Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Traffic police

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Easymutant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2010
      Posts : 1,073
      Rep Power : 670
      Likes Received
      152
      Likes Given
      68

      Angry Traffic police

      hawa jamaa waliwahi kunikamata mara kadhaa kwa kosa la kumbeba abiria ambaye hajavaa kofia (helment) ya pikipiki kwa ajili ya usalama. wakalamba buku tano yangu.

      But huwa najiuliza sana je wao hawatakiwi kuwa salama maana na wao huwa wanaendesha pikipiki bila hata ya kuvaa hiyo kofia yenyewe, angalia picha hii nilifanikiwa kuwabamba laive.
      tena ukiangalia hiyo picha inaonyesha wamebebana kwenye pikipiki anayotakiwa isipakie abiria.
      sasa cheki huyu police wa kike alivyojiweka hapo.

      Huwa mara nyingi najiuliza au hizi sheria za kiusalama barabarani zinatuhusu sisi tu ambao sio police??
      KISS-Keep It Simple Stupid.........[email protected]



    2. Miaka 50

    3. #2
      Kiranja Mkuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 2,084
      Rep Power : 887
      Likes Received
      284
      Likes Given
      34

      Default Re: Traffic police

      Polisi ina nguvu ya kukamata raia, lakini si kukamata askari.
      Ieleweke hivyo.

    4. #3
      analysti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Location : KIGALI-RWANDA
      Posts : 448
      Rep Power : 585
      Likes Received
      138
      Likes Given
      6

      Default Re: Traffic police

      Kuna siku nilikuwa kwenye daladala, Polisi akawa anamlazimisha kondakta amshushe sehemu ambapo hapakuwa na kituo. Nikagundua kuwa sheria si msumeno tena. Imekuwa ni one sided bushknife!!!. Tunakwenda wapi?

    5. #4
      Ntemi Kazwile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Location : Bongo salidalam
      Posts : 1,873
      Rep Power : 833
      Likes Received
      135
      Likes Given
      449

      Default Re: Traffic police

      Kama baba kama mwana. Kikwete kasaini sheria ya uchaguzi halafu yeye mwenyewe ndo anasema haitekelezeki.
      “If people are not laughing at your dreams at least once a week, you are aiming too low.” Robin Sharma.

    6. #5
      Mike 1234's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2009
      Location : Mikocheni
      Posts : 1,352
      Rep Power : 792
      Likes Received
      90
      Likes Given
      36

      Default Re: Traffic police

      bw wee,unashangaa trafic! wabunge je!sheria wanpitisha wenyewe takukuru kuwahoji tu tayari wanahamaki! ole wao ipo siku mtoto wa paka ataona


    Similar Topics

    1. Traffic Police wa Tanga Hawasomi Road Traffic Act 1973?.
      By gayella in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 0
      Last Post: 15th August 2011, 09:35
    2. Ikitokea, Traffic Police mna kesi ya kujibu
      By distazo in forum Jamii Intelligence
      Replies: 9
      Last Post: 18th April 2011, 12:00
    3. Traffic police dar., suluhisho? Au chanzo cha foleni..?
      By Mporipori in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 7
      Last Post: 7th December 2010, 15:53
    4. Traffic Police!!!
      By Mwalimu in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 5
      Last Post: 12th November 2010, 12:08
    5. Je hii ni haki kwa 'traffic police'?
      By Magobe T in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 0
      Last Post: 28th May 2010, 12:55

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...