TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 1 of 2 1 2 LastLast
Results 1 to 20 of 40
  1. #1
    JF Premium Member WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2008
    Posts
    4,364
    Thanks : 928
    Thanked 1,415 Times in 688 Posts
    Rep Power
    31

    Default Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Huu msemo kuwa " wasichana/akina dada husaidiwa na akina kaka vyuoni" unatoka wapi?
    Nijuavyo mimi kila mmoja awe msichana au mvulana hufuzu kuingia chuo baada ya kupitia mchakato.Hakuna njia ya mkato.Iweje akishafika chuoni basi akili zake hupotea hadi asaidiwe kufaulu?
    You don't write because you want to say something, you write because you've got something to say.

  2. The Following 5 Users Say Thank You to WomanOfSubstance For This Useful Post:

    Akili Kichwani (20th March 2010), Bubu Ataka Kusema (19th March 2010), cheusimangala (20th March 2010), Pretty (19th March 2010), Sugar wa Ukweli (20th March 2010)

  3. #2
    JF Premium Member rmashauri will become famous soon enough rmashauri will become famous soon enough rmashauri will become famous soon enough rmashauri will become famous soon enough rmashauri will become famous soon enough rmashauri will become famous soon enough rmashauri will become famous soon enough rmashauri will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Jan 2009
    Location
    Ng'wanza Sukuma
    Posts
    1,527
    Thanks : 1,078
    Thanked 1,362 Times in 840 Posts
    Rep Power
    25

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by WomanOfSubstance View Post
    Huu msemo kuwa " wasichana/akina dada husaidiwa na akina kaka vyuoni" unatoka wapi?
    Nijuavyo mimi kila mmoja awe msichana au mvulana hufuzu kuingia chuo baada ya kupitia mchakato.Hakuna njia ya mkato.Iweje akishafika chuoni basi akili zake hupotea hadi asaidiwe kufaulu?
    Nijuavyo mimi, watu wakiwa vyuoni huwa na vikundi vyao vya kujisomea na kila mmoja huweza kuchangia majadilino (discussion) kwa kadri alivyoelewa "topic" fulani ya somo husika. Na hapa haichagui msichana/mwanamke au mvulana/mwanaume, wote huchangia. Katika darasa langu la Bachelor kuna wasichana wawili walipata "First Class" (UDSM) na walikuwa vipanga kweli na si kwasababu walisaidiwa na wavulana. Kwa kifupi ni kuwa wote husaidiana.
    Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

  4. The Following 2 Users Say Thank You to rmashauri For This Useful Post:

    Pretty (19th March 2010), WomanOfSubstance (19th March 2010)

  5. #3
    JF Premium Member Ndahani will become famous soon enough Ndahani will become famous soon enough Ndahani will become famous soon enough Ndahani will become famous soon enough Ndahani will become famous soon enough Ndahani will become famous soon enough Ndahani will become famous soon enough Ndahani will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jun 2008
    Location
    Somewhere
    Posts
    1,866
    Thanks : 381
    Thanked 655 Times in 414 Posts
    Rep Power
    26

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Wenye mawazo muflisi na tegemezi ndo wanaingia chuo na akili hizo. Ila boys sometimes wanatumia gia hiyo kama ndio sehemu ya kupatia yale mambo mengine. Siunajua tena mambo yanaweza kuwa rahisi kama unakuwa karibu na mtu...hata kama hakutaki anaweza kukuonea huruma.
    "I want to shoot the moon...and even if it happens that I fail, I will land among the stars"

  6. The Following User Says Thank You to Ndahani For This Useful Post:

    WomanOfSubstance (19th March 2010)

  7. #4
    JF Senior Expert Member Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Sep 2009
    Posts
    466
    Thanks : 140
    Thanked 114 Times in 73 Posts
    Rep Power
    21

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Inategemea huyu dada ameingiaje. Kuna wanaoingia kisiasa zaidi ili ku-equal idadi ya wavulana ktk fani husika.

    Nakumbuka kuna mkakat flan nliwahi kuusikia wanafunzi wa kike walimwagma faculty ya engineering kwa fujo. Hawa walijiunga na chuo miezi kadhaa kabla wenzao wa mwaka wa kwanza waliochaguliwa kawaida hawajafungua chuo.
    Lengo hapa lilikua kuwapiga msasa wadada hawa kabla ya chuo kufunguliwa.

    Hebu mchukulie mdada alieingia ktk mpango huu wa 'ongeza idadi' tena engineering, what do you expect? Kutafuta mvulana (kumbuka hawa ndo wako wengi zaidi) ambaye atakua akimsaidia kimasomo.

    Asante
    "Smile though your heart is aching"...Me says

  8. The Following 2 Users Say Thank You to Tripo9 For This Useful Post:

    Sugar wa Ukweli (20th March 2010), WomanOfSubstance (19th March 2010)

  9. #5
    JF Senior Expert Member Lunanilo will become famous soon enough Lunanilo will become famous soon enough Lunanilo will become famous soon enough Lunanilo will become famous soon enough Lunanilo will become famous soon enough Lunanilo will become famous soon enough Lunanilo will become famous soon enough Lunanilo will become famous soon enough
    Join Date
    Fri Feb 2008
    Posts
    300
    Thanks : 102
    Thanked 63 Times in 47 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by WomanOfSubstance View Post
    Huu msemo kuwa " wasichana/akina dada husaidiwa na akina kaka vyuoni" unatoka wapi?
    Nijuavyo mimi kila mmoja awe msichana au mvulana hufuzu kuingia chuo baada ya kupitia mchakato.Hakuna njia ya mkato.Iweje akishafika chuoni basi akili zake hupotea hadi asaidiwe kufaulu?
    Yaani umenjibu swali ninalonikera mara nyingi. Huwa nahuzunishwa sana na dhana ya kuwa mabinti zetu wanapendelewa na wakufunzi wa kiume au kusaidiwa na vijana wa kiume. Tunasahau kabisa kuwa walifaulu darasa la saba, la kumi na mbili na la kumi na nne bila ya mkufunzi yeyote kuwapendelea, na bila mvulana yeyote kuwasaidia; wakienda ulaya huwa wanafaulu tu bila ya upendeleo wowote. Hii tabia ya kuwadhalilisha akina dada kuwa hawajitahidi inakatisha sana tamaa. Ni watoto wetu, ni dada zetu, ni mama zetu, hebu tuwape staha.

  10. The Following 2 Users Say Thank You to Lunanilo For This Useful Post:

    Pretty (19th March 2010), WomanOfSubstance (19th March 2010)

  11. #6
    JF Premium Member WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2008
    Posts
    4,364
    Thanks : 928
    Thanked 1,415 Times in 688 Posts
    Rep Power
    31

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by Tripo9 View Post
    Inategemea huyu dada ameingiaje. Kuna wanaoingia kisiasa zaidi ili ku-equal idadi ya wavulana ktk fani husika.

    Nakumbuka kuna mkakat flan nliwahi kuusikia wanafunzi wa kike walimwagma faculty ya engineering kwa fujo. Hawa walijiunga na chuo miezi kadhaa kabla wenzao wa mwaka wa kwanza waliochaguliwa kawaida hawajafungua chuo.
    Lengo hapa lilikua kuwapiga msasa wadada hawa kabla ya chuo kufunguliwa.

    Hebu mchukulie mdada alieingia ktk mpango huu wa 'ongeza idadi' tena engineering, what do you expect? Kutafuta mvulana (kumbuka hawa ndo wako wengi zaidi) ambaye atakua akimsaidia kimasomo.

    Asante
    Asante ndugu yangu.... hapo kwenye red hapooo! Kwani hao wasichana wachache ambao ni vichwa hawawezi kuwasaidia wenzao hadi watafute wavulana?...hebu dadavua zaidi...
    You don't write because you want to say something, you write because you've got something to say.

  12. The Following User Says Thank You to WomanOfSubstance For This Useful Post:

    Tripo9 (19th March 2010)

  13. #7
    JF Premium Member WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2008
    Posts
    4,364
    Thanks : 928
    Thanked 1,415 Times in 688 Posts
    Rep Power
    31

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by Lunanilo View Post
    Yaani umenjibu swali ninalonikera mara nyingi. Huwa nahuzunishwa sana na dhana ya kuwa mabinti zetu wanapendelewa na wakufunzi wa kiume au kusaidiwa na vijana wa kiume. Tunasahau kabisa kuwa walifaulu darasa la saba, la kumi na mbili na la kumi na nne bila ya mkufunzi yeyote kuwapendelea, na bila mvulana yeyote kuwasaidia; wakienda ulaya huwa wanafaulu tu bila ya upendeleo wowote. Hii tabia ya kuwadhalilisha akina dada kuwa hawajitahidi inakatisha sana tamaa. Ni watoto wetu, ni dada zetu, ni mama zetu, hebu tuwape staha.
    Kwenye red.... nimekuwa nasikia na kusoma kuhusu hili na likanikera sana.. kitu watu wanasahau... kuna akina dada ambao nao wamejaaliwa kama kina kaka... je, akina kaka dhaifu huwatafuta wawasaidie au huenda kwa wanaume wenzao?

    Kwenye blue...huko kote walibahatisha?
    You don't write because you want to say something, you write because you've got something to say.

  14. The Following User Says Thank You to WomanOfSubstance For This Useful Post:

    Lunanilo (19th March 2010)

  15. #8
    JF Premium Member Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Mar 2009
    Posts
    1,868
    Thanks : 492
    Thanked 572 Times in 381 Posts
    Rep Power
    25

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    ........Wanaume wanaolalamika kwamba wanawasaidia wadada huko vyuoni ni uzushi mtupu.
    Mtu hadi kufika chuo ni juhudi za mtu mwenyewe binafsi, iweje leo kafika chuoni asubiri msaada wa mwanaume?

    Ninavyojua mimi vyuoni kuna makundi ya discussion na vile vile watu mnaweza kusaidiana kimawazo iwe jinsia moja au tofauti. Ila kuna baadhi ya wanaume kama mlikuwa mnafanya discussion pamoja halafu akakutaka ili uwe mpenzi wake basi ukimtolea nje tu anaanza kuleta story hizi..........ohhh nilikusadia kukupa materials, mara nilikusadia kukufundisha topic hichi mara kile ilimradi tu apate kulalamika.

    Kuna wadada wengi tu vipanga kweli kweli huko vyuoni, wanawasaidia wanaume kimawazo lakini huwezi kuta hata siku moja wanalalamika. Hivyo wanaume ondoeni hii kasumba ya kulalamika hapa kwamba ulimsaidia mdada..........tenda wema uende zako usingoje shukrani.
    "The great pleasure in life is doing what people say you cannot do.":)

  16. The Following User Says Thank You to Pretty For This Useful Post:

    WomanOfSubstance (19th March 2010)

  17. #9
    JF Senior Expert Member Mlenge will become famous soon enough Mlenge will become famous soon enough Mlenge will become famous soon enough Mlenge will become famous soon enough Mlenge will become famous soon enough Mlenge will become famous soon enough Mlenge will become famous soon enough Mlenge will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Oct 2006
    Posts
    293
    Thanks : 77
    Thanked 183 Times in 77 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    What is the 'cutoff' point for admission: is it the same for both males and females? Or is there any group that is given 'affirmative action'? Why? Why not?
    Post by Mlenge F., user "Mlenge".
    © 2006 - 2010 by Mlenge F. All rights reserved.

  18. #10
    JF Senior Expert Member Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough Tripo9 will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Sep 2009
    Posts
    466
    Thanks : 140
    Thanked 114 Times in 73 Posts
    Rep Power
    21

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by WomanOfSubstance View Post
    Asante ndugu yangu.... hapo kwenye red hapooo! Kwani hao wasichana wachache ambao ni vichwa hawawezi kuwasaidia wenzao hadi watafute wavulana?...hebu dadavua zaidi...
    WoS nadhani nature yenyewe inajieleza, like charges repel, unlike charges attract. Hahaha...

    Hivi do u know how welcoming boys are?! Especially to a woman/girl in need!

    Nadhani dada utakua shahidi wangu kua wanawake kwa wanawake bwana kufuatana kwa kwa ajili ya kupeana msaada wenyewe kwa wenyewe ni ngumu sana. Ni rare kwa kweli, sijui labda nyie wenzetu mnaelewa sababu.

    Kwa kweli hii ni experience yangu wakati nasoma.
    "Smile though your heart is aching"...Me says

  19. #11
    JF Premium Member Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough Pretty will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Mar 2009
    Posts
    1,868
    Thanks : 492
    Thanked 572 Times in 381 Posts
    Rep Power
    25

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    ........Vile vile kuna tabia naona siku hizi inashamiri sana, mwanamke/mdada akiwa close tu na kiongozi wa siasa mwenye jinsia ya kiume basi mengi yanasemwa.......Ohhh anataka kupewa ubunge/uwaziri.
    mwanamke huyo huyo akipewa position nzuri kazini basi watu wanaanza kuongea haswa wanaume. Je mwanamke ni mtu wa kubebwa kila mahali? Huyu kiumbe mwanamke hastahili position za juu ofisini hadi apendelewe?
    Imefika kipindi inabidi tukubali tu kwamba mwanamke anaweza kufanya kitu kikubwa zaidi kuliko mwanaume. Kuna wanawake wana akili na wanajua kutumia akili zao kuliko wanaume.
    "The great pleasure in life is doing what people say you cannot do.":)

  20. The Following 2 Users Say Thank You to Pretty For This Useful Post:

    Fixed Point (20th March 2010), Tripo9 (19th March 2010)

  21. #12
    JF Premium Member WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2008
    Posts
    4,364
    Thanks : 928
    Thanked 1,415 Times in 688 Posts
    Rep Power
    31

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by Pretty View Post
    ........Vile vile kuna tabia naona siku hizi inashamiri sana, mwanamke/mdada akiwa close tu na kiongozi wa siasa mwenye jinsia ya kiume basi mengi yanasemwa.......Ohhh anataka kupewa ubunge/uwaziri.
    mwanamke huyo huyo akipewa position nzuri kazini basi watu wanaanza kuongea haswa wanaume. Je mwanamke ni mtu wa kubebwa kila mahali? Huyu kiumbe mwanamke hastahili position za juu ofisini hadi apendelewe?
    Imefika kipindi inabidi tukubali tu kwamba mwanamke anaweza kufanya kitu kikubwa zaidi kuliko mwanaume. Kuna wanawake wana akili na wanajua kutumia akili zao kuliko wanaume.
    Asante Pretty kwa mawazo na maneno yako mazuri...
    mimi nitaongezea na kusema kuwa.... uwezo wa mtu au kutokuwa nao ni kitu binafsi na siyo cha kiujumlajumla.... haina maana kuwa wanawake wote ni vilaza..au kuwa wanaume wote basi ni vichwa. Sote tumeshashuhudia uwezo tofauti wa hawa viumbe. Nadhani maneno haya ni sehemu ya watu kujifurahisha na kujaribu kujipa moyo kuwa jambo hili linawezekana au haliwezekana ( filosofia zaidi).Kwa wale wenye watoto nadhani watanielewa.... malezi huchangia katika kufunua au kufunika vipaji, akili, maarifa na uwezo wa watoto - wawe wa kike au wa kiume.
    Kweli wapo wenye kupenda njia za mkato mkato... huendekeza starehe zaidi ya kilichowapeleka chuoni na huweza kutumia mbinu zozote kuhakikisha wanafaulu. Haijalishi ni wanawake au wanaume. Kuna wanaume/ au vijana wa kiume hutoa hadi rushwa ya pesa ili wanunue mitihani wafaulu. Hatujazungumzia wale wenye kutegemea wasichana wenye uwezo wawatafunie ( kuchambua maswala mazito) ili wao wameze kwa kutayarisha madesa!
    Sehemu za kazi utawaona wale wababaishaji waliofaulu kimkandamkanda....hawamudu majukumu yao... ni wepesi kujipendekeza na kutafuta kupendwa na wakubwa ili wapewe nafasi - hii haijalishi mtu ni mwanamke au mwanaume.Hawa wakijikuta hawana kazi utawaonea huruma maana hupata aibu mitaani .... hawajazoea kuogelea bila boya la kuelea lol! KAAAZI KWELI KWELI!
    You don't write because you want to say something, you write because you've got something to say.

  22. The Following 2 Users Say Thank You to WomanOfSubstance For This Useful Post:

    Akili Kichwani (20th March 2010), Fixed Point (20th March 2010)

  23. #13
    JF Premium Member Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members! Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!
    Join Date
    Sun Feb 2007
    Location
    Mfaranyaki
    Posts
    14,101
    Thanks : 1,890
    Thanked 1,996 Times in 1,216 Posts
    Rep Power
    2052

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Kulikuwa na akina dada pale FoE ambapo katika jitihada zao za kujiunga katika makundi ya Wanaume ili waweze kushiriki katika discussion mbali mbali ili kufanya vizuri katika assignments na mitihani Wanaume walikuwa wanawapiga chenga kwa kuwaona ni vilaza, basi wakaamua kuwa na kundi lao wenyewe na walikuwa wanafanya vizuri kuliko Wanaume wengi. Hakuna ukweli wowote kwamba kila mwanamke aliyebahatika kufika chuoni ni kilaza wengi wana uwezo mkubwa tu wa kimasomo wa kuweza kushindana na hata Wanaume vipanga na pia kufanya vizuri kuliko Wanaume wengi.
    ~*~Life is Good~*~

  24. The Following 4 Users Say Thank You to Bubu Ataka Kusema For This Useful Post:

    cheusimangala (20th March 2010), Fixed Point (20th March 2010), Lunanilo (20th March 2010), WomanOfSubstance (19th March 2010)

  25. #14
    JF Senior Expert Member Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Feb 2010
    Location
    Sultanate
    Posts
    1,242
    Thanks : 263
    Thanked 432 Times in 294 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    i studies abroad wote tulikuwa tunasaidiana girls and boys... to be honest men can be more helpful than women sometimes wanawake wanakuwa wanaringa mapozi halafu wivu sasa ndo usiseme...
    [2:183] O you who believe, fasting is decreed for you, as it was decreed for those before you, that you may attain salvation. QURAN 2:183

  26. The Following User Says Thank You to Noname For This Useful Post:

    Tripo9 (19th March 2010)

  27. #15
    JF Premium Member WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2008
    Posts
    4,364
    Thanks : 928
    Thanked 1,415 Times in 688 Posts
    Rep Power
    31

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by Noname View Post
    i studies abroad wote tulikuwa tunasaidiana girls and boys... to be honest men can be more helpful than women sometimes wanawake wanakuwa wanaringa mapozi halafu wivu sasa ndo usiseme...
    Asante kwa mchango wako. Hapo penye red --- huo wivu unatokana na nini au inakuwaje maana kama ni kwenda abroad wote mmekwenda kivyenu vyenu....hakuna alieyembeba mwenzie....
    kusaidia au kutosaidia ni uamuzi wa mtu na kila mtu yuko huru katika hili.. nikikataa kukusaidia utasemaje nina wivu?Hapo juu nadhani BAK kasema kuna wavulana walikuwa wanawakacha wasichana kuwasaidia..ina maana hawa wakaka walikuwa wana wivu?
    ( usikwazike ndugu..nachangamsha mada ndio maana nauliza maswali haya)
    You don't write because you want to say something, you write because you've got something to say.

  28. #16
    JF Senior Expert Member Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Oct 2008
    Posts
    451
    Thanks : 7
    Thanked 49 Times in 26 Posts
    Rep Power
    22

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Ukumbi wenu leo kina Dada ,jifaraguweni mtakavyo yatoweni yaliyomo moyoni mwenu .
    Last edited by Sonara; 20th March 2010 at 12:01 AM.

  29. #17
    JF Premium Member Superman will become famous soon enough Superman will become famous soon enough Superman will become famous soon enough Superman will become famous soon enough Superman will become famous soon enough Superman will become famous soon enough Superman will become famous soon enough Superman will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Mar 2007
    Posts
    1,608
    Thanks : 260
    Thanked 426 Times in 212 Posts
    Rep Power
    27

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by WomanOfSubstance View Post
    Huu msemo kuwa " wasichana/akina dada husaidiwa na akina kaka vyuoni" unatoka wapi?
    Nijuavyo mimi kila mmoja awe msichana au mvulana hufuzu kuingia chuo baada ya kupitia mchakato.Hakuna njia ya mkato.Iweje akishafika chuoni basi akili zake hupotea hadi asaidiwe kufaulu?
    Si hivyo tu, wengine tulisikia wakati tukisoma pale mlimani kuwa akina dada wengi wanaishi style ya Mafiga Matatu:

    1. BF wa Chuo anyemsaidia Masomo na Kuhakikisha anafaulu
    2. Sugar Daddy wa Kumpatia Mahitaji yake
    3. BF wa Kweli Chaguo la Moyo wangu.

    Akikosa No. 1: Basi Lecturer ataingiwa kinamna namna . . . Sijui simulizi hizi zilitoka wapi?

  30. The Following User Says Thank You to Superman For This Useful Post:

    The Boss (20th March 2010)

  31. #18
    JF Premium Member Juma Contena will become famous soon enough Juma Contena will become famous soon enough Juma Contena will become famous soon enough Juma Contena will become famous soon enough Juma Contena will become famous soon enough Juma Contena will become famous soon enough Juma Contena will become famous soon enough Juma Contena will become famous soon enough
    Join Date
    Thu May 2009
    Posts
    819
    Thanks : 179
    Thanked 300 Times in 216 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Upande wangu mi nadhani tatizo akina dada wakiwa na akili nyingi wanakuwa wachoyo waku share vipaji vyao mara nyingi, labda kwa ma best wao tu.

    Whereby akina kaka wengi atuna utamaduni huo, na ukiwa natabia hizo si jambo la ajabu kupewa label, hivyo mara nyingi utakuta makundi ya makaka wakisoma pamoja. Since akina dada wengi ni calculative kushinda akina kaka (again my opinion) huwa hawajali who they look for to get help, lao liende. Na hii mara nyingi hu changia average students (akina dada) kuingia makundi ya makaka kwenye revision not to mention makaka huongeza bidii kwa kuwafuruhisha akina 'hawa' wakiwa na agenda zao nyingine na wao.
    Mwalimu JKN failed us miserably......

  32. #19
    Senior Member shejele will become famous soon enough shejele will become famous soon enough shejele will become famous soon enough shejele will become famous soon enough shejele will become famous soon enough shejele will become famous soon enough shejele will become famous soon enough shejele will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Aug 2008
    Posts
    71
    Thanks : 7
    Thanked 27 Times in 18 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by Juma Contena View Post
    Upande wangu mi nadhani tatizo akina dada wakiwa na akili nyingi wanakuwa wachoyo waku share vipaji vyao mara nyingi, labda kwa ma best wao tu.

    Whereby akina kaka wengi atuna utamaduni huo, na ukiwa natabia hizo si jambo la ajabu kupewa label, hivyo mara nyingi utakuta makundi ya makaka wakisoma pamoja. Since akina dada wengi ni calculative kushinda akina kaka (again my opinion) huwa hawajali who they look for to get help, lao liende. Na hii mara nyingi hu changia average students (akina dada) kuingia makundi ya makaka kwenye revision not to mention makaka huongeza bidii kwa kuwafuruhisha akina 'hawa' wakiwa na agenda zao nyingine na wao.
    Yeah nadhani ni ile kasumba ya " give and take" sasa mtu akiona mwenzie ni kupe tu anaachana nae, kama ulivyosema inawezekana wakaka wanakuwa wavumilivu kwa maana anatarget kitu kingine in reward japokuwa sio kwa kesi zote.
    Kwa kuongezea tu mi hadi nafika kidato cha sita discussion groups zangu zilikuwa ni wadada tu na walikuwa capable sanaa.
    Nilipokuwa chuo nikawa nashift wakati mwingine nadiscuss na wakaka wakati mwingine ni wadada tu na hakukuwa na tofauti sana.

  33. The Following User Says Thank You to shejele For This Useful Post:

    WomanOfSubstance (20th March 2010)

  34. #20
    JF Senior Expert Member Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough Noname will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Feb 2010
    Location
    Sultanate
    Posts
    1,242
    Thanks : 263
    Thanked 432 Times in 294 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Vyuoni huko - nani anamsaidia mwenzie?

    Quote Originally Posted by WomanOfSubstance View Post
    Asante kwa mchango wako. Hapo penye red --- huo wivu unatokana na nini au inakuwaje maana kama ni kwenda abroad wote mmekwenda kivyenu vyenu....hakuna alieyembeba mwenzie....
    kusaidia au kutosaidia ni uamuzi wa mtu na kila mtu yuko huru katika hili.. nikikataa kukusaidia utasemaje nina wivu?Hapo juu nadhani BAK kasema kuna wavulana walikuwa wanawakacha wasichana kuwasaidia..ina maana hawa wakaka walikuwa wana wivu?
    ( usikwazike ndugu..nachangamsha mada ndio maana nauliza maswali haya)
    Ndiyo ukikataa kunisaidia kwenye elimu ntakuona una wive, Unapokataa kumsaidia mwenzio kwenye elimu inakuwa una wivu manake unadhani ukimsaidia mwezio atakuwa better than u... which is not true when u help others by sharing information u only help urself to understand the subject more... .. kama huo sio wivu ndio nini sasa...

    Hata makazini watu wengine hawapendi kuwafundisha wenzao kazi kwa kuogopa watachukuliwa cheo chao... I always tell my colleagues that if you want to grow in ur career then you must teach others, otherwise u will stay in ur place forever...

    na wale wakaka hapo juu walikuwa wanawivu if not intimidated...

    hujanikwaza dada bring it on:)
    [2:183] O you who believe, fasting is decreed for you, as it was decreed for those before you, that you may attain salvation. QURAN 2:183

  35. The Following User Says Thank You to Noname For This Useful Post:

    WomanOfSubstance (20th March 2010)


 

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts