Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tanesco hili nalo neno.

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      kakuruvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2009
      Posts : 611
      Rep Power : 624
      Likes Received
      109
      Likes Given
      59

      Default Tanesco hili nalo neno.

      Kuna Mbunge ameliona hili juu ya utaratibu wa sasa wa Tanesco la wateja kugharimia vifaa vy a nguzo na nyaya pale mteja anapotaka kuanganishiwa huduma ya umeme.

      Hatukatai kwamba ni utaratibu waliojiwekea lakini mbona mteja anapogharimia umbali mrefu na baadae wakajitokeza wateja wengine kwenye mkondo(line) iliyogharimiwa na mteja mwenzao hawampi japo asilimia kidogo ya service charge?

      Kwa hili Tanesco wataendelea kuibiwa kwani nafikiri wengi wanajilipa gharama za nguzo na nyaya walizotoa na baadae kutumiwa na wateja wengine pia bila wao kufikiriwa chochote.

      WanaJF kuna mwenye la kusema juu ya hili? Ni mtizamo tu, nawasilisha.


    2. #2
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanesco hili nalo neno.

      Quote By kakuruvi View Post
      Hatukatai kwamba ni utaratibu waliojiwekea lakini mbona mteja anapogharimia umbali mrefu na baadae wakajitokeza wateja wengine kwenye mkondo(line) iliyogharimiwa na mteja mwenzao hawampi japo asilimia kidogo ya service charge?
      hapo umesema ukweli kabisaaaaaaaaaaa.....hata watu wa dawasco wanatabia hiyo.....tunawaomba wabadirike.....

    3. #3
      kimatire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2008
      Location : Sydine- St. Roix's
      Posts : 349
      Rep Power : 611
      Likes Received
      43
      Likes Given
      20

      Default Re: Tanesco hili nalo neno.

      Quote By Pape View Post
      hapo umesema ukweli kabisaaaaaaaaaaa.....hata watu wa dawasco wanatabia hiyo.....tunawaomba wabadirike.....
      Pape ni kweli hadi umeenda shule huelewi tofauti ya TANESCO na DAWASCO??Hebu usituzengue buree tu!
      I smile because I don't know what the hell is going on.

    4. #4
      Ulimbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Posts : 591
      Rep Power : 619
      Likes Received
      50
      Likes Given
      10

      Default Re: Tanesco hili nalo neno.

      Mimi ningeishauri TANESCO iwajibike kuakikisha kila mteja anaye hitaji huduma ya umeme wanampelekea kwa gharama zao. Wanachopaswa kudai kwa mteja tu niyale matumizi ya umeme.
      Wakifanya hivyo watapata wateja wengi na pia watajipatia kipato kikubwa zaidi.

    5. #5
      kakuruvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2009
      Posts : 611
      Rep Power : 624
      Likes Received
      109
      Likes Given
      59

      Default Re: Tanesco hili nalo neno.

      Quote By Ulimbo View Post
      Mimi ningeishauri TANESCO iwajibike kuakikisha kila mteja anaye hitaji huduma ya umeme wanampelekea kwa gharama zao. Wanachopaswa kudai kwa mteja tu niyale matumizi ya umeme.
      Wakifanya hivyo watapata wateja wengi na pia watajipatia kipato kikubwa zaidi.
      Ulimbo,
      Ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kupiga ramli mapato yataongezeka kwani uzalendo pia utaongezeka kwa wanaotumia kwa jinsi wateja watakapopatiwa bila kugharimia nguzo na nyaya ambazo kwa hakika si mali yao.


    6. #6
      Mnene 1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2010
      Posts : 125
      Rep Power : 504
      Likes Received
      11
      Likes Given
      91

      Default Re: Tanesco hili nalo neno.

      Bora sisi ambao tumeamua kutumia solar tu. Tanesco wezi sana.
      Ukienda pale unapigwa tarehe utadhani wanakupa bure kumbe unalipia

    7. #7
      Msindima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Location : KIVULULU
      Posts : 1,000
      Rep Power : 725
      Likes Received
      18
      Likes Given
      37

      Default Re: Tanesco hili nalo neno.

      Quote By Mnene 1 View Post
      Bora sisi ambao tumeamua kutumia solar tu. Tanesco wezi sana.
      Ukienda pale unapigwa tarehe utadhani wanakupa bure kumbe unalipia
      Ni kweli kabisa utapigwa tarehe mpaka uchoke hata kufatilia, jamani nina swali, hivi baada ya kulipia hizo gharama inachukua muda gani mpaka waku letee hizo nguzo?

    8. #8
      drphone's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2009
      Posts : 3,517
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      100
      Likes Given
      11

      Default Re: Tanesco hili nalo neno.

      Quote By Msindima View Post
      Ni kweli kabisa utapigwa tarehe mpaka uchoke hata kufatilia, jamani nina swali, hivi baada ya kulipia hizo gharama inachukua muda gani mpaka waku letee hizo nguzo?
      kwakweli mda maalumu akuna miaka ya nyuma atamiaka utasubiri na umelipa kila kitu ila kama unaweza kumlipa mpiga zeze utachagua ck ya kuwekewa
      THE BEST IS YET TO COME.

      THE GREATEST EXPERIENCE IS TO MEET YOURSELF AND FALL IN LOVE WITH YOURSELF.

    Similar Topics

    1. hili nalo NENO
      By SILENT WHISPER in forum Jamii Photos
      Replies: 8
      Last Post: 17th November 2011, 15:01
    2. Hili nalo neno...!
      By Mwanamageuko in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 39
      Last Post: 11th July 2011, 18:46
    3. Hili nalo neno!!!!
      By KakaKiiza in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 18
      Last Post: 26th February 2011, 05:42
    4. NIONAVYO MIMI (hili nalo neno)
      By semmy samson in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 24th December 2010, 14:04
    5. Hili nalo NENO
      By Kiranja Mkuu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 14
      Last Post: 5th August 2010, 23:33

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...