Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 81
    1. #1
      NGULI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2008
      Location : HOME
      Posts : 4,441
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      214
      Likes Given
      1

      Default Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Niko kijijini kwetu kwa vacation nilikuwa sijafika kwa miaka 2 nimefurahi kukuta maendeleo ambayo ni mazuri kwa mfano barabara ina kiwango cha lami hadi karibu na mpakani.

      Ila kilichonishangaza ni hizi nyumba za kifahari kali kuliko hata baadhi ya nyumba za maeneo ya masaki na O'bay ambazo hazina wapangaji wala mtu anayeishi, unakuta nyingi zina babu na bibi ambao wanafanya usafi na kuitunza. Kwa mtazamo wangu tungejenga rum 2/3 kwa ajili ya siku kuu za xsmas na mwaka mpya na hizo hela zikafanya mambo mengine. najua huku kuna mashule na hospital basi tusaidie wengine/wa eneo tofauti. Baadhi ya hizi nyumba zingekuwa zinabebeka zingekuwa dispensary maeneo mengine au hata hospitali za rufaa.

      Hapa kijijini kwetu raha kweli ukiwa padre unaheshimika kuliko hata waziri wala mmbunge. Ukisoma seminary ukaacha unaweza pewa radhi na bibi yako...huku padre anaitwa mopiaa....raha kweli.

      Kuna makanisa yenye kengele ambazo ingekuwa dar ikipigwa ule mchana kwa mfano st. Peters wangesikia hadi bagamoyo. Ikipigwa hata kama mtu anakunywa/ria pombe ya mbege anaacha na kusali sala ya malaika/anjelusi hata kama amelewa ulevi unakata then unarudi upya baada ya sala.

      Kijijini kwetu kweli raha bado mambo ya ndizi na matunda.



      Kilichonishangaza zaidi ni kuwa makao makuu ya mkoa kuna gym 1 tena ina masharti magumu sana kuweza kufaidi huduma hio. Zilizokuwepo zote zimefungwa na sijapata sababu ya msingi ila nahisi ni demand kuwa ndogo.

      Je kijijini kwako?
      Some sweet hearts are bitter than chloroquine packed in a sweet paper

    2. Miaka 50

    3. #41
      sidhani's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 6th February 2010
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Good Morning wananchi !


      May be good evening....

      I just joined this interesting forum. Those who have information about Khat, miraa, mirungi PLEASE SHARE WITH ME.

      Hivi khat ndio mirungi. Nataka kujua kama wanawake wengi kiasi wanatumia, ama ni jamii gani hasa hupendelea hii kitu.

      SUALA LA kHAT LIMENIVUTIA!. kama una information yoyote email me at [email protected] nafaya research ya hii kitu kwa afya ya wanawake.

      I believe it is still not banned in TZ kwa hiyo hutumika kihalali.

    4. #42
      sidhani's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 6th February 2010
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Aisee Huko kwenu kuna raha! ni vijiji vichache vilivyo kuwa kama hicho vingi sasa vimeshaharibika.

    5. #43
      Gangi Longa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2010
      Posts : 158
      Rep Power : 503
      Likes Received
      23
      Likes Given
      29

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By Fugwe
      NGULI,

      nimekupa. Maendeleo unayoyasifia kijijini kwenu ambayo ukiangalia kwa mamakini ni tofauti na katika maeneo mengine, hayo ni matokeo ya mfumo usio sawa (imbalance system) wa kugawa pato la taifa, kwa maana kwamba maeneo fulani fulani hasa maeneo unakotoka wamekuwa wakijipendelea sana kuliko maeneo mengine.Angalia unazungumzia bara bara za lami kijijini, nyumba za kifahari na umeme mapaka umewekwa kwenye miti, wakati mikoa kama Kigoma hakuna umeme wa grid, barabara ya lami ni moja iliyopo mjini tena mbovu sana imejaa mashimo, hakuna wenye uwezo wa kujenga nyumba zisizotumika vijijini. Hapa tunaona matokeo ya akina Basil Mramba, Waziri Mkuu wa zamani Msuya kupendelea mikoa wanayotoka na kusahau kabisa mikoa mingine kwa sasa ninyi mlioendelea mnaiita mikoa ya pembezoni.

      Kulikokujisifia namna hiyo ebu piga kelele na mikoa mingine ipewe mgawo uliosawa na huo unaopelekwa kwenue ili wote kwa pamoja tusifie vijiji vyetu kama ulivyosifia vya kwenue. MUNGU IBARIKI MIKOA YA PEMBEZONI NAYO IKUMBUKWE KIMAENDELEO
      Kigoma barabara, uwanja wa Ndege, Umeme toka Burundi, HEP na daraja kubwa katika Mto Malagarasi vinajengwa, unajua kwanini? kwa vile wamepigia kura upinzani yaani Chadema na CCM wanataka kurudisha jimbo na kulinda yaliyo chini yao! kwa hiyo imewabidi wapeleke huduma muhimu! Kuhusu kwa huyu jamaa ukiacha Upareni na suala la Msuya majimbo yaliyobaki yanapata maendeleo kwa vile huwa rebellion kwa CCM kama unakumbuka Mkapa aliweka kambi kubwa sana kugomboa majimbo ya Kilimanjaro na ahadi kemkem ikiwa na barabara za huyu baba anazojinadi zao! Hata huko Pemba barabara zinajengwa asikwambie mtu umeme ndo huo unakatiza bahari, airport ndo kama hivyo, mpk bandari wamejengewa na kituo cha redio cha kisasa ukiacha zahanati! Kwa hiyo ili na kwenu kujengwe pigia upinzani baba pigia CUF au Chadema haki ya Mungu next uchaguzi CCM watakuja na ahadi lukuki na mtasaini makubaliano! Amka kaka hamna cha kupendelewa huko Kilimanjaro wangekuwa na senior positions kwenye serikali ungesema hivyo the highest position waliyowahi kuwa nayo ni hiyo ya Waziri wa Fedha Mramba kwa kipindi kimoja tu!
      Last edited by Gangi Longa; 6th February 2010 at 21:44.

    6. #44
      NGULI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2008
      Location : HOME
      Posts : 4,441
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      214
      Likes Given
      1

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By sidhani
      Good Morning wananchi !


      May be good evening....

      I just joined this interesting forum. Those who have information about Khat, miraa, mirungi PLEASE SHARE WITH ME.

      Hivi khat ndio mirungi. Nataka kujua kama wanawake wengi kiasi wanatumia, ama ni jamii gani hasa hupendelea hii kitu.

      SUALA LA kHAT LIMENIVUTIA!. kama una information yoyote email me at [email protected] nafaya research ya hii kitu kwa afya ya wanawake.

      I believe it is still not banned in TZ kwa hiyo hutumika kihalali.

      Wewe unatakiwa upewe ban hadi kwenye server kabisa. HII NI OFF THREAD.
      Some sweet hearts are bitter than chloroquine packed in a sweet paper

    7. #45
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,113
      Rep Power : 19194
      Likes Received
      8048
      Likes Given
      26489

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Mim kijini kwangu ni Tandale Uwanja wa Fisi kuna kila ktu unachokihitaji kwa Binadamu Starehe ,Ukabaji,Wizi na kila jambo baya lipo hapo karibuni washikaji kijijini kwangu hata Serikali inaogopa kututembelea hapo kijini kwetu raha tupu mnakaribishwa wana JF wenzangu Karibuni wote Wabongo.

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      Fugwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Tabata Dampo
      Posts : 847
      Rep Power : 717
      Likes Received
      95
      Likes Given
      43

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By Nguli
      nimekupa.

      Mazee hapa umenipa nini?

      Maendeleo unayoyasifia kijijini kwenu ambayo ukiangalia kwa mamakini ni tofauti na katika maeneo mengine, hayo ni matokeo ya mfumo usio sawa (imbalance system) wa kugawa pato la taifa, kwa maana kwamba maeneo fulani fulani hasa maeneo unakotoka wamekuwa wakijipendelea sana kuliko maeneo mengine.
      Msuya kupendelea mikoa wanayotoka na kusahau kabisa mikoa mingine kwa sasa ninyi mlioendelea mnaiita mikoa ya pembezoni.

      Tunajipendelea na nini? soma historia ya nchi vizuri...kwa hio hata wakoloni walitupendelea?? na kama ndio kwa nini?? Je mikoa yenu haina viongozi? kama wapo kazi yao ni nini? mbona wasipendelee kama wetu unavyodai wanatupendelea?

      Kulikokujisifia namna hiyo ebu piga kelele na mikoa mingine ipewe mgawo uliosawa na huo unaopelekwa kwenue ili wote kwa pamoja tusifie vijiji vyetu kama ulivyosifia vya kwenue.

      Kwa taarifa yako kuna maeneo huku kijijini kwetu yamewekwa lami na watu binafsi na hawakuisubiri serikali.


      MUNGU IBARIKI MIKOA YA PEMBEZONI NAYO IKUMBUKWE KIMAENDELEO

      Mungu ameshabariki siku nyingi hapa nahisi anakushangaa na hio statement watu wafanye kazi kwa bidii watunze mazingira ..kwa mafano kijijini kwetu ni kosa kukata miti ila unaruhusiwa kupanda miti, kumegeuka msitu, ikifika jumamosi kuna kitu kinaitwa msarakambo lazma wote mwaamke saa 12 am mkasafishe vyanzo vya maji au kuchimba barabara na usiposhiriki wanakuja kuchukua mbuzi 1 wanauza wanamlipa kibarua anafanya ile kazi yako. Je kwenu hilo lipo??

      Mkuu umenena kidogo,
      Historia ya nchi naijua. Mkoloni kweli aliegemea maeneo yenu nadhani ni hali ya hewa. *Mengine ya kujenga shule, vituo vya mission ambavyo ni chachu ya maendeleo nakubali kabisa. Lakini Mkoloni hakupenda tu maeneo yenu, tuangalie Mikoa ya kusini hasa Ruvuma, mkoloni aliyapenda na akajenga vituo vya missio vikubwa tu (peramiho) lakini maendeleo ya mikoa hiyo hayalingani kamwe na maeneo yenu. Nachelea kusema kuwa, uwepo wa viongozi wengi wa serikali kutoka maeneo ya kaskazini hasa kwenye wizara nyeti kama fedha na ngazi kubwa (uwaziri mkuu) angalia hata sasa TRA kumeweza kubadili hali ya mambo. Sisemei lingine, ni kuipa kipaumbele mikoa ya kaskazini na kuisahau mikoa mingine (Angalia vitega uchumi vya serikali katika mikoa hiyo).

      Suala la kwa nini viongozi wetu hawajali kwao, hapo sikubaliani na wewe, viongozi wetu waliopo wachache na kwenye maeneo yasiyo kuwa nyeti wanajali kwao. Kumbuka Bungeni kulizuka zogo, baada ya Basil Mramba akiwa waziri wa miundo mbinu kutenga fedha za kujenga barabara ya Tarakea ambayo haikuwa kwenye orodha ya barabara za kujengwa na kuinyima barabara ya Itigi-Tabora-kigoma ambayo ndiyo ilikuwa kipaumbele (alaniwe Mramba)

      Kutoka kwenye maelezo yako sasa, nachukua juhudi binafsi za wananchi za kujiletea maendeleo bila kusubiri serikali hapo umenena, hasa utunzaji wa mazingira kupitia kauli mbiu ya Msarakambo (Lakini isiwe inafadhiliwa na mafisadi wa maeneo hayo). Mkakati huu nadhani ndio utatuokoa kuliko kutegemea fedha za serikali tu ambazo wenye kutoa maamuzi wana akili kama ya Mramba

      Bado nasemA MUNGU, ibariki mikoa ya pembezoni ikumbukwe kama mikoa mingine
      A Quick Temper Will Make a Fool of You Soon Enough. '' BRUCE LEE''

    10. #47
      Sipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2008
      Location : SIPAJUI
      Posts : 2,167
      Rep Power : 985
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By MziziMkavu
      Mim kijini kwangu ni Tandale Uwanja wa Fisi kuna kila ktu unachokihitaji kwa Binadamu Starehe ,Ukabaji,Wizi na kila jambo baya lipo hapo karibuni washikaji kijijini kwangu hata Serikali inaogopa kututembelea hapo kijini kwetu raha tupu mnakaribishwa wana JF wenzangu Karibuni wote Wabongo.
      hata avatar yako inaprove maneno yako
      "Ficha Upumbavu wako, husifiche hekima yako'' Invisible

    11. #48
      Sipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2008
      Location : SIPAJUI
      Posts : 2,167
      Rep Power : 985
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By Nguli
      Wewe toa za kijijini kwako kwanza. Nini kinajiri huko???
      Kijijini kwetu hakuna mafisadi,
      "Ficha Upumbavu wako, husifiche hekima yako'' Invisible

    12. #49
      Lady N's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2009
      Location : Dar es salam
      Posts : 1,899
      Rep Power : 864
      Likes Received
      96
      Likes Given
      84

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Mkuu, umenikumbusha mbaliiii!

      Niko kijijini kwetu kwa vacation nilikuwa sijafika kwa miaka 2 nimefurahi kukuta maendeleo ambayo ni mazuri kwa mfano barabara ina kiwango cha lami hadi karibu na mpakani.

      me nina miaka 3 sijaenda sipati picha pakoje kwangu kwa sasa, sijui hiyo barabara ya kutoka marangu kwenda rombo imefikia wapi?

      Ila kilichonishangaza ni hizi nyumba za kifahari kali kuliko hata baadhi ya nyumba za maeneo ya masaki na O'bay ambazo hazina wapangaji wala mtu anayeishi, unakuta nyingi zina babu na bibi ambao wanafanya usafi na kuitunza. Kwa mtazamo wangu tungejenga rum 2/3 kwa ajili ya siku kuu za xsmas na mwaka mpya na hizo hela zikafanya mambo mengine. najua huku kuna mashule na hospital basi tusaidie wengine/wa eneo tofauti. Baadhi ya hizi nyumba zingekuwa zinabebeka zingekuwa dispensary maeneo mengine au hata hospitali za rufaa.

      kwetu tangu 2001 mambo yalikuwa hivi, yani kosoka iho mrarunyi koambiya numba tso chandu tsiwaka lee, leka tupu.

      Hapa kijijini kwetu raha kweli ukiwa padre unaheshimika kuliko hata waziri wala mmbunge. Ukisoma seminary ukaacha unaweza pewa radhi na bibi yako...huku padre anaitwa mopiaa....raha kweli.

      hapo nilipobold nimecheka kweli kweli, umenikumbusha mbali sana

      Kuna makanisa yenye kengele ambazo ingekuwa dar ikipigwa ule mchana kwa mfano st. Peters wangesikia hadi bagamoyo. Ikipigwa hata kama mtu anakunywa/ria pombe ya mbege anaacha na kusali sala ya malaika/anjelusi hata kama amelewa ulevi unakata then unarudi upya baada ya sala.

      hapo me mwenyewe shahidi mkuu

      Kijijini kwetu kweli raha bado mambo ya ndizi na matunda.

      cha, iye koooo!!!!!!!!!!

      Kilichonishangaza zaidi ni kuwa makao makuu ya mkoa kuna gym 1 tena ina masharti magumu sana kuweza kufaidi huduma hio. Zilizokuwepo zote zimefungwa na sijapata sababu ya msingi ila nahisi ni demand kuwa ndogo.

      suprised tooo..?!

      Je kijijini kwako?

      pamoja na kwamba nimetoka huko long, hakuna tofauti sana na kwenu mkuu, au tunatoka kijiji kimoja?
      "BUSINESS FOR FRIENDSHIP IS BETTER THAN FRIENDSHIP FOR BUSINESS"

    13. #50
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,727
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7176
      Likes Given
      6842

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By sidhani
      Good Morning wananchi !


      May be good evening....

      I just joined this interesting forum. Those who have information about Khat, miraa, mirungi PLEASE SHARE WITH ME.

      Hivi khat ndio mirungi. Nataka kujua kama wanawake wengi kiasi wanatumia, ama ni jamii gani hasa hupendelea hii kitu.

      SUALA LA kHAT LIMENIVUTIA!. kama una information yoyote email me at [email protected] nafaya research ya hii kitu kwa afya ya wanawake.

      I believe it is still not banned in TZ kwa hiyo hutumika kihalali.
      wewe kwa nini umetaka kujua habari za Khat? anyway kukufahamisha ni kuwa khat, mirungi,miraa ni kitu kimoja tofauti ya majina inategemea ni wapi. Somalia ndio hasa chimbuko kuu na kule ndio inaitwa khat, Kenya wanaiiita miraa, TZ ndio inaitwa mirungi. Hapa TZ ni marufuku kufanya biashara ya mirungi, so usifikiri utapata soko kama ndio biashara unayotegemea kufanya. itakulipa zaidi ukiifanyia Somalia wateja ni wengi kule na pia wanawake wa kisomali wanatumia, kuhusu kuipenda hatujawauliza kwa sababu wanawake wa kitanzania hawatumii......nadhani umeridhika
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    14. #51
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,727
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7176
      Likes Given
      6842

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By NPL
      Mkuu, umenikumbusha mbaliiii!

      Niko kijijini kwetu kwa vacation nilikuwa sijafika kwa miaka 2 nimefurahi kukuta maendeleo ambayo ni mazuri kwa mfano barabara ina kiwango cha lami hadi karibu na mpakani.

      me nina miaka 3 sijaenda sipati picha pakoje kwangu kwa sasa, sijui hiyo barabara ya kutoka marangu kwenda rombo imefikia wapi?

      Ila kilichonishangaza ni hizi nyumba za kifahari kali kuliko hata baadhi ya nyumba za maeneo ya masaki na O'bay ambazo hazina wapangaji wala mtu anayeishi, unakuta nyingi zina babu na bibi ambao wanafanya usafi na kuitunza. Kwa mtazamo wangu tungejenga rum 2/3 kwa ajili ya siku kuu za xsmas na mwaka mpya na hizo hela zikafanya mambo mengine. najua huku kuna mashule na hospital basi tusaidie wengine/wa eneo tofauti. Baadhi ya hizi nyumba zingekuwa zinabebeka zingekuwa dispensary maeneo mengine au hata hospitali za rufaa.

      kwetu tangu 2001 mambo yalikuwa hivi, yani kosoka iho mrarunyi koambiya numba tso chandu tsiwaka lee, leka tupu.

      Hapa kijijini kwetu raha kweli ukiwa padre unaheshimika kuliko hata waziri wala mmbunge. Ukisoma seminary ukaacha unaweza pewa radhi na bibi yako...huku padre anaitwa mopiaa....raha kweli.

      hapo nilipobold nimecheka kweli kweli, umenikumbusha mbali sana

      Kuna makanisa yenye kengele ambazo ingekuwa dar ikipigwa ule mchana kwa mfano st. Peters wangesikia hadi bagamoyo. Ikipigwa hata kama mtu anakunywa/ria pombe ya mbege anaacha na kusali sala ya malaika/anjelusi hata kama amelewa ulevi unakata then unarudi upya baada ya sala.

      hapo me mwenyewe shahidi mkuu

      Kijijini kwetu kweli raha bado mambo ya ndizi na matunda.

      cha, iye koooo!!!!!!!!!!

      Kilichonishangaza zaidi ni kuwa makao makuu ya mkoa kuna gym 1 tena ina masharti magumu sana kuweza kufaidi huduma hio. Zilizokuwepo zote zimefungwa na sijapata sababu ya msingi ila nahisi ni demand kuwa ndogo.

      suprised tooo..?!

      Je kijijini kwako?

      pamoja na kwamba nimetoka huko long, hakuna tofauti sana na kwenu mkuu, au tunatoka kijiji kimoja?

      koose kukeri kuro..chaa kui cha mochi lanye....wechirera sana lakinyi mochi koendelea iwa wuye.....viva Kipoo, viva kimawenze, viva mochi
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    15. #52
      NGULI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2008
      Location : HOME
      Posts : 4,441
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      214
      Likes Given
      1

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By Fugwe
      Mkuu umenena kidogo,
      Historia ya nchi naijua. Mkoloni kweli aliegemea maeneo yenu nadhani ni hali ya hewa. *Mengine ya kujenga shule, vituo vya mission ambavyo ni chachu ya maendeleo nakubali kabisa. Lakini Mkoloni hakupenda tu maeneo yenu, tuangalie Mikoa ya kusini hasa Ruvuma, mkoloni aliyapenda na akajenga vituo vya missio vikubwa tu (peramiho) lakini maendeleo ya mikoa hiyo hayalingani kamwe na maeneo yenu. Nachelea kusema kuwa, uwepo wa viongozi wengi wa serikali kutoka maeneo ya kaskazini hasa kwenye wizara nyeti kama fedha na ngazi kubwa (uwaziri mkuu) angalia hata sasa TRA kumeweza kubadili hali ya mambo. Sisemei lingine, ni kuipa kipaumbele mikoa ya kaskazini na kuisahau mikoa mingine (Angalia vitega uchumi vya serikali katika mikoa hiyo).

      Suala la kwa nini viongozi wetu hawajali kwao, hapo sikubaliani na wewe, viongozi wetu waliopo wachache na kwenye maeneo yasiyo kuwa nyeti wanajali kwao. Kumbuka Bungeni kulizuka zogo, baada ya Basil Mramba akiwa waziri wa miundo mbinu kutenga fedha za kujenga barabara ya Tarakea ambayo haikuwa kwenye orodha ya barabara za kujengwa na kuinyima barabara ya Itigi-Tabora-kigoma ambayo ndiyo ilikuwa kipaumbele (alaniwe Mramba)

      Kutoka kwenye maelezo yako sasa, nachukua juhudi binafsi za wananchi za kujiletea maendeleo bila kusubiri serikali hapo umenena, hasa utunzaji wa mazingira kupitia kauli mbiu ya Msarakambo (Lakini isiwe inafadhiliwa na mafisadi wa maeneo hayo). Mkakati huu nadhani ndio utatuokoa kuliko kutegemea fedha za serikali tu ambazo wenye kutoa maamuzi wana akili kama ya Mramba

      Msarakambo ni njia ya jadi ilikuwa inatumika siku nyingi kabla hata ya kuja wakoloni na bado ipo.

      Bado nasemA MUNGU, ibariki mikoa ya pembezoni ikumbukwe kama mikoa mingine
      Bolded Black-Kumbuka pia kuna vivutio vya utalii kama Mlima kilimanjaro,Mbuga za wanyama na Ngorongoro creta (iko ktk maajabu 8 ya dunia)

      Quote By Sipo
      Kijijini kwetu hakuna mafisadi,
      Hata kwetu hakuna mafisadi na ukiangalia mtiririko utaona niliangalia vitu vinavyochekesha nakusifia pale panakostahili.

      Quote By NPL
      Mkuu, umenikumbusha mbaliiii!

      Pamoja mkuu wewe unaweza kuwa home boy/girl prodactizo

      Niko kijijini kwetu kwa vacation nilikuwa sijafika kwa miaka 2 nimefurahi kukuta maendeleo ambayo ni mazuri kwa mfano barabara ina kiwango cha lami hadi karibu na mpakani.

      me nina miaka 3 sijaenda sipati picha pakoje kwangu kwa sasa, sijui hiyo barabara ya kutoka marangu kwenda rombo imefikia wapi?

      Ila kilichonishangaza ni hizi nyumba za kifahari kali kuliko hata baadhi ya nyumba za maeneo ya masaki na O'bay ambazo hazina wapangaji wala mtu anayeishi, unakuta nyingi zina babu na bibi ambao wanafanya usafi na kuitunza. Kwa mtazamo wangu tungejenga rum 2/3 kwa ajili ya siku kuu za xsmas na mwaka mpya na hizo hela zikafanya mambo mengine. najua huku kuna mashule na hospital basi tusaidie wengine/wa eneo tofauti. Baadhi ya hizi nyumba zingekuwa zinabebeka zingekuwa dispensary maeneo mengine au hata hospitali za rufaa.

      kwetu tangu 2001 mambo yalikuwa hivi, yani kosoka iho mrarunyi koambiya numba tso chandu tsiwaka lee, leka tupu.

      Hapa kijijini kwetu raha kweli ukiwa padre unaheshimika kuliko hata waziri wala mmbunge. Ukisoma seminary ukaacha unaweza pewa radhi na bibi yako...huku padre anaitwa mopiaa....raha kweli.

      hapo nilipobold nimecheka kweli kweli, umenikumbusha mbali sana

      Kuna makanisa yenye kengele ambazo ingekuwa dar ikipigwa ule mchana kwa mfano st. Peters wangesikia hadi bagamoyo. Ikipigwa hata kama mtu anakunywa/ria pombe ya mbege anaacha na kusali sala ya malaika/anjelusi hata kama amelewa ulevi unakata then unarudi upya baada ya sala.

      hapo me mwenyewe shahidi mkuu

      Kijijini kwetu kweli raha bado mambo ya ndizi na matunda.

      cha, iye koooo!!!!!!!!!!

      Kilichonishangaza zaidi ni kuwa makao makuu ya mkoa kuna gym 1 tena ina masharti magumu sana kuweza kufaidi huduma hio. Zilizokuwepo zote zimefungwa na sijapata sababu ya msingi ila nahisi ni demand kuwa ndogo.

      suprised tooo..?!

      Je kijijini kwako?

      pamoja na kwamba nimetoka huko long, hakuna tofauti sana na kwenu mkuu, au tunatoka kijiji kimoja?
      Inawezekana ukawa ndugu yangu wewe siunajua majina yetu huku ni ya bandia??
      Some sweet hearts are bitter than chloroquine packed in a sweet paper

    16. #53
      Sipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2008
      Location : SIPAJUI
      Posts : 2,167
      Rep Power : 985
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Nguli na NPL kijiji chenu kimenipa changamoto kubwa sana kuhusu kijiji chetu
      "Ficha Upumbavu wako, husifiche hekima yako'' Invisible

    17. #54
      Gangi Longa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2010
      Posts : 158
      Rep Power : 503
      Likes Received
      23
      Likes Given
      29

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By Fugwe
      Mkuu umenena kidogo,
      Historia ya nchi naijua. Mkoloni kweli aliegemea maeneo yenu nadhani ni hali ya hewa. *Mengine ya kujenga shule, vituo vya mission ambavyo ni chachu ya maendeleo nakubali kabisa. Lakini Mkoloni hakupenda tu maeneo yenu, tuangalie Mikoa ya kusini hasa Ruvuma, mkoloni aliyapenda na akajenga vituo vya missio vikubwa tu (peramiho) lakini maendeleo ya mikoa hiyo hayalingani kamwe na maeneo yenu. Nachelea kusema kuwa, uwepo wa viongozi wengi wa serikali kutoka maeneo ya kaskazini hasa kwenye wizara nyeti kama fedha na ngazi kubwa (uwaziri mkuu) angalia hata sasa TRA kumeweza kubadili hali ya mambo. Sisemei lingine, ni kuipa kipaumbele mikoa ya kaskazini na kuisahau mikoa mingine (Angalia vitega uchumi vya serikali katika mikoa hiyo).

      Suala la kwa nini viongozi wetu hawajali kwao, hapo sikubaliani na wewe, viongozi wetu waliopo wachache na kwenye maeneo yasiyo kuwa nyeti wanajali kwao. Kumbuka Bungeni kulizuka zogo, baada ya Basil Mramba akiwa waziri wa miundo mbinu kutenga fedha za kujenga barabara ya Tarakea ambayo haikuwa kwenye orodha ya barabara za kujengwa na kuinyima barabara ya Itigi-Tabora-kigoma ambayo ndiyo ilikuwa kipaumbele (alaniwe Mramba)

      Kutoka kwenye maelezo yako sasa, nachukua juhudi binafsi za wananchi za kujiletea maendeleo bila kusubiri serikali hapo umenena, hasa utunzaji wa mazingira kupitia kauli mbiu ya Msarakambo (Lakini isiwe inafadhiliwa na mafisadi wa maeneo hayo). Mkakati huu nadhani ndio utatuokoa kuliko kutegemea fedha za serikali tu ambazo wenye kutoa maamuzi wana akili kama ya Mramba

      Bado nasemA MUNGU, ibariki mikoa ya pembezoni ikumbukwe kama mikoa mingine
      Mzee Fugwe, mimi nimefanya kazi Mwanza na nimepita mikoa mingi ya bara na sasa nafanya kazi Arusha na hawa ndugu zetu wanaojisifia wanastahili kujisifu kwa kuangalia Arusha! si ati wanapendelewa kama unavyodhani hawa watu ndo wanajenga Arusha sasa! sekta ya utalii na madini wapo na hata Mwanza na Tanga wanakuja kwa kasi! hata kwetu Iringa wapo hawa bwana!

      Ukiangalia uwepo wao kwenye serikali si mkubwaa sana kama unavyosema hapa! ukifanya uchunguzi utagundua Nshomile wako wengi sana hasa kwenye nafasi za ukatibu mkuu! sasa mbona huko Kagera hamna maendeleo namna hiyo na wako mipakani pia? yaani ni nafasi nzuri ya kuwekeza kibiashara ukiangalia ukiacha majigambo yao wengi wa Nshomile wanazo yaani matajiri!

      Ila kuna suala la kujituma na mwamko wa maendeleo! Hata tukisema wasipewe cheo chochote kwenye serikali naamini bado wataendelea kwa vile wana mwamko! Pita Arusha uone! Hufuata penye pesa na kufanya kazi hawajali wako wapi, kitu ambacho kila Mtanzania anaruhusiwa na anapaswa kuiga!

    18. #55
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      .

      Kuna makanisa yenye kengele ambazo ingekuwa dar ikipigwa ule mchana kwa mfano st. Peters wangesikia hadi bagamoyo. Ikipigwa hata kama mtu anakunywa/ria pombe ya mbege anaacha na kusali sala ya malaika/anjelusi hata kama amelewa ulevi unakata then unarudi upya baada ya sala.

      haya makengele huitwa kimanga. nadhani tabata kimanga wamekopi huko
      Beware of a sucker punch

    19. #56
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Kuna makanisa yenye kengele ambazo ingekuwa dar ikipigwa ule mchana kwa mfano st. Peters wangesikia hadi bagamoyo. Ikipigwa hata kama mtu anakunywa/ria pombe ya mbege anaacha na kusali sala ya malaika/anjelusi hata kama amelewa ulevi unakata then unarudi upya baada ya sala.


      [/QUOTE]

      haya makengele huitwa kimanga
      Beware of a sucker punch

    20. #57
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      hayo makengele bwana nguli waambie huitwa kimanga. kule kwetu kama mrema angekuwa bado CCJ, sorry CCM ungekuta tuna lami hadi kiraracha. siasa si nzuri kiivyo
      Beware of a sucker punch

    21. #58
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,629
      Rep Power : 10157
      Likes Received
      5644
      Likes Given
      12664

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      acheni kuongea kilugha mnatuharibia thread.
      SALAMU YETU UREWEDI.soon nakuja kuwapa mambo ya kijijini kwetu dengelua ikiwa included.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    22. #59
      Tiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 1,649
      Rep Power : 882
      Likes Received
      360
      Likes Given
      467

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      [QUOTE=Nguli;776350] Niko kijijini kwetu kwa vacation nilikuwa sijafika kwa miaka 2 nimefurahi kukuta maendeleo ambayo ni mazuri kwa mfano barabara ina kiwango cha lami hadi karibu na mpakani.

      Ila kilichonishangaza ni hizi nyumba za kifahari kali kuliko hata baadhi ya nyumba za maeneo ya masaki na O'bay ambazo hazina wapangaji wala mtu anayeishi, unakuta nyingi zina babu na bibi ambao wanafanya usafi na kuitunza. Kwa mtazamo wangu tungejenga rum 2/3 kwa ajili ya siku kuu za xsmas na mwaka mpya na hizo hela zikafanya mambo mengine. najua huku kuna mashule na hospital basi tusaidie wengine/wa eneo tofauti. Baadhi ya hizi nyumba zingekuwa zinabebeka zingekuwa dispensary maeneo mengine au hata hospitali za rufaa.

      Mkuu,

      Natabiri kijijini kwako ni Rombo, kama sio basi ni kijiji kati ya vijiji mkoani Kilimanjaro. Mimi kijijini kwangu ni karaha tupu. Hakuna jipya kule na mbunge wetu kule ni mmoja kati ya mafisadi wachache lakini alitumia nafasi yake kujinufaisha zaidi yeye na jamaa zake wa karibu. Kule umasikini ni kama kawaida tu. Kuna dispensary moja inayohudumia vijiji karibu kumi lakini hakuna dawa hata Asprin hakuna. Unaandikiwa dawa ambayo ili uipate lazima uende kwa agent wa the so called Doctor ambaye kimsingi ni RMA. RMA anafanya biashara ya kuuza dawa kwa kumtumia agent wake. La sivyo inabidi upande HIACE kwenda makao makuu ya wilaya na mkoa kununua hizo dawa. Gharama ya HIACE kwenda na kurudi ni Tshs. 7,000. Nikienda kijijini likizo wakati mwingine natokwa na machozi na ukijaribu kuwapa somo kwamba umasikini wao chanzo chake nikuipigia kura CCM hawaelewi kabisa. Inasikitisha kwamba kule vijijini ukienda KINYUME na matakwa ya viongozi wa CCM unashughulikiwa!!!

      Tiba

    23. #60
      Lady N's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2009
      Location : Dar es salam
      Posts : 1,899
      Rep Power : 864
      Likes Received
      96
      Likes Given
      84

      Default Re: Haya ni kijijini kwetu, je kwenu?

      Quote By Preta
      koose kukeri kuro..chaa kui cha mochi lanye....wechirera sana lakinyi mochi koendelea iwa wuye.....viva Kipoo, viva kimawenze, viva mochi
      wachaka wekyengyichihira sana yaani, wakapata eleri tupu wekyendesungusia kanyi kuoka, nyi londu wakacheiendelea na kunu mrinyi
      big up kina mangi, bwashe n.k!!
      "BUSINESS FOR FRIENDSHIP IS BETTER THAN FRIENDSHIP FOR BUSINESS"

    24. Study Abroad
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    Similar Topics

    1. Shindano kijijini kwetu
      By mamanalia in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 4
      Last Post: 7th September 2011, 21:07
    2. baada ya Miaka 50 ya uhuru kijijini kwetu
      By Bulding in forum JF Chit-Chat
      Replies: 7
      Last Post: 9th June 2011, 11:48
    3. baada ya Miaka 50 ya uhuru kijijini kwetu
      By Bulding in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 6
      Last Post: 9th June 2011, 09:38
    4. Toa maelezo kwenye picha hii ya kijijini Kwetu
      By NGULI in forum Jamii Photos
      Replies: 30
      Last Post: 23rd December 2010, 14:30
    5. darubini: Kijijini kwenu kukoje?
      By Waberoya in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 17th April 2009, 18:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...