[ame]http://www.youtube.com/watch?v=o8i9oy1e-l0&feature=related[/ame]
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=o8i9oy1e-l0&feature=related[/ame]
huyu mzee bana..acha ni reserve tu comment zangu
______________________________ _
Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....
Hapo sijamwelewa muheshimiwa Tatizo kukata viuono? au tatizo wapi unakatia hivyo viuono!! maana Akija Rais yoyote kutembelea nchi pale uwanja wa ndege kunakua na ngoma mbalimbali na Asili ya ngoma zetu ni "wanawake kukata" viuno na hua anachekelea kinoma!! so which is which Mr. PM??
I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!
Mbona hazungumzii upatikanaji wa umeme, maji, afya na elimu bora kwa watanzania?? Naamini hivi ndo vitu vya msingi kwetu wazalendo wa nchi hii.
Au anataka dada zetu wote wavamie si-hasa (siasa) kama Sophia Simba? Au waanzishe vijitaasisi uchwara kama "wanama"??
Ukipewa kazi ya kurina asali, mikono yako ikatapakaa asali, je utaisugua mikono kwenye vumbi ili kujisafisha au utailamba?
______________________________ _
Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....
Viuno asili yetu whether male or female.
Muulizeni PM maji yamejaa mtera? Mambo ya viuno am sure alikurupuka.
It takes a revolution to bring a solution
huko waliambiwa viuno sirini tuuu, fulu stopu
CCM ni kama wahindi.....they do not trust on what they say.
.....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!
______________________________ _
Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....
The guy (Pinda) is short sightened (myopic). Anyway msimseme sana anaweza kulia tena. Hizi hotuba kwa nini asiandike kwanza halafu akasoma tu.
" ... wao wana pesa, sisi tuna Mungu ... " (Godbless Lema, MB)
hahahaha
Follow Us Here