hawa jamaa waliwahi kunikamata mara kadhaa kwa kosa la kumbeba abiria ambaye hajavaa kofia (helment) ya pikipiki kwa ajili ya usalama. wakalamba buku tano yangu.
But huwa najiuliza sana je wao hawatakiwi kuwa salama maana na wao huwa wanaendesha pikipiki bila hata ya kuvaa hiyo kofia yenyewe, angalia picha hii nilifanikiwa kuwabamba laive.
tena ukiangalia hiyo picha inaonyesha wamebebana kwenye pikipiki anayotakiwa isipakie abiria.
sasa cheki huyu police wa kike alivyojiweka hapo.
Huwa mara nyingi najiuliza au hizi sheria za kiusalama barabarani zinatuhusu sisi tu ambao sio police??

Reply With Quote
Follow Us Here