Kuna nyeti imenifikia nikaona si vema kukaa kimya. Nia si kuwaharibia move (najua hawatabadili mawazo) lakini kutaka kujua kutoka kwenu wakuu.
Nyeti yenyewe iko hivi; Muhingo anaweza kuanza kazi rasmi TSN wakati wowote kuanzia sasa. Mipango inakamilishwa. Hivi ndio kulipwa fadhila au????

Reply With Quote


Follow Us Here