Upo uzalendo na upo uzalendo wa kijinga; kutetea nchi kwenye ujinga ni uzalendo wa kijingA-MZEE MWANAKIJIJI
hii kauli ya mm ukweli ndani yake lakini ili kupata solution na ili uweze kuuondoa huu ujinga hii inaweza is apply...wakuu au nakosea??
Upo uzalendo na upo uzalendo wa kijinga; kutetea nchi kwenye ujinga ni uzalendo wa kijingA-MZEE MWANAKIJIJI
hii kauli ya mm ukweli ndani yake lakini ili kupata solution na ili uweze kuuondoa huu ujinga hii inaweza is apply...wakuu au nakosea??
JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.
Emancipate yourself from mental slavery, None but ourselves can free our minds - Bob Marley
Tokeni kati yake mkatengwe nae enyi watu wangu. Maneno hayo ni ya bwana Yesu yakihamasisha watu wa haki wajiepushe kwa kujitenga na mfumo wa kidhalimu(shetani) maana isipokuwa wamejitenga hawawezi kutofautisha kati ya ovu na jema. Sasa uzalendo upo na wa kijinga pia upo. Huu wa kijinga unasababishwa na mafungamano ya mtu aliyonayo baada ya kuwa ndani ya mfumo(system) kulikosababishia kupoteza upambanuzi. Tujiulize ktk ku-aply je twataka kuwa ndani ya mfumo? Au kama ni nje ya mfumo tutaepukaje kujenga mfumo nje ya mfuko kwa namna ile ile ya mfumo tunaoupinga? LIKIWEZEKANA HILO BASI KUTAKUWA NA UZALENDO USIO WA KIJINGA.
Follow Us Here