Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Muhingo Rweyemamu kulipwa fadhila?

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Ex Spy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th January 2007
      Posts : 88
      Rep Power : 662
      Likes Received
      106
      Likes Given
      24

      Default Muhingo Rweyemamu kulipwa fadhila?

      Kuna nyeti imenifikia nikaona si vema kukaa kimya. Nia si kuwaharibia move (najua hawatabadili mawazo) lakini kutaka kujua kutoka kwenu wakuu.

      Nyeti yenyewe iko hivi; Muhingo anaweza kuanza kazi rasmi TSN wakati wowote kuanzia sasa. Mipango inakamilishwa. Hivi ndio kulipwa fadhila au????


    2. #2
      pombe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd February 2010
      Posts : 12
      Rep Power : 478
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Muhingo Rweyemamu kulipwa fadhila?

      Kwa nini isiwezekane mkuu. Kama iliwezekana kwa Salva Rweyemamu why not Mhingo? Ndio anakuwa ME AU?

    3. #3
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,652
      Rep Power : 4020
      Likes Received
      2942
      Likes Given
      5067

      Default Re: Muhingo Rweyemamu kulipwa fadhila?

      Kama ana qualify kufanya kazi TSN why not?
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    4. #4
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6195
      Likes Given
      22546

      Default Re: Muhingo Rweyemamu kulipwa fadhila?

      Alikokuwa ni gazetini na anakokwenda ni gazetini, hakuna fadhila zozote ni kazi tuu.

      Muhingo kama Muhingo, ameshajijengea sifa ya msimamo na heshima yake katika tasnia ya habari, iwe ni katika kumtumikia papa, nyangumi au kafiri, ili mradi upate mradi wako.

      Ni kweli TSN inatafuta ME kwa muda mrefu, calibre ya Muhingo kwa ME wa TSN ni bado. Kama Mkumbwa amemfundisha kazi Muhingo, shule zenyewe za enzi zile za TSJ, Mkumbwa kashindwa kupewa itakuwa Mhingo!.

      Kwa vile jahazi za Habari corp linayumba yumba, kuna hatari ya kuzama, nahodha makini ni yule anaye toa alert kwa abiria kuhusu hatari iliyo mbele yao, na kutia nanga pwani yoyote ya karibu kuepuka tufani, ndicho alichofanya Muhingo, its a right move.

      Habari Corp ni jahazi dogo, TSN ni chombo kikubwa, imara na hakiwezi zama, hivyo capt wa jahazi dogo hawezi panda chombo kikubwa na kuanzia u-captain, lazima ataanzia 2nd Off, then 1st Off ndipo afikiriwe u-capt.

      Kama ni kweli, all the best kwa Muhingo.

    Similar Topics

    1. Muhingo Rweyemamu on Amina's Death
      By Ibrah in forum Celebrities Forum
      Replies: 353
      Last Post: 19th March 2011, 14:10
    2. Tetesi: Manji aanzisha QUALITY MEDIA GROUP na kumchukua MUHINGO kuendesha!
      By M-bongo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 37
      Last Post: 17th November 2010, 17:27
    3. REVEALED: Muhingo Rweyemamu aligushi jina na kujiita Paji Mihami!
      By OgwaluMapesa in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 32
      Last Post: 27th August 2010, 17:21
    4. Waandishi kwenye msafara wa JK walia njaa,Muhingo awanyima fedha
      By Rutunga M in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 3
      Last Post: 25th August 2010, 17:12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...