| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 641
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Haya mambo uliyoandika Shy ni ya muhimu sana sana tu. I hope TCRA wanashughulika nayo au watashughulikia baada ya kuona hapa... Ni aibu, kosa na utumvu wa nidhamu ulio mkubwa kwa wahudumu ku-disclose customer information, lakini siku hizi nasikia hapa Tanzania mtu anaweza kutoa laki moja tu na kupatiwa text messages zote zilizotumwa kwenye namba atakayo itaja.
Haya mashirika ya mawasiliano ya simu za mkononi na mengineyo husika inabidi yawe mahili, si mbali siye tutaanza kupeleka kesi kotini kuhusiana na ukiukwaji wa maadili huu. I'm sure licence zao za ku-operate mitandao ya simu zina himiza umakini hilo. SteveD.
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09. Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09. |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Bwana Steve
Habari za weekend Haya makampuni yote ni ya nje sio ya ndani naona jinsi yanavyofanya kazi na wafanyakazo wao kuna mchezo unaoendelea na inawezekana sana wale wengi walio katika nafasi hizi hawakula viapo vya utii na utunzaji wa siri ndio maana wanafanya chochote na hii inatokana na wateja wengi kutishiwa labda na hawa wafanyakazi na mambo mengine ambayo yanathulumu haki za msingi za mtanzania |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Shy umenikumbusha issue moja iliwahi kumpata mshikaji wangu.
Jamaa yangu tulikuwa nae chuo na bahati nzuri tukabahatika kufanya kazi hapo Dar. Jamaa alikuwa na demu wake toka chuo sasa ilifika mahali jamaa demu akawa anapata taarifa zote kuwa jamaa kaongea na nani na text mesege zote za msikaji demu akawaanazijua. Hii ilifanya uhusiano wao uvunjike maana demu alimpigia sister yake mshikaji na kumtuhumu kwanini anapigiwa simu sana na jamaa (Demu alihisi wanahusiano wa kimapenzi kumbe sio) Tulipofuatilia Tigo wakati huo ilijulikana kama Buzz ndio tukagundua demu anarafiki yake anafanya customer care ndie alikuwa anampa taarifa zote na hata kudivert msgs kwenda kwa simu yake. It was very sad kwasababu mfanyakazi mwenyewe nae alikuwa class mate wetu. Kuli ilituuma sana na tulitaka kuchukua hatua mhusika akatusihi sana but uhusiano wa jamaa na mpenzi wake ulivunjika. Nadhani hii inatokea kwa watu wengi sana na ni swala linalohitaji uangalizi mpya.
__________________
ONE OF THE STRONGEST WEAPONS IS DIALOGUE |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
mtoto wa mkulima
ahsante kwa mchango wako haya mambo yapo na wale ambao hayajawahi kuwakuta wanadharau mpaka yawakute , dunia ya sasa iko kama kijiji kimoja ni rahisi sana kupata taarifa za mtu anayewasiliana kwa kutumia clicks tu kama hao BUZZ walichofanya . huu ndio wakati wake wa kuwalazimisha jamaa wa tigo na mitandao mengine watunge privacy policy ya kueleweka ambayo inamlinda mteja na siri zake anavyowasiliana na wengine huko tunapoenda tunaweza kutengeneza jamii za ajabu ksama mambo haya yasipoangaliwa kwa macho 2 |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Well guys nadhani Tanzania mnajua jinsi tulivyo mabingwa wa kupindua taratibu. Nadhani hata sheria zikiwekwa au hata taratibu zikiwekwa ni vigumu saba kutekelezwa. The thing is Serikali yetu kwenye mambo ya tech bado iko mwaka 47, sidhani kama hilo wanaweza kuli-enforce. sanasana watasema tuna sheria lakini utekelezaji wake utabaki mikononi mwa hao hao wafanyakazi wa cutomer care!
Labda sanasana ni mtu kujizuia tu kufanya huo ujanja, au kama unalazimika uwe na namba za siri.Au uwe na namba 4 ambazo wengine hawazijui. |
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mbaya zaidi 'tunaoneana' haya sana, kwa mliokumbwa na experience hizi ni vyema kama mngechukua/mtachukua hatua ya kushtaki Kampuni pamoja na kudai fidia kwa uozo huu unaofanywa na wafanyakazi "mafisadi, wafitini, wadaku na wanafiki" wachache kwenye makampuni haya ya simu. Naamini kuna mawakili wataochangamkia kesi hizi za mamilioni ya chap chap, mpaka heshima kwa mteja itaporudi! Inaudhi kweli!
__________________
Powered by JamiiForums.com Copyrights reserved to JamiiForums.com.
|
|
#8
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
najua nchi zingine zinakuwa na vyama vya watumiaji wa simu na watu malalamiko yao wanapeleka hapo kwanza kisha wanaenda katika himaya zingine za mawasiliano hapa tanzania haiko hivyo ingawa kuna watumiaji zaidi ya mil 5 wa simu za mikononi
|
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
You may be right Shy, I do not think (the employees for this matter), know, by providing information to a third party is going against the company's policies/ procedures or whatever you wanna call them. I do not think employers have their employees sign confidential contract. Mimi nadhani matatizo yanafanywa na wafanyakazi zaidi ya kusema employer wanazembea.
Hii wala si wafanyakazi wa makampuni za simu pekee, siku hizi mpaka wafanyakazi wa mabenki. Nimeongea na mtu mmoja last week aliyetoka Dar few weeks ago, akanieleza kuwa mfanyakazi mmoja wa kampuni inayoshughuliki a mafao ya uzeeni, alimleteaa 'proof', yaani alitoa copy ya maelezo ya mteja na mafao yake ya uzeeni na kumwambia 'si nilikwambia' huyu mama anapata kiasi hiki cha pesa.??? Hii ni kali. Wafanyakazi wa benki, wao wanachofanya siku hizi, si unajua tena makampuni yana-direct deposit mishahara ya wafanyakazi wao, basi, hawa ndugu zetu wana-print tu the amount mtu anayopata , na kukuletea-proof. Tena for stupid reasons, utamkuta mtu anasema, aah Yule anajida tu, kwanza mshahara wake ni kiasi fulani tu. I mean this is bad. If I were working for these companies, What I would do now is have all employees sign a confidential agreement, in addition to what the company’s policies as far as privacy are concerned. Thereafter, if any employee breaches that for whatever reason, hakuna kumpa first warning wala nini, this is no discussion, it goes straight to termination. Hapa labda wata-learn. Maana in this case, they expose companies for unnecessary liabilities kwa sababu ya upuuzi upuuzi tu.
__________________
A free race cannot be born of slave mothers Mama Afrika |
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
yani umenikumbusha mbali mimi hiyo kitu imenitokea tena wiki 2 zilizopita, mimi niko kwenye mtandao wa tigo kuna mtu eti alienda tigo na akapewa print out yangu ya kuanzia sms mpaka simu nilizopiga na kupigiwa tena kapewa na BOSI mwenyewe wa hapo tigo na jina lake linaanzia na K...T mimi namjua huyo mtu lakini namtafutia nguvu ya kumfata na kumuuliza kama kweli kazi yake bado anaipenda au laa...... pia huyo mtu kaniambia ameambiwa akachukue na printout yangu ya celtel pia kula anamjua bosi mana nina simu mbili ya celtel na tigo. jamani hivi are these guys serious? hawajui ni jinsi gani imenigarimu ingawa aliekwenda kuichukua sina uhusiano nae je ingekua labda mume/mke au mchumba ......??? kama pengine ingekua ndoa si iyo ndoa ingekua matatani?????
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 11:38 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||