Eeeeh mungu nisamehe - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 9th February 2010, 02:42 PM   #1
Eeeeh mungu nisamehe
Pearl Pearl is offline 9th February 2010, 02:42 PM

Najua mm ni mtenda dhambi,tena umesema tuwasamehe na kuwaombea,kln Mungu kuna mtu ananikwaza sana Hapa Jf,kwann kila mara anakuwa tofauti na mawazo ya wenzie?Mungu najua sisi sote ni mfano wako tena umesema tutakuwa vichwa na wala si mkia,mbn yy anakuwa mkia?kwakweli sitaki hata kuchangia mawazo yake tena na wala sitaki hata kugombana nae naomba uniepushe nae maana ulisema tuikimbie dhambi hata kwa miguu yetu,nitajitahidi kumkwepa maana nisipofanya hivyo atanikwaza sana.Ameen
Je na ww anakukwaza?unafanyaje?muombee tu
__________________
Forever young!I wanna be!

 
Pearl's Avatar
Pearl
JF Senior Expert Member
Points: 267,106, Level: 100 Points: 267,106, Level: 100 Points: 267,106, Level: 100
Activity: 80% Activity: 80% Activity: 80%
Join Date: Wed Nov 2009
Location: banda la kuku
Posts: 1,637
Thanks: 947
Thanked 638 Times in 389 Posts
Views: 425
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Pearl For This Useful Post:
babukijana (9th February 2010)
  #2  
Old 9th February 2010, 02:45 PM
babukijana's Avatar
babukijana babukijana is offline
babukijana kikolo
JF Senior Expert Member
Points: 228,574, Level: 100 Points: 228,574, Level: 100 Points: 228,574, Level: 100
Activity: 50% Activity: 50% Activity: 50%
 
Join Date: Tue Jul 2009
Posts: 730
Thanks: 67
Thanked 194 Times in 136 Posts
Rep Power: 22
babukijana will become famous soon enoughbabukijana will become famous soon enoughbabukijana will become famous soon enoughbabukijana will become famous soon enoughbabukijana will become famous soon enoughbabukijana will become famous soon enoughbabukijana will become famous soon enoughbabukijana will become famous soon enough
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

Quote:
View Post
Najua mm ni mtenda dhambi,tena umesema tuwasamehe na kuwaombea,kln Mungu kuna mtu ananikwaza sana Hapa Jf,kwann kila mara anakuwa tofauti na mawazo ya wenzie?Mungu najua sisi sote ni mfano wako tena umesema tutakuwa vichwa na wala si mkia,mbn yy anakuwa mkia?kwakweli sitaki hata kuchangia mawazo yake tena na wala sitaki hata kugombana nae naomba uniepushe nae maana ulisema tuikimbie dhambi hata kwa miguu yetu,nitajitahidi kumkwepa maana nisipofanya hivyo atanikwaza sana.Ameen
Je na ww anakukwaza?unafanyaje?muombee tu
saba mara sabini ameen,lol sikujua kama we mtaalamu wa maswala haya.
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to babukijana For This Useful Post:
Pearl (9th February 2010)
  #3  
Old 9th February 2010, 02:55 PM
FirstLady1's Avatar
FirstLady1 FirstLady1 is online now
FirstLady1 mwanangu hii ndio dunia!!!
JF Premium Member
Points: 416,844, Level: 100 Points: 416,844, Level: 100 Points: 416,844, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Wed Jul 2009
Posts: 4,611
Thanks: 1,063
Thanked 1,402 Times in 935 Posts
Rep Power: 30
FirstLady1 will become famous soon enoughFirstLady1 will become famous soon enoughFirstLady1 will become famous soon enoughFirstLady1 will become famous soon enoughFirstLady1 will become famous soon enoughFirstLady1 will become famous soon enoughFirstLady1 will become famous soon enoughFirstLady1 will become famous soon enough
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

Pearl nani huyo anayekukwaza jamani? pole sana
__________________
2010 niko kikazi zaidi
X*X*X*X*X*X*X*X*X*X
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to FirstLady1 For This Useful Post:
Pearl (9th February 2010)
  #4  
Old 9th February 2010, 02:57 PM
Pearl's Avatar
Pearl Pearl is offline
Pearl has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 267,106, Level: 100 Points: 267,106, Level: 100 Points: 267,106, Level: 100
Activity: 80% Activity: 80% Activity: 80%
 
Join Date: Wed Nov 2009
Location: banda la kuku
Posts: 1,637
Thanks: 947
Thanked 638 Times in 389 Posts
Rep Power: 24
Pearl will become famous soon enoughPearl will become famous soon enoughPearl will become famous soon enoughPearl will become famous soon enoughPearl will become famous soon enoughPearl will become famous soon enoughPearl will become famous soon enoughPearl will become famous soon enough
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

My dia kutokana na hiyo sla hapo juu utamjua tu,si tuliambiwa tutawatambua kwa matendo yao?
Quote:
View Post
Pearl nani huyo anayekukwaza jamani? pole sana
__________________
Forever young!I wanna be!
Reply With Quote
  #5  
Old 9th February 2010, 02:58 PM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

Kumtaja kutasaidia ili aweze kujiangalia na kujikosoa.
__________________
Mtu mwema huacha urithi kwa wana wa wanawe.
Reply With Quote
  #6  
Old 9th February 2010, 02:58 PM
Binti Maringo Binti Maringo is offline
Binti Maringo Thinking!
JF Senior Expert Member
Points: 715,854, Level: 100 Points: 715,854, Level: 100 Points: 715,854, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Wed Jul 2007
Posts: 2,625
Thanks: 48
Thanked 172 Times in 132 Posts
Rep Power: 28
Binti Maringo will become famous soon enoughBinti Maringo will become famous soon enoughBinti Maringo will become famous soon enoughBinti Maringo will become famous soon enoughBinti Maringo will become famous soon enoughBinti Maringo will become famous soon enoughBinti Maringo will become famous soon enoughBinti Maringo will become famous soon enough
Send a message via MSN to Binti Maringo
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

Quote:
View Post
Najua mm ni mtenda dhambi,tena umesema tuwasamehe na kuwaombea,kln Mungu kuna mtu ananikwaza sana Hapa Jf,kwann kila mara anakuwa tofauti na mawazo ya wenzie?Mungu najua sisi sote ni mfano wako tena umesema tutakuwa vichwa na wala si mkia,mbn yy anakuwa mkia?kwakweli sitaki hata kuchangia mawazo yake tena na wala sitaki hata kugombana nae naomba uniepushe nae maana ulisema tuikimbie dhambi hata kwa miguu yetu,nitajitahidi kumkwepa maana nisipofanya hivyo atanikwaza sana.Ameen
Je na ww anakukwaza?unafanyaje?muombee tu

As a christian you have to remember where we came from so that we can understand where people are today. So don’t have the attitude that you don’t like kuchangia mawazo yake tena you as a christian na unajua kuwa hukuwa perfect at time i would suggest you Help that person. Be honest with him/her. Help him/her become better. This is your job as a Christian.
__________________
Nothing shall delay my miracles!...
Reply With Quote
The Following 4 Users Say Thank You to Binti Maringo For This Useful Post:
Akili Kichwani (9th February 2010), bht (9th February 2010), Kaizer (9th February 2010), Pearl (9th February 2010)
  #7  
Old 9th February 2010, 02:58 PM
Mama 5J's's Avatar
Mama 5J's Mama 5J's is offline
Mama 5J's is a mama of J's
JF Senior Expert Member
Points: 93,227, Level: 100 Points: 93,227, Level: 100 Points: 93,227, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Fri Jul 2008
Posts: 951
Thanks: 106
Thanked 113 Times in 84 Posts
Rep Power: 23
Mama 5J's will become famous soon enoughMama 5J's will become famous soon enoughMama 5J's will become famous soon enoughMama 5J's will become famous soon enoughMama 5J's will become famous soon enoughMama 5J's will become famous soon enoughMama 5J's will become famous soon enoughMama 5J's will become famous soon enough
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

Quote:
View Post
Najua mm ni mtenda dhambi,tena umesema tuwasamehe na kuwaombea,kln Mungu kuna mtu ananikwaza sana Hapa Jf,kwann kila mara anakuwa tofauti na mawazo ya wenzie?Mungu najua sisi sote ni mfano wako tena umesema tutakuwa vichwa na wala si mkia,mbn yy anakuwa mkia?kwakweli sitaki hata kuchangia mawazo yake tena na wala sitaki hata kugombana nae naomba uniepushe nae maana ulisema tuikimbie dhambi hata kwa miguu yetu,nitajitahidi kumkwepa maana nisipofanya hivyo atanikwaza sana.Ameen
Je na ww anakukwaza?unafanyaje?muombee tu
He JF kuna mambo,.MY DEAR JIFUNZE KUAGREE TO DISAGREE mara nyingine tunamsumbua tu MUNGU kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wetu.
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Mama 5J's For This Useful Post:
bht (9th February 2010), Pearl (9th February 2010)
  #8  
Old 9th February 2010, 03:00 PM
bht bht is offline
bht I am counting my blessings!
JF Premium Member
Points: 182,139, Level: 100 Points: 182,139, Level: 100 Points: 182,139, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Thu May 2009
Posts: 4,627
Thanks: 1,445
Thanked 1,710 Times in 1,296 Posts
Rep Power: 30
bht will become famous soon enoughbht will become famous soon enoughbht will become famous soon enoughbht will become famous soon enoughbht will become famous soon enoughbht will become famous soon enoughbht will become famous soon enoughbht will become famous soon enough
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

Quote:
View Post
My dia kutokana na hiyo sla hapo juu utamjua tu,si tuliambiwa tutawatambua kwa matendo yao?
I guess ni kaka Akili Kichwani!!!! twin correct me if am wrong....
__________________
You dont have to win every Argument, Agree to Disagree
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to bht For This Useful Post:
Nanu (9th February 2010), Pearl (9th February 2010)
  #9  
Old 9th February 2010, 03:03 PM
Bujibuji's Avatar
Bujibuji Bujibuji is online now
Bujibuji NABII
JF Senior Expert Member
Points: 663,551, Level: 100 Points: 663,551, Level: 100 Points: 663,551, Level: 100
Activity: 29% Activity: 29% Activity: 29%
 
Join Date: Wed Feb 2009
Location: NYUMBANI PANONO
Posts: 1,709
Thanks: 175
Thanked 492 Times in 293 Posts
Rep Power: 25
Bujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enough
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

Dogo challenges ni kitu cha kawaida kabisa..
maudhi na yale yote tulisiyapenda yatukute ni challenges ambazo inabidi tuzikabili.
Jaribisha Furahia maudhi yake...
hakika atajiona hastahili kukufanyia ubaya anao kufanyia na mtakuwa sawa kabisa.
__________________
KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Bujibuji For This Useful Post:
Pearl (9th February 2010)
  #10  
Old 9th February 2010, 03:04 PM
Nanu Nanu is online now
Nanu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 76,088, Level: 100 Points: 76,088, Level: 100 Points: 76,088, Level: 100
Activity: 17% Activity: 17% Activity: 17%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 540
Thanks: 72
Thanked 160 Times in 113 Posts
Rep Power: 22
Nanu will become famous soon enoughNanu will become famous soon enoughNanu will become famous soon enoughNanu will become famous soon enoughNanu will become famous soon enoughNanu will become famous soon enoughNanu will become famous soon enoughNanu will become famous soon enough
Default Re: Eeeeh mungu nisamehe

May be!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mmmh I don't know!!!!!!!!!!! Can be someone else!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
__________________
nanu
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Nanu For This Useful Post:
Pearl (9th February 2010)
Reply

Bookmarks

Tags
eeeeh, mungu, nisamehe


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:45 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com