katika kusoma Bible sijawahi kuona any dot inayoonyesha mwanamke kuwa kuhani, lakini siku hizi wanawake wachungaji (makuhani) wapo.
Je ni kwenda kinyume na Biblia? na ni kwa nini hakuna mashehe wanawake? na Je kwa Hinduism and Buthism?
Naomba kueleweshwa. (I have nothing personal that is why nimeuliza kotekote)

Reply With Quote



Follow Us Here