Nitazidi kuwapa updates kadri navyozidi kuwapa data.
Mungu ampe pumziko la amani,na wahusika watafutwe na kukamatwa na kupelekwa mbele ya sheria
So RIP kama ni kweli.
Padri Mushi ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani.
Source: Radio Wapo ya jijini Dar es Salaam
Eeh Mwenyezi Mungu tusaidie tuondokane na vita hii inayowalenga watumishi wako. Mpunzishe kwa anami mtumishi wako Padre Mushi. Pole kwa ndugu wa marehemu na kanisa katoliki Tanzania na duniani nzima.
Mungu atusaidie kwenye hili wimbi la viongozi wa dini kupigwa risasi
Hii nchi hii..!, kazi ya mahubiri ya Sheikh Ilunga imeanza kuonekana....
Ni padre Mushi wa parokia ya mirara miwili Zanzibar. Amepigwa risasi akiwa anashuka kwenye gari tayari kwa kusalisha.
.
Wakubwa:
Taarifa zilipatika sasa hivi ni kuwa Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Mirefu Zanzibar, Evarist Mushi amefariki dunia baada ya kupigwa risasi saa 1.00 asubuhi na kufariki kabla hajafika hospitali ya Minazi Mirefu. Paroko huyu amepigwa risasi akishuka katika gari lake wakati akienda kuendesha ibada ya saa 3.00 leo.
"Tanzania has every Thing in Nature, Except Valid Technology and Politics"
padri wa kanisa katoliki la parokia la minara miwili amepigwa risasi na kuwawa..na watu wasiofahamika....na kumuuwa fadher evelist mushi....
tukio hiloo...limetokea asubuhi hii wakati father evarist mushi akielekea ...kanisani kwenda kusalishaa ghafla alivamiwa na kumpiga risasi na kuuwawa......
source:wapo redio.....breaking news kipindi cha patapata
Nimesikia wapo Radio ni kweli.Mungu ailaze Mahala pema peponi Padre Mushi.Hata mimi uzalendo umenishinda kabisa na inaniuma sana.
Amin nawambieni msiogipe yuke uwaye nwili maana kazi ya shetani ni kuuwa bali nwana huisha
Last edited by Return Of Undertaker; 17th February 2013 at 08:10.
Alazwe mahali pema.....kisa cha kuuawa ni nini?
Huu ni mpango maalumu naona,ngoja tuone mwisho wake
Ooooh, so sad , apumzike kwa amani
tuna hali mbaya kuliko tunavyojiona, tupo mbali sana....viongozi hawaijali nchi yetu wala hawafikirii vizazi vijavyo vitaishi kwenye mazingira gani, wanachowaza wao kutawala tu.!!!!!
Jamani tuombe,tuombe tuombe mungu afanye njia.
Follow Us Here