Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ally Pugi Hatunaye tena

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Tiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 1,661
      Rep Power : 886
      Likes Received
      365
      Likes Given
      471

      Default Ally Pugi Hatunaye tena

      Wana JF,

      Taarifa nilizozipata muda si mrefu zinasema kwamba mwanamuziki mwimbaji maarufu wa muziki wa dansi Ally Pugi amefariki dunia usiku wa kuamkia jana (12/6/2010) huko Morogoro alikokuwa amekwenda kusalimia ndugu zake. Marehemu Ally ambaye mpaka wakati kifo kinamkuta alikuwa mwimbaji wa bendi ya BRC (Bendi ambayo uwa inatumbuiza pale Port View siku ya Ijumaa) alikuwa akifanya shughuli za Muziki huko nchini Botswana kabla ya kujiunga na BRC January 2009. Marehemu Ally tayari amezikwa huko huko Morogoro.

      RIP Ally.

      Tiba

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,502
      Rep Power : 46710
      Likes Received
      16350
      Likes Given
      8419

      Default Re: Ally Pugi Hatunaye tena

      Poleni kwa msiba.. Mungu ailaze roho yake pema peponi amen.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    4. #3
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      489
      Likes Given
      173

      Default Re: Ally Pugi Hatunaye tena

      RIP Ally Pugi, almaarufu Ally Baba kwa huku Botswana, tutakumiss sana, memeory zako haziwezi kufutika hasa ulipokuwaga jukwaani ndani ya ZEBRAS,

    5. #4
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Re: Ally Pugi Hatunaye tena

      RIP. Aliy Pugi

    6. #5
      Tiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 1,661
      Rep Power : 886
      Likes Received
      365
      Likes Given
      471

      Default Re: Ally Pugi Hatunaye tena

      Quote By Kituko
      RIP Ally Pugi, almaarufu Ally Baba kwa huku Botswana, tutakumiss sana, memeory zako haziwezi kufutika hasa ulipokuwaga jukwaani ndani ya ZEBRAS,
      Mkuu Kituko,

      Kwa sisi tuliopata nafasi ya kuwa naye karibu, kwa kweli alikuwa ni muimbaji mahiri. Mimi nilimpenda sana na hasa alipokuwa anaimba wimbo wa "Kinyonga". Ilikuwa ni lazima nikamtuze. Anyway yeye katangulia na wengine tunafuata!!!!

      Tiba

    7. Miaka 50

    8. #6
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      489
      Likes Given
      173

      Default Re: Ally Pugi Hatunaye tena

      Quote By Tiba
      Mkuu Kituko,

      Kwa sisi tuliopata nafasi ya kuwa naye karibu, kwa kweli alikuwa ni muimbaji mahiri. Mimi nilimpenda sana na hasa alipokuwa anaimba wimbo wa "Kinyonga". Ilikuwa ni lazima nikamtuze. Anyway yeye katangulia na wengine tunafuata!!!!

      Tiba
      pole na wewe pia Bw Tiba kwa kuondokewa na mtu wako wa karibu
      na mimi huyo jamaa alikuwa wa karibu sana, nilianza kumfahamu alipokuwa pale Knondoni Mkoko alipokuwa anapiga na Bantu group, niliishi nae pia pale Gaborone akiwa na Marehemu Abdalah "Dogodogo", Shaban "Wanted", Gregory, Maliki Star na baadae Kupaza na nilikuwa nae mwezi wa tatu this yr hapo Dar Pale maeneo ya MAwenzi Tabata walikuwa wanapiga pale,

    Similar Topics

    1. Advocate Mwakingwe hatunaye tena.
      By Calist in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 21
      Last Post: 2nd October 2011, 09:01
    2. RPC wa Kilimanjaro - Ng'hoboko hatunaye tena
      By LiverpoolFC in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 118
      Last Post: 19th June 2011, 17:50
    3. Dr. Remmy Ongala Hatunaye Tena!
      By DALA in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 13th December 2010, 19:15

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...