Serious business
Serious business
Last edited by Lifer; 11th September 2007 at 18:13.
This is my first time in this forum na nimeingia baada ya kusoma skandali hii ya maliasili. Kweli mtu kama huyu Severe anaweza kujiita mwanamazingira? Na kwa nini watu kama hawa wanaendelea kuwepo katika nyadhifa zao? Mimi nafanya kazi katika industry hii ya natural resources na utalii asilimia kubwa ya yaliyosemwa katika hiyo dokumenti ni ya kweli kabisa.
Wabongo wengi wanafanya kazi katika mazingira magumu sana wanaishiwa kulipwa pocket change. Na wageni wengi wanaokuja kwa ajili ya utalii wanatoa pesa nyingi sana kama tips lakini hawa wazimbabwe na makaburu weupe wanaishia kuwapunja wabongo wanaofanya kazi kama robots wanaambulia kulipwa kama vibarua. this is not fair na mimi nasema lazima tubadilishe mitazamo yetu katika kila jambo. Hawa viongozi tunaowachagua halafu wanabebanbebana ili kurudishiana favours watatucost vibaya na kutuingiza shidani. lakini pia kuongeza kiasi cha ada hakutasaidia lolote pesa hiyo itaishia kwenye mifuko ya kina severe am wrong jamani
Follow Us Here