Re: Bakwata yaishtukia serikali
Mimi sidhani kama ni inferiority complex. Kama kwa mfano walioitisha mkutano walitaka kuzingatia uwakilishi wa kidini na wakafanya hivyo kwa wakristo (mfano wakawaalika KKKT, RC, AGT, etc) na kusahahu kufanya vivyo hivyo kwa waislamu na dini nyingine nadhani upo uhalali kwa waislamu au dini hizo nyingine kulalamika.
Serikali ni lazima wawe sensitive kwenye masuala haya ya dini. Kwa mfano si sahihi kudhani kuna waislamu na wakristo pekee....wapo wengine hata kama ni monority ambao pengine hawana mahala pengine pa kusemea.
"Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau
Follow Us Here