bw huyu aliambiwa asiposaini watamakesure wamemfunga akauliza kwa nini akaambiwa na mkuu wa upelelezi bw CHARLES MKUMBO sisi mtu wetu ni jerry muro amelizalilisha sana jeshi la polisi na niachokwambia hii saini ndio itakayokutoa ..na hii amri sio mmimi ni jkutoka makao makuu

      JAMANI WATANZANIA NIMEANGALIA MWILI UKASISIMKA NIKASEMA KUMBE SEGEREA/KEKO NA MAGEREZA MENGINE YAMEJAA WAFUNGWA WENGI WASIO NA HATIA ..EMBU ANGALIA KAMA HILI ANAAMBIWA AMRI IMETOKA JUU JAMANI WATANZANIA TUWATAFUTE HAO WA JUU WATUELEZE WANATAKA NINI???HII KESI WENGI WALIONGEA MWEMA AKASEMA ATAISEMEA MPAKA LEO HII...ANYWAY TUSUBIRI UKWELI JAMAA WAMEITWA WAJE KUELEZA

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      macho_mdiliko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2008
      Posts : 1,892
      Rep Power : 955
      Likes Received
      402
      Likes Given
      295

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By SAMSONMFALILA
      Wapendwa
      kwa wlaioona jana taarifa ya habari ya tbc kesi ya jerrymuro imezaa kesi nyingine juu yake baada ya mshitakiwa aitwae deogratias kusema aliitwa mbele ya mkuu wa upelelezi kanda ya dar es salaam na kamishna wa polisi kbw kasala na kuletewa karatasi ambayo ilikuwa juu yake imewekwa karatasi nyingine na kuambiwa asaini..alipokataa bw huyu aliambiwa asiposaini watamakesure wamemfunga akauliza kwa nini akaambiwa na mkuu wa upelelezi bw CHARLES MKUMBO sisi mtu wetu ni jerry muro amelizalilisha sana jeshi la polisi na niachokwambia hii saini ndio itakayokutoa ..na hii amri sio mmimi ni jkutoka makao makuu

      JAMANI WATANZANIA NIMEANGALIA MWILI UKASISIMKA NIKASEMA KUMBE SEGEREA/KEKO NA MAGEREZA MENGINE YAMEJAA WAFUNGWA WENGI WASIO NA HATIA ..EMBU ANGALIA KAMA HILI ANAAMBIWA AMRI IMETOKA JUU JAMANI WATANZANIA TUWATAFUTE HAO WA JUU WATUELEZE WANATAKA NINI???HII KESI WENGI WALIONGEA MWEMA AKASEMA ATAISEMEA MPAKA LEO HII...ANYWAY TUSUBIRI UKWELI JAMAA WAMEITWA WAJE KUELEZA
      Mwili umekusisimuka kwa sababu hujui kinachoendelea. Muro mla rushwa ataenda jela safari hii

    4. #3
      Mwanamosi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th August 2010
      Posts : 73
      Rep Power : 460
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      kesi ndani ya kesi..hapatoshi ila kwa kweli tuna kazi kupambana na matukio ya namna hii. polisi hii ni kashfa wanayo miaka kibao kwa kisingiziom cha upelelezi ila uonevu huu yahitaji miujiza kuutokomeza coz wengi wanaofanyiwa hawajui sheria na hawana utetezi so hukaa kimya kuogopa wasijiingize matatizoni na WAKUBWA..

    5. PhD
      #4
      PhD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Location : houston texas
      Posts : 2,619
      Rep Power : 1593
      Likes Received
      681
      Likes Given
      174

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      polisi wengi ni aina ya zombe, wezi, warafi na kazi yao ni kubambikiza kesi tu na kutafuta utajiri hata kama jeryy alitaka rushwa lakini ukweli uliopo ni kuwa jeshi la polisi lilikuwa linamtafuta kiaina ili kumkamata baada ya kuwaumbua kwa rushwa wanazokula
      They wiil disqualify you for the little weaknesses you have and they will never glorify you for the great strength you have shown, Phd- Houston Texas July 23, 2012

    6. #5
      Tonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 697
      Rep Power : 598
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Muro alijisahau sana akaona yuko juu ya sheria na wale wajinga wachache waliokuwa wanamtuma kwa manufaa yao ndio wamemmaliza, kesi hii haruki lazima akanyee ndoo.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Shapu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2008
      Location : Citizen of the World
      Posts : 1,582
      Rep Power : 895
      Likes Received
      166
      Likes Given
      299

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      dont know whether i will ever stop wondering of zis country's issues!
      "WHEN YOU REFUSE TO GIVE UP COMPETELY, THATS WHEN GOOD THINGS TEND TO HAPPEN! Never give up!" Shapu

    9. #7
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6123
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Iinnocent until proven guilty
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    10. #8
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6123
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By tonge
      muro alijisahau sana akaona yuko juu ya sheria na wale wajinga wachache waliokuwa wanamtuma kwa manufaa yao ndio wamemmaliza, kesi hii haruki lazima akanyee ndoo.
      innocent until proven guilty
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    11. #9
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6123
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By macho_mdiliko
      mwili umekusisimuka kwa sababu hujui kinachoendelea. Muro mla rushwa ataenda jela safari hii
      innocent until proven guilty
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    12. #10
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By The Finest
      Iinnocent until proven guilty
      Huu ni ukweli lakini kimazingira tu hata mimi nisyekuwa mwanasheria najua. Andrew Chenge ni guilty. Huyu Jery Muro mazingira yanamfunga. Alikuwa msanii.

    13. #11
      MTWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2009
      Location : Somewhere in the Universe
      Posts : 842
      Rep Power : 666
      Likes Received
      41
      Likes Given
      19

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By macho_mdiliko
      Mwili umekusisimuka kwa sababu hujui kinachoendelea. Muro mla rushwa ataenda jela safari hii
      Wewe lazima uwe fisadi tena siyo mdogo,
      Nadahani wewe ndo hujui kinachoendelea, Polisi hawa ni kama ni bora ya mbwa ambaye akiamrishwa kwa mtu asiyehatia hawezi kumng'ata tu ila kumshtua.

      Jerry hana kosa lile ila Polisi waliona aibu na wameamua kumkomoa, Lakini Mungu siku zote huwa anaona, Na ukitaka kufaya Dhuluma lazima akupige changa la macho upofuke.

      Hao wakubwa miaka yao ni michache maana wanawaacha wala rushwa wakubwa na kuwatia hatiani wapiganaji.
      Kwani Kubenea ilikuwaje, na wapiganaji kibao.
      jamani hawa watu pamoja na nyie washabiki wake mtatupeleka shimoni.
      Lazima wajue kukomoana siyo utendaji mzuri, walisubiri atoboe ile rushwa ya polisi ndo wamtolee hilo?
      Nakwambia lazima wataingia upofu kutoka kwa Mungu!!!

    14. #12
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,979
      Rep Power : 2634
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      501

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Jerry kakomolewa na na kesi ya kupikwa! Kama kweli hakimu atakuwa na haki, kina Jerry watatoka salama.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    15. #13
      nguvumali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2009
      Location : nimerudi Mwanza
      Posts : 3,691
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      536
      Likes Given
      146

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Polisi wa nchi hii wanafanya kazi ngumu sana, ila wachache wanaharibu utendaji wao, Kova anaharibu sana kazi ya polisi, huyu ni mpenda sifa , ujiko na mtu wa kariba ya makamba na tabwe hiza.
      anafanya kazi ili aonekane, hii kesi itataliabisha JESHI letu la polisi, kwa upuuzi wa wawachache.
      The most potent weapon of the oppressor is the mind of the oppressed

    16. #14
      MTWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2009
      Location : Somewhere in the Universe
      Posts : 842
      Rep Power : 666
      Likes Received
      41
      Likes Given
      19

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By Mtazamaji
      Huu ni ukweli lakini kimazingira tu hata mimi nisyekuwa mwanasheria najua. Andrew Chenge ni guilty. Huyu Jery Muro mazingira yanamfunga. Alikuwa msanii.
      Hii siyo kweli, He is not Guilty hata kama watachora vema mipango yao lakini Itakuwa bure, mnachopaswa kujua ni kwamba waliamua kumdhalilisha kwa kazi aliyofanya

      Kwani yeye si alikuwa anaonesha LIVE bila ya kutafutiza,
      Ona sasa wao wanavyohangaika kutafuta ushaidi, Kwani Kamera za CCTV si zingetosha?
      Mbona hawatokei mahakamani wanachora nini na wao ni wapelelezi wasomi, wakati mwenzao alikuwa anachukua kamera na kuweka tu runingani na kila mtu akaona.

      Tungeni wee na mkitumia nguvu zenu mshinde, Mungu atawagonga ngooooo! mtatia aibu maana bado hawajaacha.

    17. #15
      MTWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2009
      Location : Somewhere in the Universe
      Posts : 842
      Rep Power : 666
      Likes Received
      41
      Likes Given
      19

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By Maane
      Jerry kakomolewa na na kesi ya kupikwa! Kama kweli hakimu atakuwa na haki, kina Jerry watatoka salama.
      Tena wamepika vibaya, wanapikia uji kwenye mkaa,
      Ni nguvu zao tu ndo zinawalinda, Kwakweli wamezoea kupika kesi ili wawanyamazishe watu.

    18. #16
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,610
      Rep Power : 4402
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      977

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Jerry alifanya kazi nzuri lakini nayeye msanii tu/ sasa amekutana na wasanii wenzake kazi kweli kweli
      Independent thinker
      Humu jf baadhi yetu wametengeneza haki miliki ya they way they think, you have to think like them and have drawn a line of where one has to belong, you are either "with us" or "against us", if you don't sail the same boat then you are an enemy!. -Pasco wa JF

    19. #17
      MTWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2009
      Location : Somewhere in the Universe
      Posts : 842
      Rep Power : 666
      Likes Received
      41
      Likes Given
      19

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By Tonge
      Muro alijisahau sana akaona yuko juu ya sheria na wale wajinga wachache waliokuwa wanamtuma kwa manufaa yao ndio wamemmaliza, kesi hii haruki lazima akanyee ndoo.
      Hatanyea ndoo kabisa, Kuwa chini ya sheria nu Kuficha maovu, au Kuwa juu ya sheria ni kuyalipua maovu ya watu wanaotakiwa kutoa huduma kwa watu na kuaamua kushibisha matumbo yao bila aibu?

      Yeye alisahau tu kuwa polisi wameshika mpini naye makali. Na alipaswa kuwa Muoga kama watanzania wengine tulivyo.
      Hakujua kuwa wana kila aina ya kutwisha mtu kesi hata iwe kubwa vipi.

    20. #18
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By Maane
      Jerry kakomolewa na na kesi ya kupikwa! Kama kweli hakimu atakuwa na haki, kina Jerry watatoka salama.
      .
      Wapenzi wa Jerry na wote mnaikubali kazi yake, msiwe na wasiwasi, Jerry atashinda kesi, polisi wana very weak case agaist him, kesi zote za rushwa zinahitaji strong evedence to make conviction, vitu ambavyo havipo.

      Sisi hatuna Cybe law hapa kwetu, na Electronic evidence ya video kupitia CCTV camera is in-addmisable evidence, hivyo hakuna kesi hapo, ni kuchafuliana tuu majina na kupotezeana muda.

      Tatizo ninaloliona, hata kama Jerry atashinda hii kesi, he will never be the same Jerry again. Ndivyo yaliyomkuta O.J. Simpson, hata kama alishinda kesi, he was never the same again.

      Ushauri wangu kwa Jerry, kesi ikiisha, arudi shule akapige Masters ya kitu alichosomea pale UDSM.

    21. #19
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Quote By macho_mdiliko
      Mwili umekusisimuka kwa sababu hujui kinachoendelea. Muro mla rushwa ataenda jela safari hii
      sawa mh. hakimu
      ........................HAKUNA TIBA YA KIFO............
      HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU

    22. #20
      Lutala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2010
      Posts : 755
      Rep Power : 604
      Likes Received
      53
      Likes Given
      18

      Default Re: Sakata la muro;mkuu wa upelelezi;kamishna wa polisi aibu tupu;mwema tuifwaitilie

      Jeshi la Polisi ni uozo mtupu. Nilitarajia mengi kutoka kwa Mwema lakini kwa kuwa kazungukwa na wala rushwa, wasio jua kazi na wenye shule kidogo inakuwa vigumu sana kubadilika kwa jeshi hilo. Kuna matukio mengi sana yanayothibitisha kuwa Jeshi la Polisi uwezo wake ni mdogo sana tena haswa kikosi cha upelelezi. Inafikia hatua tunajiuliza wanacho peleleza ni nini? Mbona maovu kibao yanafanyika kila siku ndani ya bongo na hakuna kinachofanyika. Wengi wao wamechoka kwa pombe za ofa na ndo hizo zinazoharibu utendaji wa kazi zao. Mie nina imani kuwa Jerry alikuwa anawindwa ili anamalizwe kwa kazi zake nzuri alizokuwa anafanya. Na huenda muajiri wake wa zamani anahusika katika mkakati huo.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Miaka 50 ya uhuru - vituo vya polisi aibu tupu
      By Candid Scope in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 4th December 2011, 06:11
    2. Haya ni aibu kwa Mwema binafsi na Jeshi la Polisi
      By Chief Isike in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 31st October 2011, 21:27
    3. Mkuu wa Upelelezi Dar akana kumkandamiza Jerry Muro
      By Wa Ndima in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 20th August 2010, 20:10
    4. Kesi ya kina Muro upelelezi kuendelea
      By MziziMkavu in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 0
      Last Post: 3rd May 2010, 02:04

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...