| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 679
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mungu ailaze pema peponi mzee wetu.. Mtanzania mzalendo!
__________________
Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa! |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mwenyezi Mungu amlaze marehemu mahali pema peponi,na Faraja ziende kwa Mke ,Watoto na Ndugu wa karibu wa Marehemu Kaduma.Atakumbukwa kwa Uzalendo wake na mapenzi ya Utamaduni wa Mtanzania. AMEN!!!.
__________________
Its not enough to do good if you can do better. |
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Apumzike kwa Amani.. amina.
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" |
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Naomba Mwenyezi Mungu Amlaze Pahala Pema Peponi. Amina.
SteveD.
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09. Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09. |
|
#6
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Nashukuru kwa pole zenu naninaamin kuwa Mungu atawafariji wafiwa na kuwapa subira.
Bado sijarejea nyumbani ila ninapata updates kwamba ameagwa leo saa sita muhimbili kisha akaenda kuagwa saa kumi bagamoyo alipokuwa anaishi kisha atasafirishwa kwa maziko Iringa. Nimekutana na wadau waliowahi kufanya nae kazi wakaniambia kuwa ndiye aliyeanzisha siku ya utamaduni tanzania akiwa mkuregenzi wa utamaduni ila alipostaafu waliofuatia hadi leo wameiboronga na kuiharibu kabisa. Umri wangu ni mdogo ila kila nilipofanya kazi kwa kushirikiana naye nilikuwa naona mabadiliko ya kifikra na kukua kisaikolojia. He was verry good story-teller. Enewei jabali limepuruchuka ila tutaudumisha utamaduni wetu huku tukiisafisha siasa ya nchi yetu hatimaye wajukuu na vitukuu wakumnbuke kuwa tulikuwepo kwa ajili yao....
__________________
......2010 ndo hii lakini SINA IMANI kama utafanya maamuzi sahihi OKTOBA.... - Msanii
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 03:41 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||