Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

    Report Post
    Page 1 of 60 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 1190
    1. #1
      dada white's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 1,054
      Rep Power : 644
      Likes Received
      412
      Likes Given
      103

      Default Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

      Padri Evarist Mushi, ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Mtoni Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani kuongoza ibada.

      Source: Radio Wapo

      Quote By Nyenyere
      Padre E. Mushi Paroko wa parokia ya Minara Miwili Mtoni Zanzibar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika asubuhi hii.

      Ameuawa wakati akijiandaa kuingia kanisani akitokea kwenye gari yake ambapo ghafla ilitokea gari ndogo na waliokuwamo ndani ya gari ile wakamrushia risasi.

      Kwa siku za hivi karibuni kumekuwako na vitisho vya wazi wazi dhidi ya wakristu huko visiwani Zanzibar ambapo inaelezwa kuwa jeshi la polisi halijafanya juhudi yoyote kuzuia tishio hili. Kumekuwapo na vipeperushi vinavyodai kuwa kupigwa risasi kwa padre Ambrose sio mwisho wa mapambano.

      Taarifa hizi zimeripotiwa direct toka Zanzibar.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      dada white's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 1,054
      Rep Power : 644
      Likes Received
      412
      Likes Given
      103

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      Nitazidi kuwapa updates kadri navyozidi kuwapa data.

    4. #3
      akenajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2012
      Posts : 1,208
      Rep Power : 572
      Likes Received
      293
      Likes Given
      1

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      Mungu ampe pumziko la amani,na wahusika watafutwe na kukamatwa na kupelekwa mbele ya sheria
      Wweed likes this.

    5. #4
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      So RIP kama ni kweli.
      Jacobus likes this.

    6. #5
      combra's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 365
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Padri apigwa Risasi na kufariki Zanzibar

      Padri Mushi ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani.

      Source: Radio Wapo ya jijini Dar es Salaam

    7. Miaka 50

    8. #6
      eburtm's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th October 2011
      Posts : 31
      Rep Power : 390
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      Eeh Mwenyezi Mungu tusaidie tuondokane na vita hii inayowalenga watumishi wako. Mpunzishe kwa anami mtumishi wako Padre Mushi. Pole kwa ndugu wa marehemu na kanisa katoliki Tanzania na duniani nzima.
      simwitayusta, Munisi and Sukula like this.

    9. #7
      dada white's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 1,054
      Rep Power : 644
      Likes Received
      412
      Likes Given
      103

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      So RIP kama ni kweli.
      Kama umefungua redio wapo utasikia wanavyodadavua tukio lilivyotokea.

    10. #8
      akenajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2012
      Posts : 1,208
      Rep Power : 572
      Likes Received
      293
      Likes Given
      1

      Default Re: padri apigwa risasi zanzibar

      Mungu atusaidie kwenye hili wimbi la viongozi wa dini kupigwa risasi

    11. #9
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,962
      Rep Power : 30234
      Likes Received
      4726
      Likes Given
      3477

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      Hii nchi hii..!, kazi ya mahubiri ya Sheikh Ilunga imeanza kuonekana....

    12. #10
      Kiby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 3,508
      Rep Power : 1190
      Likes Received
      600
      Likes Given
      33

      Default Breaking news padre auawa Zanzibar

      Ni padre Mushi wa parokia ya mirara miwili Zanzibar. Amepigwa risasi akiwa anashuka kwenye gari tayari kwa kusalisha.
      .

    13. #11
      Gaza and Israel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2012
      Location : The West Bank
      Posts : 612
      Rep Power : 495
      Likes Received
      116
      Likes Given
      55

      Default Paroko apigwa Risasi na kufariki Zanzibar

      Wakubwa:

      Taarifa zilipatika sasa hivi ni kuwa Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Mirefu Zanzibar, Evarist Mushi amefariki dunia baada ya kupigwa risasi saa 1.00 asubuhi na kufariki kabla hajafika hospitali ya Minazi Mirefu. Paroko huyu amepigwa risasi akishuka katika gari lake wakati akienda kuendesha ibada ya saa 3.00 leo.
      sulphadoxine likes this.
      "Tanzania has every Thing in Nature, Except Valid Technology and Politics"

    14. #12
      C programming's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Location : kenya
      Posts : 617
      Rep Power : 464
      Likes Received
      111
      Likes Given
      7

      Post breaking news:padri wa kanisa katoliki apigwa risasi na kuuwawa asubuhi....hii ya leo huko zanzibar

      padri wa kanisa katoliki la parokia la minara miwili amepigwa risasi na kuwawa..na watu wasiofahamika....na kumuuwa fadher evelist mushi....

      tukio hiloo...limetokea asubuhi hii wakati father evarist mushi akielekea ...kanisani kwenda kusalishaa ghafla alivamiwa na kumpiga risasi na kuuwawa......

      source:wapo redio.....breaking news kipindi cha patapata

    15. #13
      Milindi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd March 2009
      Posts : 219
      Rep Power : 564
      Likes Received
      45
      Likes Given
      253

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      Nimesikia wapo Radio ni kweli.Mungu ailaze Mahala pema peponi Padre Mushi.Hata mimi uzalendo umenishinda kabisa na inaniuma sana.

    16. #14
      Return Of Undertaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Posts : 665
      Rep Power : 543
      Likes Received
      465
      Likes Given
      0

      Default re: Padri apigwa Risasi na kufariki Zanzibar

      Amin nawambieni msiogipe yuke uwaye nwili maana kazi ya shetani ni kuuwa bali nwana huisha
      Last edited by Return Of Undertaker; 17th February 2013 at 08:10.
      simwitayusta and Sukula like this.

    17. #15
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,658
      Rep Power : 16780
      Likes Received
      2521
      Likes Given
      1942

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      Alazwe mahali pema.....kisa cha kuuawa ni nini?

    18. #16
      dada white's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 1,054
      Rep Power : 644
      Likes Received
      412
      Likes Given
      103

      Default

      Quote By director1
      Tatizo ni nini hasa?kikwete ametufikisha pabaya sasa?wale dada zetu walio olewa na waislam waanze kudai talaka mapema
      Tatizo umeshalitaja mbele ya swali lako au unataka upewe tatizo gani tena?
      Tatizo ni kuwa waislamu hawatupendi na wana vita na chuki kubwa sana juu ya ukristo at the same time wakristo wanaendelea kulala usingizi fofofo wakizani hawa jamaa ni ndugu zetu.
      Ngongo, Wilbert1974 and Sukula like this.

    19. #17
      Rapherl's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 700
      Rep Power : 489
      Likes Received
      197
      Likes Given
      169

      Default re: Padri apigwa Risasi na kufariki Zanzibar

      Huu ni mpango maalumu naona,ngoja tuone mwisho wake

    20. #18
      mustafa ommy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2013
      Location : Kilwa
      Posts : 68
      Rep Power : 329
      Likes Received
      52
      Likes Given
      85

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      Ooooh, so sad , apumzike kwa amani

    21. #19
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,685
      Rep Power : 3352
      Likes Received
      1247
      Likes Given
      474

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      tuna hali mbaya kuliko tunavyojiona, tupo mbali sana....viongozi hawaijali nchi yetu wala hawafikirii vizazi vijavyo vitaishi kwenye mazingira gani, wanachowaza wao kutawala tu.!!!!!
      Tuko and Nyalutubwi like this.

    22. #20
      Siku za ajabu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd December 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 329
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking news:padre apigwa risasi na kuuwawa leo asubuhi zanzibar

      Jamani tuombe,tuombe tuombe mungu afanye njia.
      Tuko likes this.

    Page 1 of 60 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...